Shekh Walid Allah akulinde maana unanijenga kila siku!!nabadilika kila cku kwa elimu yako unayotupatia,allhamdulillah
@user-oh8vw6rc7r17 күн бұрын
Duwa njema kwa nyinyi mnao tokumbuksha mema Allah amulipe.kheir,,by kher Ali kangagani pemba
@RwemaMuganga20 күн бұрын
Nakupenda sana Sheikh wangu , Allah shahid
@MwanaidiJuma-hw8tb24 күн бұрын
Mashallah ❤❤❤
@MwanaidiJuma-hw8tb25 күн бұрын
Mashaalah
@FathiaAbdallah-m3p25 күн бұрын
A.alaykum sheikh mume wang aliniacha talaka ya kwnza kwa njia ya meseji bila kunambia na ya pili ameniacha kwa karatasi bila kutamka lakin ya 3 kanitaamkia na karatasi kaandika je itakua talaka zote 3 zimesihi naomba ufafanuzi juu ya hili
@sheikhwalidalhadtv295023 күн бұрын
WAALAIKUM MUSALAAM NENDA KWA KADHI WA ENEO LENU AU SHEIKH WA ENEO HILO AKUPE UFAFANUZI
@user-xl6qy6xk2uАй бұрын
Asalam aleykum Sheikh nina swali mm nlikuja nyumban kutembea lkn nlipofka huku nligombana na mume wng kweny cm nikadai talaka alipoend kwao akaandika talaka kisha akaondoka lkn hakunilete mm nyumban wala hakumpa mtu aniletee lkn kwao walinipgia cm nikachukue mm talaka kwao je sawa?
@farris_2549Ай бұрын
💙🤌💚✅️💨
@farris_2549Ай бұрын
Allahuma salli ala Muhammad. Wa barik Allah Muhammad. 💙
@MwanaidiJuma-hw8tbАй бұрын
Alhamdulillah
@hidayakhamis936Ай бұрын
Shekh Walid Alhad Bahar ya hekma
@KhamisussiАй бұрын
Maashallah Allah amzidishie
@bintsheikh67152 ай бұрын
Sheikh Walid Allah akuhifadhi 🤲🏼
@user-rv2gb2gi7q2 ай бұрын
Sheikh Walid Allah akujalie mwisho mwema katiika maisha ya hapa duniani na ahela
@KhamisussiАй бұрын
Aamin
@MwanaidiJuma-hw8tb2 ай бұрын
Sheikh walid Allah akupe afya njema na umri mrefu nakupenda ❤❤❤❤
@ibejoe77192 ай бұрын
Elimu ya kunufaisha waja ALLAHUMMA SWALI ALAA SAYYIDINA MUHAMMADI SWALATAN TUKHRIJUNII BIHA MIN DHULUMATIL WAHMI WATUKRIMUNII BINUURIL FAHMI WATWUDHWIH LII MAA ASHKALA HATTAYUFHAMA INNAKATA’LAM WALAA’LAM WAANTA A’LLAMUL UYUB O God, bless our master Muhammad and his family with a blessing that brings us out of the darkness of delusion, honors us with the light of understanding, and clarifies for us what is confusing so that it is understood that you’re the only one who knows, and we do not know, that you are the Knower of the Unseen. Ewe Mola mbariki bwana wetu Muhammad na aali zake kwa baraka inayotutoa katika giza la upotofu, na ututukuze kwa nuru ya ufahamu, na utubainishie yale yanayotatanisha ili ifahamike kuwa wewe unajua na sisi hatujui. Kwakuwa wewe ni Mjuzi wa ya ghaibu
@user-yd1mg8il6b2 ай бұрын
اللهم صلي على سيدنا وحبيبنا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين
@fatumabasho46562 ай бұрын
🎉
@SingoMedia2 ай бұрын
Maashallah
@KarimuKapundijr2 ай бұрын
Allah akupe umri mlefu shekhe wetu tunae kupenda sana
@sheikhwalidalhadtv29502 ай бұрын
Shukran Sana kwa sote in sha Allah
@mwaminianasi2 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu. Akulipe Mema Duniani mpaka Akheira InshaAllah 🤲. Tunakupenda saaaana kwa ajili ya ALLAH.❤❤❤❤❤ from🇷🇼🇷🇼🇷🇼Rwanda.
Allahumma swalîĩ āala Muhammad ya Rabb swalîĩ alaihi wa Salim❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰❣️
@fatumabasho46563 ай бұрын
Allah (S.W.T) Akuongezee umri na Akuondolee maradhi.Azidi kukupatia elimu na Akuongoze nasi utuongoze.Inshallah Atakulipa kwa kazi zako🙏
@hassanmakame3 ай бұрын
Maashallah....jambo kubwa sana umehamasisha sheikh, Allah akulipe kheri....Tafadhali angalia uwezekano wa kulifanya kuwa ni jambo la mkoa mzima wa Daslam au walau kwa misikiti yote ya magomeni.
@user-dq1lm2be2u3 ай бұрын
Shukran jazakalah shekhe Allah akuzidishie imani uzidi kutuelimisha
Yani wanao takiwa kuyakemeya haya soviongoziwadini tu peke inatakiwa hata raysi na viongozi wachini wakemeh kwakweli maisha nimagum sana nitofauti hata natulipokuwawadogo
@mariamally85483 ай бұрын
Salam tatu kwa wakati mmoja bwana yesu asifiwe,tumsifu Yesu kristo itikieni tu kwani kuna ubaya gani wasuwahili walisema pumbavu likipumba pumbanalo maana hapo nyote ni waislam kwanini lisalimie hivyo
@mariamally85483 ай бұрын
Walid upo vizuri mno unajua kuongea sana na kuivuta hadhira nyoyoni mwa watu Allah akulinde kwa kila jambo