Kakimbia swali Hoja, je ni katika nguzo za swala? MASHARTI ya swala? Vitenguzi vya swala? Badilisheni agenda tuinue ummah wa kiislam tuishi kwa mujibu wa sheria za Allah swt
@RashidKidungwe8 сағат бұрын
Ustadhi nimeota ndoto napajuu huku nimemshika mwanamke
@AminaAthumani-gp8qy11 сағат бұрын
Nimemuota malehemu dadaangu ,anatusha nyama mishikaki mm na mwangu mdogo wa kike na nyingine nyama ikadondoka akatuotea maanake nini?
@MsimAli-w3d13 сағат бұрын
Maana izo namba za WhatsApp sijaziona
@MsimAli-w3d13 сағат бұрын
Naomba niungwwe kwenye group
@RukiaIma17 сағат бұрын
Kwa kweli shukurn sheikh wetu ❤❤❤
@QaisqaisQais-s2zКүн бұрын
Tufaganulie shekh hapa
@WasokoMwanzaКүн бұрын
masonic anafanyiwa dua
@MfizoCrypto2 күн бұрын
Mijusi ndani y nyumba mm nmshudia kabisa akinipuliza na sii mara moja hakikisha mijusi hakuna ndani mijusi ya ndani ndio inayo tumiwa na masheywani
@Nasmasilivanus2 күн бұрын
Walayku msalam
@SANDEMANGUNYA3 күн бұрын
Jahili wew
@Tamtam-wd1dy3 күн бұрын
😅😅😅
@JamilaHussein-t4f4 күн бұрын
Kila nikilala namuota mudogo wangu aliyekufa namupa chakula ana anakkataa
@SostenesMabala-tt8pt4 күн бұрын
Nimegundua watanzania tunatakiwa kutawaliwa tena. Sisi bado niwachache tu tunaojua ukwer
@ZainabAllyKea5 күн бұрын
Mimi nimeota nilikuwa kwenye shughur tukalala nje vile kunataka pambazuka nikaona nyoka anakuja pale tulipo lala nikamka kumuua yule nyoka kila nikipiga jiwe anakwepa nikaana kusoma ikhila na ayatul kulsiyu yule nyoka akabadilika kuwa msichana halafu akatoeka ina maana gan shekhe
@yahyajuma93536 күн бұрын
Wale waliowahi tujuane
@ElyrehemaMartin6 күн бұрын
Mimi nimeota mke wangu anatembea nawanaume wengine
@DorisLucas-zo2dk7 күн бұрын
Nimeota nimefumaniwa na mme wangu jamani nn maana yake
@jamilashabani85807 күн бұрын
Maa Shaa Allah ❤ sheikh
@ASHAMRISHO-h8g8 күн бұрын
Naomba uniunge na gruppu ninashida na ndoto mbay mbay
@MWAMBAZanzibar9 күн бұрын
Wewe mbona hueleweki upo upande gani
@tinaagnes230110 күн бұрын
Nimeota kwa jirani Kuna harusi
@fadiahamza146710 күн бұрын
Asalamu alekum sheh nimeota nimepata ajali ya gari kisha nikafa ila najion nitembea na nafsi yangu yani kivuli kinatembea ila kiwiliwil kimekufa watu wanasoma hitma ikisha nasem nishakufa au nipo hai
@majalaworldwide11 күн бұрын
Nyimbo ni kali Nnazo zoteeeee .. kama ile unasema Dogo jisachi utoe chochote😂😂😂
@fatumaadinani29312 күн бұрын
Ukiota mpenzi wako anataka kukuuwa manake nini
@joycemlay576212 күн бұрын
Mbona hawatajag dawa??
@rebeccamapalala13 күн бұрын
Ukiota unajaribu vazi la harusi na ujaolewa
@AvineyloveAvineylove13 күн бұрын
Mi nikiota mtu amby yupo hai amekufa ikipita siku lazima afe
Ma Sha Allah tabligh wanapambana kuzindua watu ktk dini na kuamsha waliojisahau
@geofreymatto671016 күн бұрын
Vipo 2025
@FatimaAbdulla-s4i20 күн бұрын
Nimeota nimekuwa msimamizi wa bibi harusi
@AmiriMwambi20 күн бұрын
Nimeota mwanga kwenye mkono alafunimara kwa mara maan yake nini
@AmiriMwambi20 күн бұрын
Asalm alekum naitwa saud bint amiri.nimemuota mwanangu anakunya kinyesi kingi san.baada yahapo namimi nikajisaidia pia.nikajikuta na mnawisha nakugusa kinyesi chamtoto
@JohainapMachalila21 күн бұрын
Asalaam alaykum shekhee mi nimeota nipo sokoni kulikua na watoto mpacha nikapewa mtoto moja nikaondoka nae nikapewa ugali dagaa nikala na yule mtoto nikawa namlisha ila alikua mchanga nlivo mlishatu akaanza kula mwenye
@mariamuhassan21 күн бұрын
Nikweli kabisa
@mariamuhassan21 күн бұрын
Nikweli kabisa
@FatmaSadiki-w9x22 күн бұрын
Mie nimeota nyoka mwekundu Ila nmemuua pia
@HamisiOmari-r8u24 күн бұрын
Assalaam alaykum. Shekh me nmeota nmenunua panga kwa ajiri ya kulima shamba nini maana yake
@firdaus742825 күн бұрын
اللهم صلي وسلم وبارك على سيدنا محمد
@AllyMsafiri-kw2ne25 күн бұрын
Uislamu raha tena raha mpaka natamani kulia kwautamu wauislamu nashukuru mungu kuniongoza kwenye uislamu
@AllyMsafiri-kw2ne25 күн бұрын
Doctor sule nitunu nazawad kwakizazihiki vinginevo wapotoshaji kama kina ndacha wangeipoteza jamii maana wanapewa hela ili kutetea dili zawatu kwakigezo cha kutetea ukweli wakati niwaongo nawazandiki sule ubarikiwe
@AllyMsafiri-kw2ne25 күн бұрын
Sule nimwalimu tena anautulivu wakufundisha mungu akubariki doctor sule
@AllyMsafiri-kw2ne25 күн бұрын
Wakristo mliocoment kumpongeza ndacha...toeni ushahid wa biblia nikitabu chamungu maana mnapongeza wakati ushahid hajatoa acheni uzuzu naujinga ahera kunakipigo ninyi
@QcMabdonour-b4j26 күн бұрын
Shekhe mi nimemalza 4m4 na nimeota nimepata div 3 ya 24..na matokeo bado..na ulikua saa 8 ucku na naikumbuka
@mpingo100026 күн бұрын
Ma shaa Allah
@halimaassanali268727 күн бұрын
Asalam waleykum warahmatullah wabarakatu shekhe nimeota haisi imepata ajali imetumbukia kwenye maji na mimi nikaenda kuwaokoa hawajafa hata mmoja lakini wameumia kidogo.Hebu niambie shehe inamaana gani hiyo ndoto
@lamatsnyamaishwa389627 күн бұрын
Shekh nimeota nimejitwisha maiti kama sehem ya kusaidi kusafilisha maiti
@Oman-t7q28 күн бұрын
Assalam aleykum warahmatullah tahra wabara Katu shekhe mimi niliota kuna mtu anameniopigia sim ananiambia Salma zile pesa ulizonipa za biashara zote nimeibiwa zifatilie izo zile pesa alafu sum sikuwayi kumjibu sim yangu ikazima chaji na Akuna mtu nilie mpa biashara ina mana gan?