Nilichapwa sanaa kwa Tajweed Alhmdlllh Allah Amrehemu mwalimu wangu Hadi sahizi ninasoma Qur'an kwa ufuswaha
@sim98593 күн бұрын
Walimu wajitahidi wajifunze Tajiwid vizuri na wao,wanafunzi wanasoma makosa sana na wanaacha kukosoa, walimu pia wanasoma makosa kwenye tajiwid, Allah atuwafikishe kwenye kheri
@mutumwinkaashura18973 күн бұрын
Ungesema walipo kosea Ili wakosowe maana Wanasoma comment, wanajitahidi Allah azidi kuwaboreshea na kuwawekea ikhlas katika amali Yao.
@sim9859Күн бұрын
@@mutumwinkaashura1897 huwezi kukosea hapa kwenye komenti maana kina hurufu ambazo zitakua ngumu sana kuziandika kwa kiarabu, ila nadhani kwa kupitia komenti hii watachunguza video hiyo kila hatua na kuona kosa.
@HabibaAli-x1n3 күн бұрын
Manshaallah
@AN.NUSRA.TV.3 күн бұрын
TABAARAK ALLAH
@RittaRitta-gi1tf3 күн бұрын
𝔸𝕒𝕝𝕝𝕒𝕙 𝔾𝕆𝕆𝔻 𝕚𝕤, 𝔸𝕒𝕝𝕝𝕒𝕙
@jumaciza46110 күн бұрын
Ahmadiya ndio Mawahabi wala?
@SarahPrecincesse13 күн бұрын
Mashaallah
@toyikudratullah146613 күн бұрын
Misigari jitaidi kutumiya kauli watu tuache maanswii sio watu waache maanswi wewe haumo?
@toyikudratullah146613 күн бұрын
Kka yngu maneno ya Allah tusitaniye nayo mola atatumbuwa tuwe makini san san
@toyikudratullah146613 күн бұрын
Asante kka kw ukumbusho vip ukisema kuw mwisho weny kuishi kweny maaswi humaliza vibaya vipi nikweli nikweli nikweli nikweli vipi nawewe mke wako kwenda ulaya myaka hadi sasa hana maharimi yuko mbali nawewe vipi unaimani gani kuwa kule atajihifazi kiufupi tujifunze kusema tunayo ya ishi njo wewe unafundusha nawew unavunj sunnat pia kuw makin san san.
@balkissMuhammad-sk1ic13 күн бұрын
Bismillah
@balkissMuhammad-sk1ic13 күн бұрын
Bismillah
@balkissMuhammad-sk1ic13 күн бұрын
Bismillah
@ShaniRadjab13 күн бұрын
Maasha Allah Allah azidi kuwapokeleya Mambo yenu kwakweli n'a furuhiya sauti yaku mpaka nakusikiliziya wivu n'a mjomba Allah anipe mjuku wa kuhifadhi cor'an awe n'a sauti kama yako insha Allah •Amin Amin Amin sheikh wetu Naomba unipe kunzu zote ulisoma mimi kwaukwe nikisikaya gisi unavyo soma maneno matakatif ya Allah najisikiya vizuri saaaana
Safi san san kukemeya maovu haya ila uyu umoja tuupeleke comibu kwenye maendeleyo tumsaidiye mufti ili tulete maendeleyo ya kiuchumi burundi itakuwa bora zaidi.
@SibomanaAbdoulkarim18 күн бұрын
NAAM MWANACHUONI UTAMUWELEWA WAKATI WAKUJIBU MASWALI ALLAH AKUIFADHI MZEE WETU
@abughaneem922018 күн бұрын
Kundi lililo okoka katika makundi 73 ni kundi la ahlusuna walijama ama ukitaka utawaita salafu ama ahlulihadithi. Yani kundi linalo fata suna za bwana mtume na Quruan
@butoyihussein441118 күн бұрын
maashallah tumefaidika
@Nahishakiye119 күн бұрын
The legend will always be the legend, Allah yahfadhuka yaa sheikhanal habib sheikh Ally Sompwe❤❤❤ barackallahu fiika wa jazackallahu khairan fill dunia wal akhera❤❤
@AboubakarNiyonzimaAboubakar3219 күн бұрын
Mzungumze na makundi mengine ibadhi Tabligh rafidhwa ...
@ALLYnzeyimana-y6q19 күн бұрын
Saasa mimi nauliza apo nyumbani kulingana na mafuhumu ya wamoja kuundi gani njo la kiiislam Nijuwe bimaana warabuni tulisoma na wanafunzi makundi tofauti hadi waaalimu ???? hadithi ilisema kundi 73 zitaenda moton ispokuwa moja. Na ilo kundi halijatajwa jina bali mtume kalisem sifa yake shida apo hoe wanalipa jin ilo kindo inafika inaleta mtafaruko mkubwa na serekali siiiimewapa kibali na Comibu?