I need to help me please 🙏 call me my number 0747528267
@edwardlongishu94263 жыл бұрын
Unasoma kwa mda gani?
@charlesmyamba85313 жыл бұрын
Npeni mawasiliano yenu mnaptikana wapi
@emmanuelwankururyoba26353 жыл бұрын
Nawapataje nataka kujiunga nanyie
@tz15643 жыл бұрын
Kwenye mcb taa utafunga 6A mara nyingi 32A kwa sockets demand ni kubwa design current yako iwe less au sawa na mcb rating.wafundisheni kufuata wiring regulations
Niungeni group....la,,,, what asap no angu 0620298751
@johnmanase74613 жыл бұрын
capacity.... y..... 10...kana kwamba... kiwango cha kubeba mzigo...isizid 8taa.... Jee taa za voltage? Hizo aan
@mwakisukuli21244 жыл бұрын
Mko vizuri sana
@andanesalimoandanesalimo17854 жыл бұрын
Asalam aleykum munapatikana wp?
@haidaryomari81764 жыл бұрын
Kwa mfano unataka kusoma unasoma kwa mda gani
@hildaephraim83474 жыл бұрын
Jaman kama mita yako ya umeme inaandika Error - 77 unafanyeje Jaman naomba mnisaidie
@billionairesmind1824 жыл бұрын
Sauti haijakaa sawa
@ibrahimmzee62524 жыл бұрын
Hakuna kigeni kwangu ufundi uo aah cha mtoto tu
@ezirapetro87334 жыл бұрын
Mawasiliano pleas
@patrickjacob70664 жыл бұрын
Naomben namba zenu nataka hii kitu
@cathychristian10824 жыл бұрын
good
@cathychristian10824 жыл бұрын
komaa kakaa utajuwa tuu ondoa hofu
@maigagoodluck14814 жыл бұрын
yaan we gembe unavyombana huyo jamaa maswali afu upo serious ha ha ha haaa...
@eufranciamushi40775 жыл бұрын
Mm pianasomea hiyoo
@princepaul45945 жыл бұрын
Natak namb za chuo unacho soma
@paschalmaghembe14514 жыл бұрын
naomba kufaham chuo kiki ni cha serikali au binafsi
@nicolauslukindo93205 жыл бұрын
naombeni namba zenu uwasiliane Nataka kujiunga
@andreamlwafu38445 жыл бұрын
0765565082Anatamani niwe FUNDI kwa gharama yoyote ile
@andreamlwafu38445 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yako fundi
@andreamlwafu38445 жыл бұрын
NAOMBA mawasiliano
@andreamlwafu38445 жыл бұрын
Mko vzr lete namba tutaftane
@jumamandwa20395 жыл бұрын
Nahitaji nijekuwa electican enginering
@asmaabdallah47405 жыл бұрын
nc
@asmaabdallah47405 жыл бұрын
nice na mm ndo najfunz
@ajajomedia12202 жыл бұрын
Oi badooo ipo mpaka asaiv
@sadamzm85186 жыл бұрын
Iyo veta iko mkoa gani naomba mnijulishe jamani 0718433444
@vsomoveta8236 жыл бұрын
Habari yako! Namba yako tumeipata, tunawasiliana na wewe kwa maelekezo zaidi! karibu!
@babalao94295 жыл бұрын
sawa ndugu
@seifalkan_tanzania39864 жыл бұрын
V somo nyie ni wababaishaji baada ya kuiona video hii nilihamasika sana nikajaribu kulipa ile pesa ya ada 120,000 lo., mwaka wa pili sasa mnanipiga sound namlisema ni mafunzo ya wiki mbili tu mpaka sasa hela yangu imekwenda na hapo hakuna kesi sababu ni ujanja ujanja kwa njia ya mtandao kiukweli mpaka sasa Mimi sio balozi mzuri kwenu. Sababu pesa yangu mmeipiga nawashauri watu wasithubutu kulipa pesa kwa hawa jamaa wa V somo ni wapigaji tu bora waende pale pale vyuoni. Mwnyekutaka kuniuliza swali kuhusu hawa jamaa wa Airtel V somo anicheki nimpe muongozo kuhusu hawa jamaa ni noma jombaa 0685 59 11 54/ 0713 77 68 67.
@wzk25586 жыл бұрын
hivi magari hakuna kujifunza kuendesha
@vsomoveta8236 жыл бұрын
Habari, kwa sasa ufundi wa Magari haujaingizwa kwenye VSOMO ila tunaelekea kufanya hivyo mapema iwezekanavyo. Karibu kudownload VSOMO App yetu
@tuacaremkodo22956 жыл бұрын
0744961163 kama kuna group watsap niunge mhandic
@vsomoveta8236 жыл бұрын
karibu kutembelea facebook page yetu kwa taarifa zaidi, kwa sasa bado hatuna grop la whatsap
@husseinmuslimfundiumeme14396 жыл бұрын
saf San wazeee 0716391256 whasupp
@mrkaisi45316 жыл бұрын
icho kitu nakielewa sana
@vsomoveta8236 жыл бұрын
Karibu sana kujiunga masomo haya kwa njia ya simu ya mkononi, unasoma kwa gharama nafuu sana, kwa wakati wako binafsi kutumia simu yako, na kwa muda mfupi kwenye chuo cha VETA kilicho karibu nawe.
@anodjohanes59215 жыл бұрын
VSOMO VETA naomba mnielekeze namna yakujiunga maana app tiar nimesha ipakua ila nimeshindwa kujiunga sana sana kwenye neno la sili ndo nimeshindwa kujua naweka tarakim ngap plees nielekeze
@johnleo47166 жыл бұрын
Safi sana
@vsomoveta8236 жыл бұрын
Karibu sana kujiunga masomo haya kwa njia ya simu ya mkononi, unasoma kwa gharama nafuu sana, kwa wakati wako binafsi kutumia simu yako, na kwa muda mfupi kwenye chuo cha VETA kilicho karibu nawe.