Mashabiki bwana chama mwacheni kafanye yake ameifanyia simba makubwa jamani mpeni mauwayake
@DanielChaula8 сағат бұрын
Mwaka huu tutajua timu yako halisi
@DanielChaula8 сағат бұрын
Uchomwe
@RashidKaoneka-bj8mm9 сағат бұрын
Kk we unajua mpira
@UmarRachideMussa11 сағат бұрын
Muacheni liyenasi mana munabowa babu pasuwatu usijali pamoja sana
@UmarRachideMussa11 сағат бұрын
Kwele viongoni wanazinguwa wapasuwe nzee ama wape vidonge
@alphoncealmack924012 сағат бұрын
Roho pwi pwi pwiii huyo ni mtu alieumia sana kuliko wana simba wote baada ya chama kuondoka
@abdallahakida790812 сағат бұрын
Huyu anadharau sana na mungu huwa hampi mja mwenye madharau na mwambieni achunge sana madharau sio mazuri .fei toto sio kama hawezi kuja simba anaitaka kama leo . But tatizo huyu jamaa anaporopokwa hajui anaoropokwa kitugani,na maneno yake yanajikanyaga ,dola milion mbili si afafhali nikanunue mchezaji urope mpuuzi
@binbadru840813 сағат бұрын
Unasema eti yanga kachukua kombe uwanja mpya Aman znz!!? Mbona Simba imeanza kuchukua ubingwa wa muungano Zanzibar kwenye uwanja was Aman mbona nyie vyura hua Hanna kumbukumbu😮
@abdallahakida790813 сағат бұрын
Bro acha kuharibu brand za watu
@tellyandrew703013 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@ZAMZUNZAMIRU13 сағат бұрын
Kama simba yetu muiache haiwapi fulaha sisi tunaipenda hivyohivyo
@ZAMZUNZAMIRU14 сағат бұрын
Ila hata nyie watangazaji nikundi moja mnawahoji mpaka wehu
@ZAMZUNZAMIRU14 сағат бұрын
Hivi mashabiki wa simba mnaeishi na mchome si mmkamie mpaka avue jezi? Ningekua nakutana na mchome angeniambia kwanini kuku anakunywa maji rakini hakojoi
@SalumMahimbo-e4l14 сағат бұрын
Hawa wachambuz wanaomuhoji huyu chiz kashavuta bangi lake jalalan wanajua atakachoongea ni upuuz mtupu lakin wanamieko nae kumuhoji
@ZAMZUNZAMIRU14 сағат бұрын
Azam yamsajili mtu kutoka mashujaa inamaana Azam hawana hela? We mchome we ni mkundu tu unaliwa tako
@IreneBukombe14 сағат бұрын
Chunga sana maneno Yako, umenikera japo ckujui, Simba nikama familia yangu mtu akiiongelea vibaya Simba Huwa nachukia sana. Unaboa we jamaa😭😭😭💯
@IreneBukombe14 сағат бұрын
Vua tu hiyo jezi haikufai. Hatukutaki Simba maana wasariti wote wanaondilewa. Hakika mnakera sana mashabiki kama nyie hamfai hata kuwarithisha watoto wenu.😭😭😭😭
@CareenJulias-iu7tf14 сағат бұрын
Mjinga wewe
@IreneBukombe14 сағат бұрын
Watumwa bwan😅😅😅 wewe ulienda kwa mo akakwambia Hela anazozimiliki? Wewe umetumwa Tena ni mchawi wewe cyo bure
@Barakaveresi14 сағат бұрын
Huyu bwana hua ni mjinga sana ana tabia za kike mpuuzi kweli.
@HalimaMaulidi-sv7le14 сағат бұрын
Hawa ndio wasaliti wa cmba shibiki wa kweli hawez kuwa ingia toka hata kama timu yako inafanya vibaya mtoto wako akiwa mbaya huwez kumchukua wa jiran akawa wako unamlea na yy aje kuwa mtoto mzur kwako
@DenisiMeja14 сағат бұрын
Mzee wang unakitu mkubwa😅😂🙌
@shackxhassan487714 сағат бұрын
Wee chokoo tyuu mda wote nikuiponda simba yetu
@moseshaji1177Күн бұрын
Respect kwenu
@MikidadiNyangiКүн бұрын
Uongoz wa simba uwe makin sana kwan uto wana wapiga misumar wachezaj wetu
@FumaoFumao-d8wКүн бұрын
Kŵeli
@rashidikusaga9719Күн бұрын
Safi sana Mzee masatu una madini sana baba
@davidfelician2903Күн бұрын
Naam, fei akija msimbazi namuona akitoka Hadi ulaya kama samata .
@AISHAALLY-zl8rzКүн бұрын
Daah nimependa sanaa majibu ya uyu mzeeee
@omanbarka1588Күн бұрын
Yanga wanategemea uchawi waganga wao saizi wapo kazini kuwa Loga wachezaji simba
@salimmalaka256Күн бұрын
KILA KIPEMBE KILA KONA WATU WANAONGEA MAMBO KUHUSU SIMBA KWELI SIMBA TIMU KUBWA DUNIANI ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@kamanda7703Күн бұрын
Japhet. Fanya one on one interview na said peke yake usimueke kwenye beef. Mpe mda yeye kama yeye.
@abdallahshariff6555Күн бұрын
Watawapiga vijomi na wasiweze kukimnua
@FraziaGeorge2 күн бұрын
Itakuwa ww ndo unaumwa Acha simba ipendeze bana
@LeonardMayala-gv1yx2 күн бұрын
Hapa dinga misugwi
@ezzepuritykamwene21212 күн бұрын
Mkiwasifia sana wahuni wanaingia msituni,, utaona jmaa anakua majeruhi
@user-up4kd4di7h2 күн бұрын
Anaongea ukweli
@MchungajiMwamengo2 күн бұрын
Wewe ni mgonjwa wa kufikiri nyamaza kimya wanaojua kuchangia waendelee.
@MchungajiMwamengo2 күн бұрын
Well done Kisugu Kuna mtu anaumwa eti ulivyo mpongeza mh.Rais kwake Hilo kelo achana naye hanitambui
@user-wk2bg8zf3l2 күн бұрын
SIMBA NGUVU MOJA WAKALI WA KARIAKOO🎉🎉🎉❤❤❤
@rubenntiyaga33582 күн бұрын
Huyo ni Rais wa nchi ana haki kuiweka picha yake hapoo!!!
@MhalishSwalehe2 күн бұрын
Mpira unachezwa na vijana au chezwi na wazee
@user-sz7sr1nx6f2 күн бұрын
Huo ni ujinga wako kwani we ndo umewachagua? Kiele ele tu.
@franccoz942 күн бұрын
SAJILI ANAZOFANYA SIMBA HANA WACHEZAJI WA KUCHUKUA KOMBE MBELE YA YANGA NA AZAM
@NeymaTarimo-uk1zw2 күн бұрын
Sawa were unayefanya sailing nzuri
@feetfirsttz2 күн бұрын
Sawa sawa Shekh Yahya mpiga ramli maarufu!!
@olaislukumay22082 күн бұрын
Utajua hujui soon
@user-ok7su4ic2t2 күн бұрын
😂😂
@user-eb3jd7if1l2 күн бұрын
Ww akuna unacho juwa ww
@KhatibuKhamis-yq5zq2 күн бұрын
Wameanza kujisahau😂😂😂
@KhatibuKhamis-yq5zq2 күн бұрын
Ardhi iliomtoa pacome yao yaooo😊
@user-id5oc7hm4n2 күн бұрын
Utopolo kumfunga tena Simba msahau msiishi kwa kukalili,,, zile 5 Cha kimchongo ,,,nasimba washawajua mbinu zenu,,
@user-fi2gf6ks7h20 сағат бұрын
Acha ushamba we kolo tulia dawa ikuingie lile Kono la nyani la halali 😂😂😂😂😂 tutaendelea kuwashona mpaka mseme
@ismailmasoud60012 күн бұрын
Wapumbavu sana, yaani nyie MAKOLO mumfunge YANGA ..?....🤣🤣🤣..mnaota nyie
@salimmalaka2562 күн бұрын
USFUNGWE WEWE NANI???? MATOPOLO MACHOGO FC 😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@ismailmasoud60012 күн бұрын
@@salimmalaka256 ...Tulia ww KOLO nije KUKUTIA Tena nyingine ..!
@salimmalaka2562 күн бұрын
@@ismailmasoud6001 MACHOGO FC AKA MAFISI FC MACHOGOOOOOOOOO
@farajalegnand92942 күн бұрын
Utukufuu kwa MUNGU, hakika ni kwa NEEMA TU , ubarikiwe Brother 🥳🥳🔥