Dayosisi 28 za KKKT kuliombea Taifa
4:31
Пікірлер
@oforodidaskimaro4266
@oforodidaskimaro4266 17 сағат бұрын
Hongera sana Mchg. Ndimbo. Salamu nyingi za heri katika utumishi wako mwema. Regards from 🇩🇪 and 🇧🇪
@Zipporah-h9u
@Zipporah-h9u Күн бұрын
That's is good message
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 2 күн бұрын
Hongera sana na Mungu awabariki na kuwalinda.Makanisa mengi yanaendelea kupata usingizi mzito kwenye kumfundisha ipasavyo mtoto kuhusu Neno la MUNGU.
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 2 күн бұрын
Hongera sana kwake! Mungu amtunze zaidi yeye na familia yake yote,maana amemtumikia Mungu Kwa kipindi chake chote cha zamu yake Kwa kuheshimu,kutenda na kusimamia utumishi wa Mungu🎉
@judithmwarabu7658
@judithmwarabu7658 2 күн бұрын
Hongera sana MUNGU akutunze
@MariaJulius-k1p
@MariaJulius-k1p 3 күн бұрын
Amen Sana Mchungaji🎉
@JoshuaHilgath
@JoshuaHilgath 3 күн бұрын
Asante kwa ujumbe Baba Askofu 👏👏👏
@JoshuaHilgath
@JoshuaHilgath 3 күн бұрын
Amina
@JoshuaHilgath
@JoshuaHilgath 3 күн бұрын
Hongereni sana watoto wazuri Amina ❤
@PaulineSalehe
@PaulineSalehe 3 күн бұрын
Mlee mtoto katika njia impasayo😊🙏
@BerthaMwarabu-m7w
@BerthaMwarabu-m7w 4 күн бұрын
Hongera sana mchungaji Ezekiel Mwarabu Mungu akutunze
@emmanuelrutaihwa6545
@emmanuelrutaihwa6545 9 күн бұрын
Mimi kijana wangu anaishi canada je naye anahusika
@EmmanuelShelukindo
@EmmanuelShelukindo 9 күн бұрын
Hakika mungu unaweza kuniwezesha niweze kuliishi neno
@WilliamKiligo
@WilliamKiligo 9 күн бұрын
Mungu anisaidie niwe na uchaguzi mwema
@SophiaMjema-z3p
@SophiaMjema-z3p 11 күн бұрын
Ameen
@humphreymushi
@humphreymushi 11 күн бұрын
Huyu Baba Dean Mstaafu Amasia Mweta anastahili kupewa Nishani Iliyotukuka.
@FELIXSHEKUMKAI
@FELIXSHEKUMKAI 13 күн бұрын
Kaonge kwaya ya moyo korongwe
@VedastusKanyettor
@VedastusKanyettor 14 күн бұрын
Hekima zako zidumu na ubarikiwe sana
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 14 күн бұрын
Mbona dotto hujajibu asikofu ameongea?
@AloyceCharlesSebaiya
@AloyceCharlesSebaiya 14 күн бұрын
Mama ake bro ben
@AloyceCharlesSebaiya
@AloyceCharlesSebaiya 14 күн бұрын
Kanisa langu
@mamaakyoo2137
@mamaakyoo2137 15 күн бұрын
Kijana amejaa hekima sana.huyu.. Mungu amtunze.
@George-jz3jg
@George-jz3jg 14 күн бұрын
Analelewa kiroho na kanisa la TAG huyu dogo BITEKO
@labancharles8453
@labancharles8453 16 күн бұрын
MUNGU MWNYENZI AWE MFARIJI KWA KANISA LAKE
@doraholotu7794
@doraholotu7794 16 күн бұрын
Pumzika kwa Ameni Askofu C Sendoro
@alexmaula7308
@alexmaula7308 16 күн бұрын
Poleni Sana wapendwa
@labancharles8453
@labancharles8453 16 күн бұрын
MUNGU azidi kumbariki mh Dean kiongozi tunakupenda xn
@eliasemson6690
@eliasemson6690 16 күн бұрын
😢😢😢
@JulianaKiboha
@JulianaKiboha 17 күн бұрын
KKKT sihamiiii
@MariamFilipo-b3w
@MariamFilipo-b3w 25 күн бұрын
Hongereni wadogozangu
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 26 күн бұрын
Exactly Dean, thanks foy your reality.
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj 26 күн бұрын
Kwanini kama huna uniform unaimba?viongozisimamieni maadili ya kwaya, wachungaji simamieni kwaya zisizona utayari, kwa kuokoa muda na kutunza uchaji wa ibada, askofu mbilu uko sahihi sana.hata mimi nimekereka. AMEN
@humphreymushi
@humphreymushi 27 күн бұрын
Watumishi wa Mungu kama hawa ni wachache Sanaa! Kaburi la huyu Baba linastahili kujengwa vizuri kwa mfano wa pekee! Iwe ushuhuda kwa wengine!
@OkulijohnmeenaMeena
@OkulijohnmeenaMeena Ай бұрын
Nafurahi sana kumwona mchungaji Ndimbo ktk huduma hiyo. Namkumbuka tulishafanya nae huduma miaka mingi kupita ktk usharika wa Sekei Arusha. Mungu akutangulie
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj Ай бұрын
Nawiwa kuongea zaidi hapa, kupitia mahubiri ya baba askofu kwa uelewa wangu, kumbe watumishi wetu wakifanya maandalizi mazuri wanaweza kuzuia wimbi la wamama wengi na wengine wanaokimbilia VISHOKA WA INJILI Amen.
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj Ай бұрын
Walawi gospel group arusha Tanzania 🇹🇿 Tunashukuru baba tunajifunza nasi umetugusa hapa walawi, kuna jambo hapa la sisi kujifunza hapa kama watumishi, lazima tufanye jambo kwa wahitaji japo kwakweli huwa tunafanya, tusidharau wito wa kuwasaidia wenye uhitaji ili watu wakiulizwa waseme ni sisi tumefanya, tufanye competition na yule msamaria mwema.Amen
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj Ай бұрын
Among the one bishop, Among those with higher Technical in.preaching, napenda huwa anatoa.mifano hai, maandalizi katika kutoa neno.lazima tufanye maandalizi mazuri, ndio mahubiri yetu yakubalike.Amen
@DavidNashanda
@DavidNashanda Ай бұрын
Nimemuona baba yangu kipenzi Mchungaji Mozes shemweta mungu ampe maisha marefu
@faithmangesho2081
@faithmangesho2081 Ай бұрын
AMEN Mtumishi wa Mungu
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj Ай бұрын
Mungu awatunze sanasana, watumishi wa mungu, kazi ya mungu inahitaji watu waliojitoa kwa.moyo,Rev;Ndimbo nakufahamu sana,mungu amekupa wito mkuu wa. Kitume na unautendea haki, nimekufahamu tangu makorola, msaidie baba askofu atimize maono yake kikamilifu katika jimbo hilo.Amen
@SIMONMBILU
@SIMONMBILU Ай бұрын
Katika maneno hayo naamini watu wamepata somo la uwaminifu ipasanywo Mungu aku tangulie kaka
@ForcusRutaba-uw5xu
@ForcusRutaba-uw5xu Ай бұрын
Ninafurahi kukuona Bishop Mwalimu wangu katika Kozi ya 2014
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj Ай бұрын
Nakupongeza sana sana,bsp mbilu kwa kualikwa kwenye kikao hicho kikubwa cha watendaji wa kanisa,mungu akutunze sana,ni heshima kubwa kwako na.kanisa hususani dayosisi hii,wewe ni.mtu makini. Amen
@michaelambangile3632
@michaelambangile3632 Ай бұрын
Wazee wetu waliuogopa wajibu na wajibu ukawafuata. Very inspiring!
@jeremiamsuya1820
@jeremiamsuya1820 Ай бұрын
Kaz nzur sana mungu awabarik
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj Ай бұрын
This is wonderfully speech provoking me to crying. This is wonderfully speech.
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj Ай бұрын
Retired Rev;mweta,mchungaji anayefanana sanasana hulka.na Tabia zake na.mqrehemu bsp;Joseph jali,kanisa limedumu.kwa.uchaji kwa ajili yao,Nina ujasiri wa kuongea haya, kama ni wokovu hawa.wameokoka,wana zaidi ya wokovu,siri wachungqji wa sana, hebu tutumie fursa hii tuguswe na wito wao.mwema.Amen.TATE UGONE MPEHO.
@SylviaSomi
@SylviaSomi Ай бұрын
MUNGU akubariki Baba Askofu Nina Imani Sasa Deni litakwisha Nasi wenye Dayosisi yetu Tukaze msuli Sasa
@CharlesMaghembe
@CharlesMaghembe Ай бұрын
Mwenyenzi Mungu ailaze Roho yako mahali pema peponi. Tunakukumbuka Baba yetu
@MichaelKingazi-wm7xj
@MichaelKingazi-wm7xj Ай бұрын
Wamtumainio bwana ni kama mlima sayuni.
@SylviaSomi
@SylviaSomi Ай бұрын
Shalom ibada njema