Ferre gola - Mua mbuyi Dance
2:50
HERI YA MWAKA MPYA
1:22
6 ай бұрын
Пікірлер
@bonifacehamis4088
@bonifacehamis4088 2 күн бұрын
Rest in peace baba magufuli 😢😢😢
@alimasibahati7644
@alimasibahati7644 3 күн бұрын
Mubarikiwe Mng awaweke for rever aiman
@ISMA-g9v
@ISMA-g9v 5 күн бұрын
😢noma
@user-iq2dv6ot8c
@user-iq2dv6ot8c 5 күн бұрын
kzbin.info/www/bejne/m6upY4uNjNt3d5I
@user-iq2dv6ot8c
@user-iq2dv6ot8c 5 күн бұрын
kzbin.info/www/bejne/sHzQhpWDYrF_btk
@Michaelagni
@Michaelagni 7 күн бұрын
Bingwa magufuli mpaka sasa ningali na mkumbuka john pombe
@samule4313
@samule4313 13 күн бұрын
naipata wapi iyo kwaya
@pachamedia
@pachamedia 17 күн бұрын
Hautaki kufuta? Ngoja sasa nikufanyie ujanja wa mjini, nakuingiaza mjini baba utajuta kuadae
@pachamedia
@pachamedia 17 күн бұрын
Nikosa kubwa sana kuchukua wimbo wa mtu na kufanyia matangazo bila hizini ya mwenye wimbo, ebu futa haraka sana kabla sijakuripoti youtube, hivi naanza maana niko na computer mkononi, kumbe wewe mwizi bwana , ulifikiri sitajua?
@masifaentertainment
@masifaentertainment 17 күн бұрын
Ripoti kaka Yangu wala akuna shida Sijaimba kazi au kitu chochote Please 🙏🏿 nakuomba uripoti KZbin
@masifaentertainment
@masifaentertainment 17 күн бұрын
Kazi hiyo ina zaidi ya miaka miwili hapo nina kazi nyingi sana nimefanya najuwa ni nacho fanya na hiyi ndo shida ya babembe kuona kijana kama wewe eti ku promote kazi niliimba abenu
@pachamedia
@pachamedia 17 күн бұрын
Futa haraka wimbo wangu, nitakuripoti youtube
@masifaentertainment
@masifaentertainment 17 күн бұрын
Wimbo gani umeona hapo umejaribu kusikia
@pachamedia
@pachamedia 17 күн бұрын
@@masifaentertainment mimi naitwa Mmùnga Esongo Zadig ndie mwenye wimbo wa Yakotumba simba, kwanini kuchukua wimbo na kufanya matangazo bila kuomba, futa haraka sana
@masifaentertainment
@masifaentertainment 17 күн бұрын
@pachamedia Sisi ni watu wa Masifa entertainment online tv mmoja kazi yetu niku promote kazi za vijana wetu Sasa wimbo huu niliongea kwa niambiaba sapoti Sasa kuniambia lazima niongea na wewe hapa sisi atufanyi kazi hivyo kweli na kama unaona unataka kuripoti nisawa ndugu Yangu najuwa kama ndo maendeleo ya sisi wa bembe so mimi nilifanya for love kuna watu wanalipa tuwafanyiye promotion lakini hiyi tulifanya tukitaka wimbo ufike mbaya nakitu unatakiwa kujuwa hiyi promo unaona na unataka kuripoti hapa nimoja kati ya vitu vilisababisha watu kuufatiliya wimbo huu but you can just Ripoti go ahead kaka Yangu wewe sio wakwanza
@neemamalensoebembe
@neemamalensoebembe 17 күн бұрын
🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥
@sandrasandrine3027
@sandrasandrine3027 22 күн бұрын
❤️❤️🙏🙏
@directorzix3810
@directorzix3810 22 күн бұрын
❤❤
@rusiamlondani2219
@rusiamlondani2219 24 күн бұрын
❤❤❤❤
@NairatyMohammed
@NairatyMohammed 26 күн бұрын
Najiskia ad kulia jamn ❤❤❤
@jackmanasi4869
@jackmanasi4869 2 ай бұрын
Jah bless🤝🙌 #BAWA LAKE🔥
@Cikuru-fr2ej
@Cikuru-fr2ej 2 ай бұрын
Pumuzika salamm tutakukumbuka kwamazli yako
@FaridaKessy
@FaridaKessy 2 ай бұрын
Ameni🙏🤲
@abdulabdy6822
@abdulabdy6822 2 ай бұрын
Pumzika Kwa amani Daktari John Pombe Magufuli..umeacha alama ya uongozi Bora sana na umetuonesha njia tuliyopaswa kwenda
@asminetaba253
@asminetaba253 2 ай бұрын
Amen 🙏
@user-lp9hg2dv5s
@user-lp9hg2dv5s 2 ай бұрын
Ameen napokea uponyaji wangu
@mrantena_
@mrantena_ 2 ай бұрын
Wakwanza kuiona nipeni likes zangu😂😂😂😂
@recmakibula394
@recmakibula394 3 ай бұрын
Ameen
@ivonymachozi7020
@ivonymachozi7020 3 ай бұрын
Amen
@SafiElungu
@SafiElungu 3 ай бұрын
Nawapenda sana
@jackp8760
@jackp8760 3 ай бұрын
Asante sana masifa
@stamilingunza5719
@stamilingunza5719 3 ай бұрын
❤❤❤✌️🥰
@JenovitteNyota
@JenovitteNyota 3 ай бұрын
Tatalesa
@faidaimmaculee28
@faidaimmaculee28 3 ай бұрын
Izo njo ma kanisa za Marekani 🤣🤣Zina bomokaga kisiku
@oredimrajabu
@oredimrajabu 3 ай бұрын
Beat ao muziki hauna shida, hao ni marafiki wanaweza wakashirikiana katika hilo. Hata mimi yana nitokeyaga mara moja moja. Lakini tunabadili kidogo kidogo isiinhiliane sanaaa !! Ila naisi hayo ni makubaliano tu yap! Wote hao ni wana Texas !! 😂😅
@shukranimawazo5284
@shukranimawazo5284 3 ай бұрын
pole sana family
@joshuapromise94
@joshuapromise94 3 ай бұрын
😂😂MAWE UFUATA MAJI KULE YANAKO HENDA 👉🏾👉🏾 #nile na yesú
@daftv5820
@daftv5820 3 ай бұрын
Kwahiyo hiyo iko wazi Godyfray Ame chukuwa melody na SIKITU kibaya pia katika uimbaji but alie hanzaga ku hitowa hiyo miaka kazaa ni Joshua p sasa je Masifa kwani uhoni ? Usiwe mnafiki na wewe
@daftv5820
@daftv5820 3 ай бұрын
Nilishaga semaga huyu jamaaa Joshua promise Apewe heshima yake maana ndiye mwimbaji mwenye wa fuatiliji wengi Ana nyimbo nyingi zenye kujenga na ku higwa kiala style ana weza kuimba aki kusudia kwangu amimi Akijihita KING. Of gospel Ajakosea tatizo letu atupemdagi kukubali usema kweli viwango vya GODFRAY ni mwimbaji mzuri na ana nyimbo nzuri lakini kumfukia Au kumzidi Joshua promise aisee Bado saana ukweli usemwa licha wote wana imba vizuri but Joshua promise ni another level Ebu anaglia huu wimbo wale wa NILE NA YESÚ ndo utajuwa si wa mchezo anaga aina moja kama Martha MWAIPAJA
@mutasiwatwa7079
@mutasiwatwa7079 3 ай бұрын
Wakwanza kuibiya niyeye😂 uyo dogo joshua naniaishawahi kumu report abenu atuachiye😂 fujo Yeye ni muibanji gani uyo mtu wa ovyo sna
@shanmlawa
@shanmlawa 3 ай бұрын
Hii mech ilikua nzur
@UKWELI649
@UKWELI649 3 ай бұрын
Naweza nikamjuwa mwimbaji wa nyimbo kwa uzaidi
@user-zw2bx2rg3i
@user-zw2bx2rg3i 3 ай бұрын
ZAHAL DJIBOUTI 🇩🇯 ♥️ 🎉😂. ILOVE. BUJUMBURA. BURUNDI 🇧🇮
@mmumambondo
@mmumambondo 4 ай бұрын
🤕
@user-rl4uq7qc1y
@user-rl4uq7qc1y 4 ай бұрын
Pole ni san
@stamilingunza5719
@stamilingunza5719 4 ай бұрын
Mungu wangu 🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️
@TombolaMugisha
@TombolaMugisha 4 ай бұрын
Likuwa n'a nilisha yikosa alakini nimeyipata Asante Sana
@TombolaMugisha
@TombolaMugisha 4 ай бұрын
AMEN 🙏
@RosiyaSikuzani
@RosiyaSikuzani 4 ай бұрын
Utungaji wako mungu aubariki❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@RosiyaSikuzani
@RosiyaSikuzani 4 ай бұрын
Uliimba kweli da siku ninyakayi zamwisho kabisa
@RandB_Channel
@RandB_Channel 4 ай бұрын
Watu Kama hawatashika sana walicho nacho wataangamiya . Yani huyo Anna anagandamiza watu waishi mukanisa yake wamutumikiye yeye wakose hata kutunza family zao wamutumikiye yy leo mnafungwa yy anaka mtalijuwa jiji la marecani kama hamujuwi. Eti mapepo angelikuwa huyo mtu Ana mapepo hange ita polici aseme jisi alipigwa . Kama mtu anaombewa njo baanze kumupiga??? Baache bonge baseme kilicho tokeya ju watu wengi wanaishi mwaile kanisa yani hadi wamefungwa hata nahali zao mtajuwa hamujuwi njo marecani iyi
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 ай бұрын
Kanisa imeshindwa kusema ukweli kuhusu tukio mpaka majamaa wanakamatwa na polisi, haya mambo haya
@Rojo_Rojo
@Rojo_Rojo 4 ай бұрын
Kanisa wanaangalia maslai yao😒😒 wakisema ukweli wafumgiwe 🥹 wataishije? . Anyway kanisa zetu hazina imani ndani ndomana .. watu wana kufuru kila kukicha
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 ай бұрын
@@Rojo_Rojo Sidhani kama Serikali inaweza fungia kanisa kwa kutaka kumsaidia mgonjwa kupona kiroho. Ila ukweli utajulikana tu
@Rojo_Rojo
@Rojo_Rojo 4 ай бұрын
Yeah. I mean wanaogopa kusema ukweli kuhusu vijana wetu Hao wanawaza labda lolote linaweza kutokea kanisa ikawa suspension
@Rojo_Rojo
@Rojo_Rojo 4 ай бұрын
Always nitabaki kusema kwa mmonga sio kweli
@jabileramadhani6281
@jabileramadhani6281 4 ай бұрын
Ma pasta ni wachonganishi wa fwata wake wa wahumini waho ndo tatizo na kuwazalisha
@jabileramadhani6281
@jabileramadhani6281 4 ай бұрын
Poleni sana ndo kanisa za sasa hivi nimarekani hapo