KARIBU AJAKAI ICT COMPANY
1:25
4 ай бұрын
Пікірлер
@mamualberth7403
@mamualberth7403 2 күн бұрын
Asante sana nimefanikiwa ubarikiwe kaka Angu🙏🙏🙏
@EvanceJoel-eh9ym
@EvanceJoel-eh9ym 5 күн бұрын
Nahitaji kujifunza mpaka nijue napenda sana haya mambo
@EvanceJoel-eh9ym
@EvanceJoel-eh9ym 5 күн бұрын
Kaka sisi wa IOS tufanyeje??mana hatuna play store kaka
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 күн бұрын
Kama unatumia Computer au iOS kupata App yetu tembelea website yetu www.ajakaiict.net kisha bonyeza Mobile App
@brightermallya
@brightermallya 6 күн бұрын
Me nimefanya hivyo bd sijaletewa majibu
@nathankiddo-d5j
@nathankiddo-d5j 9 күн бұрын
Kwenye sim inakuaje
@carlenmyinga8699
@carlenmyinga8699 25 күн бұрын
Brother naomba namba zako plz
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 25 күн бұрын
Wasiliana na timu yetu whatsapp 0678920112 au pakua app yetu google play store ya AJAKAI ICT kisha bonyeza Live Chat au Omba Huduma
@fsaid5506
@fsaid5506 Ай бұрын
Mkuu tunakupataje no.zako
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany Ай бұрын
Tembelea website au App yetu ili kupata mawasiliano, na ili kupata masomo ya online ethical hacking pakua app kupitia google playstore AJAKAI ICT kisha bonyeza Ethical Hacking
@fsaid5506
@fsaid5506 Ай бұрын
Kaka nahitaji darasa lako online namba yako naipataje
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany Ай бұрын
Tembelea website au App yetu ili kupata mawasiliano, na ili kupata masomo ya online ethical hacking pakua app kupitia google playstore AJAKAI ICT kisha bonyeza Ethical Hacking
@kingnass6410
@kingnass6410 Ай бұрын
Je nawezaje kuwa hakker
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany Ай бұрын
Ili kuwa hacker tazama video hapa kzbin.info/www/bejne/hampkqlme9une7c Na ukitaka kujifunza Online Ethical Hacking, Pakua App yetu Google Play Store ya AJAKAI ICT kisha bonyeza sehemu ilipoandikwa Ethical Hacking
@kingnass6410
@kingnass6410 Ай бұрын
Asante sana
@MAJURAMSOMI
@MAJURAMSOMI Ай бұрын
Kazi nzuri, nasubiri sehemu zinazofuata kwa hilo darasa
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany Ай бұрын
Leo tutaweka part 2, asante kwa kutufuatilia
@Khadija123Khadija12-s
@Khadija123Khadija12-s Ай бұрын
@Ngobeboy
@Ngobeboy 2 ай бұрын
Xanaaa bro
@marcomtegga8699
@marcomtegga8699 2 ай бұрын
Sasa unaishiaje njiani
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 2 ай бұрын
Nimemaliza hatukuishia njiani, kama unahitaji msaada zaidi chat nasi kwenye app
@mpagikhatib3684
@mpagikhatib3684 2 ай бұрын
Nakila nikitia namba siletewi god nomba
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 2 ай бұрын
Pakua app yetu ya AJAKAI ICT kupitia google playstore kisha bonyeza Live Chat na utapata msaada kwa wataalam wetu
@mpagikhatib3684
@mpagikhatib3684 2 ай бұрын
Hatamie Mie natumia laini ya nnje sasa wastApp yangu yamwanzo umefutika sasa nataka nirejeshe ileile yamwanzo Naomiba msaada wenu
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 2 ай бұрын
Tutumie namba yako unayotaka kurudisha whatsapp hiyo ya nje kwa kutuma ujumbe mfupi kwenda kwa timu yetu 0678920112
@briankarume4660
@briankarume4660 2 ай бұрын
Nataka kujifunza
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 2 ай бұрын
Pakua App yetu ya AJAKAI ICT kupitia Google Playstore kisha bonyeza Ethical Hacking
@roggersmalipula8957
@roggersmalipula8957 2 ай бұрын
Mm nimeomba kifunguliwa Mara kadhaa lkn hawajanifungulia na pia kila nikijiunga kupitia namba zingine lkn zote zimefungiwa
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 2 ай бұрын
Pole sana, kama kila namba mpya inafungiwa kwenye simu yako, Basi tatizo ni IMEI namba ya simu yako imefungiwa pia. Ili kupata msaada na ushauri teambelea App yetu ya AJAKAI ICT na uchat na expert wetu
@GEITAZONE
@GEITAZONE 3 ай бұрын
KAKA NAHITAJI KJIFUNZA AU KUNAHATUA ZAKUJIUNGA NA DARASA LAKO
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 2 ай бұрын
Kama uko mbali na Kahama, unaweza ukajiunga kwa mafunzo ya online training, kwa kupakua app yetu AJAKAI ICT kisha bonyeza Training na Ujisajiri
@MariethaMakono
@MariethaMakono 3 ай бұрын
Hii imefkia wapi
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 3 ай бұрын
Tuwasiliane whatsapp 0678920112 kwa maelekezo zaidi
@MwanaidiRamadhani-y2f
@MwanaidiRamadhani-y2f 3 ай бұрын
Naomba msaada wasp yangu inagoma nilivoanza tumia cm mpya K
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 2 ай бұрын
Kama bado una tatizo hilo naomba pakua app yetu AJAKAI ICT kisha utabonyeza Live Chat na wataalam wetu watakusaidia
@SylvesterMakwata-c8w
@SylvesterMakwata-c8w 3 ай бұрын
Naomba msaada whatsapp yang inasumbua
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 2 ай бұрын
Kama bado una tatizo hilo naomba pakua app yetu AJAKAI ICT kisha utabonyeza Live Chat na wataalam wetu watakusaidia
@BabyAysher
@BabyAysher 3 ай бұрын
Mie pia nimefungiwa
@OjamboJovan
@OjamboJovan 3 ай бұрын
Do you need an invalid SIM card or valid
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 3 ай бұрын
Any SIM Card
@AmeKhamis-p8c
@AmeKhamis-p8c 3 ай бұрын
Mm inafanya kama ilio bolockw
@KimDeIbrazza-j1f
@KimDeIbrazza-j1f 3 ай бұрын
Kaka nahitaji kujifunza hacker ila cjui hata pakuanzia Je? nikaanzie kujifunza chuo cha IT au'????
@ajakaiicteducation
@ajakaiicteducation 3 ай бұрын
Nenda kasome Cybersecurity, ila inabidi usome tutorial mbalimbali online wewe mwenyewe ili uwe mahili zaidi. Usitegeme sana na unachojifunza darasani, ili uwe mzuri unahitaji kuwa na shauku ya kujua vitu vingi kwa kujiongeza mwenyewe kupitia mitandaoni. Kujua zaidi vitu vipi utajifunza kozi ya cyber security basi pakua app yetu AJAKAI ICT kupitia google playstore kisha chat nasi
@EvanceNestory-b6w
@EvanceNestory-b6w 3 ай бұрын
Unataka kumu hack nani😂😂
@othmanmalik6468
@othmanmalik6468 2 ай бұрын
😅😅😅😅​@@EvanceNestory-b6w
@Kantaphon-Saengphetr
@Kantaphon-Saengphetr 3 ай бұрын
drive.google.com/file/d/1-2xDDIo8A1X8xF1lktB7mSEpZlgFZWrQ/view?usp=drivesdk
@edtryumf
@edtryumf 4 ай бұрын
cant download
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 4 ай бұрын
Click the lick to download the game www.ajakaiictportal.com/2022/11/heres-how-to-download-and-play-draft.html
@kelvinadamson6650
@kelvinadamson6650 4 ай бұрын
Tunashida sana tunafanya save for save
@gedionngamesha
@gedionngamesha 4 ай бұрын
Nasoma ICT but i want to be software engineering
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 4 ай бұрын
Sawa, maliza kwanza hiyo ICT kisha ujiunge upya kusoma kozi ya software engineering
@gedionngamesha
@gedionngamesha 4 ай бұрын
Saw kwahiy yule anaesom ICT ataanza kusom information communication then atamalizia na information technology sindo hiv kiongoz
@mureymahomary7504
@mureymahomary7504 4 ай бұрын
Sas mbona inakataa hat ikiweka
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 4 ай бұрын
inakataa codes au ni nini? naomba tufahamishe kupitia app yetu. Download app yetu playstore kisha bonyeza OMBA HUDUMA na utufahamishe tatizo lako ili tukusaidie
@JoycePhilimon
@JoycePhilimon 5 ай бұрын
Naomba msaad whatpp yang inasumbua
@mtorrohussen5387
@mtorrohussen5387 5 ай бұрын
Jamani Masada WhatsApp yangu imefungiwa
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Pakua app yetu playstore kupitia hii link kisha bonyeza OMBA HUDUMA play.google.com/store/apps/details?id=ajakai.ict3&hl=en&pli=1
@SymonOrao-h5l
@SymonOrao-h5l 5 ай бұрын
Msaada ntamimi yangu imefungwa
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Pakua app yetu playstore kupitia hii link kisha bonyeza OMBA HUDUMA play.google.com/store/apps/details?id=ajakai.ict3&hl=en&pli=1
@maxata20
@maxata20 5 ай бұрын
How to download the game but let all the girls be
@GraceMichael-m4s
@GraceMichael-m4s 5 ай бұрын
Jmn nisaidien ata haifunguki
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Pakua app yetu playstore kupitia hii link kisha bonyeza OMBA HUDUMA play.google.com/store/apps/details?id=ajakai.ict3&hl=en&pli=1
@BeatusMasele-r9r
@BeatusMasele-r9r 5 ай бұрын
Plz naomba Masada wa namba Angu him Iko banned 0784239757
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Tuma namba yako kupia App yetu ili usaidiwe na wataalam wetu. Pakua App kupitia Google Playstore ya AJAKAI ICT kisha bonyeza OMBA HUDUMA na chagua huduma unayotaka kisha bonyeza Chati Nasi
@NiyokwizigiraAnatole-xk2uu
@NiyokwizigiraAnatole-xk2uu 5 ай бұрын
Salama,, nimefuatilia vizur jins umetoa maelekezo lakini mimi nikijalibisha inajurudia vilevile kbs
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Pole, tuwasiliane kupitia App yetu ili tukusaidie. Pakua app kupitia google playstore ya AJAKAI ICT kisha utabonyeza OMBA HUDUMA na scroll huduma za mwisho utaikuta msaada wa whatsapp na bonyeza Request kisha Chati nasi
@leahrukwakwa9388
@leahrukwakwa9388 4 ай бұрын
Mmmmh tupo wengi mm nishafanya Kila kitu lkn cjafanikiwa ata,apa nawaza kurestore cm tu na cjui ka itakubali an
@loydamwakyomo8623
@loydamwakyomo8623 5 ай бұрын
Wengine mmesaidikaje jamn mbona kwangu inashindikana
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Chati nasi kupitia App yetu AJAKAI ICT ili tukusaidie. Pakua app yetu kupitia playstore na kisha bonyeza OMBA HUDUMA au chati nasi
@HauwaynahHakeem
@HauwaynahHakeem 5 ай бұрын
Nam yang imefungwa jaman msaad
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Wasiliana na wataalam wetu kupia App yetu ya AJAKAI ICT. Pakua app google playstore kisha bonyeza OMBA HUDUMA na chagua huduma unayotaka kisha bonyeza chati nasi
@zamaradimabruck2922
@zamaradimabruck2922 5 ай бұрын
Hell naomba msaada please WhatsApp yangu inazingua sana
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Pole kwa usumbufu unaoupata, naomba upakue app yetu kupitia playstore ya AJAKAI ICT kisha bonyeza Omba huduma na tafuta huduma unayotaka kisha bonyeza chati nasi ili kupata msaada wa huduma kutoka kwa wataalam wetu
@zamaradimabruck2922
@zamaradimabruck2922 5 ай бұрын
@@ajakaiictcompany okay thanks
@robertdouglas-eb6fz
@robertdouglas-eb6fz 5 ай бұрын
Samahani whatsapp yang inaniambia you need official whatsapp to log in
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
@@robertdouglas-eb6fz Kama ulijaribu kujisajiri whatsapp kwenye simu nyingine kwa hiyo SIM Card na bado ikatoa ujumbe huu. Naomba uwasiliane nasi kupitia App yetu ya AJAKAI ICT kwenye Google Playstore
@loydamwakyomo8623
@loydamwakyomo8623 5 ай бұрын
Daaah nkajua mwenyew kumbe tupo wengi 😢😢 msaada jamn
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Pakua app yetu playstore AJAKAI ICT kisha bonyeza Omba Huduma na wasiliana na watoa huduma ili tukusaidie
@ShabanMohamed-c2b
@ShabanMohamed-c2b 5 ай бұрын
Je ict inahumuimu kuliko it
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Zinategemeana, utaanza kupata elimu ambayo ni ICT kisha ndiyo utakuwa IT
@RehemaDhahiri-kj2uh
@RehemaDhahiri-kj2uh 5 ай бұрын
Nimeishi kwenye hatua ya pili jamanii location.imekataa 😢😢😢naomba kusaidiwa
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 5 ай бұрын
Kwa msaada zaidi tuma imei namba ya simu iliyopotea na email address yako ili tukusaidie. Tafadhari usitume hapa kwenye comment. tuma kwa namba yetu ya mtoa huduma. au unaweza uka pakua app yetu playstore AJAKAI ICT, kisha utabonyeza Omba Huduma na chati na watoa huduma wetu ili wakupe msaada
@kyeyuneronnie1307
@kyeyuneronnie1307 6 ай бұрын
But how can I go to next level after winning
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 6 ай бұрын
When you finish the first level, then click the message displayed to go the next level
@SophiaMwampash-y8q
@SophiaMwampash-y8q 6 ай бұрын
6
@SophiaMwampash-y8q
@SophiaMwampash-y8q 6 ай бұрын
2
@ziadaambanjaula8900
@ziadaambanjaula8900 7 ай бұрын
😢me natumia lain ya nje nataka kuiludisha ileile WhatsApp yang inagoma mnanishaulije jamani
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 7 ай бұрын
Kama awali ulishirikisha email yako kwenye whatsapp basi verification code unaweza kupokea kupitia email yako ili kukamilisha usajiri, Kama hukushirikisha basi jaribu njia hizo mbili: Washa/ruhusu Roaming kwenye simu yako ili kupokea calls au sms ya verification code za whatsapp ila tambua huduma hii ina gharama. njia ya pili unaweza ukaruhusu voicemail kwenye simu yako ili verification code ziweze kutumwa kupitia voicemail. Kwa msaada zaidi unaweza kuwasiliana na timu yetu
@briangicharu2899
@briangicharu2899 7 ай бұрын
Kuna mtu amecheza hii?
@ajakaiictcompany
@ajakaiictcompany 6 ай бұрын
Ndiyo
@Zerocool-vr3xo
@Zerocool-vr3xo 7 ай бұрын
Kimara