SIKU YA KUJA BWANA HARUSI...
5:14
4 жыл бұрын
September 5, 2019
5:58
5 жыл бұрын
Naiwaza sana
6:21
5 жыл бұрын
Kama umeolewa na shetani
6:09
5 жыл бұрын
Piga hatua
4:25
5 жыл бұрын
Ningeliweza
8:46
5 жыл бұрын
Ibrahim na mwanae
4:22
5 жыл бұрын
Amani
5:32
5 жыл бұрын
Miriam
3:34
5 жыл бұрын
Bwana lete usikivu
7:29
5 жыл бұрын
Natamani
4:59
5 жыл бұрын
Hakuna lugha yakutosha
5:25
5 жыл бұрын
Jifunze toka kwetu
6:02
5 жыл бұрын
Kwaheri tabora makambi
3:35
5 жыл бұрын
August 31, 2019
4:57
5 жыл бұрын
Siku ya sabato
4:02
5 жыл бұрын
Пікірлер
@annewanjiru818
@annewanjiru818 6 күн бұрын
Naendelea kubarikiwa zaidi kwa maneno na sauti za nyimbo hizi nzuri za sauti jangwani.🙏🇰🇪
@thomaskimuyu1426
@thomaskimuyu1426 8 күн бұрын
Baraka tupu kutoka kwa Hawa waimbaji Thomas kimuyu kutoka kenya
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 12 күн бұрын
wapiga vyombo n mafundi
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 12 күн бұрын
blessing
@EfraimjonathanNdono-py6bk
@EfraimjonathanNdono-py6bk 12 күн бұрын
Amani bila Yesu haipo. Ujumbe from Efraim jj Ndono
@EfraimjonathanNdono-py6bk
@EfraimjonathanNdono-py6bk 12 күн бұрын
Wafanikiwe wote wapatao ujumbe kutoka kwaya ya sauti ya Jangwani SDA CHURCH.
@Amospius-r3y
@Amospius-r3y 2 ай бұрын
jamani albani ya wimbo huu wapi,? kuna wimbo unasema mpumbafu asema moyoni mwake yakua ni hakika hakuna mungu!
@HakikaFlowers
@HakikaFlowers 2 ай бұрын
Mbarikiwe jamani kwa uimbaji mzuri
@kulwanaftali8658
@kulwanaftali8658 2 ай бұрын
Tangu nikiwa mtoto nawasikiliza,sasa nina zaid ya myaka 28,mungu na awatie nguvu
@HafashimanaLevis-rp5ru
@HafashimanaLevis-rp5ru 3 ай бұрын
NNawafuatilia100% Burundian in South Africa 🇿🇦
@Amospius-r3y
@Amospius-r3y 3 ай бұрын
masikini nikiwa na miaka mitatu! mungu awahuishe jamani
@Amospius-r3y
@Amospius-r3y 3 ай бұрын
usinitumie chochote nitumie nyimbo hizi!
@Amospius-r3y
@Amospius-r3y 3 ай бұрын
albam ya huu wimbo utafikiri ilitoka mbinguni, ni miaka mingi sasa,mungu uwalinde waliopo na waliotutangulia uwasamehe kwani nao ni binadam hawakukosa mapungufu!mungu u mwema ahsante wabariki jangwani hunipa furaha,hunifariji,amina!
@NeemaMagesa-s2g
@NeemaMagesa-s2g 3 ай бұрын
Dah wimbo huu unanikumbusha mbali Sana kiukweli ni mzur mungu awabariki Sana
@LeahMahizi
@LeahMahizi 3 ай бұрын
Nipokee yesu wangu🙏
@danielmagigita9356
@danielmagigita9356 3 ай бұрын
"walikuwa kama wakita ndoto hawakutegemea" ♥️♥️♥️♥️ yaani ni kamsitari kanakogusa balaa na kanasisimua na kutia matuamaini sana...mungu awabariki sana nyinyi watu🙏🙏
@robertcheluget9034
@robertcheluget9034 5 ай бұрын
Great message. Be blessed.
@danielkoomekinyua7784
@danielkoomekinyua7784 5 ай бұрын
Love this music am blessed with your songs
@bugotatumain3153
@bugotatumain3153 5 ай бұрын
hiki kikosi kilkua cha kipekee sana,, Mungu azidi kuwabariki
@joaskisas7765
@joaskisas7765 6 ай бұрын
Aaaaamina
@rehemasima-um9pn
@rehemasima-um9pn 6 ай бұрын
Pia sana
@NgoroNgaki
@NgoroNgaki 6 ай бұрын
Mungu abariki Saudi zenu
@PhilemonLYANABOHA
@PhilemonLYANABOHA 6 ай бұрын
ce très génial vraiment allé de l'avant
@KimilaSayi
@KimilaSayi 7 ай бұрын
Amen
@imitekererezeihabanye8681
@imitekererezeihabanye8681 7 ай бұрын
Amina. Barikiweni sana wambaji wa jangwani. Yesu anakaribia sana kurudi ili awapatie uzima wa milele.
@sephaniapius
@sephaniapius 7 ай бұрын
Amina
@StevenHinjo
@StevenHinjo 7 ай бұрын
Nimebarikiwa
@TonneyAbiero
@TonneyAbiero 7 ай бұрын
Nimebarikiwa sana tangu 2004.
@EdwardKapongo-f2y
@EdwardKapongo-f2y 8 ай бұрын
Barikiwa sana
@SamsonNalumio
@SamsonNalumio 8 ай бұрын
Ukweli huo ,kila siku tunatembea tukitafuta kaburi mahali ilifichwa .
@PriscaMaige
@PriscaMaige 8 ай бұрын
Amen
@dorcasmasinde7349
@dorcasmasinde7349 8 ай бұрын
Mungu awazidishie
@dorcasmasinde7349
@dorcasmasinde7349 8 ай бұрын
Mungu awabariki na kuwazishia,ninapousikiliza huu wimbo ninapata faraja tele moyoni mwangu
@cosmassamon9723
@cosmassamon9723 8 ай бұрын
Hii kwaya iko vzr kwa uimbaji na mwonekano M'balikiwe
@PeterKasia-e6s
@PeterKasia-e6s 9 ай бұрын
Shikilieni papo hapo wenye Imani,
@kimilasayi2626
@kimilasayi2626 9 ай бұрын
Amina kwaya ya jangwani Mungu awabariki sana mmenena maneno ya kweli
@BarakaMkwabi
@BarakaMkwabi 9 ай бұрын
Amen
@patrickmokua3039
@patrickmokua3039 9 ай бұрын
TUSIJE TUKASIFU SIKU KULIKO MUNGU MWENYE MAMLAKA JUU YA KILA KIUMBE.
@kimilasayi2626
@kimilasayi2626 9 ай бұрын
Jangwani haki Mungu awabariki sana ujumbe umetufikia wahusika wote kilichobaki ni utekelezaji
@dorcasmasinde7349
@dorcasmasinde7349 10 ай бұрын
Mwenyezi mungu awabariki Hawa waimbaji wa Tanzania kwa ujumbe mkuu kama huu.
@JumaMhondejo-ce4ne
@JumaMhondejo-ce4ne 10 ай бұрын
Jaman nawakumbuka sana lakin mungu yupo
@JumaMhondejo-ce4ne
@JumaMhondejo-ce4ne 10 ай бұрын
.mungu kwanza
@kidayikiteleja3353
@kidayikiteleja3353 10 ай бұрын
Hakika Ni wimbo wenye funzo na matumaini kwa wanaomtegemea Yesu Kristi. Mungu awabariki Sana Wana Jangwani
@dicksonakyoo4019
@dicksonakyoo4019 10 ай бұрын
Mwambie yesu bwana nimetubu,nimesumbuka bwana nipokee🙏🙏🙏
@DanielSimon-x3r
@DanielSimon-x3r 11 ай бұрын
Nyimbo zenu hazichoshi kusikiliza zinanibarik sana mungu awakumbuke ktk ufarme wake Amen by mr Daniel simon Mozambique
@DanielSimon-x3r
@DanielSimon-x3r 11 ай бұрын
Mbarikiwe na nyimbo zenu zinatangaza uku wa mungu mr Daniel simon maputo mozambique
@bahatiFaustian
@bahatiFaustian 11 ай бұрын
Mumm
@neemaernest9922
@neemaernest9922 Жыл бұрын
Nabarikiwa tena 2023 mwezi huu wa 11 sabato ya tarehe 4
@febbycosmas6298
@febbycosmas6298 10 ай бұрын
Mbarikiwe Sana jangwani
@kimilasayi2626
@kimilasayi2626 Жыл бұрын
Amina
@MamwanchaWilfred
@MamwanchaWilfred Жыл бұрын
Huo ndio ukweli.Thanks.