Kiba ni rafiki sana wa jk hivyo naona anaambukizwa jinsi ya kuongea kama jk
@AyubuDanieliКүн бұрын
Tatizo wa tanza huflahia tatizo la mtu ukiwachunguzo niwenye Nia mbaya na kazi zawatu hawafkilii mambo yanayohusu maisha Yao majungu majungutu segelema nyie
@demask34233 күн бұрын
Na hatuja edit na Hutufanyi kitu😂😂
@eaglecrown11012 күн бұрын
😳😳😳😳😳😳
@J约瑟夫·阿德森4 күн бұрын
Kapata kwa P didy wa Tz
@Younomane4 күн бұрын
Ukweriwote haupaswi kusemwa
@Younomane4 күн бұрын
Wemwiryaku wasamehe
@AbdulkareemMtinge4 күн бұрын
Mwijaku yupo sahii
@iddyjuma80364 күн бұрын
Aliyekunyoa leo kayumba mzee
@SurprisedFullMoon-gg9vu5 күн бұрын
Hili hamna kituuu
@kalokazadogo48565 күн бұрын
Hhhh😅😅😅 mond rinda Hana tena
@Rm2024-x3d5 күн бұрын
Mwijaku una social security? Maana umenunua kiwanja Marekani 😅😅😅😅
@mahonanjile60075 күн бұрын
😂😂😂😂😂Pdidy
@SikituYusuph-fr7rj5 күн бұрын
Acha ujinga ww mwijaku ww fara tu
@mahmoudkombo97186 күн бұрын
Manara kiboko yenu kwenye soka .manara ni mtu wa mpira kuliko nyote mnaokoment.
Aliyesema Kiba mjeuri alikosea. Mcheshi sana huyu jamaa😂
@khadija576112 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉
@MwangaFanuel12 күн бұрын
wasani wa Tanzania mnajuwa matusi nakutupihana vijembe mitandahoni tu ila musique tuhachiye njoni congo tu
@binwasiumbanga925612 күн бұрын
Sasa nani mpira kakutana nao barabarani,tatizo lako haji misifa misifa tu,bora injinia alivyokubadili position
@JohnTurizo13 күн бұрын
Follow me plz
@KasengaShigalu-m2v15 күн бұрын
Wewe manguluwe unamchokoza DC mwijaku
@EmmanuelMasinde-lu8or15 күн бұрын
Alikiba alianza kuimba na michael jackson
@magrethkapingu333215 күн бұрын
Wakwanza Nipeni Likes Zangu😂
@JacquelineMuganwa16 күн бұрын
Siyo kula😂😂ni kura😂😂❤❤ Nakupenda saan ❤❤
@Asma-l8n16 күн бұрын
Huyu jamaa ni yuko smart kwa kila kitu,❤
@abelhilonga109516 күн бұрын
Me namuona Ahmed ally hapa nipeni like zangu
@princessplatnum441616 күн бұрын
Jamaa ukimuoji unaenjoy lazma ucheke watangazaji wanaenjoy tu
@Yusufkurulus16 күн бұрын
Chukua maua tako kiba
@Fantastic.-gm1eo14 күн бұрын
tako kiba😂😂
@charleslulandalah978517 күн бұрын
😂😂😂😂
@charleslulandalah978517 күн бұрын
😂😂😂 alikiba
@benardmapuga473717 күн бұрын
Mkawajengee na nyumba nzr wazazi wenu huku tumeshawaona
@FahadAbubakari14 күн бұрын
Nchi imeingia ujinga na upuuzi na sifa na mikogo wanaofanya ni wazawa mabilionea wakihindi na kiarabu wao wapo kimya inakuonyesha tofauti kwa mwenye akili
@DonatienNgesera17 күн бұрын
Apo a bdu kiba atafunzwa
@Qqambaa15 күн бұрын
Umempuuza abdu kiba Ni mwandishi mzuri so don't look down on him
@kamanafikiri995413 күн бұрын
Atachukuliwa nyota kama Rich movoko 😂😅
@UlediDiagnostic17 күн бұрын
Utasaidiwa mpaka lini ww acha kulia lia
@bienvenukichambaomar506717 күн бұрын
Uyu jamaa mcheshi saaana 😅😅😅
@mckobatz586118 күн бұрын
Hatuelewi kiswahili bwana😂
@immuramadhani441419 күн бұрын
Umaarufu umeutaka bhna
@swahilitherapytv384619 күн бұрын
Na yale matukio ya free masoni uliokuwa unaonyesha..?? Ulikuwa una maanisha nini...??
@Kingstyvesayjj20 күн бұрын
Sisi Wana king's hatuna tatizo kbs
@hafsalucky108820 күн бұрын
Hujafa hujaumbika, Mungu Akuinue Tena, I pray in Jesus name 🙏
@BongoContent25521 күн бұрын
Kama wewe ni mpenz wa historia za wanamuziki mbalimbali basi karibu sana kwenye channel yetu ya bongo content ufahamu maisha ya wasanii walipotoka na walipo sasa karibu sana #bongoContent gusa link kwenye channel yetu
@mbidjisilunga257522 күн бұрын
Karim nyimbo nzuri ❤ tokeya kongo🇨🇩🇨🇩 nipeni likes wa tanzania
@DAUDAMEDIA21 күн бұрын
Like umepata
@saxannjo617322 күн бұрын
HAKUNA MSANII ANAYEJUA KUASHA MASHABIKI KWENYE SHOO KAMA CHIDI.... wanamfanyia figisu kwa kuogopa kufunikwa
@muhasatv924523 күн бұрын
WAANDISHI TOENI IYO GARI ITAPIGWA KICHWA KWA NYUMA