Morocco afurahia mziki Stars kukamilika
4:02
Пікірлер
@josephkithama9739
@josephkithama9739 50 минут бұрын
Riba inapanda Kila Siku,hâta mkingoja hakuna
@DastanDominick
@DastanDominick Сағат бұрын
EPC+F ifutwe.
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Сағат бұрын
Mbona muda bado!
@damianmcba9525
@damianmcba9525 2 сағат бұрын
Eti timu yangu ilishika nafasi ya 5 nahisi, ina maana aqui timu yake ipo nafasi ya ngapi?
@Kabwela776
@Kabwela776 3 сағат бұрын
Huyu mtu ni wa kumfunga Na kwa Nini ana ajiri mtoto wa miaka 17
@saludaniel1296
@saludaniel1296 3 сағат бұрын
Nimependa heading na habari zinaendana ,mbarikiwe
@barnabaslushenshe523
@barnabaslushenshe523 3 сағат бұрын
Hii mbwa ulisema tukaishi burundi.
@user-bp2cc9eo6g
@user-bp2cc9eo6g 4 сағат бұрын
Dah!,lulu iliyokuwa imefichika,tunamshukuru Rais wetu kumuamini ili awatumikie wa TZ
@MchomvuMasoud
@MchomvuMasoud 5 сағат бұрын
Achana nao ndg wale wao wamezoea vita
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 6 сағат бұрын
Habari zenu leo nzuri
@elishammwiri6973
@elishammwiri6973 7 сағат бұрын
Habari nzuri za michezoo
@babaabro8847
@babaabro8847 7 сағат бұрын
Aisee wandishi wengine vichefuchefu
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 7 сағат бұрын
Kwani hapa wananyoga? So arudishwe nchini kwao akahukumiwe huko .
@hassanmwalle5628
@hassanmwalle5628 8 сағат бұрын
Mpina hajielewagi kabisa
@user-sj1rf8ij7f
@user-sj1rf8ij7f 8 сағат бұрын
Hiki ni kifaa cha kazi, Hii wizara imesimama imara. Jerry Slaa talipwa na Mungu
@brysonbryson1735
@brysonbryson1735 9 сағат бұрын
HALIMA UNAFA UNGEKUWA WAZIRI UNGEWANYOOSHA
@user-qg5yd9ki4v
@user-qg5yd9ki4v 9 сағат бұрын
Mambo ya mkeo ss ya nn ufala amfanyi jaz yyte mnauza nchi2
@user-pn6wd8wd3n
@user-pn6wd8wd3n 9 сағат бұрын
Mtangazaji bdo....
@hamisitoky6724
@hamisitoky6724 9 сағат бұрын
Huyu ni Shangazi au mjomba
@kingarushamsi-gi6yr
@kingarushamsi-gi6yr 9 сағат бұрын
Mhe. Bwana mdogo tuko nyuma yako tunakuombea munyezi mungu akulinde na akutangulie ktk kazi yako
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 9 сағат бұрын
We ni shabiki sio mchezaji na umeshsjiaribia kuingilia mabifu
@johnlaizer5925
@johnlaizer5925 10 сағат бұрын
Mungu wetu tulindie mtetezi wetu
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 11 сағат бұрын
Sf Sana mpole hatua nzr
@joycemassawe8145
@joycemassawe8145 11 сағат бұрын
Kwel jamn mume anauma sana
@malietamalieta9658
@malietamalieta9658 12 сағат бұрын
😂sawa tff kwa tuzo yako ya mchezaji bora umekosa wee kuchukua uko kongo unaleta ujuaji uku ukija bila gadi utagawiwa wastani Kwa idadi 👂🤞🤞
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 12 сағат бұрын
Bongo kuna timu nzuri nyingi ( Namungo, Iherfu, Kagera, Coastal etc ) unaweza tulia ukakipiga vizuri.
@josephntungiye6232
@josephntungiye6232 13 сағат бұрын
Mtangazaji wahovyo kabisa
@selemanmcharazo
@selemanmcharazo 13 сағат бұрын
Watanzania sio kwamba hawathamini wazawa si kweli huo upotoshaji ukafanya Bora utapewa thamani Yako , yanga Ina mzize na musonda hakuna shabiki wa yanga cku akianza Mzize hakuna anayesema mbona hajaanza musonda.
@user-ug9nl8lo1o
@user-ug9nl8lo1o 14 сағат бұрын
U Zanzbary kwanza,
@HadjiLibaba
@HadjiLibaba 15 сағат бұрын
Ninja yupo sahihi kabisa île nchi usalama mdogo.... Kule ligi inaendeshwa kisiasa
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 16 сағат бұрын
Aliyemjeruhi amlipe fidia
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 16 сағат бұрын
Mwiguru kiatu uricho vaa hakikutoshi na hakikufai .unaharufu ya ufisadi
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 19 сағат бұрын
Mm makona namkubal saana
@SteveSimsa-ho8pc
@SteveSimsa-ho8pc 20 сағат бұрын
Naaaam
@SteveSimsa-ho8pc
@SteveSimsa-ho8pc 20 сағат бұрын
Naaam
@topesafi9742
@topesafi9742 21 сағат бұрын
Huyu dogo ni mjinga,ameaibisha chuo,msomi hawez kuongea ivo😢
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 21 сағат бұрын
Kumbe ole sendeka nawe unapoint eeeeeh
@ketinaishimwe
@ketinaishimwe 21 сағат бұрын
😭😭😭😭
@user-er8gz4md2o
@user-er8gz4md2o 22 сағат бұрын
Sasa mtasema waomani tu ni wakatili je sasa huyu boss wake huyu mtoto ni muomani?.
@MawaddaKhamis-zh3kc
@MawaddaKhamis-zh3kc 14 сағат бұрын
Uovu ni uovu tu haijalishi nani kafanya awe muomani awe mtanzania
@mohdabdalla7070
@mohdabdalla7070 22 сағат бұрын
Ww Mtangazaji nenda kasone yani ww bado sn dada yngu
@daudianselmo2956
@daudianselmo2956 22 сағат бұрын
Ila waandishi wa bongo bwana 😅
@YohanaMwakaje
@YohanaMwakaje 22 сағат бұрын
Tunaomba serikali mtusaidie kutenge neza hii Barbara tuna poteza nduguzetu sana matuta haya hatuyataki kwanzia kadege Barbara itanuliwe na mtengeneze na stendi ya maroli pale kadege yawe Yana pita yenyewe kwanza ndo Dala Dala zipite hata dakika 10 tu zipishane tuta punguza hizo ajar kwa uweza wa mungu
@petromjenda90
@petromjenda90 23 сағат бұрын
Sisi ndo wenyeji wenu wako Mch Mjenda Hangomba
@petromjenda90
@petromjenda90 23 сағат бұрын
MUNGU awasafirishe salama tunawakaribisha Hangomba japo Kwa majonzi mengi
@robertkagudu9937
@robertkagudu9937 23 сағат бұрын
Polen sana ndg na jamaa mungu awatie nguvu katika kipindi hiki Cha majonzi
@barakarobert1029
@barakarobert1029 23 сағат бұрын
Hii nchi ya ovyo mtu anateuliwaje mkienda kumzika
@epimackjohn461
@epimackjohn461 Күн бұрын
Hapa utadhani VITUKO kumbe kwa hapo hapo utakuta hujagundua NONDO za hali ya juu zilizojaa MANTIKI ,baadaye saana ndo utakuja kugundua analenga kitu . Ndivyo alivokuwa babake MWL J.K.NYERERE .
@molenicharles9107
@molenicharles9107 Күн бұрын
Kennge wewe umekawia sana😮😮
@JosephEmmanuel-eb7gj
@JosephEmmanuel-eb7gj 23 сағат бұрын
😅😅😅 ila wabongo
@bigjizee4130
@bigjizee4130 13 сағат бұрын
Sasa kenge ya nini, jamani 😂
@user-fv9bx5ct7b
@user-fv9bx5ct7b Күн бұрын
Ombi langu kwa wanafamilia mtunze hao watoto muache Tamaaa ya mali hao watoto wamesha poteza wazazi wote wawili kwa mara moja.