KUZALIWA
10:04
11 ай бұрын
Mh. John Mongela - RC Arusha
2:11
Shangilieni Praise Concert
1:01
3 жыл бұрын
Shangilieni Praise Concert
1:01
3 жыл бұрын
Shangilieni Praise Concert
1:01
3 жыл бұрын
Shangilieni Concert Promo 1
1:01
3 жыл бұрын
HAKUNA MUNGU KAMA WEWE 2
0:31
3 жыл бұрын
Futa Machozi  PROMO
0:22
3 жыл бұрын
PENENGE
4:38
3 жыл бұрын
EE BWANA UHIMIDIWE - Intro
0:39
3 жыл бұрын
Пікірлер
@CalistusTitus-s5o
@CalistusTitus-s5o 5 сағат бұрын
wako wapi waimbaji wa zamani wako wapi wapiga vyombo? iko wapi nguvu za uimbaji? daaaa nimelia leo huu wimbo 17-12-2024
@CalistusTitus-s5o
@CalistusTitus-s5o 5 сағат бұрын
nimeutafuta huu wimbo eee Mungu ee BWANA YESU,😢😢😢
@lepa3tv832
@lepa3tv832 7 сағат бұрын
kuna wengine hapo wimbo huu ulivyoimbwa awakuwa wamezaliwa nice song ever
@clementchipindula4983
@clementchipindula4983 Күн бұрын
wimbo huu ulikua mbele ya muda, umekaa sehemu tulivu unatafakari nguvu za Mungu huku ukisikiliza ujumbe wake unaobadilisha maisha..huku ukiburudika na muziki wa kisasa lakini umepigwa enzi hizo unapata vyote katika hali tulivu sana ya moyo
@clementchipindula4983
@clementchipindula4983 Күн бұрын
Mpangilio wa muziki katika wimbo huu "lakini ndugu" ni wa kiwango cha juu sana
@ShanellyNainai-zd3kr
@ShanellyNainai-zd3kr Күн бұрын
16 December 2024... Najiskia vizuri kila nikisikiliza huu wimbo msimu wa Christmas ❤
@godblessmunisi2481
@godblessmunisi2481 Күн бұрын
This song will last forever, blessed are the singers 🎉🙏
@lydiamaneno2596
@lydiamaneno2596 Күн бұрын
Nice song, Serikali iutumie kwa ajili ya matangazo ya kulinda hifadhi za Taifa letu, Good job guys keep it up! up!
@HappyLungwa
@HappyLungwa Күн бұрын
Amina Amina na barikiwa Sana na huu wimbo tukiwa tuna karibia kuzaliwa kwake yesu 2024
@MesharckMbilinyi
@MesharckMbilinyi Күн бұрын
Naipenda sana albam ya kwaya shangilien nakumbuka nilikuwa natoroka shule kwenda kuangalia video zake mwaka 2000
@GodsonVicent
@GodsonVicent 2 күн бұрын
Nikimalizaga hii nakuja ile habari ya mwana mpotevu halafu shangilieni yamwisho❤
@GodsonVicent
@GodsonVicent 2 күн бұрын
Nikimalizaga hii nakuja ile habari ya mwana mpotevu halafu shangilieni yamwisho❤
@GodsonVicent
@GodsonVicent 2 күн бұрын
Nikimalizaga hii nakuja ile habari ya mwana mpotevu halafu shangilieni yamwisho❤
@aronsilaa5082
@aronsilaa5082 2 күн бұрын
Huu wimbo wote uko kichwani kwangu, unanikumbusha miaka ya 2001-2003 nikiwa primary, nilikua naupenda sana huu wimbo origin version yake, mzee alikua na cassette yake
@bwayjayden
@bwayjayden 2 күн бұрын
Kwaya Naipenda sana toka nipo mdogo.
@Salomegeorgemndolwa-fo2wg
@Salomegeorgemndolwa-fo2wg 3 күн бұрын
Nakumbuka kipindi Niko mdogo kipindi Cha likizo nilikuwa naenda kutembelea kwa baba yangu mkubwa. Ilikuwa ni familia yenye uwezo kipindi hichi Cha Christmas walikuwa wanapenda sana huu wimbo Huwa nikiusikia namkumbuka mama wa familia Ile ilikuwa na ROHO nzuri sana MUNGU azidi kumpumzisha kwa vizuri. Kwa sabb alishatangulia mbele za haki
@RaymondPaul-bs7su
@RaymondPaul-bs7su 3 күн бұрын
👏👏👏🙏🙏......hahaa ila huyo mwana mpotevu amevaa uhusika kwakweli
@RaymondPaul-bs7su
@RaymondPaul-bs7su 3 күн бұрын
Nipoo hapa nawasikiliza 14th December 2024...Shangweeeeee
@hildajosephhangwa6425
@hildajosephhangwa6425 3 күн бұрын
Mungu awainue kwa viwango vya juu zaidi
@MagretEndru
@MagretEndru 4 күн бұрын
Nyimbo tamu iyo
@jacksonkaduma485
@jacksonkaduma485 4 күн бұрын
2025 like hapa
@lepa3tv832
@lepa3tv832 5 күн бұрын
christmas season tumeanza kuisikia hii nyimbo tukiwa wadogo 2004 uko kipnd cha cassette
@Juliusmganga4734
@Juliusmganga4734 5 күн бұрын
Powerful song in terms of tune and message. It is a heart touching song.
@MussaKayugwa
@MussaKayugwa 6 күн бұрын
Unahisia kali ktk maisha ya mwanadam
@anns.s8760
@anns.s8760 7 күн бұрын
Nawapenda sana🇰🇪
@anns.s8760
@anns.s8760 7 күн бұрын
My vision too🙏🏾
@PapyMunung-z1y
@PapyMunung-z1y 7 күн бұрын
❤❤❤❤❤mungu abariki sana leleleeeeeeee
@GraceKambale-p1o
@GraceKambale-p1o 7 күн бұрын
Tuna shukuru sana kwa wimbo Sisi watu wa DRC Butembo
@bwirathandiko9828
@bwirathandiko9828 7 күн бұрын
Amen❤
@PapyMunung-z1y
@PapyMunung-z1y 8 күн бұрын
Félicitations na mipenda sana
@PauloPaulo-xn8jz
@PauloPaulo-xn8jz 8 күн бұрын
Mie ninapo sikiliza hizi nyimbo Zina nibaliki sana sana
@esk5285
@esk5285 8 күн бұрын
Mungu ibariki kwaya hii nzuri, mara ya kwanza kuusikiliza wimbo huu ilikuwa mwaka 2007 kwa kweli nilikuwa mdogo sana na leo naona remix ni nzuri sana.
@DeoMvile
@DeoMvile 8 күн бұрын
Amen
@GreysonMheni-ln9rm
@GreysonMheni-ln9rm 9 күн бұрын
Daah,kumbukumbu ya ajabu sana.MUNGU atukuzwe sana
@NEEMATSEMERWA
@NEEMATSEMERWA 9 күн бұрын
Wote wako hai?
@AndrewKuriru
@AndrewKuriru 11 күн бұрын
God bless shangilieni choir
@MeryAndrew-w5t
@MeryAndrew-w5t 11 күн бұрын
Nipe uvumilivu moyoni Mungu awabariki sana
@JohnsonKabange-b3z
@JohnsonKabange-b3z 11 күн бұрын
Good song ❤
@CelinMwalupogo
@CelinMwalupogo 12 күн бұрын
Mungu azidi kuwainua napenda sana nyimbo zenu na barikiwa nafunguliwa Asante mungu kwajili yenu
@anthonymgina266
@anthonymgina266 13 күн бұрын
Mungu awabariki sana wapendwa kwa kazi hii kubwa.
@samsonipaul4068
@samsonipaul4068 14 күн бұрын
2024 Leo December 3 naskiliza huu utamu
@Hosealilmayo
@Hosealilmayo 14 күн бұрын
Bado 2024 tunasikiliza
@melinalumambo3218
@melinalumambo3218 15 күн бұрын
Amen nilikuwa msichana Enzi hizo nimetoka muhimbili kujifungua first born mwezi nne 1997 nasikiliza wimbo huu nikijiandaa na pasaka
@daviskipleting571
@daviskipleting571 16 күн бұрын
Wow when the songs were greatly sung
@SanteTarimo-i6b
@SanteTarimo-i6b 16 күн бұрын
Mi namkumbuka John wakat anapiga Wimborne ewe mwanadam
@shukurunamulwa1388
@shukurunamulwa1388 17 күн бұрын
Hapa nilikuwa mdogo Bukavu DRC tuliufurahiya huu wimbo saana.
@faustinesimon1240
@faustinesimon1240 18 күн бұрын
Mungu awanariki sana
@IreneChiwanga-t1r
@IreneChiwanga-t1r 20 күн бұрын
Congrat Mai Auntie unajuaa❤🎉🎉
@neemamzabibu2532
@neemamzabibu2532 21 күн бұрын
My favourite choir God bless you all From Australia ❤❤🎉
@restichelele3664
@restichelele3664 21 күн бұрын
Kila niusikiapo huu wimbo ñatokwa machozi,kweli waimbaji wa zamani waliimba katika roho na kweli,Sauti zina upako na nguvu,huwa nakumbuka mbali sana .❤