Hongera Sanaa Mhe: DC Arumeru,DED Meru, Mhe: Mbunge kwa utatuzi wa shida za wananchi wa Meru. Mratibu wa Mwenge Mr. Say,Hongera Sanaa kwa Simulizi nzurii Sanaa na hakika unajua Kuelezea Miradi.
@ngurukitv458411 күн бұрын
Looking good follow back done God bless you 🇱🇷 💪 ❤❤❤❤❤❤❤
@ngurukitv458411 күн бұрын
Good job bro follow back 👍 ❤❤❤❤❤❤
@HmidouDadaie12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HmidouDadaie12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HmidouDadaie12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HmidouDadaie12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂
@HmidouDadaie12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HmidouDadaie12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HmidouDadaie12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HmidouDadaie12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HmidouDadaie12 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@simoouissa490121 күн бұрын
Vive le Maroc vive tanzania
@ezekielimungure300723 күн бұрын
Shughulikieni barabara ya king'ori kwenda leguruki kwa kiwango çha lami acheni siasa za magazetini
@gadielmungure9711Ай бұрын
Tatizo mmejenga nyumba kwenye eneo la soko watu wanafanya biashara zao barabarani ndani na nje kwasababu hakuna uwanja wa kutosha wafanyibiashara
@kanankirannko6174Ай бұрын
Mnapanga soko wakati limeshaharibika tangu mwanzo ,shida ni hivi ,eneo la soko linapotengwa halmashauri inaruhusu na kuwauzia watu wengine viwanja ndani ya soko unakuta maduka yanajazwa ndani ya soko na kufanya eneo la soko kuwa dogo sana ,hilo soko halitapangika labda eneo liongezeke . lakini .Barabarani Kwa biashara haifai
@zainabmakwinya5554Ай бұрын
Kazi iendelee
@olaislukumay2208Ай бұрын
My village
@annamariamakweba78053 ай бұрын
Muungano wetu tuugumishe. Mungu ibariki Tanzania
@allyramadhan62414 ай бұрын
Wananch hawana uelewa wala hawajui serikali inafanya nini,,nashaur mikutano ya hadhara Kwa wananch ili kama Wana maswali waulize,,uelewa wao ni mdogo ktk miradi mikubwa
@elifasiscawa56984 ай бұрын
Tunataka mama aweke historia kwenye iyo barabara
@elifasiscawa56984 ай бұрын
Tunashukuru mama samia , ila kweli bila lami ya kingori leguruki na ngarenanyuki , hapo hatuon kitu
@elifasiscawa56984 ай бұрын
Mama tufungulie uchumi na lami Kila kitu kitakua sawa
@elifasiscawa56984 ай бұрын
Tunasubir lami king,or leguruki,ngarenanyuki hadi oludonyosambu, mama Samia afanye kweli
@zainabmakwinya55544 ай бұрын
Furaha ni tiba
@allyramadhan62415 ай бұрын
Maa Shaa llah hongera sana waheshimiwa
@zainabmakwinya55545 ай бұрын
Kazi iendelee
@allyramadhan62417 ай бұрын
Maa Shaa llah ,, Allah akubariki sana,,na kazi iendelee
@rugendorunene5457 ай бұрын
Lakini hii ni siasa, lakini hongera!
@mdubashella29137 ай бұрын
Hongereni sana Wanameru
@elifasiscawa56988 ай бұрын
Tengenezeni Barbara acheni projo sisi wananchi tuliahidiwa Barbara za lami ,
@zainabmakwinya55548 ай бұрын
Kazi iendelee
@allyramadhan62418 ай бұрын
Kongole halshaur ya meru/madam president 👌👍
@allyramadhan62418 ай бұрын
Hongera mkuu
@isayawicklif52249 ай бұрын
Kazi iendelee 🔥
@allyramadhan62419 ай бұрын
Hongera DC,chapa kazi huku meru wamejimilikisha Hadi mito
@allyramadhan62419 ай бұрын
Hongera mh/dc,pongez kwa serikali yetu
@allyramadhan62419 ай бұрын
Hongera h/meru kwani kupokea fedha ni Jambo moja na utekelezaji ni Jambo jengine na utekelezaji ndio haaswaa wameshindwa wengi,, mwenyeenz mungu akudumishen ktk utumish uliotukuka
@ludomkenda50179 ай бұрын
Hakika mama unaupiga mwingi kwa kweli madarasa ni ya viwango nauliza mmeona farniture za Nasholi ni za mambeleee
@zainabmakwinya55549 ай бұрын
Meru kazi Iendelee
@sayimanyanda67179 ай бұрын
Hatari na nusu sio kwa shule hiyo makini aiseeee
@elifasiscawa56989 ай бұрын
kwa kweli mama Samia akituwekea lami iyo Barbara hata saulika Meru Tena tutaiita mama samia 🛣️ road king,ori to ngarenanyuki
@allyramadhan62418 ай бұрын
Hakuna linaloshindikana kama watu watakua waadilif
@elifasiscawa56989 ай бұрын
Asante mama ila ilani ya chama ilikua ni miundo mbinu hatuna Barbara ,kwanza Barbara ya kibaoni had ngarenanyuki ,mtangulizi wa mama alisema ataanza nayo kwa lami
@ludomkenda501711 ай бұрын
Hongereni TAKUKURU kwa kutoa Elimu
@lusekeloemmanuel4569 Жыл бұрын
Vijana na wanawake ni misingi imara tunakubari ila vipi kuhusu mikopo ya asilimia 10