AZAM VS YANGA GORI LAKUJIFUNGA
1:08
GOLI LA MAX NZENGELI NI BALAA
0:40
14 күн бұрын
MWAKAJOKA AWAKINGIA KIFUA WAMACHINGA
5:00
Пікірлер
@LazaroMalkus-r9e
@LazaroMalkus-r9e 2 күн бұрын
Pasta miminimekatariwa na mpenziwangu joi unanisaidiaj
@MihigoSifa
@MihigoSifa 8 күн бұрын
Merci beaucoup maman
@RachaelHaonga
@RachaelHaonga 10 күн бұрын
😂😂😂
@catherineangel2529
@catherineangel2529 19 күн бұрын
Ameeenii
@wayaumememagari4633
@wayaumememagari4633 21 күн бұрын
Mbona huku Daressalaam mnatichaji hela
@user-um5xx5ct7q
@user-um5xx5ct7q 23 күн бұрын
Lakini huyu msigwa inawezeka unadanganya kwani huyu anayezungumza haya na yeye ni chadema inawezekana baada ya kukosa uongozi wa kanda ndio anaongea yote hayotunayomsikia
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 24 күн бұрын
Mwakajoka safi
@ClementLushino
@ClementLushino 24 күн бұрын
Msingwa ni mchungaji wa kanisa ngani?.
@gildopitapita1383
@gildopitapita1383 24 күн бұрын
Amen mungu atukuze Kwa jina lá Yesu
@yohanamsongole6489
@yohanamsongole6489 25 күн бұрын
Amechoka huyo njaaa hatutowi ubunge mwakaujao kwahuluma
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 26 күн бұрын
Pipoziii pawaa tuko pamoja mkuu
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 26 күн бұрын
Mdomo.ni wako utasema lolote .Ila huwezi kuishinda
@user-ji7gt4oh8u
@user-ji7gt4oh8u 27 күн бұрын
Magoli yote ya mchongo
@RoseMuniss-y5q
@RoseMuniss-y5q 27 күн бұрын
Utayaona taree 8
@user-ef3xh4nj9u
@user-ef3xh4nj9u 27 күн бұрын
💛💛💛💚💚💚
@user-jt4lo1og8w
@user-jt4lo1og8w 27 күн бұрын
Hako kajama tulikokuwa tunakalaza sebreni kameingiza fedha chafu ndani ya chama,❤❤❤❤❤❤
@user-jt4lo1og8w
@user-jt4lo1og8w 27 күн бұрын
Big up sana, usiogope,tumeshawajua vibaraka wa ccm❤❤❤❤
@user-is7yw6js9v
@user-is7yw6js9v 27 күн бұрын
Mkupera ikiisa mkusipu parukono,
@user-is7yw6js9v
@user-is7yw6js9v 27 күн бұрын
Kweri nyani haoni kundure,on yesha uricho fanya wewe,
@user-pn8vz2jv3h
@user-pn8vz2jv3h 28 күн бұрын
P1 pipozzzzzzzzzz
@philipongenzatv
@philipongenzatv 28 күн бұрын
Safiii
@charlesphilipo3533
@charlesphilipo3533 28 күн бұрын
Wewe ni mpuuzi sana ,,kwani hizo ndo sera zenu kuelekea uchaguzi??wewe ndiyo muongo mkubwa
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 29 күн бұрын
Msigwa ni sawa na mwanamke malaya, amekaa ubunge wa Chadema miaka 10, la ovyo hata kutafuta kiwanja cha kujenga Ofisi ya Chama kashindwa, ni mchumia tumbo na mtoa rushwa mkubwa.
@catherineangel2529
@catherineangel2529 Ай бұрын
Ameenii
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 Ай бұрын
WE'LL SAID KAMANDA
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 Ай бұрын
Alianza kununuliwa Lowasa , Bulaya, Slaa, Membe, Kingunge, na wengine wengi. Ukihama chadema umenunuliwa lakini ukihama ccm umeikubali chadema. Kweli siasa za Bongo ni changamoto. Unafiki na uroho wa madaraka unatutesa sana watanzania. Unapoenda kuwasema wenzako basi vilevile uwe tayari kusemwa. Kwa nini mabingwa wa kuisema serikali wanatoa mapovu wanaposemwa wao?
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf Ай бұрын
Asie muelewa huyu naamini atakua ni muhuni ata Allah amjui ata lengo la kuumbwa kwake ajui
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf Ай бұрын
Yani chadema safi sana wanasaidia kiasi kikubwa kusukuma maendereo tofauti na vyama vingine avisemi ukweli
@fadhilimoshi5754
@fadhilimoshi5754 Ай бұрын
Sema baba hao majibwa ni kelele tu wananunua makapi nakuwafanya viongozi watajutia upumbavu wao.
@jeanbaraka1008
@jeanbaraka1008 Ай бұрын
Mtu makini sana sana Frank Mwakajoka....
@CRISTIANCRISTIANKABONGOBONGO
@CRISTIANCRISTIANKABONGOBONGO Ай бұрын
CRISTIAN mim nasema mungu akufanyie uweesi boni tulivo pata tarifahizi niliumia sana sasa nimeshajua wew nimzima mungu akubariki
@muhiyidinishabani
@muhiyidinishabani Ай бұрын
Mwakajoka huna sifa yakuwa mbunge
@BahatiAlfayoLaizer
@BahatiAlfayoLaizer Ай бұрын
Sera hakuna, achana na Msigwa
@BahatiAlfayoLaizer
@BahatiAlfayoLaizer Ай бұрын
Sera hakuna, achana na Msigwa
@BahatiAlfayoLaizer
@BahatiAlfayoLaizer Ай бұрын
Sera hakuna, achana na Msigwa
@BahatiAlfayoLaizer
@BahatiAlfayoLaizer Ай бұрын
Acha uongo, Chadema hakuna sera, toa sera acha propaganda
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k Ай бұрын
Msigwa safiiiiii
@user-sg4vj4ky4y
@user-sg4vj4ky4y Ай бұрын
Unatafuta kula tu! Sio maendeleo ya watu
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Ай бұрын
Msipoteze muda kumjibu Msigwa mpuuzeni kwani mnamsaidia kutimiza majukumu aliyopewa kuwavuruga
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka Ай бұрын
Hapo SS vyama vyote wananchi hatuioni mwelekeo Wala Nuru zaidi ya maisha magumu
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Ай бұрын
Umemsahau Patrobas Katambi naye alikubali bei ni naibu waziri pia hakuchaguliwa na wananchi ila aliteuliwa na jpm
@efraimjohn4956
@efraimjohn4956 Ай бұрын
na Gatambi
@rajabuomary3258
@rajabuomary3258 Ай бұрын
Mbona watu hawapo au mpiga picha ni ccm
@BernadethaCharles-sv3oy
@BernadethaCharles-sv3oy Ай бұрын
Mbona unahutubia upepo watu hawaonekani?
@AsiaChengula
@AsiaChengula Ай бұрын
Watu ndio ss sio mbaka twende uwanjan kwan we hapa husikii
@BernadethaCharles-sv3oy
@BernadethaCharles-sv3oy Ай бұрын
Ukweli ni upi wewe mtoto wa nyoka jibu hoja acha kumkingia kifua Mbowe! Msigwa alikuwa jikoni kuliko wewe! Ndio maana hata hujiamini unaongea kwa jaziba tu. Kwani ukweli si ndio huo. Mbunge kupitia CDM lazima kila mwezi atoe sehemu ya mshahara wake. RUZUKU mnaweka wapi. Kwa sisi waelewa uko unathibitisha uozo wa Mbowe na CDM!
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
@AlphaxardMRusweka-jr1wi Ай бұрын
Mbona familia Fulani hapoo CCM,wanakula nchi peke yao,wanateuna peke yao,kuanzia mama,watoto,baba hamuoni hayo ?
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 Ай бұрын
Mafisiyemu. Kazi yake ni kununua chadema kule fisiemu hakunaga mwenye akili timamu ni misukule tu
@kikongajoel2693
@kikongajoel2693 Ай бұрын
Acheni uogo mbowe ni fisadi
@samwelandrew3852
@samwelandrew3852 Ай бұрын
Msigwa yupo sahihi
@samwelandrew3852
@samwelandrew3852 Ай бұрын
Uyo mtoto mdgo sana haujui kitu msigwa kasema kwel
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Ай бұрын
Ukweli gani au nawewe ni chawa wa ccm
@gangan4618
@gangan4618 27 күн бұрын
​@@ramadhanmahongole9293kenge wa kijani wewe.
@TumbweneLwesya
@TumbweneLwesya Ай бұрын
Wewe uongo wann kwann utaki kua mkweli vijana wanao toka ccm mnawanunua shingapi mwakajoka kokumbe hote mnanunua pas Waume lowSa mlimnunua shingapi na sumay mlimpa shingapi maana mtu kutoka chadema kwenda ccm amenunuliwa mtu kwnda chadema nn
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Ай бұрын
Ni kijana yupi aliyetoka CCM akahamia CDM kwa hongo ya kuwa viongozi
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 Ай бұрын
Kijana anaejitambua hawezi kuichagua CCM kwakwl😮😮😮