AMEEN mtumish mungu akubariki sana kwa kazi hii njema ya bwana
@MARRYADAMSON3 күн бұрын
Amen
@blackwellsiame-ec7uf3 күн бұрын
I may not be able to understand Swahili but the message is loud and clear. From the northern part of Zambia
@YeremiaYohana-o9j4 күн бұрын
Amen Mtumishi barikiwa sana
@ayoubdallu44765 күн бұрын
KAMANDA 🔥
@davidmdadila40805 күн бұрын
Ni mambo ya fireee
@BahatiJeremiah-v7p5 күн бұрын
Barikiwa Baba
@RAIVONMWAKALANJE5 күн бұрын
Amina wape ujumbe waho ali wabadilike
@JescaMdeka6 күн бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@JojoJoji-h8g6 күн бұрын
Nimejaribu kuchunguza iman mbali mbali dunian lakin iman ambayo inaongoza kwa viongoz wao kujaa majungu na chuki ni kikristo ukiangalia imani kipagan wanapendana ya kiislamu ya kihindi ya kiyahudi na siyo kwamba hawana makosa lakin hii ambayo ndyo ilifiwa kwa upendo na yesu na yesu altaka upendo unajiona Wana wivu wanakiburi cha haki wanahukumiana wanadhalilishana wanavuana nguo pumbavu pumbavu tu mbona hawafanani na yesu ,mnamhubiri sana shetan kuliko yesu wao muujiza wakuponywa ukitendwa wanakataa wanasema alyefanya ni shetanii.
@nikodemmwahangila33345 күн бұрын
Na wewe vipi niwalewale jiwe la gizani limempata mtu tunakemea ujinga tuliookoka hatupakani mafuta hata Yesu aliwashughulikia kisawasawa
@JojoJoji-h8g5 күн бұрын
@@nikodemmwahangila3334mnachukiana sana hakuna mkristo aliyewah mkubali mwazake ata akiwa wa namna gan aisee mnachuki kupita ata shetan mbele ya viongoz wakiserekali mnaenda kushitakiana wapagani wasio mjua Mungu kwa mfano waziri wa mambo ya ndan muuislamu unakuta maaskofu na suti zao na kola zao wanashitaki vitu vya kipumbavu mbele ya waziri asiye mjua yesu lin mtawahubiri watu kama wale injili ,kama kuna kaz mbovu onyeshen njema ili kumtofautisha na ile mbaya siyo matuzi kwa wivu
@JojoJoji-h8gКүн бұрын
Yesu alipambana na wenye din kubwa kubwa mafarisayo na masadukayo mahali ambapo ukigusa unaweza katwa kichwa kukemea serekali za kirumi siyo mchezo nyie mnatwangana wadogo gusa hiz din kubwa uone gusa viongoz wa serekali jaribu kama unaongea kama yesu tutakukuta msalaban achen chuki fanya vizuri alafu watu waone ubora wako kumliko mwingine wala si kwa chuki Mariko 12.30
@isakashega60566 күн бұрын
Good job
@NuhuMsigwa6 күн бұрын
Ubalikiwe sana mtumishi
@ryobanchagwa24996 күн бұрын
Kweli kabisa
@CLAUDMWAKALASYA7 күн бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU
@RubaR-nr5wz7 күн бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi
@nikodemmwahangila33347 күн бұрын
Amina
@EstraEmily7 күн бұрын
Amina ubarikiwe sana mutumishi wa mungu
@jeremiahbulenge18568 күн бұрын
Kumechangamka tayari
@LukaMsongole8 күн бұрын
Tupo pamoja past.
@TINAHMWALE8 күн бұрын
mungu akubariki mchungaji
@masterkey5368 күн бұрын
Wimbo mzuri xana
@musamwachanga8168 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
@AnaniaMtumishi8 күн бұрын
Wimbo unaitwa je?
@ammielvictorykirango28878 күн бұрын
Barikiwa sanaa kwa INJILI SAFI SANA. lakini mbn umeupload ya siku moja tu tena dakika 15
@nikodemmwahangila33348 күн бұрын
Nitatuma nyingine
@joshuakyando60569 күн бұрын
Barikiwa sana baba
@nikodemmwahangila33349 күн бұрын
Amina
@MTUMISHSTEPHANOSANGA9 күн бұрын
Barikiwa sana Baba mchungaji
@nikodemmwahangila33349 күн бұрын
Amina
@joshuakyando60569 күн бұрын
Barikiwa sana baba
@nikodemmwahangila33349 күн бұрын
Amina
@eneamahengeonlinetv91859 күн бұрын
BABA TUNAKUA WABABE GHAFLA KWA INJILI YAKOOOOOOO. KEEEEEP IT UPPPPPPP.