Tunamshukuru muumba azidi kutubariki teendelee zaidi
@Mima-cl2imКүн бұрын
Acheni uwongo. Bado kabisa hajifikia Kenya pamoja na ufisadi wawo. Kama ufisadi Tanzania tumewazidi Kenya. Wewe Marara acha kudanganya watu.
@issapagali133016 сағат бұрын
WIVU TU.😮.(Envy) sorry for you.😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅.
@section8ight174Күн бұрын
Kenyans are still stuck on the IDEA of Tanzania of the PAST loool Newsflash Kenyans, Tanzania has gone CLEAR, someni number plate ya nyuma!
@tumainimayala818718 сағат бұрын
Plate# ya nyuma izingatiwe🤣🤣📌
@section8ight17414 сағат бұрын
@@tumainimayala8187 hapo sasa 😂
@othumanomari1589Күн бұрын
Naukawaambie waache mdomo mkiona Kobe ameinamisha kichwa
@kiboshokiboshomungumkubwa7789Күн бұрын
Hawa wanopinga hawajawahi kufika uwanja wa ndege wanaisikia tu huyu ni mkenya
@RamadhanMbwana-o1jКүн бұрын
Baado kabisa
@kesterkanyala7718Күн бұрын
SAWA,ILA SWALI NI HILI: KWA NINI KILA KITU NI DAR...TU?
@DavidSemu-gu6wpКүн бұрын
DAR KAMA MJI MKUU WA KIBIASHARA T'ZANIA NI LAZIMA IONEKANE NADHIFU NDIO JICHO LA WAGENI NA SI KWA TANZANIA TU KUNA RIO DE JANEIRO ULIO KUWA MJI MKUU WA BRAZIL KABLA YA KUHAMISHIWA BRASILIA, LAGOS KABLA YA KUHAMISHIWA ABUJA NA KWINGINEKO ILIYO KUWA MIJI MIKUU INA WEKWA KIBIASHARA ZAIDI.NA POLE POLE MWANZA, ARUSHA NA KWINGINEKO IFIKIA KUBADILIKA.
@section8ight174Күн бұрын
Kwani hujaona the NEW Arusha and Songwe Airports? Ngoja kwanza MSALATO karibu inamalizika hivi punde loool mtajinyongaaaa! Hapo bado hamjaona ya Zanzibari na ile ya MWANZA ipo mbioni kumaliZiwa, tunawaonea huruma aisee!!
@tumainimayala818718 сағат бұрын
@@section8ight174wataji murder kweupeee😂😂😂😂
@brysonkaale300318 сағат бұрын
Ulitakaje?,Ulitaka kila kitu kiwe Nairobi!?,Aaa Wapi! Nairobi ilikuwa Ni Zamani kwa Sasa ni Dar,kaa kwa kutulia!
@tumainimayala81879 сағат бұрын
@@brysonkaale3003 😂📌
@bongo39Күн бұрын
Mama anapiga kazi ❤
@VisentJohn-r3rКүн бұрын
Nikweli
@fidelfidel-jz4iwКүн бұрын
Acha ujinga wewe TV yako ni yachawa😂
@thamani5842Күн бұрын
Kazi iendelee❤
@donking-d4tКүн бұрын
Wapuuzi tu hao achana nao..
@mimiraia2531Күн бұрын
We mwenye tv ni CHAWA tu
@MonicaJasson2 күн бұрын
Miwago Tz usichoke kutupatia habari na matukio
@MiwagoTz2 күн бұрын
Asante sana,nipo teyari
@MonicaJasson2 күн бұрын
Safi
@MonicaJasson2 күн бұрын
Tanzania mbele kwa mbele
@EsauBoy-k1z7 күн бұрын
Aaaah sio watu wazuli duuuu
@IsraelIlomo-q2k9 күн бұрын
☑️
@NeemaChiuyo-d4t10 күн бұрын
safi sana miwago tz
@MiwagoTz10 күн бұрын
Asante sana,Endelea kuangalia MiwagoTz.
@AliceJulias-h6n15 күн бұрын
Miwagotz kwenye ubora wake,Safi Sana kijana
@AliceJulias-h6n15 күн бұрын
Kumenoga nitakuita kwenye shughuli yangu
@MiwagoTz15 күн бұрын
Karibu!
@FatmaMkwera17 күн бұрын
Safi Miwago
@MonicaJasson20 күн бұрын
Aya bwana unaweza
@ElishaAidan21 күн бұрын
Safi
@MusharafuYunusu21 күн бұрын
Tujitokeze kujiandikisha katika daftari la makazi kuanzia tarehe 11
@almachiuserasto905623 күн бұрын
Mmmmh
@olivermwakikuti25 күн бұрын
Kidum chama tawala chama dume chamaimala
@olivermwakikuti25 күн бұрын
Jaman nakipenda sana chama chang lakin xjapenda wangevua walau baret combat ipewe heshima yake jaman
@elizabethbuchebuche555329 күн бұрын
Mmmmmh hiyo kasi ya kuongea sasa, kajifunze upya
@MiwagoTz29 күн бұрын
Asante sana
@DkMzikiuloendashuleАй бұрын
💯💯💯🎙️
@AliceJulias-h6nАй бұрын
Nimependa hiki kipindi endelea nacho kitakupeleka mjini pia vijana watajulikana
@MariaSamweli-y2uАй бұрын
Hongera sana Kiongozi umeeleweka sana,Music naamini utapata umesikika
@MiwagoTzАй бұрын
Asante sana
@comredmuslimmputa2275Ай бұрын
Amir anasahau greder limekuja baadae sana,tulifyeka kwa mikono na kungoa visiki kwa mikono greder limekuja wakati wa mbelwa wakati uwanja tumepewa wakati wa Mzee Mayola na miaka mingi sana baadae
@comredmuslimmputa2275Ай бұрын
Umefanya jambo la maana sana kuleta hii taarifa
@MiwagoTzАй бұрын
@@comredmuslimmputa2275 Asante Sana
@MejasonMzaziАй бұрын
Kaka mimi ni mtanzania ninaeishi South Africa kwa muda wa miaka 20 sasa, japo huwa nakuja bongo mara moja moja. Nimekuwa mfuatiliaji wa vipindi vyako mbali mbali hapa mtandaoni. Kwa Tanzania mimi ni mzaliwa wa magomeni kagera jijini Dar es salaam. Lakini baadae tukahamia Salasala ambapo wazazi walijenga. Hivyo ikikupendeza, uwe unatuwekea na makala inayohusiana na kile kinachoendelea huko Salasala na maeneo mengine ya mkoa wa Dar es salaam. Shukran sana kaka.
@MiwagoTzАй бұрын
Asante sana kwa kufuatilia MiwagoTz,Nimepokea ushauri wako ninaufanyia kazi kwa haraka sana,Asante sana endelea kuifuatilia MiwagoTz.
@MejasonMzaziАй бұрын
@@MiwagoTz Asante sana bro 🙏
@NeemaChiuyo-d4tАй бұрын
Wafanya biashara wa nyuki polen
@rachelerasto1967Ай бұрын
Iko madale sehem gan
@MiwagoTzАй бұрын
NJIA PANDA YA SKAUTI ULIZA BODA WATAKUFIKISHA
@ZAINABHEMED-p4vАй бұрын
Asante kaka kwa habar
@MiwagoTzАй бұрын
Asante sana
@MgeniParambaАй бұрын
Hakika shule nzuri na ninaamini wazazi wa Madale na Mitaa Jirani tuleta watoto wetu maana tunaimani Sana na Ubora wa kazi zote.
@NeemaChiuyo-d4tАй бұрын
Kazi nzuri sana miwago Tz
@MiwagoTzАй бұрын
Asante sana
@KhadijaElias-u9f2 ай бұрын
Mashallah ujumbe muhim sana na mzito mno lau tukiufata tutakuwa namapenzi baina yetu
@MusaJafeti2 ай бұрын
Darasa kubwa mnooo,Mungu akubariki MiwagoTz ninakufuatilia kila siku
@MiwagoTz2 ай бұрын
Asante sana❤❤❤
@NeemaChiuyo-d4t2 ай бұрын
Sawa Babu nmekupenda bure
@MusharafuYunusu2 ай бұрын
Kaka nakubali utafika mbali unajitoa sana kwenye mambo ya kijamii one day yes
@MiwagoTz2 ай бұрын
Asante sana ❤❤❤
@MonicaJasson2 ай бұрын
Mmasai yupo vizur
@MonicaJasson2 ай бұрын
Imependeza❤❤❤
@KhadijaElias-u9f2 ай бұрын
Shukrani sana ust ujumbe mzito MUNGU atuongoze KATIKA UCHAGUZI tuchague VIONGOZI wenye KHOFU na MUNGU ILI yasitukute MADHARA kama HUYO tajiri
@KhadijaElias-u9f2 ай бұрын
Shukrani sana ust ujumbe mzito MUNGU atuongoze KATIKA UCHAGUZI tuchague VIONGOZI wenye KHOFU na MUNGU ILI yasitukute MADHARA kama HUYO tajiri