Kweli kabisa utu umeisha binadamu hatuna hofu na muumbaji unamuua mwanadamu mwenzako kama mnyama kisa madaraka ambayo yanaukomo.
@jacksoncharles54114 сағат бұрын
Ukihubiri UTU au UBINADAMU,utakutana na yalomkuta mch.Mbarikiwa Mwakipesile wa Isyesye mbeya.
@rizikmrema724355 минут бұрын
Kabisa
@AllyMasterKitali10 сағат бұрын
Ndugu zangu watanzania kuweni makini na wanabii hawa mataperi wanawadanganya nyie mnawanunulia magari nyie mnabaki manikins kuweni makini nahawa watu nyie ombeni mwenyesi mungu mtakuwa matajiri tu
@SuzanaMpesha-b3n13 сағат бұрын
Jamaaaaaniiiiii
@AllyMasterKitali16 сағат бұрын
Mwamposa kuhani message nimataperi wanainchi fungukeni musiwakimbilie hawa mataperi wanajificha na mungu nyie wanyonge mnangamia wao wanashipa wanamilik magari magorofa nani mulimuona anaenda kuchukuwa udongo kawa tajiri hao mataperi ombeni mungu atawapa wenyewe
@JuwairaSalimКүн бұрын
Allah azid kukucmamia ktk kutekeleza majukumu akupe afya njema na uimara uzd ku2saidia ktk kuendesha gurudumu mi5 tena inshallah
@BakariFarajiКүн бұрын
Mama simama imara amani ndiyo jambo kubwa namungu akuongeze umri mrefu mama oyeeeee
@MathewElius-s9zКүн бұрын
kweli
@herymagetaКүн бұрын
Hamna wakristo hapo? Watu wamejaa makanisani kuficha mavu yao, wachawi,waganga na wauwaji, hakuna mtumishi wa Mungu Mwanasiasa.Ukiona mtumishi wa Mungu mwanasiasa huyo ni muongongo
@annaerineo2388Күн бұрын
😊😊
@OmmyJames-xn7jiКүн бұрын
SASA WAGALATIA WAMEAMKA NEXT MAASKOFU WA TEC😢😢😢😢😢😢😢😢WAMEINGIA SIASA BAADA YA MIRIJA YAO KUZIBWA WAMESAHAU KUSOMA BIBLIA NA KUKEMEA USHOGA ULIOKITHIRI
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
@@OmmyJames-xn7ji kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@LydiaNasimiyu-h1nКүн бұрын
Nikiwa Saudi Arabia Sasa hivi tunakupa wengi Sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
@@LydiaNasimiyu-h1n kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@LydiaNasimiyu-h1nКүн бұрын
Makonda fanya kazi usiongope chochote matabali akina kuhani Musa walifanya Rose muhando kuwa wasimu Kenya kama si Mungu hakika hakekuwa hai
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
@@LydiaNasimiyu-h1n kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@JamesObaigwa2 күн бұрын
Amen
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
@@JamesObaigwa kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@PamelaGodfrey-q9b2 күн бұрын
Tuko gizani tuamke
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
@@PamelaGodfrey-q9b kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@roselyimo36762 күн бұрын
Mheshimiwa Makonda pokea maua yangu
@roselyimo36762 күн бұрын
We are sleeping ndio maana tunapewa udongo na mafuta ya upako bila maombi. Nimeshuhudia wengi wanasema nilipewa mafuta nilipewa udongo lakini ni wazinzi mwisho wa matatizo. Leo tujitafakari je tuko kwenye Nuru au giza????
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
@@roselyimo3676 kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@SofiaSofi-q6r2 күн бұрын
Mkuu sawa upo sawa lakini usisahau Sana kuwa hao unaowasema wamepewa kuonya na kusema pamoja na maombi. Miujiza siyo lazima lazima ni Imani.
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
@@SofiaSofi-q6r kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@imanuelzakayo87033 күн бұрын
Hii ndio injili kutoka kwa makonda Aiseeee makonda ni nabii kabisa
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
@@imanuelzakayo8703 kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@imanuelzakayo87033 күн бұрын
Hata uyooo apo ni feki sema apo kakaushaa tuu umemkwaza sana ujui tuuu
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
@@imanuelzakayo8703 kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@josepherjosephpaul11383 күн бұрын
Alleluia! Naomba unipokee kwa Ofisi yako. Nina shida nata la kuonana na, wewe
@fredricksikukuu27433 күн бұрын
Asante sana mtumishi wa mungu akubariki
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
@@fredricksikukuu2743 kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@FadhilMwaitete3 күн бұрын
Sio kukemeya tu watekaji wametajwa mmoja wapo. Wamemtaja napicha yake imesambazwa anaitwa mafwele kwanini msianze na huyoo msipindishe na mafwele ayupo pekeyake kunakajikundi kanaendesha visa hivi raisi wanakuyengenezea mtego hao wayekaji sijafuraishwa raisi kukubeshwa rawama mungu ile Tanzania yetu
@BizzBoy-g4o4 күн бұрын
wasio viongozi wachama vifo havisisimui
@FanciesNyangama4 күн бұрын
R.I.P Magufuli
@JannethNicholaus-ty5li5 күн бұрын
Yaani duh mtu ashushwe na watu wenye silaha na pingu Kweli Mungu amepanga?Hivi mtu wa anamiliki pingu?
@raphaelmacha11735 күн бұрын
Soka na wenzake wako wapi mama? Hebu lifanyie kazi nao wapatikane maneno matupu hayavunji mfupa
@raphaelmacha11735 күн бұрын
Wale vijana waliopelekwa makambini na ccm nao azungumziwe
@wemu47745 күн бұрын
Kazi kwenu mashabiki wa Ubaya Ubwela.
@DUNIADigital-j6w5 күн бұрын
😂
@GermanaPaul5 күн бұрын
Mama mama Nimefurahi sana sana leo umeongea kimamlaka na kwa ujasili safi sana maana wanakuchukulia mpole ,nimefurahi sana Rais wetu,Mungu akulinde na akupe nguvu na ujasili,
@DUNIADigital-j6wКүн бұрын
kwa habari mbalimbali usiache kubonyeza neno subscribe kwenye channel hii
@DanielSulley-t8d5 күн бұрын
Iko siku
@mafadhilahmada24205 күн бұрын
Mama ukweli wako uwadilifi wako ndio silaha yako utupeleke kule tutakako kwenye amani upendo utulivu na maendeleo
@mafadhilahmada24205 күн бұрын
Mama mpendwa mama mjasiri mama ulie fundwa ukafundika mama ulie soma na kufahamu vyema mama amini mungu yupo nawe na utashinda maisha yote vitendo hivi vya majahili wa taifa la tanzania mama nakuombausirudi nyumba kila alie moja mwema Yuko nyumba yako. Maneno haya yatakulinda daima mamaفكن يااله كشف ظري والبلاء بهي جلهمى بهيلى بهلهلة وعطيف قلوب العالمين بشلمهت amina
@margarethpolepole74385 күн бұрын
Mama sema usiogope sema Chadema Saccoss wanakudharau sanaaaa hao wanatumiwa kuvuruga Amani heri ungewaacha huko huko ughaibuni
@dannykajumba20005 күн бұрын
Kua imala mama amani ya nchi ndio kitu cha msingi
@mohamediathuman5 күн бұрын
Kibao waliomshusha walikuwa na pingu pingu Zina milikiwa na wakina nani shida ndo iyo mm
@johnlightmkose47235 күн бұрын
Mungu HAMFICHI MNAFKI Mtawajua WANAFKI wa TANZANIA Tuliombee TAIFA LETU pendwa TANZANIA
@SaidaliKhamis-v4p5 күн бұрын
Kifo si kifo je kafa, vp?
@JoyceKabula-in1sh5 күн бұрын
Ccm mbona haeatekwi
@nurumohammed13105 күн бұрын
Hilo lkn mama ulikataa naukasema uwongo ndio wanainchi walivyo kasirika
@RichardJosse5 күн бұрын
Huwaga nachekaga sn
@mweyoms55485 күн бұрын
Hoja za msingi zinazosumbua vichwa vya wengi hazijapata majawabu hapa.Huenda mimi labda sijamuelewa.
@ezekielyohana68265 күн бұрын
Maghulukutabu wapo kweli kabisa wanasumbua Mama umeongea ukweli Mungu atusaidie Nchi Yetu Tanzania Mungu tunaomba uilinde inchi Yetu Tanzania mama ameongea kwa hisia Tumombee Raisi wetu Mama Samia Mama tunakuombea Wewe Mungu amekuweka hapo usiwe na shaka.#Rais Samia.
@MkudeSimba-p3f6 күн бұрын
Wanataka watalii wakimbie tutawaliwe na umaskini! Na ndio hao hao waliotaka tukae lock down kipindi cha corona bado hatujasahau ! Ni bora kutafuta mbinu nyengine ya kutatua matatizo ya siasa kuliko kuegemea na kutegemea raia wake mbele ktk maandamano kwa lengo la kuuliwa raia wao ndio faida yao kwa mataifa ya nje hawafikirii hata Kwa Mwenyezi Mungu watajibu nini ! Wapo kiduniani zaidi ! Hawaamini ya kuwa kuna Mungu !
@josephmkinga95096 күн бұрын
mama sio kibao2 wapo wengi mno
@salehmussa93716 күн бұрын
Sikuzote walikuchukulia powa,sasanazani leo wakoloni,watumwa navibaraka wao km niwaelewa watajua nini chakufanya.
@AugustinoGidamara-z6b6 күн бұрын
Tumrudie mungu yote mungu anayajua
@AugustinoGidamara-z6b6 күн бұрын
Tumrudie mungu yote mungu anayajua
@AugustinoGidamara-z6b6 күн бұрын
Jemedari yote tumkabidhi mungu hakuna linalojificha mbele ya mungu