Hao machawa kwenye Mic ni shida. Sasa hapo kuna tofauti gani na hao wanauza maji???
@OptionsLimited-l4s2 сағат бұрын
Motivation speeches
@OptionsLimited-l4s2 сағат бұрын
Ulishakula hela zao bro . Umeingia mtegoni wewe ni wale wale TU hapo unajikosha😮
@endrumtweve45595 сағат бұрын
mahubiri mazuri ila uyo anayepiga kelele na mic anaharibu
@GraceWilliam-d1w5 сағат бұрын
Masanja uko sawa lakini hayo makelele ya hao wanaitikia unapohibiri neno ondoa hiyo kitu hayo ni makelele usiige wenzio bhana watu tunasikia makelele tu
@mwambage972Сағат бұрын
Kweli kabisa nikama ushabiki fulani
@perpetuacastory13 сағат бұрын
Mungu anamipango yake Mungu awabariki sana
@nikodemmwahangila333415 сағат бұрын
Wapige hatakama walikupa hera siku ile wape chuma hicho saaafi
@Kilele-Cha-Sifa17 сағат бұрын
Nimekupata #kilelechasifa
@MusaMsami-yh9cgКүн бұрын
Mbarikiwe watumishi
@TravisScortКүн бұрын
E MUNGU nini hiki Tena,haya maigizo mpaka lini jamani
@GodlistenMarikiКүн бұрын
Kaa mwagona
@iddimohammed7536Күн бұрын
Nyakati zingine usanii haufai jamani
@GeraldMyuku2 күн бұрын
Hapo true
@lilyrose79832 күн бұрын
Sijui hata nacheks nn 😂😂
@lilyrose79832 күн бұрын
Nafurahia sana mafundisho yako Mtumishi.Nikirudi Dar nitafika kanisani kwako nimependa sana wewe ni mkweli 🤣🤣🤣Barikiwa sana 🙏
@@HelbethMlelwa Mbona kaongea kweli watu hawafati neno wanatafuta miujiza na ushuhuda.Sasa hivi tunaenda makanisa ya kinabii kama tunaenda Kwa mganga wa kienyeji
@lilyrose7983Күн бұрын
@@HelbethMlelwa Sidhani kama kawaalika wampe pesa hapo si naona kuna harusi?
@HelbethMlelwaКүн бұрын
@@lilyrose7983 Sio leo dada fuatilia, kama mwezi uliopita hivi alichangisha hela kanisani kwake. Kuhusu kuongea kweli, unatakiwa kuongea kweli ambayo na wewe unaiishi na sio kweli ambayo wewe hauiishi, hiyo haiwi kweli tena.
@MasanjaTVgospelКүн бұрын
amina sana ubarikiwe
@graceyamado85782 күн бұрын
😢😢😢
@veronicaassenga65002 күн бұрын
AMINA BABA NAKUUNGA MKONO NYAKATI TUNAZOISHI TUNAHITAJI KUWA MAKINI SANA.TUKIWA WASOMAJI WA NENO HATUTAYUMBISHWA. KWA SABABU KATIKA KUJAZA NENO KWA WINGI MIOYONI MWETU NI RAHISI KUGUNDUA FEKI NA OREJINO JAMANI MUNGU ATUSAIDIE KANISA
@0689TAGT2 күн бұрын
Amen baba nimekupata vyema
@Rmollelmichael3 күн бұрын
Amen Bishop wangu
@VedastoKilembe-oe9rv3 күн бұрын
Amen amen bishop
@agnesdeogratius70183 күн бұрын
Wote hao niwanachama
@paulmkaztv28664 күн бұрын
Wachawi wote weko apa
@kelvinchaula4 күн бұрын
Mungu ni mvumilivu saaaana nyieeee
@hafidhali30204 күн бұрын
Huyu ndio makristo halisi kabisa,hao wengine ni feki lakini huyu original kabisa,na hivi ndio mafundisho na inavyotakiwa ili uwe mkristo original
@afandechanel15074 күн бұрын
Na sikia Sauti ya katibu
@Nyukiliabingwa5 күн бұрын
Zile vifaa zao tu zinakutambulisha ya kwamba hawa ni nini kwa mtu aliyeokoka anafahamu kila kitu hapa
@subirawasia51805 күн бұрын
Mungu naomba nifundishe kukaa kimya madhabau za kweli wazijua ww
@peterwayesu5 күн бұрын
Huyu jamaa anajua kazii
@user-bx9jo2ul4x7 күн бұрын
Mungu akailaze mahali pema peponi
@gloryleonard15637 күн бұрын
Jamani Mungu akuokoe utembee ktk njia zake zilizonyooka.
@gloryleonard15637 күн бұрын
Siku za mwisho Mwenyezi Mungu atakudai mke wa ujana walo kwenye Ukristo hakuna ndoa 2 ndoa ya kwanza ndiyo inayotambulika mrudie Mungu wako.
@DaudiLacta8 күн бұрын
Watu niwazush San kumusema bahat bukuku
@andreauisso32258 күн бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa ndiyo hii yaani hizi ni nyakati za mwisho kweli
@HappyWilaganu9 күн бұрын
Naona wawakilishi wa yusufa mnajitowa madhabahuni mwa shetani sisi tulie wa mungu hamtuwezi mungu tunae muabudu ni wakwer ila nyie fanyeni hivo ila siku yenu ipo mtowa hukumu yupo mungu atulehemu😮😮😮
@HappyWilaganu9 күн бұрын
Masanja nae naona kashajiingiza kwenye kundi la kenge mamba hakos
@HappyWilaganu9 күн бұрын
Mungu atulehem na atufumbuwe macho ya lohon kuyaona haya ya duniani juu ya watumishi wasaivi wapotoshaji mungu tusaidue😢😢
@user-wr3ho1ie9k11 күн бұрын
washungagi niwambie. munafikili munapereka watu mbinguni alakini wuisho mutapata mambo hamutaweza kujua. wakristo tokeni hapo kwahayo makanisa. prophet ni yesu tu basi.
@costofamily486111 күн бұрын
Usihukumu pasipo kuhukumiwa, Ogopa neno hili, acha kujihesabia haki imagine ww ndo ungekuwa nabii hapo
@costofamily486111 күн бұрын
Wewe usemae hizi ni nyakati za mwisho hazijaanza leo zimeabza longtime tangu Yohana aliwahubiri waru akiwaambia tubuni kwa maana ufalme wa Mungu umekaribia so bado tupo kwa neema tu
@williamrite604912 күн бұрын
Asante YESU KRISTO kwakuwa ulishatuweka wazi juu ya watumishi kama hawa..mkristo kuwa makini hizi ni siku za mwisho..
@EstaDaffi-wg5cr12 күн бұрын
Adi roling ni wale wale piah
@user-sm7gj4mn5n13 күн бұрын
Hapo maandiko yanatimia wakristo wenzangu ila tuombe sana hizi nyakati ni hatari kama una macho ya rohon ona hapo
@wilfredjohn482913 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi Dr Ipyana
@GaudanceYasinta13 күн бұрын
Kifo ni kilekile 1 na mlango ni 1 sisi tu mavumbi ,pesa itakuheshimisha duniani na si mbele za mungu, Sio wote wanaosema bwana bwana watauona ufalme wa mbinguni
@joune13 күн бұрын
Genge la wahuni watupu au na manabii wa kweli wamo?
@NefadSanga14 күн бұрын
Hapo tumepigwa hakuna wachungaji hapo
@sandrangoma-jn9qw14 күн бұрын
Wacongo ni watu wazuti sana tu tunaomba wamrudishe jamani yupo na mazuri wake pia