Ubarikiwe mno mno kwa upendo huu Mc Mwenzangu nyambwiro
@petermdabwa63206 жыл бұрын
Da!! Ngoma inanitoa machozii,nalia kama mtoto,,,
@tklumpopojazzbandsubisubi81436 жыл бұрын
namuona mwalimu wangu Sterwart Zozo akiwa na baba yangu Alphonce Makero kwenye bass guitar
@tklumpopojazzbandsubisubi81436 жыл бұрын
mashairi kaka mnaongeza yenu mbona?
@soplisjoachim58846 жыл бұрын
Hivi hao wanamuziki wapo hapa town ?
@leethompson51626 жыл бұрын
hey kuna mtu mwenye original ya hii wimbo? ile ambayo iliimbwa na jkt au band fulani tu ya zamani kama mtu anayo naomba kwa email, [email protected]
@kkroco_diletv68934 жыл бұрын
Originale iliimbwa na Wana Njohole Jazz
@tatuta65296 жыл бұрын
Zamani sana
@soplisjoachim58846 жыл бұрын
Kitu cha live .......huyo mjomba kweli ni mwanamuziki, hongereni sana band kwa u jumla , namwona mzee akiwa hapo anapiga gitaa kwa pozi kama lote vile 😆😆😆😆😆
@reubenmwidima6 жыл бұрын
Natafuta jina la huo wimbo ili niweze kudownload
@abdallahcooper31115 жыл бұрын
Mwana Mkiwa
@bahatywasofia41556 жыл бұрын
Hacheni bangi
@kigoishishira53286 жыл бұрын
Ticha....ni nzuri mnooo....endelea kutupa vitu kama hivi...tuzidi kubarikiwa
@petroscower93757 жыл бұрын
napenda sana
@petroscower93757 жыл бұрын
napenda sana
@benadetalembile65047 жыл бұрын
Wimbo mzulisana huu
@emmanuelmbeho36835 жыл бұрын
Sema tu muimbaji huyu ana ma puuza sana.
@samasob82337 жыл бұрын
naupenda sana huo wimbo, nilipokuwa napractize zamani...rafiki zangu waliniona kichaa