Kua mkweli nyie ni wanachama wa pongwe sio lazima uandikwe jina
@bashiromary489726 минут бұрын
Sasa hivi maanswar wameficha baadhi ya itiqadi zao wakija katika mihadhara yetu utawaona ukiwaelekeza Wao wanataka vurugu tu uone jinsi walivyo athirika niliona mmoja pale masjid omar juzi katika muhadhara .aambiwa pita hapa huku usipite yeye anaforce ataka apite palepale .jamani nikajua tu walewalee.yaani ni vichwa ngumu kwelikweli.
@bashiromary489726 минут бұрын
Sasa hivi maanswar wameficha baadhi ya itiqadi zao wakija katika mihadhara yetu utawaona ukiwaelekeza Wao wanataka vurugu tu uone jinsi walivyo athirika niliona mmoja pale masjid omar juzi katika muhadhara .aambiwa pita hapa huku usipite yeye anaforce ataka apite palepale .jamani nikajua tu walewalee.yaani ni vichwa ngumu kwelikweli.
@habibuchakusaga798131 минут бұрын
Huko ni kudhania watu vibay tumuogope allah
@AbdulIssa-o7eСағат бұрын
Mimi ni miongoni mwa watu waloibeza na kuitwani daawa salafiya, nikiwa na taasubi na answari sunnah nikijuwa ni watu wa sunnah kweli kweli, 😂😂 kumbe ndani yake wanapatikana wandamanaji wazee wa migomo kwa watawala, na nilipojiwa na hoja mathubuti kuhusu daawa salafiya nimetaraju sasa, allah ageuze zile twaani zangu kwa masalafi na maulamaa wake kuwa ni mema, anifute katika kitabu cha mahizbi ajaliie jina langu liwe katika list l masalafi na waja wema, madhehebu salafi madhehebu ya hakki, Allah awaongoze mahizb na makhurafi waache uadui na hii daawa
@AbdulIssa-o7eСағат бұрын
Allah akuujalie shekh wetu, hassan waxiri na mashekh wote wa kisalafi mzidi kutubanishia na kutupa maalumumati, ya kujuwa bidaa za hili kundi linalojinasibisha na sunnah wallah habari yao kwisha saivi, hapo nyuma walituzuia kuijuwa daawa salafiya tukiambiwa salafiya ni jadida, kumbe ni sumu za barahyani kuwazuia watu na hakki, hatimae tumemkimbia wale ni wanahatakti tuuh! Hamna sunnah ya kule watu kujilimbikizia mali tuuh! Awana habari na sunnah
@AbdulIssa-o7eСағат бұрын
Watu wa batwil pamojaa na. Vitimbi vyao kupinga daawa salafiya, hatimae wanaanguka wao, toka waanze kupambana hawajafanikiwa kitu mpk leo, lakini masialafi toka waanze kupambana na batwil wame wazindua wengi katika waislamu, ndo waone hahuwezi kushindana na haqqi ukafanikiwa Allah atakuangusha tuuh.tunamuomba Allah amtie nguvu shekh wetu aendelee kupambana na batwil
@abubakarilugina-zw4gt2 сағат бұрын
Hajaawirah wanazozana tena wao kwa wao Na bado hamtabaki salama mpaka mrudi katika HAQ
@salumtakao98284 сағат бұрын
Unachokisem shekh qassim jiangalie na ww kwa upande wa pili, unakuwa mkali kuwazungumza watu , ushasahau hata na ww unavowaaminish watu vitu ambavyo vya uongo kabisa kuwahusu watu fulani. Uzuri usimamie kauli yako tu kila binadamu ankosea bass na daawa ya salafi ni ya haqqi bas hat sisi htukupingi kwa hilo.
@AbdulIssa-o7eСағат бұрын
Kwani akhy shekh kasimu kasema kuwa yeye ni mahasumin???
@NassorHassan-no1crСағат бұрын
Saw saw dawa hii ni dawa ya haki lakin kassim ukipinda lazima utandikwe tu
@AbdulIssa-o7e59 минут бұрын
@NassorHassan-no1cr Amepinda kwa lipi mahizbi bwana
@AbdulIssa-o7e57 минут бұрын
@NassorHassan-no1cr arafu tunapozungumza masalafi usidhani ukawa katika uhizbiyun arafu ukataraji nawo ni masalafi, hizbyun laisya mina salafiyun Abadan mpk mtakapoacha miharafa yenu mrudi katika hakki
@RamadhanAbdul-l1h16 сағат бұрын
SHEIKH ABUL FADHWIL KASSIMU MAFUTA Allah AMUIFADHI
@RamadhanAbdul-l1hКүн бұрын
Allah akuifadh sheikh
@NasriSaidi-s4h2 күн бұрын
KWAHIO MAHAJAAWIRA WANAONA KITU CHA AJABU SANA HETI HII NDO HAQ SISI WENZENU TUSHAZOEA NYINYI SI JUZI TU MLIKUA MNASEMA OO JANGWANI HAWAELEWANI NA PONGWE WEEE LEO HII NDO HAQ
@SalimAbdulla-q7m2 күн бұрын
SHEKHE MWENZAKO USIMWITE MUONGO HAYO NI MATUSI KWA HUKU KWETU ZANZIBAR..
@leonardmbonea41172 күн бұрын
Kasuku za kibaramika hapa zimeona raha sana , huo ndio usalafi sio ule uikhiwani wenu wa kutaasubu na ile roba ya kamasi ya kule ponge, ambayo mwahangaika kuibebabeba
@IssaNassor-c9p3 күн бұрын
Kuna masalafy fake saiv wengi hasa hawa wanaoita watu hajaawirah.. Ukiwauliza ni nini hajaawira hajui anatumbua macho tu at wengi ni watu WA mpira tu na wanauza vitu misikitin hawajali
@SadamSaid-x1q3 күн бұрын
هههههههههههههه النار تأكل بعضها إن لم تجد ما تأكله.
@SadamSaid-x1q3 күн бұрын
Duuuu جاهل مركب tena !!!! Khamiysi ame huyo !!!
@adamjutto58493 күн бұрын
Ndio ukiskia utoto ndio huu😂,hvi mtu katumia neno naasikh na mansuukh kilugha,wewe unalibeba neno lake kwa maana ya kiistwilaahi😂 Mfano omar alisema نعمت البدعة هذه Ni bidaa kilugha,au mie mfano niseme maneno yangu ni mansuukh,ndio ntakua nimekusudia naskhi ya kisheria?!!😂kweli uhajaawira kuna utoto mwingi
@hamzakimaro37643 күн бұрын
hii ndiyo da'awat ssalafy!!hata akikosea baba yako mzazi kwenye da'awa,anarudishwa kwenye njia!!lakini MABARAMIKA masheikh zao wakikosea hakuna anayedhubutu kufungua mdomo kumrejebisha,maana masheikh wa kibaraamika kina qassim mafuta ni kama mahayatollah wa kishia wao wanajiona ni MAASUMU!!
@adamjutto58493 күн бұрын
Kaa chini usome acha kuongea kma chizi,mimi kuna baadhi ya mambo siwaafiki nyinyi mahajaawirah,lkn mfano hcho alichosema makaratee,hakina usawa wowote bali ni utoto tu,hvi mtu kusema kua maneno yangu nimeyafanyia naskhi,ndio atakua anakusudia naskhi ya kisheria?!!😂 Basi mkosoeni umar pia,maana katumia neno bidaa
@isihakamgeta54333 күн бұрын
HIYO NDIO HAQQI SIO NYIE HATA MAFUTA AKIKOSEA MNAMNYAMAZIA ALLAH AWAONGOZE BARAAMIKA
@AbrahamanSaidi-o4c2 күн бұрын
😂😂😂 naona chuma hicho unaanza kujitetea mwenyewe
@OmarySalehe-u3y3 күн бұрын
Mahajawira mshaanza kulana wenyewe kwa wenyewe Allah awaongeze
@isihakamgeta54333 күн бұрын
Sawa baraamika
@AlmasAbdallah-r3g3 күн бұрын
Hahahaha!Sasa hizo dumu12 wanataka kuoga au?
@safarinisafari73 күн бұрын
hichi ni kakio cha kushushuana au kikao cha kidini? mbona nimesikiliza sija fahamu?
@safarinisafari73 күн бұрын
salafy kwa matusi bwana kiherehere ni kuwashwa kwa binti na sehem za mbele kwahiyo yeye ni shoga ?
@safarinisafari73 күн бұрын
salaf ni genge la Uingereza aliliunda ili kuvunja khilafah tangu Abdulwahab hivyo laana ya farqa inawaandama hawa makhawaarij walio vunja dola ya kiislamu na kuunda dola ya mashoga ya Saud
@abuuarqamayubu4 күн бұрын
Hii inaonesha KWAMBA Hawa MAHAJAAWIRA wako kwenye BAATWIL
@ABUUBAAZNYUNGU-j4x3 күн бұрын
Kwahiyo Khamis Ame na Makaratee wameachana tena😂
@adamjutto58493 күн бұрын
Kishanuka huko😂@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x
@adamjutto58493 күн бұрын
Kimenuka huko😂@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x
@SadamSaid-x1q3 күн бұрын
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x hhhhhh halafu khamiys ame akawe JAAHILUN MURAKKABUN kwa kusema hvyo!!!? Haliyakua ktk wao khamiys Ame ndio Ana ufadhal kielim. Watajijua wenyiwao.
@ABUUBAAZNYUNGU-j4x3 күн бұрын
@@SadamSaid-x1q Hahahahha!
@abuuarqamayubu4 күн бұрын
Hii inaonesha KWAMBA Hawa MAHAJAAWIRA wako kwenye BAATWIL
@isihakamgeta54333 күн бұрын
Kwanini?
@abuuarqamayubu4 күн бұрын
Wacha wachanganshana kwanza
@aymanhusseinaslam72667 күн бұрын
Jazaakallah ghaira Yaa sheikh.
@AlmasAbdallah-r3g10 күн бұрын
Assalaamu akaykum warahamtullah,naomba kujua jina la mzungumzaji wa kwanza.
Jizuie ndug yang Maana kudhibiti mambo kwa bachu ni mtihani ambao yeye mwenyewe haujui
@abdillahsuleiman227822 күн бұрын
Ila iman ya kidhia ni tafran
@abdillahsuleiman227822 күн бұрын
We mbon kama jahili ,jap itikad ya kishia kua na tatizo ila maimamu wao 3 wamezaliwa kabla hajafa nao no Aliy,Hassan na husein
@SameerMdumbemalongo22 күн бұрын
Allah akulinde ya sheikh.....tumekulewa
@HassanIddy-v1b23 күн бұрын
Ikiwa majadida mabaraamika niwatu wa elimu basi ni dalili walimwengu wakohatarini hawa matalafi niwatu hatari mno,نسأل الله السلامة والعافية
@basam_mussa24 күн бұрын
Alhamdulillah bayan imetoka, bila shaka Mahizbi watapunguza kelele na kufunga midomo Yao, Maana kazi Yao ni kuwachokoza watu wa Elimu, halafu wanataka wajibiwe.
@abuuhafswa22 күн бұрын
baadae kasikilize majibu ya muhammad bachu
@dinarikaroyo91325 күн бұрын
Allaaah akuhifadhi sheikh. Tunakupenda kwa ajili ya Allaah
@jumafaki289125 күн бұрын
licha kuchukua pombe hapa ukaenda nayo saudia hata hoteli baadhi ya maeneo hapa kwetu huwezi kwenda na pombe
@AbdulIssa-o7e27 күн бұрын
Alama za watu wa bidaa ni kuchukia saudia huwezi kuta msufi au shia akaipenda saudia lazima atawasema kwa ubaya hata kama hata kosea utakuta mtu anatukana saudia yote, hizi ni propaganda wanazojazwa ahlu bidaa kuchukia saudia kwa kuwa mji ule imetawala ahlsunnah
@abdiosman603127 күн бұрын
Sasa ndio umejua kua daawa sio ya mtu mmoja
@dinarikaroyo91325 күн бұрын
Alijatangaza wapi kabla ya kuwa daawa ni yake? Mche Allaah!
@akthammuhammad784428 күн бұрын
Saudia wamekosea kama kawaida ya utwala kukosea muhimu ni kutoa dawaah Kwa watawala.Shida ni mumekaa kimya sana cz ndio ma Boss wenu.kisha tuambie kadhia kuhusu picha zako na mche Allah ulezea kweli kuhusu Hilo kisha tuuub kwa Allah ama Sasa SEMA pic inafaaa Haina shida.MCHE ALLAH YA SHEIKH KASSIM.
@MauroZaratte-r4r28 күн бұрын
Mawahabi ni wanafik nyinyi mambo yako wazi mshenzi ww usibebe pombe ila utalipata huku
@AbdulIssa-o7e27 күн бұрын
Kosa likifanywa na mwislamu mmoja itakuwa waislamu wote hawafati???
@makameally196228 күн бұрын
Masalafy feki mnalinda ugali wenu
@hassanrangambo800729 күн бұрын
Shekh ogopa allaah saudia sio nchi ya kiislam kharam zote zipo ina waislam pombe miziki tena mbaya haujaongelea wamefanya tamasha la muziki jukwaa likajengwa mfano wa alqaaba wanawake uchi usalafi wako uko wapi
@AbdulIssa-o7e27 күн бұрын
Kwani unadhani wale ni malaika?? Si binadamu kama ww wapo wacha mungu wapo wanao muharifu Allah Sasa usitoe hukmu kwa nchi nzima saudia mashia wapo masufi pia wapo haimanishi mamlaka saudia wotee ni masalafii tuuuh wapo na ahlu bidaa pia kukosea utawala so kosa la kidini
@ZimamMbaruk29 күн бұрын
Masalafi nilazima watetee mishahara yao inatokea Suudia, Masalafi wote wote wanakula hela zamafuta, Hicho wanacho kitetea wanauhakika kua nikweli kiko, ila wanalinda mikataba yao, Marufuku ni Makka na Madina tu nao wanalijua hilo
@AbdulIssa-o7e27 күн бұрын
Naww mshahara wako unatoka kwa nani?
@AlhajiMswaki-de3kb29 күн бұрын
Naona wameingiza mafuta kama wewe duh mtihan huu unaongea ujiridhishe
@Haji-yt8hm29 күн бұрын
Shehe mcheallah unatetea maasi au ndio uzalendo wa saudia