Boss umeamua kuwa mtangazaji mwenye mungu aendelee kukubariki
@DevotaOmao8 күн бұрын
naitji kujiunga na enjoy soccer academy
@TasianaZawadi-os3kw14 күн бұрын
Nawezaje kujiunga na academy hiyo pleasee😢😢😢
@TasianaZawadi-os3kw14 күн бұрын
Nina mdogo wangu
@MussaSalehe-l7gАй бұрын
Nahitaji kujiunga na ejoy soccer academy
@isackmathias9965Ай бұрын
We dada acha uongo masaa ya CPL (comecial Pilot Lisense) ni 250 si masa 70-80 apo umetupiga pia gharama za kila saa kwa CPL si kama ya PPL (Private Pilot Lisence) kwasababu hiyo stage hata ndege za mafunzo zinabadilika af na hiyo taxedo umetupiga kama na danganya taja chou chenye uniform hiyo. Acha kudanganya watu hata kujieleza unajifunga mwenyewe.
@KephasJolamАй бұрын
tumuoene huyomuchezaj mupya
@Stephano722Ай бұрын
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba tunasajili wachezaji waziri mno yanga inawatamani saana tatizo viongozi Hawamjuwi mdudu aliyepo simba anaitafuna saana matola vp imekaaje saivi ona yanga inawazee lakini benchi la ufundi🎉🎉 ❤ halina mbinu wameifelisha wapi wanatuumiza afukuzwe matola
@Stephano722Ай бұрын
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba viongozi mwangalieni chawa anasababisha timu kukimbiwa na makocha selemani matola hafai kabisa hakuna anachokifanya simba tafuteni mwingine Kuna D,juma mgunda wapo wengi tu
@Stephano722Ай бұрын
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba ❤ naipenda saana kinachoniuma matola Hana mbinu hafai
@AchobakizaАй бұрын
Tnaupata
@Stephano722Ай бұрын
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba viongozi mmpone vichwa matola aondoke simba tunatimu nzuri
@Stephano722Ай бұрын
Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza simba kwa mugunda viongozi wamekosea sana tena sijuwi wamelogwa vichwa vyao matola wanini labda kunabiashara anayowafanya hatujuwi makocha wangapi wamemuacha matola atupishe simba jamani tunaumia
@Stephano722Ай бұрын
Stephano mange❤🎉 ❤ simba viongozi pamoja Raisi wa heshima kama Munataka simba ifanye vizuri naiwe ya ushindani wamtoe mutu mmoja tu,mambo yote safi selemani matola hajuwi kupanga kikosi Hana mbinu hafai