HABARI KUU ZA CHINA NA AFRIKA
6:38
LIVE: MAMA 255 -25/12/2024
56:49
TUONGEE ASUBUHI  - 19/12/2024
2:20:11
STAR TV ADHUHURI - 03/09/2024
30:01
BIASHARA 360 NA MARTIN 30/06/2024
57:00
#startvadhuhuri  28 June 2024
43:37
Пікірлер
@SudiChima
@SudiChima 26 күн бұрын
Kijana Bora Hupambwa Na sifa Kuu ya Maarifa kama ndg FarisBuruhan .... Hongera Sana m/kiti-Uvccm mkoa wa Kagera #CCM #SSH
@SudiChima
@SudiChima 26 күн бұрын
Mwamba ✊🏿 👊🏼 .. Hoja Njema Sana M/kiti FarisBuruhan.. Umekuwa M/kiti Aa vijana wa chama cha Mapinduzi mwenye Maarifa Mengi.. Tunaendelea Kujifunza Kutoka Kwako Cde #SisiNiTanzaniA #MsLACampaign #CCM #SSH
@bahatidaud7107
@bahatidaud7107 27 күн бұрын
Hongera Sana Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa KAGERA Faris Buruhani Kwa Fact ulizozitoa kwenye The Big Agenda. 🙏🙏🙏🙏
@farajaraphael2924
@farajaraphael2924 27 күн бұрын
Fact zimejaa
@shaajunction4929
@shaajunction4929 28 күн бұрын
Hongera sana Faris , maongezi hayachoshi kusikiliza hakika ametulia katika mazungumzo yake
@missgeezy1
@missgeezy1 Ай бұрын
Vizuri sana dada angu❤
@MuhammedAliOmar-c9u
@MuhammedAliOmar-c9u Ай бұрын
Kullu nafsin dhaikatul mauut . Wainnahu tuwafauna ujurahum biyaumil qiyama. Fahum zukhzihu anni nnar wayudkhilul janna fakad faaz. Wamalhayatul duniya illa mataul ghurur.
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 Ай бұрын
Huu ndo ufugaji wenye pesa ya haraka! Hongera sana
@ErickSanga-mi7tm
@ErickSanga-mi7tm Ай бұрын
Noma
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 2 ай бұрын
Hata biblia inakataza kula nguruwe fata mafundisho ya Mungu na Yesu sio Paul as 3rd person na huyu paul sio mwisraeli ni mrumi....fanyeni research ndugu zangu.
@GloryIzack
@GloryIzack 2 ай бұрын
💥💥💥💥
@bhwanajoseph6799
@bhwanajoseph6799 2 ай бұрын
huyu jamaa anakamba nyingi sana
@selestineramadhani7325
@selestineramadhani7325 2 ай бұрын
Vanilla imeshamoeleka mahakamani
@selestineramadhani7325
@selestineramadhani7325 3 ай бұрын
Tayari watu wameshaibiwa na kutapeliwa tayari wanalia kama mbuzi. Angalia jambo tv ya wiki hii. Huyu jamaa ni mwizi haramia jambazi na tapeli. Tafadhali kuweni macho yaani
@emmanuelmaximilian9
@emmanuelmaximilian9 3 ай бұрын
Mi nikijana wa miaka 18 nawezaje kupinga ukatiri endapo nikiona ukatiri unafanyika nyumbani
@emmanuelmaximilian9
@emmanuelmaximilian9 3 ай бұрын
Naomba kuuliza swali
@aliakrabi8321
@aliakrabi8321 3 ай бұрын
hifadhi zetu kwa wazawa bado 1. Kwanza miundombinu ya barabara ndani ya hifadhi haziangaliwi kwa baadhi ya hifadhi hata serengeti+ngorongoro ambazo ni kubwa. njia mbovu hazifanyiwi ukarabati, rasta, mawe sehemu nyingi. watanzania wengi wanakuja na magari yao, ambayo ni za kawaida 4WD kama Rav4, KLUGER, PRADO, Mazda, Mitsubishi, nissan xtrail, na gari salon. ukipeleka kwenye hifadhi unaharibu gari kutokana na njia. hata hizo gari kubwa Landcruiser landrover utazihurumia zinavyopita na kuharibika ktk njia hizo ambazo hata hivyo watz wengi hawawezi kuzilipia. TANAPA na wenyewe hawana magari yao ya kutembeza watalii wa ndani, inategemea sekta binafsi ambazo ni ghali sana. 2. Huduma za kulipia tozo za hifadhini. kwa huko nyuma mpaka sasa baadhi ya maeneo hakuna njia tofauti za kulipia, wanataka ulipie kwa kadi ya VISA/MASTERCARD ambazo watanzania wengi wanakuwa hawajajiandaa, lakini Mpesa imeanza karibuni-tunapingeza hilo. ila network za shida unaweza kutembezwa kilomita 10 kupata mtandao wa mpesa, lakini na POS mara nyingine hazifanyi kazi au hakuna network. 3. miundombinu ya malazi kwa watanzania baadhi ya hifadhi hakuna kabisa au chache sana. hifadhi kubwa kuna malazi ya wageni ambazo unalipia dola 400-1200 kwa lodge za kati na kati. 4. Huduma za chakula ndani ya hifadhi mpaka uende hoteli za kigeni/zenye hadhi kubwa kwa dola 50 kwa mtu. 5. hakuna michezo za ziada za hifadhini zaidi ya kutembea kutafuta wanyama. mfano zipline, boats, farasi, parachute, balloon, picnic site na mabanda ya kupumzikia n.k. 6. Ushauri, TANAPA wangekuwa wanatengeneza Ratiba ya kuwachukua watz kwa usafiri kwa usafiri wa Tanapa, malazi na chakula, sema kila mwezi mara moja au kila baada ya miezi 2-3, for 3 nights packages na kuwarudisha kwa tozo rafiki ingewasaidia sana watz kujaza mbuga zetu. 7. askari waongozaji mara nyingine ni tabu sana kuwapata getini mpaka usubiri wee huku umelipia huduma hiyo.
@germanakimati6973
@germanakimati6973 3 ай бұрын
Naombanambaza huyoaliyekupandikizia waarusha
@NgaoKahema-x5g
@NgaoKahema-x5g 9 күн бұрын
mimi naomba kujua namna ya kuchanganya chakuala cha ziada cha ng'ombe kama pumba
@germanakimati6973
@germanakimati6973 3 ай бұрын
Dadanatamankupata mbengutokakwako
@vailethbyanjweli4064
@vailethbyanjweli4064 4 ай бұрын
Imekuwa halisi
@NYOTAWAMCHONGOTV
@NYOTAWAMCHONGOTV 4 ай бұрын
Nakuba sana 😂😂
@DavidIssack-vr9om
@DavidIssack-vr9om 4 ай бұрын
Daah me mwenyewe huwa kinanisumbua sana 😢😢😢
@NathanaelShinyanga-un8ih
@NathanaelShinyanga-un8ih 4 ай бұрын
Powerful!
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 5 ай бұрын
DUH YERIKO NI MWAMBA KABISA❤❤❤😂😂😂😂😂
@JumaPeter-n2b
@JumaPeter-n2b 5 ай бұрын
Hongereni Sana viongozi wetu kwa kazi nzuri
@JimmyMwehutz
@JimmyMwehutz 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@gwamagobejosephat4376
@gwamagobejosephat4376 5 ай бұрын
Fpct kagera leo
@JamalyBuhuru
@JamalyBuhuru 5 ай бұрын
Jaman Mimi napenda sana ufugaji huuu ila sijui pa kuanzia naomben msaada wa mawasiliano ya huyo dada
@ishengomanelson
@ishengomanelson 5 ай бұрын
Odemba jifunze jinsi ya kufanya interviews. Jifunze kukaa kimya mtu anapojibu hoja ulizouliza ili mradi hajatoka kwenye swali lako. Wakati mwingine unahoji kama amateurs. Pia jaribu kuuliza maswali magumu yenye logic na facts sio rumors na umbea. Hivyo basi, utafiti ni muhimu kabla ya elite interviews.
@ishengomanelson
@ishengomanelson 5 ай бұрын
Odemba jifunze jinsi ya kufanya interviews. Jifunze kukaa kimya mtu anapojibu hoja ulizouliza ili mradi hajatoka kwenye swali lako. Wakati mwingine unahoji kama amateurs. Pia jaribu kuuliza maswali magumu yenye logic na facts sio rumors na umbea. Hivyo basi, utafiti ni muhimu kabla ya elite interviews.
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 5 ай бұрын
Kaka chiif Edwin odemba Karibu Crown media
@PaschalSimbakalia
@PaschalSimbakalia 5 ай бұрын
Huyu jamaa anajaribu sana kumfanya Lissu asahau mambo ya msingi ktk hayo anayomjibu. Thih is unprofessional, maana hawezi kumhoji kwa style hiyo kiongozi yeyote wa chama tawala au seriksli!
@DavidSam-d4m
@DavidSam-d4m 5 ай бұрын
Jamaa mtangazaji Vumbi sana. Mapepe afu hana utulivu wa akil wala body. Mahojiano ya huyu odemba hayanaga mvuto sijuu mnampaga airtime ya nn . Na saut yake ya kishenz mwenyw anajiona mtu
@DavidSam-d4m
@DavidSam-d4m 5 ай бұрын
Jamaa mtangazaji Vumbi sana. Mapepe afu hana utulivu wa akil wala body
@leodgardotmar7198
@leodgardotmar7198 5 ай бұрын
Leo nimejua Tundulisu ana akili sana na well composed!
@albethoildefonce9117
@albethoildefonce9117 5 ай бұрын
Mtangazaji jitahidi kumbpa nafasi ya kujieleza mtu ambaye unamuhoji mtu unayemfanyia Interview,usiwe unamuingilia kati kati wakati anapoelezea jambo,ingependeza usubiri amalize ndio umuulize swali jingine maana umekuwa unamuuliza maswali kabla hajamaliza kujibu swali la mwanzo, jitahidi katika hilo bro.
@ipyanamwakitalu9940
@ipyanamwakitalu9940 5 ай бұрын
kitu kingine kuonesha kabisa aukujiandaa unasomaje maswali
@ipyanamwakitalu9940
@ipyanamwakitalu9940 5 ай бұрын
nilichogundua hii interview ya odemba pamoja na kikeke wote sio wasikilizaji wanauliza swali lakini wanaendelea kumuingilia mzungumzaji juu ya maelezo kwenye maana halisi ya kanuni za usikilizaji wanakosea sana odemba next time uwe mtulivu baada ya kuuliza swali
@bakermusa9033
@bakermusa9033 5 ай бұрын
Wanakosa confidence na ndo ujue Tundu si wa mchezo mchezo
@George-jz3jg
@George-jz3jg 5 ай бұрын
Odemba huwa ni mharibifu pale linapokaribia jibu zuri la kuidhalilisha serikali
@elianyulinyul
@elianyulinyul 5 ай бұрын
Nawasikilizaa vizurii nikiwaa bodaa ya wajanja Tunduma mojaaa apaàaaa
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 5 ай бұрын
Dah bila bro k hamna kipindi hapa.. mrudisheni bro k jamani..
@tumainimasige111
@tumainimasige111 5 ай бұрын
Hatar sana
@danielmgalla558
@danielmgalla558 5 ай бұрын
Lakin Yeriko unajichanganya Sana maelezo yako yaan chadema ichukue nchi 2005?
@danielmgalla558
@danielmgalla558 5 ай бұрын
Sasa Mara wanasuka chama, Mara CCM sio chama.. Mbona hueleweki
@amaningobayi7114
@amaningobayi7114 5 ай бұрын
Mko vizuri Ila sauti imekuja na mwangwi
@kevinmary7129
@kevinmary7129 5 ай бұрын
Akili za chadema huyu jamaa wa iringa huwa nu chawa wa chadema na uroma na ugaga na uchawi
@Richardmathias-i8l
@Richardmathias-i8l 5 ай бұрын
Unajua kusoma
@Chapo_ggg
@Chapo_ggg 5 ай бұрын
Huyu mtoto wa 2000 kapewa vipi u DC,, Yani ni below standard kabisa
@BugangaEdwin
@BugangaEdwin 5 ай бұрын
Ipo vizuri
@JemeslaizerJemeslaizer
@JemeslaizerJemeslaizer 6 ай бұрын
Mabukisi ni munjaja kujibu maswali. Iwe vizuri asilambishwe asali. Baadae ili afanye kazi.
@SeverinepauloPeter
@SeverinepauloPeter 6 ай бұрын
Odemba unaupiga