Mo ni mnafiki mkubwa sana sawa sawa na wanachama wake
@mgoamkiza11172 сағат бұрын
Sasa utakubali uache familiaako Kwa laki ,?unaakili timamu kwel ww,ujui huyo alokupatia hiyo pesa uondoke kwako,ana maana gan na familiaako 😂😂😂😂
@mgoamkiza11172 сағат бұрын
Na miogo inaliwa saa ngp
@Aishaiddy199423 сағат бұрын
Kweli kabisa
@christinataimuКүн бұрын
Mbona nyie mnamfunga Azam hata magoli ya offside na yanakubalika, mbona nyie mnamfunga na tabora u ile timu ya Aden rage nani hajui acheni maneno hayo timu lenu bovu vumilieni sio kulosa maneno ya ajabu hamuangalii ubora wa timu kazi kulosa tuu
@ArabianDivaAyesha3 күн бұрын
Huyu mzee masatu na mzee saidi nawapenda sana❤mungu awape maisha maref nikiwaona nafurahi