Kuna wasanii zanzibar wanaitwa wasanii wakubwa ukiangalia msanii.huyo hata video tatu hafikishi halawao ndo et ma star wazanzibar huuniuongo.kumuaminisha mtu kwakumjuat
@kisakaboy59334 ай бұрын
Diblo top10 mkizitaka mnazipata ila zanzibar watuwasha wakariricwatuwao hit song wanazisubili kutoka kwao nahao watuwao uwezezo wao kwasasa nimdogo.ila kunawatu wanajua ila hamtaki kuwafatilia nando maana huwezi kuzipata top 10 ila top 10 mkizitaka zinapatikana ila mtazipata.kwa wasanii ambao cmachaguo yenu nando maana wasanii hao ambao hawaaminiki hatangomazao ziwenzuri vip.hazipigwi
@seifhabib59874 ай бұрын
Ww Wanzibar hawana shida ww ila kuna mambo tu Viongozi wetu wanatuzingua lakini ss Asa ni Watu wa kula Bata tu
@banangewanitila4 ай бұрын
Kweli jamani ?
@IssaOthman-kl5jb4 ай бұрын
Wasanii hawana pesa huko top 10 kufika nikazi wapate usaidizi kidogo watafika inshala
@amirgoon58504 ай бұрын
😂😂😂
@mlangwa32594 ай бұрын
🫡
@giftness70384 ай бұрын
😂😂❤ Mpiga story anatufaa sn🎉🎉
@AbdiUssi-el4nr5 ай бұрын
Una bwabwaja tu hapo
@MuzneOthman-l7i5 ай бұрын
TUKUBALI TUSIKUBALI NI WAVIVU, SI WAFANYAJI KAZI WAKIJA WATU KUTUFANYIA KAZI TUNAWASAKAMA, MARA PASSPORT, HATUJUI TUNACHOTAKA BADO TUPO KTK USINGIZI MZITO NAKUJI PROUD WAZANZIBAR. MWEYEENZI MUNGU ANASEMA WAJA ALNA LAYLA LIBASA WAJA ALNA NAHAR MAASHA. SISI TUNALALA TU .
@mohamedjongo62035 ай бұрын
DJ DIBLO FATHER IS ON AIR RIGHT NOW
@Mwanahamisi-k2t5 ай бұрын
Duuuh😂😂😂😂
@Mwanahamisi-k2t5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@fatmamohmed46725 ай бұрын
😅😅😅
@issahajjiira54115 ай бұрын
Mpo vzr sana DJ Dblo
@issahajjiira54115 ай бұрын
Safi sana
@Mgogoclassic5075 ай бұрын
😂😂😂😂 nime cheka kweli
@Mgogoclassic5075 ай бұрын
😂
@Mgogoclassic5075 ай бұрын
😂😂
@Mgogoclassic5075 ай бұрын
❤❤
@uqbah-et2pl5 ай бұрын
@djdiblo
@uqbah-et2pl5 ай бұрын
😮
@maryamdopest39855 ай бұрын
Sadkta
@pira74395 ай бұрын
wa zanzibari ni watu wa raha, wapole, wa salama, wasiopenda vurugu.kila ktu wanamuachia mungu, ma ami, wa yahe, umefahamu ?
@SalamaKhamis-un8vn5 ай бұрын
Ndio maana hatuendani kitabia huwezi kukuta watu mapema wako nje wanasukana wanasuaki matenge yaviuno na mabesi vichwani hizo nyumba zote zinawatoto wanasenezwa kwasauti za Chini wasikere majirani
@SalamaKhamis-un8vn5 ай бұрын
Muislamu yoyote anaeswali saa kumi keshaamka watu wananyiradi zao wanajisomea wengine wanasomesha kur ani watoto wao ndio waende shule usidhani watu wanavamia Dunia tu wakiamka
@Faidabilal5 ай бұрын
Sahihi😊😊
@Faidabilal5 ай бұрын
Sahihi😊😊
@Faidabilal5 ай бұрын
Sahihi😊😊😊
@khalfanabdullahumoud42125 ай бұрын
Sio kisima jongoo ..ni kisimamajongoo. .nishirikishe mimi nikusaidie baadhi ya maelezo kuh mitaa hii
@is-hakaame5 ай бұрын
karume alikua akiishi mwera
@fatmamohmed46725 ай бұрын
😂😂😂😂
@fatmamohmed46725 ай бұрын
😂😂😂😂
@fatmamohmed46725 ай бұрын
Duuh kumbe zenji kupo ivi😮
@rayisadesigns26465 ай бұрын
Hapana sio pote pako hivyo, hayo maeneo ya skwata hata Dar yapo, nenda Tandale au Mburahati utakuta mazingira ya namna hiyo, tena hayo ni afadhali maana hao wanaishi kistaarabu na mvua hapo imenyesha na ndiyo maana unapaona hivyo pameloa, ukienda Kenya eneo la Kibera Nairobi ndiyo balaa watu huko wanaishi maisha ya ajabu kabisa, mitaro ya kinyesi cha binadamu na marundo ya mauchafu yametapakaa kila kona, watu wanaishi kama wapo jalalani au chooni.