Dr mimi kidonda kinatoa usaha kidogo na kina wiki mbili ni upasuaji wa henia
@furahaabdallah76575 ай бұрын
Asante sana
@meggykalimbo8835 ай бұрын
Thanky❤
@cynthiakisinga5 ай бұрын
Nice one
@JulianaManeno6 ай бұрын
3:22
@JulianaManeno6 ай бұрын
Nawapenda jinsii mnavyoimba nabarikiwa sana Mungu awainiue j
@stanleymhozi75907 ай бұрын
Mbarikiwe
@BrownFunaupepo8 ай бұрын
Mungu awa kumbuke kwa mafundisho mazuli❤❤❤❤❤
@KennedyZabron8 ай бұрын
HAKIKA YESU KRISTO WA NAZARETI AMEKARIBIA KUJA KUTUCHUKUA KANISA LAKE ENDELEENI KUJITAKASA SIKU ZOTE
@KennedyZabron8 ай бұрын
UTUKUFU NI WAKE YESU KRISTO WA NAZARETI MUNGU WETU ALIYE HAI MILELE YOTE
@MauaRamadhan-p5k8 ай бұрын
Dr mimi nijifungua leo siku ya tano ila miguu imevimba
@SalomeAyubu5 ай бұрын
Mim nawiki ilikua inavimba nikawa nafanya mazoezi ya kutembea ikapungua
@sinaimwapinga60809 ай бұрын
Mungu awabariki sana Njiro kwaya wote.
@ImmaBudazon-xm1pl10 ай бұрын
Dokta nimefanyiwa upasuaji mara 3 je naeza jifungua kawaida
@philosophyalen10 ай бұрын
Hapana @immaBudazon mtu aliyefanyiwa upasuaji mara 3 anafanyiwa upasuaji Tena katika ujauzito unaofuata
@yohanashaghude651211 ай бұрын
Nyimbo. zenu zinanibariki sana
@happyerasto-yt8sh Жыл бұрын
Congratulations njiro, mmeshaamua kutukuza
@PatrickOpurongo-qi7we Жыл бұрын
Exactly the Ward of God
@RoseMukafwa Жыл бұрын
May God bless Njiro choir for ministering a very wonderful songs especially that song of usiku Wa manane and ufufuo na mauti their messages really encourages me
@befornnyangenaondieki7560 Жыл бұрын
A must to listen everyday 🙏
@abelmoranga4889 Жыл бұрын
WANA NJIRO MUNGU WETU AWABARI SANA KWA NYIMBO ZENU NZURI.
@MBAZUMTIMAJOEL Жыл бұрын
Mungu atusaidie
@halimakhasim3601 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢
@chrisshonga Жыл бұрын
Wonderful songs! MUNGU abariki karama na vipaji vyenu alivyowapa kwa ajili ya utukufu wake! naamini MUNGU Aliitenga lugha njema ya Kiswahili kwa ajili ya kutukuzwa na kusifiwa kwa jinsi ya ajabu ya jinsi hii!! love from Furaha choir-Swahili Service London
@Stephanie-gh9bw Жыл бұрын
mi nilifanyiw upasuaj tareh7 mwez huu lakn je utakaa na nyuz mpk mda gan mbn sikuambiw km ntarud hospital?
@nshimirimanafatuma8891 Жыл бұрын
Kawaida unaka siku10 unarundi hospital wanazitowa
@salimakiba33968 ай бұрын
Me kidonda kimefumuka kinatoa maji maji nn nifanye
@RenataElia-rl2ke8 ай бұрын
Mm nilifanyiwa taleh7 mwenz huu uzi sha toa kwenye kidonda pamefunga tatzo kwenye mshono peusi patakuwa kama palivokuwa mwanzo
@RenataElia-rl2ke8 ай бұрын
Na kidonda kiifunga unaacha kufanya mazoezi au unaendelea mpaka lin
@dannyelias76075 ай бұрын
Unakaa silku 7 unarud kutolewa nyuzi
@halimamvungi1 Жыл бұрын
Mimi Leo namalizia wiki ya pili ila maumivu bado nilifanyiwa upasuaji wakutoa uvimbe kwenye kizazi ,ila pia uoande wa mbavu zangu pande zote mbili zinauma nikilala au nikitaka kuinuka kutoka kitandani nashindwa ,hata kujigeuza Kuna inakua tabu sana ,ila nikishainuka natembea vizuri ila bado ni kw kutumia dawa za maumivu
@ilhamsaid38099 ай бұрын
Ushazaa bdaa ya upasuaji
@HappyhappyEnock6 ай бұрын
Tyr nimesha zaa
@claytoncharlz Жыл бұрын
amina
@wardaswai1235 Жыл бұрын
Nakuunga mkono dr me nilifanya hvyo nilivyo rud hospital wiki kidonda kilikuwa kimesha fungu chote bila shida yeyote ile
@erickregie4843 Жыл бұрын
I will never go beside of your command ment,🙏
@Eunice-nj1kg Жыл бұрын
Hiyo nyimbo ni nzuri
@befornnyangenaondieki7560 Жыл бұрын
You MUST LISTEN
@joyceobwocha5961 Жыл бұрын
Amen
@mariammalugu Жыл бұрын
Aminaaaa
@mashadealexisbyay4807 Жыл бұрын
Nirehemu ee Munguwangu
@petermochengo Жыл бұрын
so blessing
@Fazeofbros Жыл бұрын
Amen endeleleya na kufanya more videos please ❤❤
@cliffordnyarera5637 Жыл бұрын
Very inspiring
@luciagwales9828 Жыл бұрын
Mie Nina oparation ya wiki 2 ila upande wa kulia kweny mshono Kwa ndani pamevimba sana afu maumivu pia wamepunguza mafuta tumboni je tumbo litapungua
@eliasdeniselias8409 Жыл бұрын
Bariwa sana kwa nyimbo nzuri
@odhiambofrank6014 Жыл бұрын
Amen
@Djphilo254 Жыл бұрын
Daktari hii ni wiki ya pili maumivu baada ya upasuaji yanaendelea dawa nilizopewabhosiptali zimeisha niganyeje?
@baracktmollel2528 Жыл бұрын
God is above all so faithful
@martinireri55452 жыл бұрын
💓💓💓💓
@lislaycyprian86632 жыл бұрын
Mimi nilifanyiwa upasuaji mwezi huu tarehe 8 n bado mpaka Leo halo juu ya msono umeganda xnda itakuwa n nini naomba msaada?
@bertha14202 жыл бұрын
Amina
@pastorygeraz95822 жыл бұрын
Uongo na ukoloni wa bible Mungu sio mshenzi kihivyo Ndiomaana papa akaiffuta bible
@philosophyalen2 жыл бұрын
Ndugu Pastory mwandishi ametumia ushahidi wa maandiko, atika jambo lolote lenye utofauti wa hoja ni vizur kulipinga kwa hoja, hata mahakamani unaweza kuwa na jambo sahihi lakini Kama hauna ushahidi Hakimu hawezi kuona kichwani mwako au kuamini kama unachosema ni kweli
@pastorygeraz95822 жыл бұрын
Mungu sio katili kiasi hicho Bible humdharirisha ndiomaana