Пікірлер
@TwahaBakari-y9q
@TwahaBakari-y9q 4 сағат бұрын
Aameen
@FrolaLebba
@FrolaLebba 4 сағат бұрын
Apumzike kwa aman
@fredrickmkandara4665
@fredrickmkandara4665 7 сағат бұрын
Ni jambo jema,Kwa uzembe wa Kisekedi
@IbrahimSilumba
@IbrahimSilumba 8 сағат бұрын
Sera za wagombea ndio zitakazo amua wapambane
@INNOCENTJAMAN
@INNOCENTJAMAN 10 сағат бұрын
Wewe mtangazaji tangaza lazima sana sisi wacongomani tunateseka kuichini uganda tunajua ugandani mbaya kwa congo kwanamna mingi
@amenajeudi1691
@amenajeudi1691 11 сағат бұрын
Uganda haina kabisa upumbavu huo wakuisaidia kongo hata sekunde moja maana supporter mkubwa wa rwanda ni uganda upinge ukubali
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 12 сағат бұрын
Nawashauri kaeni kwa amani na tafuteni kuwa na amani na watu wote. Shida nini na mnapeleka wa taifa lenu?. Mimi siwelewi. Mungu mkuu awasaidiye kwa yote. Amen.
@PiyasonNyenzo
@PiyasonNyenzo Күн бұрын
Watanzania shitukeni nchi zingine hazina amani hivyo isije ikawa nimtego kutuchonganisha na nchi yarwanda ili kuvunja amani yetu tuwasaidie ila tusiwe kipaumbere tupo kama hatupo 😢😢 tutaipoteza amani yetu watanzania tushituke 😮😮😮
@PiyasonNyenzo
@PiyasonNyenzo Күн бұрын
Watanzania shitukeni nchi zingine hazina amani hivyo isije ikawa nimtego kutuchonganisha na nchi yarwanda ili kuvunja amani yetu tuwasaidie ila tusiwe kipaumbere tupo kama hatupo 😢😢 tutaipoteza amani yetu watanzania tushituke 😮😮😮
@enockmgemela6764
@enockmgemela6764 Күн бұрын
Amina
@MaryKomba-p2l
@MaryKomba-p2l Күн бұрын
Kweli baba naamini tunakoelekea mapinduzi lazima yake kutokea vijana wameelimika hawataki kidanganywa
@ShijaMartin
@ShijaMartin Күн бұрын
Amon
@PauloMhagama-ld8xq
@PauloMhagama-ld8xq Күн бұрын
Hongereni sana JWTZ🌺🌺
@MotelaEdwady
@MotelaEdwady Күн бұрын
Asante
@patrickchapwe8778
@patrickchapwe8778 Күн бұрын
Lakini raisi wetu Félix anafikiria? Tuna marafiki zetu jirani like, Tz, South Africa, Malawi,na wengine
@cadeaubazige-pk2ei
@cadeaubazige-pk2ei Күн бұрын
Nakupata 5/5
@NicksonBedaus
@NicksonBedaus Күн бұрын
Mm sijaamini maana wanaweza kusema kuwa wamesitisha vita kumbe wanawavuta wanajeshi wasogee badae waanze nao congo isiamini sana waweke ulinzi wakutosha ili kujihakikishia kama wameondoka kweli
@Simions-q2i
@Simions-q2i Күн бұрын
Kuwepo kwa kabila la wahutu na watusi kongo kuzaliwa hapo haihalalishi wao kubaki kongo kwani wanauwa watu. Ni vema sasa watusi na wahutu waondolewe kwa nguvu kongo waondolewe.
@patrickchapwe8778
@patrickchapwe8778 Күн бұрын
Hatutaki uganda 🇺🇬 kwenye nchi yetu please bcz kuna game hapo so we have to be careful with KGM and M7 no no
@patrickchapwe8778
@patrickchapwe8778 Күн бұрын
M7 na kGM ni kaka acheni urofa wenu bcz were not stupid people’s
@patrickchapwe8778
@patrickchapwe8778 Күн бұрын
💪👊👍 Nyerere was Hutu Burundian
@MulandaKasongo
@MulandaKasongo Күн бұрын
Tuna juwa kwamba Ouganda ilikuwa najifucha , waje tu watakuwa mbolea ya kurutubisha Arhi ya congo.
@NestoryNelson-r8y
@NestoryNelson-r8y Күн бұрын
Hakuna rais mbaya Africa kama mseveni mnafki mkubwa na huyo ndie aliemuweka kagame madarakani angejua waganda wanavyomchukia angetulia kwanza ili azeeke vzuri na kizazi chake maana huyo pamaja na kujiita mganda sio huyo no mnyarwanda waulize waganda ndo wanajua
@amenajeudi1691
@amenajeudi1691 11 сағат бұрын
Ndivyo ilivyo.
@JacobernestMlula
@JacobernestMlula Күн бұрын
Hao wanafiki tu hao mshushu
@NicksonBedaus
@NicksonBedaus Күн бұрын
Uganda na rawanda ni kitu kimoja kwahyo wa congo wawe makini na wanajeshi wa uganda
@Jasminjulias
@Jasminjulias Күн бұрын
Ushauri wangu hao wanajeshi wa uganda wangezuiliwa kwanza maana uganda hawaeleweki wanaweza wakawa wanamjulisha rafikiyao rwanda
@Justineattention-l1v
@Justineattention-l1v Күн бұрын
muhungane nyote st afrika yote muchange nguvu yenu yote mahana munapambana na simba kubwa la dunia drc wazalendo frdc ,mta ahibika nyote ,
@hudumablack9339
@hudumablack9339 Күн бұрын
Jeshi la Uganda UPDF + RDF + M23 = 1
@stellanyamuhogota1832
@stellanyamuhogota1832 Күн бұрын
😂😂😂hakika
@patrickchapwe8778
@patrickchapwe8778 Күн бұрын
@@hudumablack9339 really napmendaga raisi wetu Félix Tchisekedi ila sasa simuelewi hata yeye anajuwa kama M7 na KGM ndo wa promoter wa wahima Tutsi, Uganda, Rwanda, Burundi, Somalia, Djibouti, and then kuna wa Ts, Kenya na Tz muwe makini
@amenajeudi1691
@amenajeudi1691 11 сағат бұрын
Kwani hilo nalo ni siri? ni la mda mrefu sana uganda haijawai kutoka Kongo tangi ya mwaka wa elfu moja Mia tisa tisini na tisa
@WILLYSONMARIKO
@WILLYSONMARIKO Күн бұрын
Mungu ulete amani kongo
@NicksonRwechungula
@NicksonRwechungula Күн бұрын
Mseveni ni mnafiki fukuza kabisa wagada wamekuja kufelisha misheni hao na kagameni kitu kimoj s fukuza kabisa rwanda na mseveni
@AthumaniAbeid
@AthumaniAbeid Күн бұрын
Kwa ni Uganda wanashida gani na Congo
@hamza-sq5es
@hamza-sq5es Күн бұрын
Tutapiga uganda na rwanda wote
@AbdallahFaki-g2c
@AbdallahFaki-g2c Күн бұрын
Huwo ni uwongo
@FatimeMohamed-o9t
@FatimeMohamed-o9t Күн бұрын
Amin
@mocua2910
@mocua2910 2 күн бұрын
Watekaji wakua katika harakati ya kumteka lakini raia wa kenya ndio waliungana na kuzidi nguvu watekaji
@hamisimsafiri9298
@hamisimsafiri9298 2 күн бұрын
Mimi binafsi katika akili yangu naona wazungu sio watu wazuri kwasisi Waafrika kama hawa marais wawili wana akili nikiwa na maana rais Kagame na rais Tseked wangeacha kuwekeana visasi wakakaa pamoja na kumaliza tofauti zao,ila sasa mzungu hawezi kukubali,wakimaliza tofauti zao mzungu atauza wapi silaha?wakimaliza tofauti zao mzungu atapata wapi madini au mali zilizopo congo? kwahiyo ili mambo yaende sawa wote wawili wakatae kuperekeshwa na wazungu tofauti na hapo vita ya congo haitakaa iishe,napia nyinyi viongozi wawili tambueni kwamba hizo mali mnazojilimbikizia mtakufa vifo vibaya mno,na watakao waua ni haohao wazungu.
@AndreaPartson-k7o
@AndreaPartson-k7o 2 күн бұрын
@ZulfaMsangi-q3t
@ZulfaMsangi-q3t 2 күн бұрын
Ww mzee n hatar
@EliezaMasilimu
@EliezaMasilimu 3 күн бұрын
hakika wewe ni mama wa taifa
@LetisiaSimon-f2n
@LetisiaSimon-f2n 3 күн бұрын
kiongozi mzuri hufuta na kuanza upya magu bobu seya akawa hulu na mwanaye hiyo ndo siasa
@levisdiamond4797
@levisdiamond4797 3 күн бұрын
Jamani si wajiweke pamoja wakaibomoe rwanda maaana inaonekana shida yooote inatoka kwa kagame. Anaharibu amani ya east africa why
@joackimgeorge6306
@joackimgeorge6306 3 күн бұрын
Pumbavu kabisaa
@CharlesRyoba-iv1sc
@CharlesRyoba-iv1sc 3 күн бұрын
PUMZIKA KWA AMANI BABA YETU J.K NYERERE
@GraceJohn-v7t
@GraceJohn-v7t 3 күн бұрын
Ee Mungu tunusuru na vita Tanzania, Mama tunaomba maombi kwa nchi nzima tufunge kuiombea nch yetu
@ValerianiPaskali
@ValerianiPaskali 3 күн бұрын
Nampendaga lisu kwa kauli yake nzur
@marcomayunga388
@marcomayunga388 3 күн бұрын
Aliyeongelewa hapa ni magufuli siyo lissu mnajisahau na tayar ishatokea
@olivastephano2900
@olivastephano2900 3 күн бұрын
Rais wetu ni mwanajeshi angeenda akawaomyeshe shoo😁😁
@EsterShirima-vr7cv
@EsterShirima-vr7cv 3 күн бұрын
Naamini watarudi salama kwajina la yesu
@SwaleheMchora
@SwaleheMchora 3 күн бұрын
Poleni na Kazi wazee
@generozavicent890
@generozavicent890 4 күн бұрын
Eee mungu tuepushe na Vita yyte uwalinde na maaskari wetu pamoja na raise wetu mpendwa mama Samia suluhu hasan