Hawa wa online riba KUBWA sana zaidi ya 50% na udhalilishaji
@ObediMeyanКүн бұрын
Hongera sana dada angu
@sangimaheri35322 күн бұрын
nakubaliii msamination
@nicodemuswidambe51322 күн бұрын
Mi bado sielewi ushuru tunaolipa wa Tanzania bara tukinunua vitu Zanzibar hata mseme vp siwaelewi.
@HamisMghuna-fj3vz2 күн бұрын
Tatizo c mwingulu n serkali+Bunge, hawana jipya,
@HamisMghuna-fj3vz2 күн бұрын
Serkali ifungue RTC tena ili kondi ianzie serkalini, mbona RTC zilikufa c kutisha raia,
@seminduisdory2 күн бұрын
Ukristo ni dini tukufu yenye misingi imara iliyowekwa na Mungu isinajisiwe kwa kulinganishwa na chama chochote cha siasa.
@mwesigyeglory2152 күн бұрын
Duuuuh pole sana jamani 😢😢😢
@justinemtiganzi37333 күн бұрын
Mikopo tunayokopa kama serikali basi iendane na matumizi halisi na matakwa ya nchi kulingana na tunapata nini,pia elimu ya ulipaji kodi ni ndogo sana kwa watu au uenda hatuna elimu kabisa ,mapendekezo elimu ya kodi kwa sababu ni pana ianze kutolewa tangu mashuleni ili iwe rahisi kwa huyu mwananfunzi kujua mapema kabla yakwenda kukutananavyo pasipokujua, Elimu ya kodi itarahisisha kupata mapato maana mtu atakuwa anajua kwanini. Makadirio ya kodi yaendane na mazingira pamoja na biashara husika
@bennymkubwa61963 күн бұрын
Ahsante kwa taarifa
@InnocentCharles-hm3ff4 күн бұрын
Bidii ya ukusanyaji iendane na nidhamu ya matumizi serikalini..effort yote hii iwe ni Kwa ajili ya Afya,Elimu,kilimo, viwanda nk si kujiongezea mishahara na kawanunulia viongozi magari ya 500m...jmn muwe serious watz wanateseka...
@user-lt1bi5nr1x4 күн бұрын
Vilinge vya TRA barabarani vimekua vingi mno utadhani congo
@justinemsela35935 күн бұрын
Uchaguzi huo
@mbwanamungia99216 күн бұрын
Kikubwa uwe ktk familia yenye pesa tu urubani hakuna ugumu tatizo ni gharama sana hakuna cha ajabu hapo. kuna PPL, PL,SPL,ATPL nk vipengele vyote hivyo uvuke utapata wapi Milioni mia na kitu mtoto wa mkulima. Shida kubwa ni pesa hapo. Unaanzia tanzania hivyo vingine Ethiopia, Kenya na South Africa lazima wazazi wawe njema hapo
@user-jj3os9bx6m6 күн бұрын
Kwanza waondoke pale mikumi maana wanapiga rushwa sana
@AiserAli-mq6sz8 күн бұрын
Una bisara miaka yote ww ndio chairman hicho cha baba mkwe wako wacha kupanga viongozi wacha wana chama wachague ww dikteta uchwara ww
@rizikimwambusi40418 күн бұрын
Mfa maji wewe
@josephmtikile-yf3pq9 күн бұрын
Lema ni noma aisee arudi bungen tyu
@herbethlukogela76579 күн бұрын
Commandor cried..... The rock fallen down
@nassororashidi3310 күн бұрын
Wana dodoma hatutaki sisi
@deusNjimba10 күн бұрын
MAGETI MENGI BARABARANI. KAMA. MADUKA
@abuuramadhan809310 күн бұрын
Mwigulu nchemba atolewe wizars ya fedha
@abuuramadhan809310 күн бұрын
Tuchimbe gas zaid tuuze nje gas tuongeze pato
@bwiremgonya13943 күн бұрын
Gas ip
@WakiMelodies10 күн бұрын
Ukweri nauhakika
@masoudalriyamy629810 күн бұрын
Tuangalie majukumu ya nchi barabara mashule mahospol madaraje njia za trni mishahara ya walimu asikari na jeshi usalama nk hayo yote yanahitaji fedha tusilaumu serekali kila wakati tuangalie mbele na njuma panapo makosa tutaikumbusha kuongoza nchi sio mchezo tuiombee nchi mungu aivushe salama
@raymondmushi90196 күн бұрын
Mungu mwenyeenzi tunakuomba umbariki Rais wetu wa J.M.T.mh S.S.Hassan.kwa kutujali,na kutupenda.amekuja na neno la faraja,maridhiano.na utekelezaji wake tunaona.Mama yetu ubarikiwe sana.nasi tunakupenda sana
@raymondmushi90196 күн бұрын
Tunataka utekelezaji wa oda hiyo ufanyikemara moja kama ilivyoagizwa.maana watendaji we ngi legelege wanamuangusha mh Rais.mambo mazuri hayo yanakuja.shida maamuzi yasiachwe mezani.bali yatekelezwe.
@masoudalriyamy629810 күн бұрын
Hakuna sio danganya toto serekali inafuatilia na mambo yatakua sawa muhimu sisi raiya tukiliona jambo tuitaarifu serekali kutokana serekali inaongozwa na binaadamu wengine sio waadilifu wengine waadilifu tushirikiane na serekali mungu atatusaidi nchi itapata maendeleo tulipofika siibaya sana mungu isaidie tanzania pamoja na afrca tudumishe utulivu amani na mshikamano vurugu hazileti maana yoyote mafamiano ndio msingi wa uwongozi na raiyA sote kitu 1 mkono kwa mokono
@masoudalriyamy629810 күн бұрын
Tre mwendege pale inapokea rushuwa katika marodi yasorusuhusiwa kupakia mizigo magari hayo yamakampuni ambaya engizapsheni yapakie mizigo ya kampuni tuu lakini leo yanapakia mizigo mpaka yawafanya biashara wadogo ccc magari tunolipia ushuru mizigo hatuipati wanabeba madereva kwa beindogo wakati wao inatakiwa wabebe mizigo ya kampuni tuu nendeni pale mwendege wanakesha
@fredytarimo910710 күн бұрын
Hii daganya toto Baada ya uchaguzi tu mambo yatarudi pale pale. 😂
@dahero16012 күн бұрын
Tatizo hawatoi elimu y kutoshaaa
@MashakaMagesa12 күн бұрын
Nyerere halituweka pamoja hacha tuendelee kuwa waoga Kenya Ukabila ndiyo unawagawa waswahili walisema kunguru muoga ukimbiza ubawa wake hacha Watanzania tuishi na Amani yetu
@GibsonHuluye12 күн бұрын
Inauzwa shingap
@polinatusmwemezi-pc2pl12 күн бұрын
Maana ya kupiga stop risiti za EFD ni kusitisha ushuru au? Je tutalipaje madeni?
@user-yl2br2ts3i12 күн бұрын
hiki ni kichwa
@AllyMaya-yj3xd13 күн бұрын
JICHANGANYE 😂😂😂 UMSEME MKUU WA MKOA WA ARUSHA UONE VILE TUNAKUSHUKIA GHAFLA KAMA KIFO
@victorkisenha593314 күн бұрын
Hujui kuwa ardhi inaporwa,
@jumaabdalla337414 күн бұрын
Watatoa wp wakati hawana maono
@jumaabdalla337414 күн бұрын
Tunakukumbuka JPM ulisema tutaletewa kod za kila aina
@TeddyUleddy14 күн бұрын
❤❤❤😅😅
@SEIFMWAGESA15 күн бұрын
Mwamba kama mwamba
@twalibulomy-cd4zd15 күн бұрын
Kaa Mbele Sisi nyuma acha ungese.
@ColinMhema-ne3lz15 күн бұрын
Haya ndiyo matatzo ya wabunge wa ndiyooooo walijipitishiatu kwa sababu hawaelewi wala hawajali
@sumaidgasto472115 күн бұрын
Afadhali....! Wekeni kodi elekezi ili isipotee maana TRA wanacvukua kodi ya serikali na kuwasilisha chache
@alphoncewilliam432515 күн бұрын
Wazee wa kiki
@binseif221615 күн бұрын
Chadema niliichukia kwq ubaguzi wa Dini ya Ukabila siipendi kabisa
@Mapenzi263515 күн бұрын
Mungu mbariki Mh. Kassim Majaliwa
@hassanalshaqsi670715 күн бұрын
This is wrong advice to people
@guydonacklandgereta380515 күн бұрын
Jambo jema sana kuwasikiliza wananchi na kusuruhisha mambo kwa pamoja
@EzekiaMyila15 күн бұрын
Chalamila anakosea hii tzn ni yawote cheo ni dhamana aache mambo ya kishetani namjua anamuami mungu asije akabadirika kwasababu ya cheo asiwatishe watu watu ni mali ya mungu