😢😢😢nimerogwa ivyo ivyo kimasihara masihara kisa damu ya hedhi ya kwnz. Tena n mtu wa karibu alicho kua anakifanya nilidhan ndio mafunzo ila nmekuja kugundua baadae baada ya kueleza wakubwa wengn nilichofanyiwa kule ndan ya mafunzo .
@ibrahimoAli-m3s7 сағат бұрын
😢😢🎉🎉😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MustafaAli-w4x4s12 сағат бұрын
Wallah shekh huyu mpuuz tena mjingasan tena mjingasan ,wana maswali ya kijinga maanayeye mjinga nahao wanawake pia wajinga, pumbavuzao huyu apigiwe marufuku kutangaza ujinga,kinyume naapo afungwe,wapuuzi wakubwa, shekh fanyakazi watanjooka2.
@MustafaAli-w4x4s12 сағат бұрын
Huyu shekh mjingakwel ivondo alivofundisha mtume iyo ndo hekma na busara katika kuelimisha, hatakama kakosea lkn musimshambulie kwakumtoa makosa maana naww mwenyew hujakamilika, ukimuona mwenzio kakosea musimtangaze hazaran kumtoa makosa tumieni njia ya private kumuelimisha msiwe wapuuzi,tumieni busara ,kaziyenu kukashifiana2 ibada zinawashinda, wakristo kibao wanataka kulinganiwa, na waislam pia wanatak kupewa darsa maan maasi kibao yanafanywa tokeni kwenye mitandao mkawalinganie wakristo ,nasio kuweka mjadala wa elimu waislam kwa waislam ,mnatuaibisha wenye dini pumbavuzenu acheni izo tabia wapuuzi wakubwa nyote hamjielew.
@NisherMpelela13 сағат бұрын
Mashallah
@suleimanroba589614 сағат бұрын
Allahuakbar !kwa elimu yenu nimeipenda na pia nimeelimika allah akuhifadhi
@ContentSmartphone-rq6po18 сағат бұрын
Shukran
@NasraIbrahim-dw1hr19 сағат бұрын
Sheikh Allah akuongoze kwa kila her nakupenda kwa ajili ya Allah, Allah atujalie tuwe miongoni wa waja wake wema pepon Allah umma amiin🙏
@abdallahamad468223 сағат бұрын
Mashallah... Mwamba talent
@NahimanaAssumaniКүн бұрын
Allah atuongozeye kizazi cetuuu kwahuruma wake
@MiskiBakaliКүн бұрын
Shekhe ujumbe umefika kwa makungun wa tz Allah akulipe Kila lakher
@HarunaShabani-hy8mxКүн бұрын
mnapeyanaa maujinga
@khalfanMohammed-j7cКүн бұрын
Sawa unajua ww tu basi
@HakizimanaSamson-b9s2 күн бұрын
Muhammad nimutume washetani
@HakizimanaSamson-b9s2 күн бұрын
Muhammad nimutume washetani
@DelightfulPenguin-wk4kv2 күн бұрын
Jazaaki Llaah khayran sheikh
@ShadiaS-j2p2 күн бұрын
Mashallah
@ZulfaSadick-s4d2 күн бұрын
Mh aya 2 mbingun kutakua nakaz jaman
@RamlaSaid-w8h2 күн бұрын
Welcome Ramadan Mubarak
@amamossi42032 күн бұрын
Mashallah tuwe kauli nzr za kujihu kwa Allah m.mungu akubariki
Wakati umewadia masheke wasio choka kuzozania mwezi na maulidi wapuuzwe. Masheke wenye kutambua cancer inayo zuia mukhtatha wa jamii ya waislamu wasimame kidete kuahakikisha shule zinajengwa ili vijana wakisslamu wanapate elimu zote mbili, hospitali za waislamu zinajengwa taifa zima, shule za kiufundi na vyuo vikuu kuwawezesha vijana, uboreshaji wa makaazi ya waislamu waishi kama wanaadamu na kadhalika. Wakipatikana masheke sampuli hii hawa wakupenda kelele watajisikiza wenyewe na uislamu utapata nguvu na kusonga mbele
@SuleIstighfar2 күн бұрын
Tunafuata mwezi wa kwetu ni Tanzania tu au Kila nchi ina mwezi wake? Dunia moja siku ni moja ila tunahitalifiana kwenye mwezi kweli? Na Kila kitu kipo wazi Allah ametupa utandawazi uliokuwa haukuwepo kwa waliopita kwani wao waliirithi dini km ilivyotoka kw mtume saw na ss elimu hiyo hatuna ndio maana tumepewa utandawazi.
@bashkamohamed30412 күн бұрын
Mufti angeelewa kufata na kulingadania sunna kama hadit amesoma hapa angekua mufti ya kweli hata mbele ya Allah
@saumumagembe29562 күн бұрын
nmewaumba majini na wanadamu lli waniabudu....msioamini hiari yenu maana nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu
@NajmaNajmakimweri2 күн бұрын
Sasa umekuwa na huo ndio ushekhe
@hamadsaid22322 күн бұрын
Jee unapoweka ushu Hali yakua hujakamilika, Kisha ukatokwa na upepo je uendelee au uanze upya?
MAASHAALLAH, HAKIKA HUKU KUBADILIKA KWA SHEIKH KISHKI KTK MSIMAMO HUU WA MWEZI AMBAO SIO WA KIMATAIFA NI MATUNDA YA DA'WA YA SHEIKH MUHAMMAD IDD, LEO HII SHEIKH MUHAMMAD IDD AMEONDOKA ULIMWENGUNI NA SHEIKH KISHKI NAE AMEACHA KUPINGA WANAOFATA MWEZI WA MWANDAMO WA NCHI HUSIKA WA KUUONA KWA MACHO ILHALI ALIKUWA ANAPINGA VIKALI... ALHAMDULILLAH, ALLAH AMREHEMU SHEIKH MUHAMMAD IDD, AMTHIBITISHIE KAULI ILIYOTHAABIT NA KABURI LAKE ALIFANYE KUWA MIONGONI MWA VIWANJA VYA PEPONI, AAMIYN... 😢
@Marem-nl3tf3 күн бұрын
Shukrani kwa elimu nzuri, Allah akupe taufiki ilio njema sheikh wetu inshaallah 🙏🤲🤲🤲
@Hussein-l6v3 күн бұрын
wew nimhadhr wakmataifa shekh na kukubali allah akulip
@feiswalsalim21173 күн бұрын
shelh wakwa wa irinfa shekh said alikuwa akifanya bishara kuza mgozi iringa akowapi apia alishikwa kuwa pia yeye kuwasaidia makgaidi atii alikuwa ukweli amaa auu
@MR_GROUZER3 күн бұрын
Mwezi wa kimataifa wamekubaliana maimamu wanne au watatu jamani mbona mnatuchanganya? Maana mimi ninavyojua maimamu ni wanne:- 1.)IMAAM Abuu hanifa. 2.)IMAAM Maalik ibn Anass 3.)IMAAM Ahmad bin Hanbal 4.)IMAAM Muhammad bin Idris Al-Shafii Na hao ndio mnasema kwamba walikubali kufatwa kwa miezi ya kimataifa =sawa Halafu pia mnakuja kutuambia kwamba na hawa wanaofata miezi ya ndani imekubaliwa na IMAAM Muhammad bin Idris Al-Shafii kwa hiyo! huyu amewakubaliana na wote wa pande mbili au kuna mwengine ambae hatumjui sisi kati ya hao maimamu wanne? naomba mtusaidie samahan
Alhamdulilah huku gulf ukisafirishwa na serekali kwenda kusoma au kwenda kutibiwa unapewa tiketi napesa za matumizi moaka urudi alhamdulilah
@AaAa-ue5di3 күн бұрын
🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@halimamfaume19253 күн бұрын
Shukraan sheikh ❤❤❤
@farhaanmanji65693 күн бұрын
Mara ya kwanza wakati mnaongelea muandamo wa mwezi mbona hamkuelezea kuwa yote ni sawa? Mlikorofisha sana umoja wa waislam... Tuache uwongo uwongo.. Janja janja.. Dini sio hivo.
@halimasuleiman54293 күн бұрын
Jazaakallah khaira
@rehemaabdallah93703 күн бұрын
Masha Allah kishk Allah akulinde
@AshrafAKhan-ql1tb3 күн бұрын
Ushauri gani wa sheikh kishki upo sawa? Wa leo au ule alioutafsiri kwa ulamaa aliempokea? kzbin.info/www/bejne/d2bXf32jjb6CnJIsi=O1kDm5hJVtaNpK8F
@elbattawy28643 күн бұрын
Kishki anapojibu suali hili asijibu kwa ufupi tu kwamba mwezi wa kimataifa unaungwa ni maimamu 4 na ule wa ndani unaungwa na Imamu Shafii ili ionekane Imamu shafii jambo hili amezua yeye tu, kishki afafanue vizuri na lazima kishi ajifunze kupitia Ibnu Abass Swahaba wa Mtume S.A.W kupitia kisa mashuhuri cha Quraib
@alawihamis55863 күн бұрын
Marshallah Leo kuanza Leo Leo nitaondoa kigugumizi mana ilikua mtihani kwangu kumbe sote tuko sahihi nimefrah Sana
@amamossi42032 күн бұрын
Nakuunga mkono
@arafaomari18323 күн бұрын
Asalam alykum shekhe wangu nauliza primary school Ina bodi
@Manyanya85513 күн бұрын
Ukishakua ni msimamo wawanazuoni wanne hiyo sio Jumuhuur bali ni itifaaqi
@OffcialKp3 күн бұрын
Shukrani kwa elimu nzuri,Lakini Jitahidi hiyo KHidma Tv uiweke pembenii kulia/kushoto kwa pembeni