Brother ongera sana kwa taarifa zako narizika nazo sana nazi fatiliya
@KatemboJeremica5 сағат бұрын
Kazi tayari imesha anza tayari naivi wana anza kukiri
@AliNassor-qt6fm5 сағат бұрын
Kuna wanafiki wanaoiuza Iran
@user-gr9wc7bc2m7 сағат бұрын
Kwa maneno yenu ndo mnawaletea hamasi toka mmeanza wanazidi kupigwa tu
@user-gr9wc7bc2m7 сағат бұрын
Watanzania mnadhani vita ni kama simba na yanga waarabu hawawezi kuipiga israeli
@SalimKombo-xo4pq8 сағат бұрын
Shukran sana ❤
@MirajiWaziri-hl2hc14 сағат бұрын
Mungu awatangulie ishaalaah
@muhsinikoki406015 сағат бұрын
huna hathi wewe hatujakuona hata unatetea watanzani we mchumia tumbo umetumwa
@jeremiahblazio478116 сағат бұрын
Toka hapo
@victoriambonde806116 сағат бұрын
umetumwa lakini umechelewa
@MagrethKatondo-qs9oz18 сағат бұрын
Yuko sahihi kabisa. Wanadamu tumekuwa vichaa. Mungu hakutuumba kufanya huo upuuzi. Haitakiwi kabisa. Na ndio maana mungu aliumba mwanamume na mwanamke. Hilo ni chukizi mbele za mungu. Mungu tusaidie tuepukane na dhambi hii mbaya. Mimi binafsi nakataa kabisa huo ni ushetani/giza nene. Mungu tuhueumie.
@hidayahidaya-vd3ze18 сағат бұрын
Miye nnavo taka wawavaimie Kwa silaha zajuu na chini na wengine waugane na hamasi waende vita vya chini waone chaotoo
@abdulbonomali654819 сағат бұрын
Irani inafanya mzaha kilasiku ni vitosho tu huku wanakwisha kilasiku visasi vyao havifanani na vile wanavyopigwa wao au irani hawezi kummudu izlaeli
@user-rn1en4tq5z19 сағат бұрын
IRANI ENDELEENI KUJIPANGA MSIINGIE VITA KWA SASA WAWATUMIE HZBOLL NK-BASI
@KilimbikeHaji-iy2fm20 сағат бұрын
Mungu azidi kuwangamiza waiziraili wamarekani pamoja na washilika waoo popote walipo duniani amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu
@abdurazakihalfanost2845Күн бұрын
nafurahishwa na utangazaj wako
@sss3s867Күн бұрын
israil America wakishambuliwa mmoja wapo ni sawa tu. kwa maana wao mpango wao ni mmoja. ila raha zaidi wafe viongozi israil na nyetanyahu pamoja. kwa nini hawampati kwa bomu😊
@salymsuleiman2035Күн бұрын
Mke wao wamlinde
@selasboy3966Күн бұрын
Mkewao wamlinde sasa😂😂😂
@andrewkissava9184Күн бұрын
Ndugu zangu msihadaike na uongo huu kumbuka anga la israeli halipenyeki na kifaa chochote hata Marekani wenyewe hawaiwezi israel ,halafu waislamu mbona ni wepesi sana kuhadaika mbona mnaingizwa chaka mapema ,hebu fikiria raisi wa Irani ameuawa je hizo ndege hazikuwepo ,kiongozi wa Hamasi ameuawa hizo ndege hazikuwepo ni Wasihi achaneni na propaganda hizo ndugu waislamu hazito wasaidia ninyi fanyeni propaganda wenzenu israeli wanafanya kweli
@erickmsigala138Күн бұрын
Mtaanza kulalamika soon
@ramadhanjuma610Күн бұрын
Israel ni taifa la shetani
@kenethmwangoka981Күн бұрын
allah amelijalia taifa la israel kuwa tukufu kuliko mataifa yote duniani
@edwinturere4841Күн бұрын
wewe ndiyo shetani
@user-nt3pc5og7sКүн бұрын
😢😢😢😢😂
@byoseasolokoci7257Күн бұрын
True, but Israel 🇮🇱 will respond back as well.
@zahorsuleyman7617Күн бұрын
Mayahudi washenz sana,kwani Nini hiyo kaz ya kidon,kama sikua viongoz wakubwa na watu muhimu katika nchi.sijuzi tu waliwauwa wanasayansi wabobez wakutengeneza mbm ya nyuklia,Jana tu Qassim Suleiman Leo hii Tena ndio Ivo walianza na familia yake sasa mwenyewe,yaani Dah!! Ww furahia tu usicho kijua.
@nasseralhatmi1762Күн бұрын
@@zahorsuleyman7617 Ndugu yangu hawa watu hasa Makafiri ya Tanzania yanachukia sana Dini ya Kiislam na haswaa Waarabu mbona wakipigwa nchi za Mabwana zao Wazungu hawalalamiki? Unajua sababu ni kwamba wanategemea sana Misaada kwa Wazungu na hapo hapo wanaitwa Manyani Meusi na juu yake wanaletewa USHOGA na wanaona Rahaaaa kumbe huo msaada ni faida ya pesa zao ya madini wanayoyaiba hapo Tanzania ni ambao bado wako nyuma sana kimaendeleo!!!! Waache wafurahi lakini Inshallaahlaah ipo siku watajua kuwa Wazungu ni watu wabaya sana hiyo Biblia yenyewe imetengenezwa na Hao hao Wanafiki Wazungu hakafu oooohhh bora Mzungu anatusaidia watakufa masikini Wapumbavu hawa Makafiri
@meckmussa1840Күн бұрын
Watakufa wote
@bhaijanali5092Күн бұрын
Sawa utabaki wewe
@mussammanga7791Күн бұрын
Ilo jina la Mussa umelitoa wapi?
@meckmussa1840Күн бұрын
Nao watapigwa tu, Tena asipokaa sawa nae atapotezwa
@allymohamed2724Күн бұрын
TAIFA LA MUNGU WA MAUWAJI. SIO. MUNGU WA WALIMWENGU
@masikitikomwakyonde1259Күн бұрын
Dah Israel kiboko inapigana na Hamasi,Izbolah,Yemeni,Irani na Uturuki hawa jamaa hawafai aisee kweli Taifa Teule
@annasolomon9855Күн бұрын
Asante Yesu.. unaewatetea watoto wako ❤❤
@user-vp4mb1me6x2 күн бұрын
Asante sana mwalimu mimi Ni prémices toka Goma in DRCONGO
@barbimeley55692 күн бұрын
Mtapigwa sana
@trophywilson72113 күн бұрын
Wanaume Ufa au Hufa??
@Aloyce-li7wl3 күн бұрын
Nakukubali sana kaka angu natamanii kusikiliza storry zako kila muda❤❤❤
@christopherkutama77383 күн бұрын
😮
@J4UPro3 күн бұрын
Israel inahaha yaani inamaadui Kila kona duh.
@TumainiPeter-dg3yn3 күн бұрын
Nambegu mnauza
@abdurazakihalfanost28454 күн бұрын
napenda utangazaj wako
@KilimbikeHaji-iy2fm4 күн бұрын
Safi sana mwenyezi mungu azidi kuwapa nguvu muweze kuwashinda wanafki Namashoga wa kizaraili na wakimarekani na nato wote tuangamiziee yaaalla amiiiiiiiiin yarrabana takabali duwaaa zetu
@somymoivanlukumay41984 күн бұрын
❤🇮🇱🇮🇱🇮🇱🔥🔥🔥💪💪💪
@ramadhanjuma6104 күн бұрын
Magaidi wa Israel wanafa kula visu tu maana wauwaji sana
@hidayahidaya-vd3ze4 күн бұрын
Nna Imani na kuweiti itaingiya kidogo wanaaza kujiandaa hao
@hidayahidaya-vd3ze4 күн бұрын
Tutashukuru muungu tuko nyuma na ww waislamu woote
@user-bi4uf7um1i4 күн бұрын
Ukweli mtupu, kanisa la kwanza halipo tena Mungu tusamehe, na utusaidie. Mungu akubariki Reverend. You preach the naked truth you are an inspiration to many especially in this generation.
@dulllahdullah11335 күн бұрын
Safi sana
@EgidiusThomas-vk2kj5 күн бұрын
Safi
@emmanuelsunday83255 күн бұрын
Awa hezbora mnawatangaza lakin hawa sichochote
@KatemboJeremica5 күн бұрын
wewe unavyo towa taarifa zako nazi penda sana ongera kiongozi mkubwa
@KatemboJeremica5 күн бұрын
Brother ongera kwenye taarifa zako za habari
@jumaasungwi65745 күн бұрын
Turkey ❤
@EdhaOmar-jd6os5 күн бұрын
uongo mnao utumia ili kuwamaliza wapalestina umwjulikana na una mwisho