Unaeleweka sana mwl wng, lkn tulifanya makosa kutokuchukua Namba yako ya simu coz kunawatu bado wanaenda kinyume na maono yenu Kwa watumishi ngaz ya chini.
@andrewkissava918412 күн бұрын
Eeeeee,Deo limenenepa kwa ubng
@AlexAlex-kf1eg3 ай бұрын
Muheshimiwa mungu akutunze ila kabla hujahama mkoani kwetu tusaidie wana makambako kata ya maguvani tunateseka sana barabara ni madimbwi mtupu tafadhali 😙🙏
@AlexAlex-kf1eg3 ай бұрын
Asanteni kwahili tunamwomba Hanana atukumbuke wapigakura wake wa maguvani barabara mbovu jaman madimbwi tu tafadhali muheshimiwa 🙏
@scorahkuyava18344 ай бұрын
Dadaangu kipenz
@AlexAlex-kf1eg4 ай бұрын
Nimefurahi Sana Tena saaana nawapenda mnooo
@AlexAlex-kf1eg4 ай бұрын
🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️🙏
@AlexAlex-kf1eg4 ай бұрын
Mimi Neema nakukubali Sana dada Tedy ❤❤❤❤❤❤❤
@Teresiabundala4 ай бұрын
Asanteee sana Neema
@AlexAlex-kf1eg4 ай бұрын
❤❤❤Hongereni wanawake wenzangu mungu awatunze ❤❤❤❤
@user-ix8qr4bn9z4 ай бұрын
Pambe sana
@epnyagawa6 ай бұрын
Mungu aendelee kukuinua kwa huduma unayoiitoa
@jonathanmlinda25807 ай бұрын
Huyu mkuu wa mkoa tumlinde sana, ❤
@davidnyimbo88702 жыл бұрын
Wengine tupo mbali ila tunapenda kupata updates za nyumbani