HII NI CHANEL AMBAYO ITAKUPA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU PAMOJA NA MASWALI NA MAJIBU KUTOKA KWA MCHUNGAJI AMIEL Y KATEKELA KWA HUDUMA YA MAOMBI NA MAOMBEZI PAMOJA NA KUWEZESHA KWA SADAKA YAKO WASILIANA KWA NAMBA 0756 275 511.
AMINA niliomba BWANA akupe Uhuru wa Chanel yako. Hakika BWANA YESU ametenda hareluyaaaa
@maxinenaibeiАй бұрын
I have been following you since 2022 I love your teaching hope you come Kenya Mt elgon in bungoma count
@mabelgreatverypowerfulspir34703 ай бұрын
Baraka mtumishi. Huku Washington's ulaya tunakupata vyema. Barikiwa sana
@linetmusee6431Ай бұрын
Amina! Naomba muniunge kwenye group ya whatsApp tafadhalini
@anausseni684421 күн бұрын
Amen
@EmmanuelNgendakumana-vl3ol3 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mimi nawafatiliya KZbin swali langu Nihili nikihuliza swali kwenye KZbin nitajibiwa swali langu ?
@margaretnekesa20192 ай бұрын
Ameeen. Baba
@ااا-ح9م3 ай бұрын
Ameni,ubarikiwe mutumishi wa mungu
@naikekangele71173 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe sana
@angelamugoywa49173 ай бұрын
Amen mutumishi
@faithsiame033 ай бұрын
Amen
@pendomtobela52383 ай бұрын
shaloom naomba kuungwa kwa group
@elizabethawuor540219 күн бұрын
Nawezaje kujiungana na what's up tafadhali nisaidieni
@ellyitete9383 ай бұрын
Bwana asifiwe, naomba link kujiunga na grupu la komboa familia
@GodenBMDaniel3 ай бұрын
Amen 🎉🎉🎉
@Bigborashots3 ай бұрын
AM BLESSED
@AugustMchomvuАй бұрын
Naomba namba ya whatsap mtumishi na mm niwe mshirika wako Kweny grop
@frankwilson24842 ай бұрын
Powerful
@IssacNtacho3 ай бұрын
Karibu kasulu tena (HWAZI FPCT)
@jentrixsimiyu-rh6rn3 ай бұрын
Mchungaji naomba tuelezee jinsi ulivyopata wokovu
@happymvula3 ай бұрын
Angalia shuhuda promover tv no 1-9 anaeleza Kila kitu
@EZRA-b1c3 ай бұрын
AMEN
@rosekishinhi82463 ай бұрын
Naomba kuungwa kwenye group la friends of Katekela plz
@FelisterLigazio-mw3hh3 ай бұрын
Naomba mniadd kwenye group
@neemangowo14533 ай бұрын
Amina
@angelamugoywa49173 ай бұрын
Ameen
@MCH.JAPHETHZACHARIAH3 ай бұрын
AMINA TUKO PAMOJA KUMSHAMBULIA SHETANI
@IssacNtacho3 ай бұрын
AMEEEEEEEN
@nicodemusmpogole9673 ай бұрын
🙏🙏
@angelamugoywa49173 ай бұрын
Ameeen 🙏🙏🙏
@MjumbeAgano28 күн бұрын
Sisi tulishakombolewa kwa damu ya Yesu,Huu ni wakati wa habari njema ya ufalme wa Mungu hapa duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
@vailetlemenya65763 ай бұрын
🙏🙏👍
@nyangiboke3 ай бұрын
Nami nimjiunga na katekela tv
@NeemajolamokatalyСағат бұрын
Bwana yesu asifiwe sana mtu wamungu naomba unierekeze visit yakujiunga na katekera tv
@kizandume30153 ай бұрын
Jambo mtumishi Mimi niko naswali 2 Mimi niko Australia Mimi siku mojamoja ahotaga mtu amekufa tena anakwaga ni ndungu manayake ninini
@IssacNtacho3 ай бұрын
AMEEENI
@JaneNgure-k3fАй бұрын
Jane nakufuatila sana maobi yako Kenya
@emmanuelngunyale36393 ай бұрын
Lakini mtumishi haya mambo ya nyota si mambo ya wanajimu na waganga sisi tuliokoka tunaishi chini ya mpango wa Mungu wala sio kwa bahati wala nyota
@Frosita3 ай бұрын
Hao waganga wangedili nayo vipi kama hayakuwepo?
@tabithakombe42473 ай бұрын
Andika somo la nyota na mchungaji Amiel katekela
@judithminja7703 ай бұрын
Hao waganga mpaka wanadeal nalo unafikiri mchezo ndg???
@happymvula3 ай бұрын
Uliza tuliookoka wenzio tukwambie....yeye amefanya kazi huko usibishane naye.. Me nipo hapa anachosema nakiona kwenye maisha yangu....
@anseliminalingand41783 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu sasa hivi ni muhimu kusoma biblia wewe mwenyewe na kumuomba Roho mtakatifu akufundishe. Maana kuna mambo mengi sana
@elishamafulu1063 ай бұрын
I received
@MariaMlenda-mv1yhАй бұрын
1
@katejacob33693 ай бұрын
Naombeni mniunge kwenye group ya WhatsApp tafadhali. Nipeni muongozo