Zalim mkubwa ni mmarekani ambae nisawa na shetani tu
@woah.africa9926 минут бұрын
Na cheni kavaaaa
@Thomas-wj6dx50 минут бұрын
Umaskini na shida zingine zilizosababishwa na mifumo mibovu ya kiserikali ndio sababu za watu hao wote kukimbilia humo
@TobiassimonWalila-h9iСағат бұрын
Assante yesu nimepoquea👏👏👏
@naelijwamduma4255Сағат бұрын
HALELUYA 🙏
@SamwelDaudi-qj7jsСағат бұрын
😂😂😂
@siliviamaneno29052 сағат бұрын
Mutume mungu akuweke miaka mingi muno vijukuu vipokee uduma yako ubarikiwe sana
@yussufmohammed92993 сағат бұрын
Namzamini MANDONGA Mm
@Afrikalove7363 сағат бұрын
Yaani apo waislasmu ndio wamejaa😂,wakioätoka apo wanaitukana dini ya krikristu
@Afrikalove7363 сағат бұрын
Yaani apo waislasmu ndio wamejaa😂,wakioätoka apo wanaitukana dini ya krikristu😢
@DuliBrillant-mr8er4 сағат бұрын
Msanii wa kawaida lazima upande mchana
@DuliBrillant-mr8er4 сағат бұрын
Mze kwa hao aloingia nao diamond ni mkubwa kiu umri kweny usanii lakin kiustar hakuna anaemueza
@furahachuma90394 сағат бұрын
Huku kila siku nilikutoa nilikutoa nilikutoa nilikutoa Haaaaaa
@ludoviclymo20444 сағат бұрын
Ndugu yangu mwamposa.wafanyakazi wakoleo wamepoteza sadaka nyingisana hasa leo.kingine wagawamaji. Majibu mabovu sana.kingine nazani tangu ufungue ilo kanisa ujawai fika vyooni 6:28 6:28
@ramayonline22817 сағат бұрын
Apo ni Dubai broh
@dicksontimotheo76177 сағат бұрын
Acha ujinga fanya recap ya vipindi crownfm mana ww ulisemaga kiba hana uwezo wa kusimamia media....ebu tufanyie recap tuone
@furahachuma90394 сағат бұрын
Hawezi, ni wivu tu unamsumbua huyu mtangazaji.
@Luckreadyog7 сағат бұрын
Kuna wakati niko najiuliza ilo promotion unakuwaga na liongelea ni lipi ?
@aronmapunda20238 сағат бұрын
Ni wazi kuwa watu wanavutika na pesa, pia ufahamu kuwa Mungu unaye mtumia ni kivuli cha shetani udhihirisho ni 1Wafalme22: 19-23
@ISSASHABANI-sw7lx8 сағат бұрын
Haijaenda kwasababu hana mashabiki wanao mkubali mashabiki zake wote watoto wadogo ndio wanao msiliza young lunya hem nenda kaangalie album ya roma mkatoliki alafu ndo utajuwa kama young lunya ni mtoto wewe kila siku umengangania promo promo mbona wewe hicho kipindi chako hukifanyii promo😮
@ISSASHABANI-sw7lx8 сағат бұрын
Wewe si ndo ulie kuwa unasema yuong lunya ndo msanii wa hip hop mbora leo hii unasema nini sasa kwenda huko mnafki wewe hiloooooooo😮😮😮😮
@davidmangilile35689 сағат бұрын
%90 wanamini watakuwa matajiri 😂😂😂😂
@mustafamsati959910 сағат бұрын
Acha wafate miujiza naskia anatibu had kansa rakini siku wakishajua anatumia hirizigan watakimbia kama kwa kakobe
@ankalmzito25410 сағат бұрын
Hapo kwenye Alikiba na Diamond daaaahh hatari....
@mustafamsati959910 сағат бұрын
Mapungufu yanakuaga kwenye nyimbo ambazo sio za WCB tu hahaha yan hata huna aibu et upendo wakati roho inakuima
@furahachuma90394 сағат бұрын
Huyu huwa ni chawa kindakindaki wa WCB
@SharafiPanjoro-mg9uw30 минут бұрын
umeona eeeh huyu jamaaaa mapungufu Anaona nyimbo nje na wcb tu huyu jamaaa sijui yukoje
@filskischannel973711 сағат бұрын
Almost one million people gathering there 🤔 , what a massive crowd🤔🤔🤔
@TM-zs3rm11 сағат бұрын
Acheni propaganda kanisani. Mnamdhihaki Mungu. Msiwahadae watanzania kwa manufaa yenu binfsi. Nanyi ndio mnaowanunua hai mabinti.
@Oldskulgemini999111 сағат бұрын
Sasa mtangazaji inatakiwa ujue kutofautisha kati ya single na album, hata huko Duniani msanii akiachia album namba zake haziwezi zikawa sawa na akiachia single kwa muda huo huo mchache. Album ni project ya pamoja huwezi sikiliza album kama single Moja album inabidi ipewe muda mrefu kidogo sio siku chache tu unaanza kuijaji mbona hizo namba ni namba nzuri tu ukizingatia soko letu la hip hop kilivyo jamaa amejitahidi Sana kwa hizo namba, unatakiwa ujue mziki wetu umeathiriwa zaidi na amapiano na miziki mwingine kuliko hip-hop hizo namba kwangu Mimi kwa muda huu naona ni namba nzuri Sana kwake
@TM-zs3rm12 сағат бұрын
Msimchezee Yesu madhabahuni. Fanyeni kazi zenu vizuri kwa haki ndio kazi yako. Naye atakutukuza. Majukwaa ya Yesu usiyatumie kwa manufaa binafsi. Una madhahabu yako nenda ukatende haki. Thats terrible
@IsaacLameck-nz8yr13 сағат бұрын
Shetani ana watu wengi
@deboymaxmil498014 сағат бұрын
🙆♂️🙆♂️
@ISSASHABANI-sw7lx14 сағат бұрын
Huyo pogba mwenyewe skuizi kawa mtu wa kawaida sana tu kama yy ni mwanaume akukutane na kina mbape mess naymary na ronado
@ramayonline22817 сағат бұрын
Kaa mkao wa kula
@AshaHadhidha-hj3ooСағат бұрын
Kamshike tako
@AbuuMkabugo15 сағат бұрын
C ufaransa bhana ispein na jaman
@user-pk1yl7zt8p15 сағат бұрын
We mmakonde haujui me Simba la masimba dangote 😂😂😂😂
@AjeMediaGroup.15 сағат бұрын
Angalia album za wasanii wakubwa wote marekani kisha urudie kurecap hii content yako kaka! hiyo ni album sio single songs kumbuka ni album inayostreamiwa platform tofauti Vedio ndo zitaleta namba hapa mkubwa
@allysaidlyambange450016 сағат бұрын
KWELI KIFO HAKIPO MBALI WATU WANATISHA KAMA WAZEE USONI
@RamadhanpMwakilasa-di5hc16 сағат бұрын
Sasa yule kirandage anaweza kumsogelea pogba
@AshaHadhidha-hj3ooСағат бұрын
Ataulizwa who are you
@user-pk1yl7zt8p16 сағат бұрын
We zombie haujui
@kayblack202516 сағат бұрын
🔥🔥🔥
@kizzobkali169116 сағат бұрын
Uyu jamaa ana tisha
@omarymohamedi-ex8mw16 сағат бұрын
doto utakufaaa
@IssaIssa-wc6nm16 сағат бұрын
Kulilia kolabo zakimkakati tu ... Kusapoti wasanii waendembele aaaah utaki
@christiancuma614616 сағат бұрын
Bro. Mbona hauja fanya Recap juu ya studio na vipindi za Crown media? Love from Congo
@ISSASHABANI-sw7lx16 сағат бұрын
Kwa nini asiemde yeye kwanza kimataifa mbwa huyu kwani yeye hafai kwenda huko kimataifa
@WendoJuma15 сағат бұрын
Kweli kabisa..jamaa mnafki sana
@mustafamsati959911 сағат бұрын
Mi nishamsona hivi ushawai kuona anatoa mapungufu wimbo hata wa msanii mmoja wa wcb ? Hata aimbe hovyo
@OnlyRuky16 сағат бұрын
Nani kakudanganya King na Dainamoo ni jambo la kibiashara?
@emilyvicent196916 сағат бұрын
ndio kwanza siku SITA kaka inabidi tuwape muda management mbona alifanya wasafi
@imanuelnguya927717 сағат бұрын
Asante sana mchambuzi wetu umeongea vzr sana kweli wasanii wetu wawe wamoja
@mustafamsati959910 сағат бұрын
Kwaza yeye mwenyewe hana upendo na wasanii hivi nikuulize umesshawai kuona anatoa mapungufu wimbo wa hata uwe wa kucoppy ila ni kutoka wcb?manguf ni kaz ni kwenyekaz Za wasanii ambao sio anaowapenda tu je yupo fea? Huyo mtu ni chawa tu hana lolote anakatisha tamaa wasanii
@frankngoloka541617 сағат бұрын
Wabongo atupendani
@JaphetBenitho17 сағат бұрын
Saluti broo
@LeonardmpembaMsemakweli-q8s17 сағат бұрын
KWELI KAKA MIMI NAKUKUBALI SANA BLO WEWE NIZAIDI YA WASEMAJI YANI BLO ❤❤❤❤❤❤
@user-sp6gb6mf5y17 сағат бұрын
True
@rahmarama566918 сағат бұрын
Sema hv Ma Samia Nakuomba Mrudishe Huyu Kazini Tena Umweke na Makonda Utaona nchi itakavyo safishika nakutftia 5 G Bora Tanzania hpo ni 2