iyo ya kwanza nkpaka nkatembea juan inayeyuka unabak unamelemela kam umemwagiwa mafuta
@DianaDenice-py4im2 күн бұрын
Asnt San kipnz mungu akubariki sana 🙏
@Janeatukuzwejeradi-p3x2 күн бұрын
ASante dada nilikua najiulza wanaisukaje Sasa nimeona
@FarajaLisa5 күн бұрын
Mnaparikana wap
@Faithbeautyclasses5 күн бұрын
Tunapatikana Dar -es-salaam Tegeta Azania
@hassanMohamed-cn7zc6 күн бұрын
Asante sana madam
@Faithbeautyclasses5 күн бұрын
Karibu Sana mpenzi ♥️
@MwanaidRajabu-zn8bj6 күн бұрын
Nu jeli ipi inatumika kubana nywele za watot
@Faithbeautyclasses6 күн бұрын
Tumia all sun mpenzi
@HappyJuma-rc5bv6 күн бұрын
🙏🙏San unajua kuelekeza dear
@Faithbeautyclasses6 күн бұрын
Ahsante sana mpenzi...Barikiwa
@HappyJuma-rc5bv6 күн бұрын
M nilikuw nauliza auwek pink
@Faithbeautyclasses6 күн бұрын
Yeah pink lotion hauweki mpenzi
@HellenMaganga7 күн бұрын
Una we za bond kwa kutumia kichwa cha mdori?
@Faithbeautyclasses7 күн бұрын
Ndio mpenzi....unaweza Kutumia kichwa Cha mdoli kisicho na nywele
@EuniceVode-ni2eb7 күн бұрын
Mnapatikana wapi nije nisukwe
@Faithbeautyclasses7 күн бұрын
Tunapatikana Dar -es-salaam Tegeta Azania
@EuniceVode-ni2eb7 күн бұрын
Smart
@Juju-g7s1g7 күн бұрын
Ada shngp??
@Faithbeautyclasses7 күн бұрын
Ada ni 300000 mpenzi Vifaa, fomu na uniform....75000 Jumla....375000 Kwa miezi mitatu
@Juju-g7s1g7 күн бұрын
Ada shingapii
@AdellaMligo8 күн бұрын
Nimependa sana dada lakn naona apo njia tatu unaanzanayo mala Moja tu alafu unaendelea na mbili naona inakuwa pw sana tofaut na ukianza na njia mbili😊
@AdellaMligo8 күн бұрын
Nimependa sana dada lakn naona apo njia tatu unaanzanayo mala Moja tu alafu unaendelea na mbili naona inakuwa pw sana tofaut na ukianza na njia mbili😊
@ErastoSanga-z7d8 күн бұрын
nyweIe zangu ahazina dawa hiyo ya kitunguu swahimi naweza kuitumi nyweIe yangu inakatima sana
@Faithbeautyclasses8 күн бұрын
Pole Sana mpenzi....Nunua steaming ya olive oil ....ni nzuri sana Kwa nywele ambazo hazina dawa itakusaidia na pia uwe unafanya steaming Kwa wakati utapata matokeo mazuri.
@ErastoSanga-z7d8 күн бұрын
hiyo stimingi kitunguu swaimi itumika hata kwa wenye nyweIe NexhiIo
@samirahmohammed62748 күн бұрын
Asante sana dada nimekupenda Bure nimeelewa SoMo Ila naomba njia nyingine ya stichi
@NazpherMunyu10 күн бұрын
Kwa Mara ya kwanza na Mimi najihisi kuiweza hii nywele😂