Mnavokuja kuweka frame si zitaaribu tiles mnachimbia chini au mtatumia utaratibu gani msaada hapo
@user-yt3nn9gz8u4 сағат бұрын
Tatizo unatupa number ila hutujibu msg sasa tufanyeje?😢
@twalebleboss96874 сағат бұрын
SAAFI SAAANA MR. HOUSE.....Uko vizuri na kazi zake zinaonekana dhahiri...#UNAWEZA SAAANA na Allah azidi kukulinda na kukusimamia katika kazi zako....AMEEN..
@JanethMadios9 сағат бұрын
Unafanya kazi nzuri ila bei zako wewe kaka yaani sasaiv umepanda bei ile mbaya , kutembelea site tuu unatoza laki moja jamani sasa sisi wenye ujenzi wakuungaunga tutajenga na wewe kweli?????? Yaani ushajiwekea madaraja tayari, all in all uko na kazi poa sana yani😍😍😍😍😍😍
@user-yt3nn9gz8u8 сағат бұрын
Hâta kujibu msg nimtihani 😢😢
@zamdasalehe6747 сағат бұрын
😂😂😂 lazima aringe ana jina tayar
@Sanuka5397 сағат бұрын
Ngoja nilitolee UFAFANUZI ili swala ipo hivi maisha yamebadirika sana zile zama za fundi kuja site KUANGALIA kazi bure zilipendea kwasababu mm binafsi natumia usafiri private Kisha naacha kazi ninapokuja kwako tena utakuta site nyingine ni mbali ata ayo mafuta tu kwa Gali km Subaru unatumika ata ya elfu 50 lkn pia Kuna kitu kinaitwa muda ambao ni mali kuliko ata hiyo pesa lkn nimalize na kwamba UKITAKA jambo lako liwe zuli basi sharti uligalamie BURE GHARI😢
@Sanuka5397 сағат бұрын
Hapa inategemea na ulicho uliza lkn pia wakati mwingine Huwa inategemea na muda ulionitumia sms @@user-yt3nn9gz8u
@Sanuka5397 сағат бұрын
@@zamdasalehe674jina sio ishu kikubwa huduma NZURI TU
@Witnessmontana4249 сағат бұрын
👌
@user-dq8uk6kl4v10 сағат бұрын
Dilisha ni futi ngapi
@Sanuka5399 сағат бұрын
Sita kwa nane
@geofreysadok482310 сағат бұрын
Mkuu mbona msingi wa nyumba ni mfupi sana .nyumba ipo chini sana
@Sanuka5399 сағат бұрын
Boss hiyo nyumba tumeifanyia repea tu atujuanzanayo chini boss
@user-zw6xv1vt1p10 сағат бұрын
Nyama nimwingi kk❤
@Sanuka5399 сағат бұрын
💪
@user-sv6zy3hc8oКүн бұрын
Amejitahid sana mashalla
@user-sv6zy3hc8oКүн бұрын
Nyumba nzuri sana ila mim sijapenda hio open kitchen
@zaituniallyjuma8845Күн бұрын
bakihapohapo bsi kama nikuzuli
@tbc8520Күн бұрын
Gharama ya nyumba hadi hapo shilling ngapi
@LailaLaila-kg2qdКүн бұрын
Mashaallah ❤❤
@MonaMbalikeКүн бұрын
Mtuambie na bei zake bhac au maximum inasimama ngap
@SimonMathew-cd5itКүн бұрын
TOFALI ELF 1450 SI NI MSINGI TU HIZO HAPO SI CHINI YA TOFALI 3500 USIPOTOSHE WATU NDUGU
@salhamlanz9806Күн бұрын
Nikikuchek whatspp hujibu sms mr house nataka kama hii
@Witnessmontana4242 күн бұрын
👌
@hidayamanda-gk7nf2 күн бұрын
❤❤❤
@imanmohamed22152 күн бұрын
MashaAllah TabarakkahAllah
@imanmohamed22152 күн бұрын
MashaAllah TabarakkahAllah
@alhajjwaupe45932 күн бұрын
Yani sisi ambao tukogulf tuko na mtihani
@ThobiasKalima2 күн бұрын
Kaka uko vizuri sana kwamawasirino tunakupataje
@AbdullahNassor2 күн бұрын
Kiwanja chake kina mita ngap?
@eliakimmelkizedeck20593 күн бұрын
Hii ipo Dodoma veyule
@madaikaisi79503 күн бұрын
Sebule yake ina ukubwa gani?
@daudikisoma22843 күн бұрын
Good
@HassanMussa-vk3tj3 күн бұрын
Punguza ukaliwamaneno umwingize nani
@asa121amenahtanakshfrombur53 күн бұрын
Allah akulinde kakayetu
@asa121amenahtanakshfrombur53 күн бұрын
Tunakufwata kaka penda sana😊
@asa121amenahtanakshfrombur53 күн бұрын
Tukopamoja kaka yet. Tunakufwata wadada wawarabuni Tim 💪 strong
@asa121amenahtanakshfrombur53 күн бұрын
Tukopamoja kaka yet. Tunakufwata wadada wawarabuni Tim 💪 strong
@victoriamaige28624 күн бұрын
Tatizo haujibu meseji Whatsapp siwezi kupiga kawaida so jibu no za nje ya nchi kz Yako ni nzuri
Mimi nimewafatilia sana lkn hamjibu meseji zangu Whatsapp na siwezi kupiga Niko nje ya nchi nitawapataje meseji hamjibu za nje ya nchi
@JumaShomvi-k5b5 күн бұрын
Nakupataje mm nipo Dar naitaji msingi imala
@fortunatakiimu42585 күн бұрын
Mm nakupigia mbona hupokei☹️☹️☹️
@fortunatakiimu42585 күн бұрын
Mm nimependa hii ramani je naipataje!?maana nimekutafuta kwa wasap hupokei wala hujibu sms je tunawasiliana vip!?
@kotinkarwak76916 күн бұрын
Mwanzo mzuri. Ikiwezekana tuelekeze gharama katika kila stage ndio kujipanga iwezekane. Kama unataka tusiogope hii ishu, basi tupe breakdown ndio hata unapojifikiria unakuwa na hizo data... kwenye hii umeongelea nondo, hapo basi unatupa idadi na gharama zake, za kununua, na gharama za fundi.
@DM_156 күн бұрын
😂😂😂wahuni hao
@fanni-ck6do6 күн бұрын
wow wallay love that slop kali kuvuja hao sahau
@scolasticaemmanuel62096 күн бұрын
Hbr kaka naomba nisaidie gharama ya fremu ya chumba kimoja,please!