Bei gani Kwa bati ya futi sita na fut kumi na mbili
@mjenziwanyumbatz2 күн бұрын
Asante sana kwa sawli lako zuri naomba nikujulishe kuwa mimi ni fundi pia ninafundisha elimu ya bati na maswala yanayo ihusu nyumba kwa ujumla kwahiyo mimi sio mfanyabiashara pia sifanyi kazi kwenye kiwanda cha bati, karibu tena
@lemngeutouh32265 күн бұрын
Mjenzi nikitaka unijengee mwanza inawezekana?
@mjenziwanyumbatz4 күн бұрын
Ndiyo inawezekana kabisa
@patrickwasesa44955 күн бұрын
ah, mwalimu! hilisomo kali kweli kweli
@mjenziwanyumbatz4 күн бұрын
Asante sana Karibu sana uendelee kujifunza
@patrickwasesa44957 күн бұрын
hilisomo nzuri sana mwalimu! baati mbaya nimechelewa kulifata live sababu yakuishi vocha ila kwangu mimi ninaweza kupiga maesabu yajengo lolote kupitia hu mwelekezo. asante sana mwalimu! sasa ninaswali, mafundo mafundo kwenye plasta inatokana na nini?
Hiyo kazi kunafundi alianza akapindisha sana nguzo ikalazimika mwenye nyumba kubadilisha fundi ndipo nilipoitwa mimi nikaanza marekebisho hadi hatua ya mwisho nitaendelea kuziposti clips kuonyesha hatua zote hadi kazi inaishi
@mjenziwanyumbatz16 күн бұрын
Ni kweli kabisa
@patrickwasesa449517 күн бұрын
hilijengo lilisababishwa nanini kusimamishwa kipindi chote hicho?
@mjenziwanyumbatz17 күн бұрын
lilisimama baada ya kuishiwa pesa
@AllyAlly-r7t17 күн бұрын
well spoken
@mjenziwanyumbatz17 күн бұрын
Thank you very much Well come again
@patrickwasesa449518 күн бұрын
hu muonekano,njo tayari limeisha kamilika ao bado niramanitu! ah jengonzuri kwelikweli mwalimu
@mjenziwanyumbatz18 күн бұрын
Hiyo ni Ramani jengo bado linaendelea kujengwa
@patrickwasesa449518 күн бұрын
hilijengo lilisimama kwanza sababuyanini?
@mjenziwanyumbatz18 күн бұрын
Hilo jengo lilisimama kwasababu waliishiwa pesa
@patrickwasesa449520 күн бұрын
mwalimu,somonzuri lakini video fupi tena hamkunenepesha
@mjenziwanyumbatz20 күн бұрын
Sawa nitairudia tena. Karibu sana
@lemngeutouh322622 күн бұрын
Mjenzi wewe unapatikana mkoa upi?
@mjenziwanyumbatz21 күн бұрын
Dar mbezi kwa Msuguri Karibu sana
@johnlimbuni614222 күн бұрын
Ongera kwa ushauli
@mjenziwanyumbatz21 күн бұрын
Asante sana Karibu tena
@Maisatisfying1-tv27 күн бұрын
tuyet v
@mjenziwanyumbatz23 күн бұрын
🤝
@kijanamwepesi6997Ай бұрын
Ndugu upo vzri nmeipenda hii video haufichi kitu yani ukwel mtupu ubarikiwe
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
Shukran sana Karibu tena
@DenisOligiАй бұрын
Mimi nipo musoma mjini, nitapataje ramani ya vyumba viwili nasebule moja, gharama ni kiasi gani cha pesa kuanzia msingi mpaka kupauwa?
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
Ramani unatumiwa kwa njia ya WhatsApp popote ulipo duniani tuwasiliane kwa 0765937090. karibu sana
@bonnyrao7849Ай бұрын
Habari, hizi tofali zinapatikana wapi na bei yake ni shilingi ngapi
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
Hizi tofali zinatengenrzwa kwa oda
@bonnyrao78494 күн бұрын
Sawa bei yake?
@mjenziwanyumbatz4 күн бұрын
@@bonnyrao7849ni shilingi mia tatu kwa tofali moja matirio yote ni yakwako
@patrickwasesa4495Ай бұрын
sasa,hujenzi wabila kujenga nasimenti yaani kupangatu tofali jehapa nyumba itakaza mwalimu?
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
Ndiyo Nyumba inakuwa imara na inatumia gharama kidogo pia inajengwa kwa tofali maalumu
Mahesabu yote yapo mteja aliye inunua ndiyo anapata na mahesabu ya kila kitu
@ShakilaHaruna-p4cАй бұрын
❤
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
🤝
@danyhas8947Ай бұрын
Je kwenye ujenzi nilazima kutumia nondo kwenye msingi na renta
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
Kama upo kwenye ukanda wa pwani kama vile dar na pwani na maeneo mengine yenye ardhi kama ya dar ni lazima kuweka nondo kwenye renta maeneo mengine hayana ulazima kwakuwa ardhi yake ni ngumu naimara. karibu tena
@romanagasped9425Ай бұрын
Nakupataje
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
Napatikana kwa whatsApp 0765937090 simu ya kawaida 0712937090 karibu sana
@hassankilingo3748Ай бұрын
Kama nondo haijatimia urefu wa futi 40. Inakuwaje?
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
Kama haijafika futi 40 hiyo nondo itakuwa imechakachuliwa
@Rukiasalimu-ej1mpАй бұрын
Minahitaji mawasiliano lakini haupatikani
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
WhatsApp 0765937090 Simu 0712937090 Karibu sana
@Rukiasalimu-ej1mpАй бұрын
Sasa mbona namba ulio weka haiko. Wasap
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
Kutakuwa na shida ya mtandao sehemu uliyopo
@mjenziwanyumbatzАй бұрын
Jaribu tena na tena
@patrickwasesa44952 ай бұрын
kweli mwalimu, nyinyi mnaita ring sisitunait etrier
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Sawa sawa Kila sehemu kuna majina yao
@tegarmusabaron69792 ай бұрын
Blue + Yellow = Green Blue + Red = Purple Yellow + Red = Orange Blue + Green + Red = White White + Blue = Sky Blue White + Red = Pink Blue + Yellow + Red = Black Black + White = Grey Red + Green = Brown
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Thank you
@tegarmusabaron69792 ай бұрын
@@mjenziwanyumbatz Your welcome
@tegarmusabaron69792 ай бұрын
@@mjenziwanyumbatz Your welcome
@Saidy-eu1hc2 ай бұрын
Nice
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Asante sana
@patrickwasesa44952 ай бұрын
mwalimu,mbona nyumbakubwahii? ni ospitali ao?
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Hilo ni jengo la kulala wanafunzi
@AnnaNeri-q3h2 ай бұрын
Habari fundi unapatikana kwa namba gani
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Salama Simu 0712937090 WhatsApp 0765937090
@Sabratheboss-gd6ie2 ай бұрын
Nikiitaji ramanj
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Maelezo yapo kwenye hiyo video
@gracekunambi74382 ай бұрын
Umeeleweka sana na vip zile nyumba zinazojengwa kwenye miinuko mana zenyewe tayari zitakuwa na msingi mrefu ukiongeza kozi hizo si itakuwa ndefu sana, haitaleta shida kwa mfano upepo
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
@@gracekunambi7438 msingi mrefu hujengwa bondeni ili kukabiliana na mafuliko na kwenye mwinuko hatujengi msingi mrefu kwakuwa hakuna mafuriko
@زيتونتنزانياАй бұрын
@@mjenziwanyumbatznamba ya simu
@ManswetKimario2 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu. Nina swali je, ni sawa kuweka moramu badala ya mawe kutengeneza jamvi?
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Moramu ninayo ifanamu mimi ni aina ya kokoto ndogo ndogo nyeusi ikiwa ndiyo unazo maanisha jibu ni hapana hizo ikiwa inamaanisha udongo wa kawaida wa kuchimba mashambani au kifusi chote mawe mawe jibu ni ndiyo
@bientismail51172 ай бұрын
Fundi unapatikana Tz mkoa gani?
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Nipo Dar Karibu sana tuweze kufanya kazi pamoja
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Hapo inategemea sana sehemu unayo jenga na ni matirio gani utakayo yatumia kati ya mawe, block au tofali za kuchoma. Maana hivyo ndio namba moja
@kijanamwepesi69972 ай бұрын
Je hio futi mbili ni nyumba ya aina gani
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Nyumba yeyote isipokuwa ya ghorofa
@kijanamwepesi69972 ай бұрын
@@mjenziwanyumbatz safi sana mkuu ila npo na swali unapo taka kuanzisha ujenzi wa pole pole ni material gani ya muhimu unayo takiwa kuanza kuinunua ndio zengne zifuate?
@viatorykashabizi25382 ай бұрын
Unamaanisha pamoja na finishing?
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Msingi hadi paa na ufundi pamoja na matirio. Finishing haijajumlishwa
@deogratiuslimu13932 ай бұрын
Nice
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Asante sana
@bientismail51172 ай бұрын
Kenya unaweza kuja kujenga
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Ndiyo
@mkamaproducer2 ай бұрын
Vip kuhusu kokoto broo
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
kokoto nimezifundisha vizuri kwenye somo linalo jitegemea
@ngumuyamtaa35622 ай бұрын
Tuko pamoja kaka
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Shukran sana
@RobertLyimo-vj3up2 ай бұрын
Bei zake shi ngap
@mjenziwanyumbatz2 ай бұрын
Bei hutofautiana kati ya mkoa na mkoa pia duka na duka ila ni kati ya Elfu 19 hadi 23 elfu.