Hongera sana Mchg. Ndimbo. Salamu nyingi za heri katika utumishi wako mwema. Regards from 🇩🇪 and 🇧🇪
@Zipporah-h9uКүн бұрын
That's is good message
@raphaelmwamakimbula96422 күн бұрын
Hongera sana na Mungu awabariki na kuwalinda.Makanisa mengi yanaendelea kupata usingizi mzito kwenye kumfundisha ipasavyo mtoto kuhusu Neno la MUNGU.
@raphaelmwamakimbula96422 күн бұрын
Hongera sana kwake! Mungu amtunze zaidi yeye na familia yake yote,maana amemtumikia Mungu Kwa kipindi chake chote cha zamu yake Kwa kuheshimu,kutenda na kusimamia utumishi wa Mungu🎉
@judithmwarabu76582 күн бұрын
Hongera sana MUNGU akutunze
@MariaJulius-k1p3 күн бұрын
Amen Sana Mchungaji🎉
@JoshuaHilgath3 күн бұрын
Asante kwa ujumbe Baba Askofu 👏👏👏
@JoshuaHilgath3 күн бұрын
Amina
@JoshuaHilgath3 күн бұрын
Hongereni sana watoto wazuri Amina ❤
@PaulineSalehe3 күн бұрын
Mlee mtoto katika njia impasayo😊🙏
@BerthaMwarabu-m7w4 күн бұрын
Hongera sana mchungaji Ezekiel Mwarabu Mungu akutunze
@emmanuelrutaihwa65459 күн бұрын
Mimi kijana wangu anaishi canada je naye anahusika
@EmmanuelShelukindo9 күн бұрын
Hakika mungu unaweza kuniwezesha niweze kuliishi neno
@WilliamKiligo9 күн бұрын
Mungu anisaidie niwe na uchaguzi mwema
@SophiaMjema-z3p11 күн бұрын
Ameen
@humphreymushi11 күн бұрын
Huyu Baba Dean Mstaafu Amasia Mweta anastahili kupewa Nishani Iliyotukuka.
@FELIXSHEKUMKAI13 күн бұрын
Kaonge kwaya ya moyo korongwe
@VedastusKanyettor14 күн бұрын
Hekima zako zidumu na ubarikiwe sana
@andrewkissava918414 күн бұрын
Mbona dotto hujajibu asikofu ameongea?
@AloyceCharlesSebaiya14 күн бұрын
Mama ake bro ben
@AloyceCharlesSebaiya14 күн бұрын
Kanisa langu
@mamaakyoo213715 күн бұрын
Kijana amejaa hekima sana.huyu.. Mungu amtunze.
@George-jz3jg14 күн бұрын
Analelewa kiroho na kanisa la TAG huyu dogo BITEKO
@labancharles845316 күн бұрын
MUNGU MWNYENZI AWE MFARIJI KWA KANISA LAKE
@doraholotu779416 күн бұрын
Pumzika kwa Ameni Askofu C Sendoro
@alexmaula730816 күн бұрын
Poleni Sana wapendwa
@labancharles845316 күн бұрын
MUNGU azidi kumbariki mh Dean kiongozi tunakupenda xn
@eliasemson669016 күн бұрын
😢😢😢
@JulianaKiboha17 күн бұрын
KKKT sihamiiii
@MariamFilipo-b3w25 күн бұрын
Hongereni wadogozangu
@MichaelKingazi-wm7xj26 күн бұрын
Exactly Dean, thanks foy your reality.
@MichaelKingazi-wm7xj26 күн бұрын
Kwanini kama huna uniform unaimba?viongozisimamieni maadili ya kwaya, wachungaji simamieni kwaya zisizona utayari, kwa kuokoa muda na kutunza uchaji wa ibada, askofu mbilu uko sahihi sana.hata mimi nimekereka. AMEN
@humphreymushi27 күн бұрын
Watumishi wa Mungu kama hawa ni wachache Sanaa! Kaburi la huyu Baba linastahili kujengwa vizuri kwa mfano wa pekee! Iwe ushuhuda kwa wengine!
@OkulijohnmeenaMeenaАй бұрын
Nafurahi sana kumwona mchungaji Ndimbo ktk huduma hiyo. Namkumbuka tulishafanya nae huduma miaka mingi kupita ktk usharika wa Sekei Arusha. Mungu akutangulie
@MichaelKingazi-wm7xjАй бұрын
Nawiwa kuongea zaidi hapa, kupitia mahubiri ya baba askofu kwa uelewa wangu, kumbe watumishi wetu wakifanya maandalizi mazuri wanaweza kuzuia wimbi la wamama wengi na wengine wanaokimbilia VISHOKA WA INJILI Amen.
@MichaelKingazi-wm7xjАй бұрын
Walawi gospel group arusha Tanzania 🇹🇿 Tunashukuru baba tunajifunza nasi umetugusa hapa walawi, kuna jambo hapa la sisi kujifunza hapa kama watumishi, lazima tufanye jambo kwa wahitaji japo kwakweli huwa tunafanya, tusidharau wito wa kuwasaidia wenye uhitaji ili watu wakiulizwa waseme ni sisi tumefanya, tufanye competition na yule msamaria mwema.Amen
@MichaelKingazi-wm7xjАй бұрын
Among the one bishop, Among those with higher Technical in.preaching, napenda huwa anatoa.mifano hai, maandalizi katika kutoa neno.lazima tufanye maandalizi mazuri, ndio mahubiri yetu yakubalike.Amen
@DavidNashandaАй бұрын
Nimemuona baba yangu kipenzi Mchungaji Mozes shemweta mungu ampe maisha marefu
@faithmangesho2081Ай бұрын
AMEN Mtumishi wa Mungu
@MichaelKingazi-wm7xjАй бұрын
Mungu awatunze sanasana, watumishi wa mungu, kazi ya mungu inahitaji watu waliojitoa kwa.moyo,Rev;Ndimbo nakufahamu sana,mungu amekupa wito mkuu wa. Kitume na unautendea haki, nimekufahamu tangu makorola, msaidie baba askofu atimize maono yake kikamilifu katika jimbo hilo.Amen
@SIMONMBILUАй бұрын
Katika maneno hayo naamini watu wamepata somo la uwaminifu ipasanywo Mungu aku tangulie kaka
@ForcusRutaba-uw5xuАй бұрын
Ninafurahi kukuona Bishop Mwalimu wangu katika Kozi ya 2014
@MichaelKingazi-wm7xjАй бұрын
Nakupongeza sana sana,bsp mbilu kwa kualikwa kwenye kikao hicho kikubwa cha watendaji wa kanisa,mungu akutunze sana,ni heshima kubwa kwako na.kanisa hususani dayosisi hii,wewe ni.mtu makini. Amen
@michaelambangile3632Ай бұрын
Wazee wetu waliuogopa wajibu na wajibu ukawafuata. Very inspiring!
@jeremiamsuya1820Ай бұрын
Kaz nzur sana mungu awabarik
@MichaelKingazi-wm7xjАй бұрын
This is wonderfully speech provoking me to crying. This is wonderfully speech.
@MichaelKingazi-wm7xjАй бұрын
Retired Rev;mweta,mchungaji anayefanana sanasana hulka.na Tabia zake na.mqrehemu bsp;Joseph jali,kanisa limedumu.kwa.uchaji kwa ajili yao,Nina ujasiri wa kuongea haya, kama ni wokovu hawa.wameokoka,wana zaidi ya wokovu,siri wachungqji wa sana, hebu tutumie fursa hii tuguswe na wito wao.mwema.Amen.TATE UGONE MPEHO.
@SylviaSomiАй бұрын
MUNGU akubariki Baba Askofu Nina Imani Sasa Deni litakwisha Nasi wenye Dayosisi yetu Tukaze msuli Sasa
@CharlesMaghembeАй бұрын
Mwenyenzi Mungu ailaze Roho yako mahali pema peponi. Tunakukumbuka Baba yetu