Kwa mahitaji yako ya Mobile App
0:41
28 күн бұрын
HALELUYA BY LADIES OF FAITH
3:21
2 ай бұрын
Ishi kweli - Pr Magoti
1:59
5 ай бұрын
Semina za Uwakili Ilula Pr Izungo
2:34
Makanisa yawekwe wakfu
4:03
9 ай бұрын
Semina ya Muziki Mafinga - Iringa
12:46
Laana ya kula zaka Na Sadaka
5:21
Waabuduo Halisi - Mch Mvanga
1:36
Panga Muda wako Vyema -Pr Msholla
1:18
WATOTO MAKAMBI KIHESA 2023
3:45
Жыл бұрын
WATOTO MAKAMBI KIHESA 2023
1:11
Жыл бұрын
Пікірлер
@VareliaValentine-nn7hl
@VareliaValentine-nn7hl 16 күн бұрын
@dicksonkabanza9347
@dicksonkabanza9347 18 күн бұрын
Weka albam nzima
@leahmsambwa5694
@leahmsambwa5694 24 күн бұрын
Amen
@shuletech
@shuletech 24 күн бұрын
@@leahmsambwa5694 Zidi kubarikiwa sana Mkurugenzi
@jejesoncreativestudio
@jejesoncreativestudio 24 күн бұрын
AMEN
@dicksonkabanza9347
@dicksonkabanza9347 25 күн бұрын
Weka nyimbo nzima
@IsackMatata-g1i
@IsackMatata-g1i Ай бұрын
Amen
@LudyJuma-t7z
@LudyJuma-t7z Ай бұрын
Uko sahihi mchungaji
@IsackMatata-g1i
@IsackMatata-g1i Ай бұрын
Nice song my brother❤
@shuletech
@shuletech Ай бұрын
@@IsackMatata-g1i saidia kushare kwa wengine pia
@LydiaMaregesi
@LydiaMaregesi Ай бұрын
Mbarikiwe ❤
@Marandomedia
@Marandomedia Ай бұрын
Ameeen NGOME choir
@ezrajimson1019
@ezrajimson1019 2 ай бұрын
Naomba albam hii full yake alie nayo please 👏👏👏
@meshack_kaleb
@meshack_kaleb 2 ай бұрын
Mchungaji Semba Mungu akubariki sana kwa sababu ni mmoja kati ya jamii ya wasabato waliotubutu kuifundisha kweli ya biblia waziwazi itakayomweka kila aaminiye kuwa HURU na Kumjua zaidi MUNGU endelea mbele zaidii... ila niwaombe wasabato wengine wengi wanaokana hili na kukupinga na kuyapinga mafundisho yako haya juu ya Utatu na kimsingi ni findisho la UUNGU .. na ili ujue ni shetani na roho ya mpinga Kristo ndio inatenda kazi kwao .. wote wanaobisha YESU kuwa Mungu mbona kila ALIPOSUJUDIWA HATA CHINI YESU hakuwakataza waliomsujudia kwa sababu yeye sio MUNGU...!!! basi kama YESU sio Mungu basi HACHENI KUANZIA LEO Kuomba na kulitumia jina hilo la YESU ambalo sio jina la Mungu na tumieni majona mengine mnayoamini kama walivyo WAYAHUDI WASIO AMINI KWA YESU NA KATIKA YESU...
@ZedekiaSawiga-nr9ws
@ZedekiaSawiga-nr9ws 2 ай бұрын
Sikuwah kuona pasta mweny msimamo wa kufundisha biblia kwa uongo kiasi hiki
@JumbeFamilySingers
@JumbeFamilySingers 2 ай бұрын
Amina wapendwa mbarikiwe sana kwa huduma yakumtukuza Mungu
@lucynyigana2801
@lucynyigana2801 3 ай бұрын
AMINAA
@elishuaisaya4176
@elishuaisaya4176 3 ай бұрын
Nashangaa kutokuikuta comment
@ferdinandkamandi9028
@ferdinandkamandi9028 4 ай бұрын
Nitarudi tena kubariwa kwa nyimbo zenu. Pr Kamandi Ferdinand
@josephgandama8087
@josephgandama8087 4 ай бұрын
Yesu ni mwana wa Mungu, lakini sio Mungu mwana ..
@EvaNgaga
@EvaNgaga 5 ай бұрын
Mubalikiwe. Watumishi wa. BWANA
@emanuel4148
@emanuel4148 5 ай бұрын
Heeeee! 😂😂😂😂😂😂😂
@Sabatoy-gt4qc
@Sabatoy-gt4qc 5 ай бұрын
Mchungaji nimekuerewa ubarikiwe
@EvalineMoraa-w7s
@EvalineMoraa-w7s 5 ай бұрын
Amen
@EvalineMoraa-w7s
@EvalineMoraa-w7s 5 ай бұрын
Amen
@dismasamani383
@dismasamani383 5 ай бұрын
@Dkt. Lucas Nzungu, tafadhari dondoo hii kuhusu watumwa hawa wa Africa, kutoka kwa maandishi ya Dada White
@dismasamani383
@dismasamani383 5 ай бұрын
Naomba dondoo hii kuhusu slaves walitopelekwa utumwani Ulaya, Barikiwa Mch @Dkt. Lucas
@KimilaSayi
@KimilaSayi 5 ай бұрын
Mungu awabariki sana watumishi
@gabrielsaelie8091
@gabrielsaelie8091 6 ай бұрын
Kwa neema na upendo wa Mungu BABA na wa Bwana wetu Yesu Kristo, hatuhitaji kuwa na elimu kubwa ya philosofia au theologia au kuelimika katika lugha ya kiyunani au kilatini ili kumjua MUNGU WA MBINGUN. Mungu wa Mbinguni anajifunua wazi kwetu kama ulivyoandìkwa: Yohana 17:3 UZIMA WA MILELE NDIO HUU, WAKUJUE WEWE MUNGU WA PEKEE NA WA KWELI NA YESU KRISTO ULIYOTUMA. Soma bibilia katika nyaraka zote za Paulo Mtume kwa kuungozwa na Roho wa Mungu/Yesu (barua zote sura 1:1-2) alizowaandiaka makanisa hivi: NEEMA ZITOKAZO KWA MUNGU BABA NA KWA BANA WETU YESU KRISTO. Mungu BABA ndio yeye Mungu wa pekee na ni wakweli. Na kwa yeye huyo Mungu BABA tuna MWANA. MUNGU alimzaa mwana pekee tokea milele yote kabla ya kuubwa kwa dunia na vyote vilivyopo. Methali 8: 22-28 Na katika Mungu kuupenda ulimwengu/mwanadamu wenye hatia kutokana na anguka la Adamu pale Aden akamtuma Mwanaye wa pekee ili azaliwe katika mwili wa kibinadamu kupitia kwa bikira Maria akajulikana kama YESU KRISTO ili kwa njia ya kafara ya msalaba amwondolee hatia mwanadamu aliyoanguka. (Injili ya Yohana 1: 1-5) Mungu BABA ndio MUNGU PEKEE NA KWELI. YESU KRISTO NI MWANA PEKEE WA MUNGU ALIYEKUFA MSALABANI KWA AJILI YA WAKOVU WA MWANADAMU. ROHO YA MUNGU/YESU MDIYO INAYOONGOZA NA KUFANIKISHA MAPENZI YA MUNGU TOKA ZAMA ZA MANABII NA WAKATI WETU HUU NA HADI KUAMA. Huo ndio UUNGU. Na sio UTATU kama inavyohubiriwa kwa upotofu. Yupo Mungu BABA, yupo Bwana wetu Yesu Kristo na Roho ya Mungu/Yesu inayongongoza mwanadamu katika kutimiza mapenzi ya MUNGU. Fundisho la utatu sio la Kibibilia ni la uwongo katika upagani na nifundisho KUU la shetani. Fundisho la Mungu mmoja katika nafsi tatu yaani UTATU wa mungu baba, mungu mwana, na mungu roho mtakatifu ni Udanganyifu na hila ya kutisha ya kumpandisha Lusfer aabudiwe kama MUNGU WA MBINGUNI. Ezekieli 28:1-19. Tuikatae hii hila hatari ya shetani ya kumwabudu katika makanisa kwa jina la upotofu la kuwa nafsi ya tatu ya MUNGU kama "mungu ROHO MTAKAIFU
@paschalcosmas6093
@paschalcosmas6093 6 ай бұрын
Ni sawasawa kwa asili
@esthersimuli9952
@esthersimuli9952 6 ай бұрын
Amina
@lucasjames3398
@lucasjames3398 7 ай бұрын
Naombeni wimbo wa titanic muuweke make upo nusu
@Wamisangi
@Wamisangi 8 ай бұрын
Matendo ya Mitume 2:43-47
@yusuph1547
@yusuph1547 8 ай бұрын
Mungu awabariki
@EliabuShima
@EliabuShima 8 ай бұрын
Yesu ni Mungu kwa asri na sio kwa nafsi maana amezaliwa na Baba.
@askaojika5278
@askaojika5278 6 ай бұрын
You are nit right on the head. Jesus was not born literally but it was a symbolically. God referred that as a covenant term.
@EliabuShima
@EliabuShima 6 ай бұрын
@@askaojika5278 the bible says Jesus is son of God
@richardchimba3800
@richardchimba3800 29 күн бұрын
@@askaojika5278hapana huo ni uwongo,Yesu amezaliwa na Baba.
@EliabuShima
@EliabuShima 8 ай бұрын
Yesu alizaliwa kabla Dunia haija umbwa mithali8:22_25. ko Yesu kuitwa Mwana wa Mungu sio kwa kuja duniani.
@askaojika5278
@askaojika5278 6 ай бұрын
Jesus was not born literally , the term was just simbolical
@adamngaragara7494
@adamngaragara7494 Ай бұрын
Soma Sura nzima ya mithali 8 ,hapo Suleiman anazungumzia hekima Kama kiumbe anae Lia,yaani kutenda
@richardchimba3800
@richardchimba3800 29 күн бұрын
@@askaojika5278 😢hii ni ngumu sana so Yesu aliposema yeye ni mwana wa Mungu alikuwa anatuongopea ?
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
@Mahershalalhashbazi-kf6xi 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor
@SelijusiMalambo
@SelijusiMalambo 8 ай бұрын
Mko wap wapendwa rudini muimbe
@SelijusiMalambo
@SelijusiMalambo 8 ай бұрын
Ame saaaana ndio uimbaji
@mkarukabrella
@mkarukabrella 9 ай бұрын
Amen
@mutuamakau9873
@mutuamakau9873 9 ай бұрын
Pst kenya tunapenda mauniri yako Bwana na akubariki
@PendoUzze
@PendoUzze 9 ай бұрын
Pamoja wapendwa
@wamisangi2801
@wamisangi2801 9 ай бұрын
Mabano/dhambi/ brackets/Kifungo.
@ZachLoticto
@ZachLoticto 10 ай бұрын
good work my people the agender is 0ne (i will go)
@NoahSeludao
@NoahSeludao 10 ай бұрын
Mbarikiwe ujumbe mzur wakujiandaa kumlak mwokoz
@issakhamis7650
@issakhamis7650 10 ай бұрын
Unaweza kuacha uti wa mgongo hapo
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 11 ай бұрын
Kwani hawajaangalia maji yapo ujazo gani
@fifo262
@fifo262 8 ай бұрын
Ujazo unakua mkubwa apo
@abubakarali5573
@abubakarali5573 11 ай бұрын
Safiiiiiiiiii y khaluaaa❤❤❤❤❤❤❤mambo ya Ali Nassor Kibichwa.
@MuhammedRashid-z4r
@MuhammedRashid-z4r 11 ай бұрын
❤baby kubwa ❤
@lucynyigana2801
@lucynyigana2801 11 ай бұрын
AMINA AMINA JINA LA BWANA LITUKUZWE MILELE AMINA!!!
@lucynyigana2801
@lucynyigana2801 11 ай бұрын
MUNGU tusaidie uwasaidie nawale woote wenye matatizo mbalimbali uweze kuwaponya !
@NeemaMjeru
@NeemaMjeru Жыл бұрын
Tuwekee uliokamilika mpaka mwisho