Na mmi najua kucheza ila sijapata bahati ya kupata team ya kuchezea
@frbm1729Ай бұрын
Best wishes
@NdagireHasifahАй бұрын
Greetings to Nakibinge John ben
@rockcitynative9985Ай бұрын
Pamba Mwanza kwanza.
@rockcitynative9985Ай бұрын
Mchezaji ninaemkubali kuliko wote ni Mashaka Jr.
@ElishaKitomari-uz3onАй бұрын
Nakubal🎉🎉🎉
@newtonemtayoba1550Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@MalonJr-en4kr2 ай бұрын
Iyo timu gan
@ShabaniSaleeh2 ай бұрын
Edga chazi mfamakule vp 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 huyo mtu hatali sana huyo
@philbertcelestin70572 ай бұрын
Ningelipenda kuonana na George Gole
@admirabisikiduduye15162 ай бұрын
Jeuri sana huyu,siku nyingine alikuwa anaingia uwanjani amekunywa pombe,
@ChanjiCharles-hw1xs2 ай бұрын
Nawatakia taratibu njema
@abbasisudi68993 ай бұрын
HIV elimu za ukocha ziko tofauti au zile zile
@abbasisudi68993 ай бұрын
Mmh akiyetoroga nani Niko palee pamba ikitoboa msimu ujao.mbona makocha wazawa wazur tu, mmh HIV hakuna timu kubwa itayowaamin wazawa nchi hii wenzao Kila siku wanafel ngoja tuone Hawa timu ya home....
@jumamangombe64933 ай бұрын
Hivi vitimu vya kisiasa havinaga future... Siasa na mpira ni mbingu na ardhi. Vilikuja vingi vikapotea, na hivi karibuni kamepotea kageita gold.
@mohamedalawy61723 ай бұрын
TP LINDANDA Wana Kawe Kamo
@clementbulabo77714 ай бұрын
TUNAOMBA JINA LA TIMU LISIBADIRISHWE AISE MAANA ITAPUNGUZA NGUVU YA HISTORIA YA TIMU YETU NA KUPOTEZA MASHABIKI WETU NA NEMBO YETU HARIS
@akenyaahmed76304 ай бұрын
Tumerudi sasa
@Christopher-ns6cq Жыл бұрын
Poa mzee
@felisterjohn38452 жыл бұрын
Tupandishe pamba yetu itupatie burudani wana Mwanza na kanda ya ziwa pamba tunaipenda
@yahayab4u6143 жыл бұрын
Dah umli
@rockcitynative99853 жыл бұрын
Pamba nguvu moja.
@christophermasese10863 жыл бұрын
Aise huyu alikuwa jeshi
@kassidpandu8663 жыл бұрын
Mambo ya Michezo yasihusishwe na utumishi wa wachezaji
@othmanmgeni92323 жыл бұрын
Muoneshe BAC huyo jesh
@raymondkanyama63873 жыл бұрын
Moo success pamba fc
@sammycharomwalili67283 жыл бұрын
Afutwe kazi
@masudimillanzi9943 жыл бұрын
Kwan jeshin hakuna mahabusu au mnatafuta kiki mwisho wa siku anakuja kuchukuliwa na Mp wanampeleka jeshin
@hanifawaliya79763 жыл бұрын
Mahabusu kijeshi ni kwa makosa ya kinidhamu ya jeshini kama vile kutoingia zamu, kutofoleni, kutosalimia, uchafu n.k. lakini kosa likishakuwa la jinai kama hilo la shambulizi unakuwa umevunja sheria ya nchi na unashtakiwa kwa mujibu wa sheria za jinai yani criminal procedure act. Na ili ufikishwe mahakamani. Unafukuzwa kazi kwanza....tuwaombee askari wetu wasifikie hatua hiyo
@masudimillanzi9943 жыл бұрын
@@hanifawaliya7976 haipo hyo wanajeshi wote si wangeisha mtaan kwa wanavyozibua watu mitama hao wametafuta kiki tu na jw walishamchukua mtu wao wataenda kumwazibu kwa sheria zao angekuwa ameua ndio haina jinsi lakini ugomvi wa viwanjan ni jambo lakawaida xana apo itamkost kulipa ako kacamera ka mwandishi wa habar
@felisterjohn38453 жыл бұрын
Naipenda sana pamba naomba ipande msimu huu
@kidofongoo15053 жыл бұрын
Mtisha xana arusha
@richardkumyola37713 жыл бұрын
Mimi nimezaliwa Mwanza ni shabiki wa Simba na pia naipenda sana Pamba kila siku naifuatilia natamani siku moja ipande ligi kuu. NITAFURAHI sana
@felisterjohn38453 жыл бұрын
Mwanza rudisheni pamba ligi kuu hiyo ndiyo kipenzi cha wanamwanza
@robertotto94273 жыл бұрын
Jamaa alikua mzuri sana
@robertotto94273 жыл бұрын
Mwakatika alikua beki hodari sana, nakumbuka enzi zake na kina Magongo, Beya Simba, Ngasa, Bori, Hiza, Mhina, Issa Meloo walikua hatari sana. Kama shabiki wa Pamba na mzaliwa wa Mwanza inabidi tumsaidie ndugu yetu
@husseinally98833 жыл бұрын
Naipenda Sana Team yangu PAMBA FC more bless
@husseinally98833 жыл бұрын
PAMBA FC daima mbele nyuma mwiko
@husseinally98833 жыл бұрын
Team PAMBA FC naikubali Sana
@johnhosea63893 жыл бұрын
Na nguvu kubwa ilitumika pale ila game ya fainali ilikuwa laini sana
@johnhosea63893 жыл бұрын
Ila game ya upendo friends sports academy waliielewa
@johnhosea63893 жыл бұрын
Mmepambana
@johnhosea63893 жыл бұрын
Ila msijali
@nassibumabrouk9423 жыл бұрын
Good Job Pamba
@OnlinewealthTipsforyou3 жыл бұрын
U 17pamba mnafanyia wap mazoezi katika kiwanja gani.mwanza