baba ninashida yakupugukiwa damu kilasiku sinakazi mwanaume kanikimbiya kanizalilisha kwawatu naitwa Manka purska patiriki masawe
@GraceEmil-w4w10 сағат бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki Nabii kiboko ya wachawi Nabii malizia wachawi wote. wanaotesa wenzao
@user-op3dl2sr3g11 сағат бұрын
Nabii naomba uniombee mimi na familia yangu wote tunasumbuliwa na magonjwa
@richmwaij336811 сағат бұрын
Jihadhalini na manabii wa uongo wengi watakuja kwa jinalangu na kusema mimi nikristo watanganya wengi sana watafanya miujiza ya uongo, kuweni makini ndugu zangu unabii wa yesu kristo mwana wa Mungu wa pekee umetumia naiangamie kwa kukosa maalifa
@RehemaKasanga-vu5nj13 сағат бұрын
Ameeen amen amen
@RehemaKasanga-vu5nj14 сағат бұрын
Naiwe kwangu kwa jina la Yesu kristo
@user-bg9oi1ee3c14 сағат бұрын
Watu wa kongo bna uchawi nnje nnje
@SmilingCake-my6xg14 сағат бұрын
Jamani wachawi siwatu
@rojazy54ruhimbasa5215 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@hafsalucky108816 сағат бұрын
Piga spana Mtumishi.
@hafsalucky108816 сағат бұрын
❤❤❤
@SolomonNyandindi16 сағат бұрын
Wajinga ndo waliwao
@CatherineLukwesaLukwesa17 сағат бұрын
Amina unikumbuke namm nabii kiboko wachaw
@AsiaMsemo-ox1tg18 сағат бұрын
Kama kunA mchawi anayeroga familia yangu akija hapa nyumbani kwa ubaya apigwe na afe kwa jina la yesu amen
@AsiaMsemo-ox1tg18 сағат бұрын
Eee bwana yesu naomba uniponye huu ngjuu wangu na mwili wote kwa jina la yesu amen
@AsiaMsemo-ox1tg18 сағат бұрын
Eee bwana yesu naomba msaada wako huyu kijana wangu aache pombe na apate kazi kwa jina la yezu amen
@AnnaLyatuu19 сағат бұрын
Jamani hawa watumishi wa Bwana hawajajiita wenyewe wametumwa na mungo acheni kuwakashifu kikubwa ni IMANI
@AnnaLyatuu19 сағат бұрын
Jamani tuache kudhihaki watumishi wa Mungu
@HadijaRajabu-x6v19 сағат бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mung anaomba uniombee nipate mtoto
Kama kuna mtu anayemroga mtoto wanga aungue kwa jina la yesu amen
@RaymondMadimo21 сағат бұрын
Nisaidie kuniombea mtoto wa kaka yangu kajifungua mtoto ana mezi nane Sasa anastukastuka wakati wote na miguu vidole gumba kama vimevimba naomba unisaidie apone huyo mtoto nabii mtoto huyu apate afya
@irakozemeddy-dv2xo21 сағат бұрын
Amen
@JuscardTraore-qh8bn22 сағат бұрын
kazi njema baba wachawi wana tesa watu sana niombeye n'a mimi baba ni Daniel from Congo Drc
@tumsifurudovikoNtakamulenga22 сағат бұрын
Mtumishi bwanayesu asifiwe sana ninashinda kubwa niombee nipatekufikakanisani
@heriethemanuel590622 сағат бұрын
Hakiki wewe ni kiboko ubarikiwee Sanaa
@Rehemaomary-t1z22 сағат бұрын
Niombee nifunguliwe kiafu
@MwanaharusiKodemaКүн бұрын
Nabii najiunganisha kwenye maombi uniombee haya maradhi niliyonayo yaondoke amina
@JingisengeacomSengeaКүн бұрын
Niokoe baba pasta dominiki mgongoo unanisumbua sana niokoe na familia yangu
@JingisengeacomSengeaКүн бұрын
Pasta dominiki kiboko ya yawachawi niokoe na mimi nasumbuliwa na mgongoo niko singida baba naitwa jingi richadi nisaidie baba