Пікірлер
@muhammadsheekh7993
@muhammadsheekh7993 12 минут бұрын
Eti lakin pia mm ni muislam.😅😅watanguliza usani kuliko dini.msibaa😊
@saidamran3248
@saidamran3248 57 минут бұрын
Mash'allah. Kwa kusimama kweny mstari. Uko nakuelewa kinyama broo.
@ShillaMumba
@ShillaMumba Сағат бұрын
MashaaAllah
@shabaniramadhani8026
@shabaniramadhani8026 Сағат бұрын
Bora hata wewe dada angu una idea ya quran. Mungu akuongowe.. Wengine hatujui hata aya moja
@user-wn6pz1jp3k
@user-wn6pz1jp3k Сағат бұрын
Quran imeshuka ili kùtuongoza,kuhukumu sio kusomwa kwenye matamasha,tena na wanawake ?wanawake wawe wenye kujifunika uso mzima ,wasiwe wenyekutoa sauti zao(surat nnur)ibun abbas r.a.anasema mwanamke awe mwenye kujifunika uso mzima akiwa na dharura aonyeshe japo jicho moja(iyo ni dharau kwa kitabu cha ALLAH,na uislam kwa ujumla
@AaaAaa-s7e
@AaaAaa-s7e Сағат бұрын
Masha Allah
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 2 сағат бұрын
Mavazi ndio hayo Sasa Batuli kamamwarabu mashaalah
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 2 сағат бұрын
Masha Allah tabaraq Allah ❤🎉🎉
@swalehemusakiluwa9405
@swalehemusakiluwa9405 2 сағат бұрын
Suuratu nnisaa sio Suuratul baqara
@binthamoudshariff5492
@binthamoudshariff5492 3 сағат бұрын
Mnasoma Qur'an huku mnachrka kwani hiyo ni movie subhanallah
@mohamedismailmohd7658
@mohamedismailmohd7658 4 сағат бұрын
❤️Mashallah Wasomeshe waelewe
@SulexMan-g3t
@SulexMan-g3t 4 сағат бұрын
Shafii hongera sana😅
@eshasalim1471
@eshasalim1471 4 сағат бұрын
Tuchungeni wanawake na hii mitandao yatupeleka vibaya sana
@eshasalim1471
@eshasalim1471 4 сағат бұрын
Ikiwa mtu ameisoma quran na kuifahamu hawezi kusoma Kwa jinsi hii
@eshasalim1471
@eshasalim1471 4 сағат бұрын
Kweli tuliambiwa wanawake watakuwa wengi motoni
@eshasalim1471
@eshasalim1471 4 сағат бұрын
Innalillah wainailehy rajiun 😭😭
@SaidaHamida-ce4ji
@SaidaHamida-ce4ji 4 сағат бұрын
Hamna kitu anachosoma
@user-xp4ri5yh1u
@user-xp4ri5yh1u 5 сағат бұрын
Astaghfiru llah😢
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 5 сағат бұрын
😂😂😂wacha nicheke unasema kuamrisha mema kukataza mabaya wakati ww shetwani no moja unaomba muziki hasa shetwani toka lini akakataza maovu wakati mwenyewe ndo mfanya maovu hii dini watu wanaichukuliaje mbona waichezea sana acha muziki Kisha tubu kwa Allah utaenda kumueleza Nini na miziki uloimba duniani na umepoteza wengi na hao bakwata nao hawaoni watu wa kuwapa nafasi kama hizi.daaah watu wanaichezea dini imekuwa viigizo
@Shaban-wk1qd
@Shaban-wk1qd 5 сағат бұрын
Surat kahf na sio iqir
@HusseinAbdulah
@HusseinAbdulah 5 сағат бұрын
Allah atuongeze sisi na yeye ili tupate mwisho mwema Allah atujalie iwe ndio sababu ya kuacha ujinga tunao ufanya tuombeane dua tusimuangalie yeye tuu tujiangalie na sisi
@SuleimanMuhammed-g7q
@SuleimanMuhammed-g7q 6 сағат бұрын
Allah kusema tushindane kwa mambo mazur,sasa ww unaeuliza utaangalia qur ani ni kwenye mambo mzr au...?
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 6 сағат бұрын
Astaghfirullah tinafanya mzaha na Aya za Allah linabeluwa kum ayyukum Ahsanu aamala wa inna lajaiiluna 😢😢😢😢😢
@BrownHuncho-jt6oi
@BrownHuncho-jt6oi 7 сағат бұрын
afu ukavae uchi badae saw apo saiv unasoma quran
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 7 сағат бұрын
Kusoma quran sio kufata misingi ya dini aachane na snura aendelee kulea vjana kwanza wala hajalazimishwa kumrudia Mungu Hata wachungaju wajua kusoma quran
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 8 сағат бұрын
Sasa dada Aisha unakwa.a wapi
@halimaabdi3125
@halimaabdi3125 8 сағат бұрын
Ma SHA Allah ❤❤❤
@user-br6er7zf5z
@user-br6er7zf5z 8 сағат бұрын
Umejitahidi dada bali sio surt iqr hiyo ni kahf
@RamadhanMohammed-p3e
@RamadhanMohammed-p3e 9 сағат бұрын
Ni suratul kahf
@user-jx6fi2et3p
@user-jx6fi2et3p 9 сағат бұрын
ALLAHU Akbar
@mshambaused3840
@mshambaused3840 9 сағат бұрын
Ni surt kahaf
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 9 сағат бұрын
Quran imesomwa sivyo, yaani aya na herufi zimetamkwa sivyo kabisa. Na hizo aya alizozisoma si katika sura Iqra, hiyo ni suratul Kahf
@mshambaused3840
@mshambaused3840 9 сағат бұрын
Qur an ni katiba Wa maisha ya viumbe wote
@MjahidLali
@MjahidLali 10 сағат бұрын
Allah atampa hidaya
@halimaali3719
@halimaali3719 10 сағат бұрын
Mashaallah
@mozakhalfansaid7246
@mozakhalfansaid7246 10 сағат бұрын
Subhana Allah, yani machozi yamenitoka, Allah atuongoze sote, yani umehifadhi maneno ya ALLAH, alafuu bado unaimba? Allah atuhifadhi sote,😢
@hanifa9153
@hanifa9153 9 сағат бұрын
Daah makosa kibao ata sura anayosoma haijui nikama anackilizaga tu qurian juu juu alafu anafatisha kama taarabu Inshaallah Allah amuongoze atuongeze na cc zote mtihan kweli kweli😢
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 10 сағат бұрын
Walaykum salam Dada sisi Tanzania hatuna mufti wala shekh wa TANZANIA! Pole dada yangu kwa kutokujua ! Kama Tungekuwa na Shekh wa Tanzania Muulize huyo shekh wako maswali haya 1- Jee Maghaidi Tz ni Waislamu tuuuuu? 2- Kama hapana, Kwanini kila wakat wakamatwao ni Waislam tu ??? 3- Kwanini Hatukuwahi sikia Askof mchıngaji amekamatwa kwa kutuuhumiwa Ghaid???? 4-Nini Jitihada za MUFTİ wako wa Tz kwa mashekh waliokamatwa kwa chuki za watu wachache kama maghaidi ambao wako magerezani mpla sasa ???? 5- Jee yeye MUFTİ AKİKAMATWA KAMA GHAİD NO 1 Sisi kama waislam anatushaıri tufanye nn katka hiloo????? asamten
@user-ns4lc3yg2c
@user-ns4lc3yg2c 11 сағат бұрын
Mtihani huu
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 12 сағат бұрын
Wasanii, wanamuziki, wanamichezo, wanasiasa n.k leo ndio wanatumika kushawishi watu kusoma Quran! Hao hao ndio wanashawishi watu kumuasi Allah kwa kujaza watu kwenye majukwaa ya muziki, kuvaa nusu uchi, kuimba muziki n.k. Amkeni waumini, Masih Dajjal ana mbinu nyingi. Mtego huo!
@AhmadijumaJuma-fq2td
@AhmadijumaJuma-fq2td 12 сағат бұрын
Shekhe shafi wewe kiboko wape elimu awo waongo wanaowapotosha wenzao
@dullahmandullahman3587
@dullahmandullahman3587 12 сағат бұрын
Umesoma suratul khafi na sio iqra na pia ni ashabil kafii sio ashabil kati
@z34-kp9qq
@z34-kp9qq 12 сағат бұрын
Pia hamasisha vipi tunaweza kusalimika na ghadhabu za Allaah
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 13 сағат бұрын
Tuache usanii katika dini huyu atamshauri nani aache maovu ilihali nafsi yake hawezi kuinasihi , Quran si kitu Cha kuchezea Wala kukifanyia show .mungu ametukataza kusema tusio yafanya.
@TijaraMangochi
@TijaraMangochi 7 сағат бұрын
Hacha kumkatia tamaa mtu hata hao ambao unawaona wema Huwa Kuna vitu wakosea
@beauty2239
@beauty2239 13 сағат бұрын
Saut nzur ya sana mashallah kumbe mnajua kusoma
@shabanindadaye480
@shabanindadaye480 14 сағат бұрын
Inshaa Allah Allah akuwongozepia naweye mwenye djinalangu🤝🤲
@saidmohd2491
@saidmohd2491 14 сағат бұрын
Mtihani hawa wanawake kama hatukuwa makin watatutia moton Allah
@sonnyr1899
@sonnyr1899 8 сағат бұрын
Kwa nini?
@sharonpirmohamed4665
@sharonpirmohamed4665 14 сағат бұрын
Suratull qahafi
@PeterMagoye
@PeterMagoye 14 сағат бұрын
Hata mkiwapinga Majini hamwezi kujitenganisha nao maana mliwasilimisha nyie wenyewe
@AbdallahOmeni
@AbdallahOmeni 15 сағат бұрын
Allah akuongoze dada Isha Namibia aniongoze anshaallah
@estakenia
@estakenia 15 сағат бұрын
😂😂 Ndacha amekwambia vizuri kuwa Muhammed naye roho yake imo juu yake Yesu.