Afya ya Akili Uzeeni
1:00:16
6 ай бұрын
Afya ya akili: Schizophrenia
1:31:07
Kisukari na Afya ya Akili
1:47:07
Жыл бұрын
Ongeza Ufahamu kuhusu Afya ya Akili
1:15:05
Ugumba ( Infertility in Swahili)
34:22
Mazungumzo juu Magonjwa ya Zinaa
59:49
Sex and Relationship Education.
58:27
Alcohol misuse and Gang culture
1:05:10
Fibroids ( nyama nyama kweye kizazi)
58:15
Malezi ya Watoto  part 2
53:02
2 жыл бұрын
Malezi ya Watoto.   Part One
52:10
2 жыл бұрын
Dalili za unyanyasaji wa mtoto
1:05:11
2 жыл бұрын
World Diabetes Day Talk 2021
1:12:16
2 жыл бұрын
Uviko-19 na Ujauzito
54:00
3 жыл бұрын
Elimu ya Ukomo wa Hedhi (Menopause)
1:16:11
TUHEDATalks : Alcoholism
1:23:28
3 жыл бұрын
Kisukari na Wewe (diabetes and you)
1:16:19
Mazungumzo juu ya Saratani ya Matiti
1:00:08
Dementia (Kupoteza kumbukumbu uzeeni)
1:28:02
Ugumba (Infertility)
1:00:26
3 жыл бұрын
Mazungumzo juu ya Unyanyasaji wa Watoto
1:33:40
Afya ya Mama: Uzazi wa Mpango
36:42
3 жыл бұрын
Pandemic and Child Abuse
1:22:31
3 жыл бұрын
Пікірлер
@HusnaMaleti
@HusnaMaleti 7 сағат бұрын
Na kaman unahisin kama pako nloose
@zabroniadrian5460
@zabroniadrian5460 23 күн бұрын
Nahitaji namba jamani mbona hamjaweka namba
@zabroniadrian5460
@zabroniadrian5460 23 күн бұрын
Hii
@MwanduIpananga
@MwanduIpananga Ай бұрын
Hiyo inaitwa mvulugiko wa homon
@MamisaHamisi
@MamisaHamisi Ай бұрын
Na mimi jamani nateseka sana
@AnsifridaProtas-h4b
@AnsifridaProtas-h4b Ай бұрын
Duh!! nifanyeje niwe sawa i hali inanitesa najalibu kuiepuka nashidwa yani wasiwasi mwingi
@yusuphabdushakitilah7817
@yusuphabdushakitilah7817 Ай бұрын
Aisee hii hali inasumbua watu wengi sana dr. Tunaomba namba yako tupate msaada zaid wa binafsi maana solution ya hili tatizo hatujui ni nn tufanyaje
@khadijaabdallah3074
@khadijaabdallah3074 3 ай бұрын
Doctor tusaidie namba yako mimi unanitesa huu ugonjwa
@thebmcblackmiccatcher3949
@thebmcblackmiccatcher3949 4 ай бұрын
🤝🤝🤝👏👏 all the way from MWANZA
@ddfatma4281
@ddfatma4281 4 ай бұрын
Dokta naomba kuuliza mwanangu anamiaka miwili anaugonjwa wakudondoka nikaambiwa ni dalili za kifafa jee kunauwezekano wa kupona
@KazernMaster
@KazernMaster 4 ай бұрын
Naomba namba zenu tafadhali
@emmyanold9306
@emmyanold9306 4 ай бұрын
Jamani semenu kama kuna dawa ,mme wangu anapata shida 😅
@IlhamAlii-e3w
@IlhamAlii-e3w 3 ай бұрын
Piga
@beathakilunguu7652
@beathakilunguu7652 Ай бұрын
​@@IlhamAlii-e3wdawa
@neemaally9195
@neemaally9195 5 ай бұрын
Jamani naomba msaada huu ugojwa ninao ss ni miaka 20 bado cjapona nasikia masikio yanavuma nasikia kama vitu vinafunjika kichwani cna usingizi
@ClaudiaSembuta
@ClaudiaSembuta 5 ай бұрын
Inanitesa mnoo Toka nifanyiwe op mtoto wa kwanza ni miaka4 sasa
@beathakilunguu7652
@beathakilunguu7652 Ай бұрын
Pole sana dada yangu inshaalah mungu muweza atakuponya
@gatichristopher6457
@gatichristopher6457 22 күн бұрын
Mm pia miaka. Miwil ss
@AishaThabit-yr4mn
@AishaThabit-yr4mn 5 ай бұрын
Tunaomba namba mtusaidie jaman tunateseka
@AshaIddy-pz1qz
@AshaIddy-pz1qz 6 ай бұрын
Dokta nateseka sana unanisaidiaje yaan mimi ninahof kama nakufa kuna muda nakosa hata ham yakula sipati usingiz naomba msaada
@TimaMudimuya
@TimaMudimuya 4 ай бұрын
Duu ww ndo mm kabisa Yan hofu ya kifo inanitawala mpaka najisemea mwenyewe leo mwisho wangu lakin asubui naamka nikiwa mzima kumbe ni roho tu za hofu na akuna dawa nyengine zaid ya maombi
@mwantumually5838
@mwantumually5838 2 ай бұрын
​@@TimaMudimuyaMimi pia hvyohivyo
@gatichristopher6457
@gatichristopher6457 22 күн бұрын
​@@TimaMudimuyakwel kabsa cjui vinatoka wap
@haythamabdallah158
@haythamabdallah158 6 ай бұрын
A.alykum jmn wasiwasi unkaa moyoni eh sazote unaon mbav zabana eh n moy kudund ovy
@wemamwendamseke7331
@wemamwendamseke7331 6 ай бұрын
Nimejifunza sana, asante Dr Hamza
@GlolyKomba
@GlolyKomba 6 ай бұрын
Naomba namba ya doctor
@DominaMushi-t1r
@DominaMushi-t1r 7 ай бұрын
Dr Mimi hiyo hali hiyo inanitesa sana. Na pia kichwa kinaniuma sana, upande wa kulia wa kichwa Karibu na utosini, nasikia kuumwa utazani ni sindano inanichoma Kwa maumivu makalinayoyapata
@JasminJafar-sd4wk
@JasminJafar-sd4wk 3 ай бұрын
hata mm pia
@Octavinaelisa-fn6js
@Octavinaelisa-fn6js 8 ай бұрын
Mimi naumwa naomba namba yenu
@IklimaSuleiman-l7l
@IklimaSuleiman-l7l 8 ай бұрын
Namba ya docter plz
@FrankLubili-g3y
@FrankLubili-g3y 8 ай бұрын
Duuuuh
@Sameena-x9c
@Sameena-x9c 8 ай бұрын
I have my daughter here same problem but we continue with medicine
@Sameena-x9c
@Sameena-x9c 8 ай бұрын
Ahsante tunashukuru umetusaidia sana
@halimaabdallah8775
@halimaabdallah8775 8 ай бұрын
Dah namba zenu jamankm mnasaidia hili tatizo mm nahisi nina afya ya akili naogopa hata kwenda hospital nipo katika hali mbaya mno
@haythamabdallah158
@haythamabdallah158 8 ай бұрын
Nmm hvhv
@IreneShalon
@IreneShalon 5 ай бұрын
Halima naomba unitafte ninashda sana endapo utaona sms hii
@MamisaHamisi
@MamisaHamisi Ай бұрын
Na Mimi pia
@halimaabdallah8775
@halimaabdallah8775 8 ай бұрын
Uwiiii toka nijifunguwe kwa operation ni miezin9 sssa nateseka naona km sio binadamu wa kawaida msaada naogopa kila kitu hospital ndo staki ht kupaona
@haythamabdallah158
@haythamabdallah158 8 ай бұрын
Nmm jvjv
@haythamabdallah158
@haythamabdallah158 7 ай бұрын
Ndo mm nkdhan pkyng n miez8
@SelemaNdulabi
@SelemaNdulabi 7 ай бұрын
Tutaftane jaman inatesa sana
@gatichristopher6457
@gatichristopher6457 22 күн бұрын
​@@haythamabdallah158my dear mm pia nlijfungua kwa operation baada ya miez mi3 ndo nkaanza hyo hal had ss mtoto ana miaka 4 na bado nateseka nayo
@haythamabdallah158
@haythamabdallah158 22 күн бұрын
@@gatichristopher6457 ww upoj dalil zako
@JasmineMushi-bs8pm
@JasmineMushi-bs8pm 8 ай бұрын
Sisi waswahili tuma maliza mb zetu bure maana hatelewi kusoma raha sana
@SelemaNdulabi
@SelemaNdulabi 9 ай бұрын
Instead sana jmn km mtu hajui unachopitia haez kuelewa
@datiuskamugisha5475
@datiuskamugisha5475 9 ай бұрын
Mawasiliano hakuna alafu eti mnatoa dawa!!!
@AnethMartin-q5s
@AnethMartin-q5s 10 ай бұрын
Jamani me nataka dawa nasumbuliwa na huu ugonjwa sana
@Catherinemassau
@Catherinemassau 10 ай бұрын
Hali hii ndo nipo nayo
@ponciandaniel
@ponciandaniel 8 ай бұрын
Tupo wengi
@gloriamakundi6124
@gloriamakundi6124 10 ай бұрын
Wasiwasi unanitesa Sana unapopata wasiwasi unahis kuchoka kutetemeka moyo kwenda kas unahis unakufa unakisa hamu ya kula Kila vipimo Haina ugonjwa huku ndio unaumwa unachanganyokiwa
@SelemaNdulabi
@SelemaNdulabi 8 ай бұрын
Napitia hali kama hiyo nateseka sana
@FatinaKiondo-ke9tq
@FatinaKiondo-ke9tq 5 ай бұрын
Mimi pia nashindwa hata kutoka nje moyo unaenda mbio was was mwingi Yani
@ZainabubakariZainabubaka-ye1ho
@ZainabubakariZainabubaka-ye1ho 10 ай бұрын
kwel kabsa na mm ninashda hyo nisaidie tafadhal nifanyaje Ili niepukane na hlo
@AnethMartin-q5s
@AnethMartin-q5s 10 ай бұрын
Wekeni namba jamani
@dericktouch5723
@dericktouch5723 11 ай бұрын
Hii hali inanitesa kila nimienda osipitalini wananielezeq kwa hali ya kawaida kuonesha kua ni hali ya kawaida ila mfano saivi nimefika kipindi ambacho saivi naumwa na kifua kila muda mbaka nahisi kua na tatzo la moyo nisaidieni nifanyeje maana kama nakufa mimi
@beathakilunguu7652
@beathakilunguu7652 Ай бұрын
Pole sana me najitahid kupotezea 😢
@gatichristopher6457
@gatichristopher6457 22 күн бұрын
Ukwel n kwamba hii hql inatuumiza mno mm pia nliwah kuhc nna tatzo la moyo nkaenda kupma nkaambiwa cna tatzo, ila mateso yake ss ila kinachosababisha hyo hal kuongezeka n kuliwaza hlo tatzo zaid yaan akil kuhamia hapo bas inazd kukua....mm najtahd kupotezea ila kuna wakat nashndwa​@@beathakilunguu7652
@AnethMartin-q5s
@AnethMartin-q5s 11 ай бұрын
Tunaomba namba jamani
@AnethMartin-q5s
@AnethMartin-q5s 11 ай бұрын
Tunaomba namba jamani
@anneokoth3466
@anneokoth3466 6 ай бұрын
Jmn tusaidien number tutakufa na wasisi jmn tunajiisia magonjwa ambayo pengn hatunayo maan me ap kidgo kufa.lkn nishukuru mungu nimeingia yutub nimepata amani lzm nilishinde jrb ili
@aloycebabene6239
@aloycebabene6239 11 ай бұрын
Hongereni sana kwa ufafanuzi huu.
@RojahKamalza-lw3ls
@RojahKamalza-lw3ls Жыл бұрын
Dawa yake nini sasa jamn
@RojahKamalza-lw3ls
@RojahKamalza-lw3ls Жыл бұрын
Naumia sana jamn
@chikuterra6625
@chikuterra6625 Жыл бұрын
Huu ugonjwa unanitesa sana Kuna wakati nashindwa hata kukaa nyumbani. Namba please
@Haulat-yc9gz
@Haulat-yc9gz Жыл бұрын
Dokta ningeomba namba yako tafadhali
@JUSTINGEORGE-tn8fj
@JUSTINGEORGE-tn8fj Жыл бұрын
Naomb nsaidie tiba ake mama ( woga na wasiwasi)
@EmanuelallenTashi-vn2uj
@EmanuelallenTashi-vn2uj Жыл бұрын
Duu mm mtupu vp ushapona
@JUSTINGEORGE-tn8fj
@JUSTINGEORGE-tn8fj Жыл бұрын
@@EmanuelallenTashi-vn2uj yeah hakikaaa nshapona japo in other way
@pililikombola1469
@pililikombola1469 Жыл бұрын
​@@JUSTINGEORGE-tn8fj Naomba unisaidie jaman 🥺
@FarajaMadege
@FarajaMadege 8 ай бұрын
Mliopona mtusaidieee
@cutesalma4340
@cutesalma4340 Жыл бұрын
Doctor naomba uongelee kuhusu maumivu ya kinena
@BahatiEmmanuel-ec7fk
@BahatiEmmanuel-ec7fk Жыл бұрын
Samahani kaka tunaomba namba za huyo daktari
@yakobolusasu1821
@yakobolusasu1821 Жыл бұрын
Kwani kinena ni nn maana naona hauongelei hicho uloandika
@xgangtz2023
@xgangtz2023 Жыл бұрын
Doctor tusaidie nambazenu tufike ofsini kwenu
@hemedhajikiumba
@hemedhajikiumba Жыл бұрын
Naomba namba yako doctor
@naimahassan8093
@naimahassan8093 Жыл бұрын
Mimi nilienda hossy nikaambiwa sina shida
@naimahassan8093
@naimahassan8093 Жыл бұрын
Sasa ukiwa waona damu kila mwezi huwezi pata mimba ama mtu aweza kukuita tasa kweli