Sheee tarik allha akubaark na kukubl sn Yani na allha akuongoze ktk kheri
@iytiswaamseifsleyum64058 күн бұрын
Mashallah Shukran
@hafidhsaid41668 күн бұрын
Mashaa Allah Ni funzo kubwa Sana tumepata
@iktiseif18858 күн бұрын
Masha Allah
@HeshimaYakout8 күн бұрын
Shukran Kwa Al Rahma
@mamuamtoto8 күн бұрын
Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh@Al Rahma Hospital:SHUKRAN JAZAKALLAH KHEIR.Kwa kutuelimisha,tunapenda muteletee vipindi kama hivo kuhusu Afya ya Binaadamu.SUALI:Mimi ninakawaida ya kula tende 3 au 5 au 7kabla ya kula then na kunywa maji gilas baada ya saa nakunywa chai.Hii ni Nzuri au?
@Blc-y3i8 күн бұрын
Maji ni uhai na uhai ni maji
@LoyceNyagilo10 күн бұрын
Gharama za matibabu ni kiasi gani?
@user-ol6xy6ik6v20 күн бұрын
Jamani nahitaji huduma ya meno mnapatikana wapi au namba zenu
@user-ol6xy6ik6v20 күн бұрын
Mnapatikana wapi nahitaji huduma
@HassanHamisi-e6y21 күн бұрын
je naweza kuwafikia vip?
@HassanHamisi-e6y21 күн бұрын
Assalam Alaikum
@JamilaAbdalla-di9qn23 күн бұрын
Je mm nawza nikapona meno yang yamepangika vibya mbk mdomo umeenda upande pia je nikilekebisha meno nitakaa saw
@JamilaAbdalla-di9qn23 күн бұрын
Je inawezekan kuweka meno saw man yang yamepangika vibya mbk mdomo umepinda pia je inawezekan nikapang meno na nikakaa saw mdom ukalud saw
@RahelMakoye29 күн бұрын
Mimi Nina ukakasi mdomoni kote tatizo nini
@ibnbaaz3072Ай бұрын
No za cm
@user-yd3hg3ul6nАй бұрын
Jaman doctor mwanangu kapatwa na hilo tatizo jamn
@LatifaIssa-iu2exАй бұрын
Tumbo kuunguluma mda wote ni dalil ya nin doctor
@user-oj8pd5iq5bАй бұрын
Doctor naujauzito wa miezi mitatu,yaani natapika mara nane kwa siku hakuna chakula nachoweza kula yaani nachoka sana na hata nikinywa maji mda huu huo natapika hata matunda nayo hayapiti nimechoka sana
@tantinebettynduwimana380Ай бұрын
tupo wengi
@janesanga2661Ай бұрын
Je mtu mwenye vidonda vya tumbo anaweza kuwa naa dalili ya kupiga miayo mara kwa mara , kupata kichefuchefu lakini hatapiki mpaka ajitapishe kwa kuingiza vidole au mswaki. Pia kuumwa viungo vya mwili kama mgongo au kiuno Pia uchovu wq mara kwa mara
@ElizabethNicholas-uv1hsАй бұрын
Duu wewe n mm kbsa
@janesanga2661Ай бұрын
@@ElizabethNicholas-uv1hs pole mwaya hii hali inatesa mpaka bas
@janesanga2661Ай бұрын
@@ElizabethNicholas-uv1hs vipi ukila chakula huhisi kama kinarudi kinasimama kooni afu kooo linauma kama linaungua vile na ukicheua unacheua ka umekula tindikali
@RukiaJuma-nv3fuАй бұрын
Habar yako doctar naomb kuliza kufung waya bei gani
@user-xn1hi2pm4sАй бұрын
Je ugonjwa huo husababisha mtu kuumwa miguu kama miguu kukakamaa
@HunaiyaMohamed2 ай бұрын
Unaweza kua na vidonda then miguu ikakosa nguvu
@nassorkhamis62332 ай бұрын
Shukraan Brother . Kwa elimu mzuri
@EddyBoy-qe6wj2 ай бұрын
Mnapatikana maeneo gani
@AshaaJuma2 ай бұрын
unapatikana wp naomba namba ya simu
@Yuzeif_Salum2 ай бұрын
Sh Tariq🙌🏻✊🏻safi san 🎉
@zainabsimai89042 ай бұрын
This is Al rahma weweee We are always on top❤❤
@fatumaSaidi-gs6oh2 ай бұрын
1:01
@fatumaSaidi-gs6oh2 ай бұрын
Mpo wap jaman
@ASFAISSA-pm8ckАй бұрын
Ile sptla umeipta au
@JanethUrasa-qs5ot2 ай бұрын
Doctor tunashukuru kwa kutuelimisha mimi naishi Arusha mtoto wangu anamiaka 12 bado anakojoa sjui ntapataje hiyo tiba
@LatifaHaruna-hh8ot3 ай бұрын
Doctor mm natk ayo meno moja kwamoj man men yamebaki machache
@LatifaHaruna-hh8ot3 ай бұрын
Asalm alykm mm ninatatiz ya meno
@user-tv6ii7pc4z3 ай бұрын
Number ya simu
@MisobiNdomo3 ай бұрын
wap
@user-hl1ly8km5b4 ай бұрын
Mbn mm cjazaliwa nayo nimepata nkiwa shule
@engelasimwe9384 ай бұрын
Naomba no ya doctar wa kuweka waya nimtumie picha anitajie gharama tafadhari
@brightonmnanka99875 ай бұрын
Mnapatikana wapi
@alrahmahospital78964 ай бұрын
Tupo Zanzibar mtaa wa kilimani
@mudyzomkali61065 ай бұрын
Anaruhusiwa kuzaa
@mariamhamisi87295 ай бұрын
Naomba namba za daktar tafadhali
@user-sc1wm7hq2p5 ай бұрын
Bei gan jino la moja kwa moha
@fahadbakar81775 ай бұрын
Maa Shaa Allah
@bukurunestory35405 ай бұрын
Ni Jambo Jema wale tuliojariwa Afya kuchangia Damu kwa Wenzetu wanaohitaji kwa Dharura mbali mbali.
@gracemanga22825 ай бұрын
Nimepewawa h.pylori kit ya siku 14 lakini bado tumbo linawasha nikikula naomba usaidizi
@alrahmahospital78965 ай бұрын
Tunakushauri rudi kwa daktari
@petrodenice84065 ай бұрын
Mnapatikana mkowa.gani.watalam
@user-ql8kc1qb2u5 ай бұрын
Hi dokta nahitaji namba yako prz
@saidsuleiman6535 ай бұрын
Mash allah ni maneno ni ya kuzingatia kwa kila mwenye nafasi ya kazi yake
@tiffanyakramJr8225 ай бұрын
Mdogo wangu ana miaka kumi bado anakojoa uwiii, uwiii