Baba😢 ni kweli u ajua kuimba lakini uungwaji mkono mdogo Ila baba mi mwanao nakutia moyo mwanzo sikuzote hiwa mgumu
@fredynjige5663 Жыл бұрын
Mch. Punguza ukali wa maneno,
@SaraSamson-yn7vi Жыл бұрын
Mungu akitie nguvu sana mama wokovu nababa tulioko nyuma yenu mnatupa ujasiri mwingi sana wakuvuka magumu
@shinemakenzi8101 Жыл бұрын
Hili swala la mkuu wa usalama wa taifa kutuhumiwa kuua bado kwangu sijajuwa kwa kweli tufafanulieni aliuaje?mbona mnasema tu aliua aliua kivip daa hii nchi sijuwi imekubwa na zimwi gan watu kutuhumiana mambo magumu mitandaoni Mungu atusamehe tu kwa kweli
@laurianogerold5129 Жыл бұрын
Amen
@sarahthomas2129 Жыл бұрын
Ongera xanaaa mtumixhi wa mungu nikwel unachosema mungu akushike mkono sanaaa
@wokovunikupona3558 Жыл бұрын
Nimekuelewa saana kamanda
@juliusgitonga363 Жыл бұрын
Kweli tuko na viburi sana kwanza sisi walokole wa kizazi hiki
@violetnasiche35352 жыл бұрын
Mtumishi Imani tu.kuna mwanakipekee yatima ni uchungu lakini mungu atabaki kuwa mungu.alimkumbuka ayubu na akurejeshe maradufu ki uduma,nko mpweke bt wwe ndio baba yangu .ngangania wokovu dady
@michaelwambua10522 жыл бұрын
Aminaaa ,,, in wakweli wewe Ni komando wa Yesu
@modestapeter29972 жыл бұрын
ameokoka toka kitambo huyu😊
@Magistra102 жыл бұрын
kweli kweli
@jolemerci21552 жыл бұрын
Ameukaza moyo wako sana ametujaza moyo wako sana sana tena sana azidi kaza moyo wako kabisa
@sifawayesu70792 жыл бұрын
Najifunza mengi kupitia familia ya mzee Mwampeta na alivyo walea watoto wake.
@aminamavura68342 жыл бұрын
Mhuu kweli kwa Yesu Kuna tumaini Mungu was hike mkono
@sheilanasonmagubi61882 жыл бұрын
Hongereni wazazi wa mama yetu Salome kuja kumtia moyo ktk huduma ya Mungu mbarikiwe sana
@lukasemmanuel46142 жыл бұрын
Kakosa nini wimbo unamrudishia Mungu utukufu
@barakayekonia74682 жыл бұрын
Good song congratulations
@rehemamangara67952 жыл бұрын
Unanibariki sana,Mungu aendelee kukutia nguvu,unaomba kwa hisia kali
@elbashilhussein39042 жыл бұрын
kumbe ccm hamtaki kukosolewa mkikosolewa mnataka kumfungia ata mungu wengine mnawapiga Marisa' mko na mambo ambayo hata shetani atawakataaa sasa sijui mtakwenda wapi bado hamjifunzi tu kwa mwendazake
@elbashilhussein39042 жыл бұрын
toka ameanza huduma hiii nimiaka mingapi nao mba ccm ndowajibu leo mnasema hanasifa za kuabudu zimeeenda wapi lapili jibu sasa
@jonathanmafuru85932 жыл бұрын
Paulo alisoma katika chuo Cha gamalieli je? wewe ni zaidi ya Paulo ushauri wangu mtumishi nenda kasome acha kushindana na serikali
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Uongo alisoma kipindi gani ameokoka au mpagani mwanadini
@brianshomi7222 жыл бұрын
AMEEEEEN
@sarahthomas21292 жыл бұрын
Mungu akubalik
@josephmadukashambalawokovu6422 жыл бұрын
Kweli kabsa mtumishi
@apostleprophetkennethngoli6572 жыл бұрын
Nenda darasani Mtumishi itakusaidia Sana. Kuishia la Saba sio sababu ya wewe usisome chuo Cha Bible . Kuna masomo ya Uongozi yatakusaidia katika wito wako. Huduma umezaliwa nayo Lakini uongozi Lazima ufundishwe
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Petro, Paul, yesu, alisoma chuo gani mtmsh, mbona hata mliosoma mnahubiri Sadaka tu na mafanikio ya kimwili ,na mnastawi wa hubris tu ili Hali watu went wanatia huruma
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
Nyinyi mnao soma wengine mnakengeuka mnakuwa wapenda fedha injili ni moto
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
Unaelewa humu kuna watu waelewa kuliko unavyo fikili
@zawadichalale4047 Жыл бұрын
@@wilfredlukowo9476 ni sawa lakini suala la kukengeuka ni la mtu binafsi na kama ukiamua kumuishia Mungu utasoma na bado utamuishia Mungu tu na hutakengeuka kwani hakuna wasomi wanaomtumikia Mungu kwa ukamilifu?
@atonemusicstudio91552 жыл бұрын
Mhh kujiinuaa dhambi
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Kajiinua nn hapo
@taturashidi9111 Жыл бұрын
Jaman hao ni wachawi kafara zao wanatoa hadi viungo vya ndani kilicho nikuta hapo kimara temboni sasa natoa ushuhuda tu huku kilimanjaro maana huyo ni jini alivyo ni badilikia mm sitokaa ni sahau na hadi sasa nipo na sauti zake za kijini tunakuua tunakuua na huyo bongo wake anae vaa nguo za laiti bluu na huyo anae vaa za kijivu wote majini hao na freeemasoon pia
@taturashidi9111 Жыл бұрын
Jaman nateseka mm sio kidogo kweli hapo ni ngome ya uchawi
@heritier51192 жыл бұрын
Huyu nabii goe dave anahusika nae vipi
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Sikiliza kwa makn
@heritier51192 жыл бұрын
Kwann wanamzuia
@jescainganji45222 жыл бұрын
Amen
@hellenjoseph71982 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni awatie nguvu
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
Anayepinga ni wakala wa shetani
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Kweli
@apostleprophetkennethngoli6572 жыл бұрын
Huna Ufahamu kwenye idara hiyo ni vema ukanyamaza. Kuna Mahali Mtumishi anapaswa kusaidiwa
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
@@apostleprophetkennethngoli657 siwezi kaa kimya wewe umemsaidia? Vipande vya fedha vinawaponza wengi
@wilfredlukowo94762 жыл бұрын
@@apostleprophetkennethngoli657 wewe mwenye ufahamu umemsaidia nini tujuze
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Wilfred hakika wewe ni jembe la yesu apostal Hana la kujitetea
@elijiusdaniel98172 жыл бұрын
Amen kweli darasa la Mungu gumu sana.
@janekilembe93942 жыл бұрын
Mtumishi SI wewe kuwabadilisha Bali Yesu ndie anawabadilisha,Mungu atuwezeshe
@Veni5842 жыл бұрын
Yesu anabadilisha kupitia kwa mtu
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Nyie mnaosubiri kubadilishwa na mungu ,waongo wakubwa huwa hambadiliki kumatendo Bali kimaneno tu
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Nyie mnao subiri kubadilishwa na mungu, waongo wakubwa huwa hambadilikagi, kimatendo Bali kwa maneno tu
@elijiusdaniel98172 жыл бұрын
Kweli baba
@mtumishiDanny2 жыл бұрын
Amina Amina Makamanda Mbarikiweeee
@ShijaThomas-yp7ye Жыл бұрын
Point yako hapo ni ipi mbona unaongea upuuzi tu
@ShijaThomas-yp7ye Жыл бұрын
Muda mwingne ujifuze kuongea point ya msingi wewe mpuuzi Tu hvyo Una uzima gani
@mariamfaicalhassan28902 жыл бұрын
Natamani kujiunga na Familia hii
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Karibu
@claranta2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 ewe Mungu uliye wa pekee mbinguni na duniani naomba ukawe mfariji wa familia hii ...nimeshindwa kuzuia machozi ee Mungu wangu uuuwii 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@dadamuebrania15392 жыл бұрын
Kibinadamu ni NGUMU poleni sana familia yote ya watoto wa Mungu KIKOSI KAZI CHA INJILI. Kwangu mimi msiba huu ni mlango wangu kuelekea hapo nipo njiani Bwana akinipa neema na kibali nitafurahi kujiunga na hii familia TAKATIFU.
@lydiamichael55092 жыл бұрын
Poleni sana wanafamilia marafiki pamoja na kanisa kwa jumla Mungu awape nguvu kwakweli sirahisi
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Tumekubali Mapenzi yetu yavunjike
@proscoviacostantin64132 жыл бұрын
Naomba namba yako mtumishi
@josephmaduka4682 жыл бұрын
Namba yangu ya nini
@joshuajastin.2 жыл бұрын
Sawa acheni kupiga kitu kwanza maana shetani ameweka tageti mtu wake tayari kutushambulia.