Bwana naomba Neema yako iwafunike watoto wangu...uwakutanishe na watu sahihi maishani mwao...
@janethmmari6968Күн бұрын
Nimebarikiwa kwa mafundisho yako Pastor,nimepata kitu leo nitafanya Agano na Mungu juu ya wtt wangu leo kwa sadaka ,barikiwa
@flavianarwebangira67262 күн бұрын
Hakika Mungu anakutumiakulieneza neno la Mungu
@user-ju5bu1ph8s2 күн бұрын
Amen
@salomemombo60713 күн бұрын
Amen 🙏 be blessed
@nambangaisaac39013 күн бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 thank you man of God for a powerful message.
@DelianNyambu-pu3gc3 күн бұрын
Ameen Amen
@ayubonyando3 күн бұрын
🙏 Amina zaidi Mtumishi Wa Mungu
@NjibuDeyeye4 күн бұрын
Namimi naitaji kuhungwa kwenye group la WhatsApp la mafundisho
@richardmwangi37104 күн бұрын
Katika jina la yesu twaomba na kuamini amen amen
@user-nc2iw8mt3z4 күн бұрын
Amen
@fitnessmadness91934 күн бұрын
Amen 🙏🏼,,,I suggest keyboard ikuwe silenced time ya neno. Thankyou😊
@PurityMmbone-fh4cc4 күн бұрын
Amen 🙏 mafunzo mazuri sana
@LucyNgowi-dv4xl4 күн бұрын
Hakika haya maombi yamenibariki Sana na nimeona utiisho ofisini kwangu pastor mungu aendelee kukubariki
@JofreyDamson-nm6ec5 күн бұрын
Napokea uponyaji kwajina layesu
@JofreyDamson-nm6ec5 күн бұрын
Nimeiona uvumbe kwajina layesu
@user-kq9je6zf3v5 күн бұрын
Amen 🙏
@kobylwaho31915 күн бұрын
Napitia hali ya kumwagiwa damu kwenye malango ya biashara,natumiwa bundi saa sita mchana Mungu nisaidie kwa haya ninayopitia malango yangu yasifungwe na washirikina😢😢😢
@patrickluvanda-rs1fg5 күн бұрын
Ameen Ameen Ameen
@VicentBakila6 күн бұрын
Amina baba
@user-nc2iw8mt3z6 күн бұрын
Amen
@subiramwakalonge50736 күн бұрын
Amina
@RoroRoserororo6 күн бұрын
Amen
@mariamwakajila2356 күн бұрын
Amen Amen Napokea kwabaJina la Yesu Kristo Aliye Hai🙌🙌🙌🙌🙌🙇🙇🙇
@BahatiJohn-zd9px6 күн бұрын
Nimefunguliwan kwa jina la yesu kristo
@AgnessGabriel-lx2ug6 күн бұрын
Sinza Afrika sana barabara ya kuelekea mabatini ,baada ya soko la Afrika sana ukitembea utakutana na bango lenye picha ya Mchungaji wetu Pastor Myamba na hapo hapo ndipo kanisa lilipo
@AgnessGabriel-lx2ug6 күн бұрын
Dar es salaam
@kak-ht7fk6 күн бұрын
Hili kanisa lipo wap Jamani kila nianze kusikiza nimebarikiwa na nasonga kqenda kiwango kingine.nataka siku moja nikuje kuabudu mungu wetu alive hai
@irenmendez7 күн бұрын
Gift Gless na Glory Mungu wa Mbinguni awatete watoto wangu Kwa uwezo wake🙏
@EdnahenryJuma7 күн бұрын
Nashukuru Kwa maombi haya mama alikua anakohoa sana usiku huu nimeshika kifua changu badala yake ameacha kukohoa na amepata usingizi shetani ameshindwa Kwa jina la yesu Asante yesu
@janetduncanjanet63707 күн бұрын
Amen
@alineniyonkuru7 күн бұрын
❤❤❤❤❤Amen
@user-nc6dx6sh7o7 күн бұрын
Napokea uzima kwajina la yesu Kristu nimepokea uzima kwadamu yayesu
@niubility57457 күн бұрын
God show me your ways,Amen🙏🙏
@tunumilanzi50977 күн бұрын
Amen
@MwanaidNkuruvi-wj1ti7 күн бұрын
Riordan mafuru ndio wa kwanza naomba uwaombee
@Lucyiminza183287 күн бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@GeoffreyKamala7 күн бұрын
Ameee
@HappyAlpineVillage-zz5bc7 күн бұрын
Ameni mtumishi mungu aniteende nije ni mshuuhudie
@christinaoyye40597 күн бұрын
Amina
@Lucyiminza183287 күн бұрын
Amen and amen 🙏 🙌 👏
@user-vx5rb6rg1v7 күн бұрын
Amen 🙏
@MuniraMaliki9 күн бұрын
Nataka nipone roho ya hofu na fahamu zangu na macho na mwili kuhisi homa yesu nitendee amen
@ClarisSidi-lv1eu9 күн бұрын
Amen 🙏🙌
@Lucyiminza183289 күн бұрын
That's me Hua napambana sana wakati wa maombi now I know where is the problem.