Brother mh nikumbushe k2 na uwelewe mshabiki wa mpira ni kama upepo wa feni kipindi cha joto bs utalitafuta kwa garama yeyote lkn kipindi cha barid utalisusia 2 hemu wape wenzako furaha sio kuwasema hata huyo mo dewij kuja yanga bs wewe angalia furaha yk 2
@BethoniAnyelwisyebukukuАй бұрын
Yani ndio shida ya ubaya ujinga yeye siku zote anajiona ni bora sahivi hao vichwa maji hamuna kitu wanadai club bingwa na luza eti luza ni bora hivi apo wakati mtu una akili wewe
@ommymsangi9182Ай бұрын
Chinga hilo.Hiyo jezi aliyovaa ya Yanga!!!
@careenpatrick2759Ай бұрын
Kweli kabisa huyu jamaa anaonekana ana roho mbaya sana
@careenpatrick2759Ай бұрын
Acha upumbavu huu mpira tuachie manara wetu ,aisee
@AlmasiHajiАй бұрын
Kama ntakaa nifungue clip yako hata Moja niite mwehu unapost video kuwa Mzee said kasema alafu tukifungua tunakuta usenge tuu mbwa wewe jirekebishe tofauti na hivyo hutopaya viewers hata kidodo
@ImaniJohn-jt8jmАй бұрын
pumbavu zako nenda kacheze wewe ili ufunge mbwa ww
@SaidMkwawa-g4mАй бұрын
Nawewe pia wareware tuu mbona umevaa jez ya singida wewe matako
@SixmundMatonangaАй бұрын
Chizi halijui mpila hilo bichwa kubwa Domo kubwa Lina bwabwaja tu
@editoexzavery7143Ай бұрын
Huyu shabiki naye vipi
@JoelTetiАй бұрын
Huyu jamaa kila wakati yeye n kupangia watu team za kushabikia 😢 Senge sana
@UswegeMwaigomoleАй бұрын
Nyie munazingua acheni kutumia jina la mzee said nyie ni waizi munapaswa kufungwa
@avitusmichael5Ай бұрын
Wapuuzi hawa jamaa
@abdallahomary515Ай бұрын
Kazaliwa ocean rod hahaha 😂😢,
@SADICKITHOMASАй бұрын
Yani uto kucheza na kitimu cha Burundi mikoa sita point 6 gol tisa kelele kibao kweli nyie ni vyura
@DanielChaulaАй бұрын
Jamaa anasema ukweli wanazingua sana 😂😂😂😂
@vaxminja9053Ай бұрын
Tatizo mashabiki wa Simba, wanapenda kuamini kila timu ikicheza na Simba ndio timu kubwa ila ilicheza na Yanga ni kibonde
@JosephMakaranga-b8kАй бұрын
Mbona kama nyota hiv,tatizo mtu au media?😅 Watu hapo pembeni hawana mbav
@JosephMakaranga-b8kАй бұрын
Mh!
@JosephMakaranga-b8kАй бұрын
Warudi timu Yao imekuwa 'mzuri' si hatuwataki!!? Dah! 😮 Hii Kali... huyu kasema ocean road au Nachingwea!?
@ramadhanimpapalika7131Ай бұрын
Mnatumia vibaya jina la mzee saidi...tafuteni ubunifu wenu mbwa nyie
@avitusmichael5Ай бұрын
Wapuuzi hawa
@kingmaduka8129Ай бұрын
Mbona nyeye kavaa jezi siyo ya yanga
@michaelnsingijaАй бұрын
daa hili jamaa uzalendo hakuna kitu
@michaelnsingijaАй бұрын
kaen nao sie hatuna mpango nae
@Esterkomba-ef7ebАй бұрын
Hili bwege nalo
@elishaddaipeter6521Ай бұрын
Mm ni mekuelewa sana, ww unsema ukweli
@osamankungu9432Ай бұрын
Mbaya
@R10_RajabАй бұрын
Hili jamaa kwa muonekano tu linaonyesha lina roho mbaya na likatili kishenzi, bro this is football ⚽️ halafu usimseme Mchome ,Mchome ni mwanasport kabisa yaani na maongezi yake yapo kimpira zaidi na sio kishabiki wewe lijamaa ni mshabiki na sijui kabla ya maximo kuja Tanganyika ulikuwa mshabiki wa mchezo gani,maana mpira sio kweli...
@IlhamKhalid-mt3jpАй бұрын
Hahahaha❤❤❤❤
@Khalidniya380Ай бұрын
Huyu Nassoro namuelewa saana anaongea ukweli
@JoelTetiАй бұрын
Msenge huyu
@AllySalum-j9yАй бұрын
Duuuu umezariwaaa oshenrodiii kamaaa adijaaa kopaaa na we wee Mtotooo wakiumeee achaaa rooooo mbayaaa watuuuu wanahamaaa diniii chamaaa mremaaa kahamaaa ccm ruwasaas sumaiiii we we wahacheee tuuuuu kuamaaa sunaaa mzeeee mtumeee kahaaa makaaa kendaaa madinaaa kapataa maendereo
@yohanamabula7088Ай бұрын
Kwani mchome anasemaje
@ziadamuhunzi6210Ай бұрын
Hili lijamaa lina roho mbaya sana sasa ww kama huwataki ni wewe sio sisi pia mpira ni undugu.
@assadyabdull5146Ай бұрын
Huyu sio yanga
@SalvatoryMtungaАй бұрын
Mlisema looser, leo kugumu? Nyie mdomo mwingi sana.
@dalmasokoth4190Ай бұрын
Hivi kolo wamerudi Kwa Yale matokeo ya Suluhu na timu iliyopo nafasi ya 33?
@PeterambeliSendamaАй бұрын
Mwandishi anaongea na pombe kali
@jeremiamtawa3481Ай бұрын
Upuuzi mlitaka wafungwe
@muunganopetermtemi1535Ай бұрын
Wewe jamaa unaonekana hata turaha hauna acha Mpira useje ukapiga watu bule
Huyo alovaa jezi ya blue amekopi kwa Simba,asitumalizie tu MB zetu,hajui mpira 🤣kwanza anaonekana ana hasira sana! Sijui sijui ndiyo nini hasa
@danielchamoto9376Ай бұрын
Sasa mbona umejumlisha wengine?? Sisi bando letu haliishi jisemee wew😂😂
@Mhabeshi.MadayiАй бұрын
Huyu mpira hajui manara meja tupo nao na tunatamba nao acha upuuzi wewe utapangiaje mtu mapenzi yake acha ujinga
@twalbuhajiАй бұрын
Aah uyu jamaa kaongea
@dismascosmas7860Ай бұрын
Hivi huyu nikichaa
@Evance-op4jwАй бұрын
hatubagui watu weje tu kuhama ni mapenzi ya mtu hata wachezaji wanahama lakini hata kwenye vyama vya siasa iko hivo hata kwenye imani mtu anapotaka sawa mradi tu vigezo na masharti vifuatwe
@sadikingonyani8124Ай бұрын
Hao wanahama kwa masilahi, shabiki masilahi yake ni FURAHA