BADILISHENI HUDUMA ZENU HAO WAGONJWA WANAPOKWENDA KUCHUKUA DAWA WACHANGANYWE NA WAGONJWA WENGINE WANAPO INGIA KWA DAKTARI AENDE KAMA MGONJWA MWINGINE KUWATENGA KWENYE JENGO WANAONA WATAJULIKANA,
@benarcson-rc5iqАй бұрын
Nakula maokoto mdg mdg tu na meme bank,,, 😊😊🏊🏊
@KhadijaNgozi-ln4ww2 ай бұрын
Umekaa.muda.mrefu.kwa.ajli.ya.imani
@ElizabethNdalahwa2 ай бұрын
Waache kuona aibu waenda kwa tr msigwa wapone
@user-gp3sr4hn1y4 ай бұрын
Msiba Kiko wapi Sasa
@hidayasaidi78725 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏❤️
@user-ct1qp3th5f5 ай бұрын
Umeshalipa fidia ya membe?
@AminaMfinanga-nu6jl5 ай бұрын
Hongera sana
@user-kk7rv2nj3s6 ай бұрын
Safi sana rafiki yangu Nyanjige Nkwabi, Hongeraaa Sana.Kibondo 2002 ❤❤❤
@gracekagoma32318 ай бұрын
Ninakuheshimu sa n a Msiba
@gracekagoma32318 ай бұрын
Ubarikiwe Msi b a🎉
@user-ih5zj1kf7t10 ай бұрын
Sebastian nakuona ukishusha nondo utafika mbali mtaalam
@user-ih5zj1kf7t10 ай бұрын
Imekaa vzuri
@gracejoel35410 ай бұрын
Mungu hakupe maisha marefu
@zulfahussein635610 ай бұрын
Hii ni nzuri sana Mungu awabariki
@happinessgozbert-kn5mn Жыл бұрын
Naomba namba yako ili tuzungumze
@pausetive01 Жыл бұрын
0715196906
@dianarichard1506 Жыл бұрын
Mudogoang umependeza sanaaaa saivi
@pascalheri3009 Жыл бұрын
Nakuombea mungu azidi kukupa maisha marefu na yabaraka ,,,dadangu 🙏🙏🙏 nakupenda sana from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bahatigeorge6155 Жыл бұрын
Mambo mrembo mungu ni mwem san ahakika atakupa nguvu
@mwakilamwaki7308 Жыл бұрын
Jamani naombeni namba ya uyo dada
@mwakilamwaki7308 Жыл бұрын
Naombeni namba za uyu dada Jami we mwandishi nipe namba ya uyo dada
@robertmgogosi84482 жыл бұрын
Mungu akubaliki dada..
@robbemanase90512 жыл бұрын
Ila je, ali date huyo huyo au huko shuleni pia ali date wengine , waandaaji wa suala kufanya mapenzi sio wengi wan alijua , wangapi walikua hatarini au wame sha patwa na maambukizi?
@happynescostat74202 жыл бұрын
Asante mwandishi,kumtafuta na kumtia moyo,
@patriciasimon80392 жыл бұрын
Mauaji mwanza
@chikusaid522 жыл бұрын
Nimekupenda Sana mdogo wangu, mungu akujalie upate na watoto
@matridamwalyoyo17352 жыл бұрын
Yani wanaume kuwakataa yy tu
@matridamwalyoyo17352 жыл бұрын
Alivo mrembooo Sasa
@happynelson11362 жыл бұрын
Kuna watu wana maambukizi ya ukimwi lakini hawajaamua kuanza kutumia dawa lakini wanaenda hospitali kuangalia afya zao kila mara
@SalmaDieuDonne Жыл бұрын
Bora kuanza kutumia dawa mapema
@annethsongwe60632 жыл бұрын
Mzuri mwenyewe😘😘
@kuluthummmetisha46302 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/Y4aUqKyqmbxrrrs
@winniefrida32182 жыл бұрын
Dr Tony mambo upooo?
@valentinemtei35882 жыл бұрын
Kalamuyetu, uandishi ni upelelezi, Askofu akifanya aliijituma na akasifiwa vya kutosha, siku akikengeuka ule ukengeufu hufunika yoote aliofanya, usilazimishe watu wapende wasichotaka. Inawezekana ukapenda wimbo, chakula fulani, na ukasifia, wengine wakakuona eidha mwehu , ndo maana hata leo ukienda baa utakuta watu wanakunywa vinywaji tofauti tofauti,
@berthamakortha83872 жыл бұрын
UBALIKIWE SANA KAKA DAAA
@berthamakortha83872 жыл бұрын
MUNGU AKUSIMAMIE BROTHER. NA AKUANGAZIE KWA MOYO HUO
@nixonjohnson49082 жыл бұрын
Yaani ujinga uliokukaa kwa kufanya lolote ili umjengee mama yako ulienda kufeli kabisa .. kutengeneza uadui na watu wote ili tu wewe upate ..ni loooose
@omaryrashid46752 жыл бұрын
Huyu ni culterlist hamna mtu hapo mpenda sifa
@petermachambile31492 жыл бұрын
Musiba nakukubali siku zote,ulijitoa sana kum-support jpm,mm nashangaa sana,baadhi ya watu wanaokushambulia wewe wanamuunga mkono jpm sasa tuwaiteje?,wewe ni mtu safi sana kwa ustawi wa nchi yetu,hata km unachokifanya kinalenga maslah binafs lakn angalau mm naona kinatutia matumain kuwa unaweza kuwa kiongoz wa watu km jpm
@danieljoseph16102 жыл бұрын
Lilisha feli vibaya sana maskini wa mungu! Mtumishi gani anastaafu akiwa na miaka kumi na tano? Miaka kumi na tano ni mtoto bado hata la saba hazamaliza, Lione! Haya yoote ni baada ya Mungu wake kufariki!
@kahwarwosile78312 жыл бұрын
Unadanganya eti kumusemea raisi wewe ni nani kwanza
@kahwarwosile78312 жыл бұрын
Wewe ni mjinga kabisa tena wewe utaendelea kupata tabu sana unajinasifu tu eti mwanaharakati huru ,ulijipendekeza ili akupe kacheo
@danieljoseph16102 жыл бұрын
Fala sana huyu jamaa! Analia amejenga kijijini lakini wazazi wake hawapo, Kwa nini hakuwajengea bado wakiwa hai? Lijinga sana!
@adamwoiso21802 жыл бұрын
Kumbe ndio sababu kwenye serikali iliyipita ya mwendazake mlikuwa mnasaport watu wenye mawazo tofauti na nyie wauliwe na kupotezwa ili mbaki nyie sasa kimeumana
@paschalmartin9598Ай бұрын
Aliuliwa nani mbona uko na unafiki sana
@yusuphbura9502 жыл бұрын
Hakuwa mwanaharakati alikuwa anatumika kutetea uendawazimu
@InfinixTechnology2 жыл бұрын
Musiba.ale.kitansi
@kuluthummmetisha46302 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qp_SkqxndsyMmKs
@evaemil8562 жыл бұрын
Fisadi, mla rushwa na mwizi akinyongwa hadharani then nani atakuwa wa kwanza kunyongwa? Tutakuwa na viongozi gani? Ebu tusiende huko kabisa...
@kuluthummmetisha46302 жыл бұрын
Msiba wewe ni kidume jp umepitia mengi .
@evaemil8562 жыл бұрын
Hii clip ni nzuri sana aisee Musiba umejitolea sana sasa inakuwaje hao viongozi wanakuwa hawawezi kusaidia hizo shule? Inakuwaje hao viongozi wa serikali na wabunge hawafanyi mema walikotoka? Kwa nini haya makabila hawalearn kutoka kwa wachaga? Wachaga wanajitolea sana na pia makanisa na waumini wao wanajitolea sana. Naomba mazuri tucopy na sisi kujitolea zaidi.