Tazama full interview ya Abdukiba kafunguka kila kitu kuhusu Kukutana na Diamond nyumbani kwake na ku-party pamoja!
Пікірлер: 27
@sheruajafari167611 ай бұрын
Abdu kibaaa uyooo
@ChikkahMontai11 ай бұрын
Abdu nomaa sana broo
@iyogomusictz736911 ай бұрын
Abdu mnyama
@JumaMakenga-t2o11 ай бұрын
Jamaa anajua interview
@hassansebe179811 ай бұрын
SITETEREKI 😂😂😂🤣🤣🤣 Tanzania mambo vp
@prezzyvassach321811 ай бұрын
JAMAAA ANA MATATIZO YA L NA R
@LeluuAliy11 ай бұрын
Kizazi
@Mbaley11 ай бұрын
Abdu wa kidela Siyo demu tunamutaka
@tanzcanmediatv447311 ай бұрын
She is talented
@karimniyo190911 ай бұрын
She's talent = she has talent
@iddysonyo135611 ай бұрын
yaan hata maneno madogo madogo tu yakingereza hujui abdu et yammy she is talent duuuuh
@Ym_classic_tz11 ай бұрын
😅😅😅😅Vunga basi
@HalimaJuma-de5gc11 ай бұрын
Yuko sawa kabisa kiingereza unaweza sema she is talent ni poa
@iddysonyo135611 ай бұрын
hayuko sawa huwe kueka yammy na she hapo angeenda na kmoja
@chinguilechinguile150111 ай бұрын
Noun na pronoun
@AminaRozey11 ай бұрын
sas lugha yet ni kiengereza au kiswahil
@ankalmzito25411 ай бұрын
Watanzania sio Fleshi ni FRESH🇰🇪
@tanzcanmediatv447311 ай бұрын
Akili yako unafikiria kwenye mapumbu tunajua ni fresh .fuleshi tunamuigiza mchekeshaji jot.pilipili iko Tanzania inakuwashia nini kwenye mapumbu kenya mxiuuu
@rayyahinay-hp7jf11 ай бұрын
Ndio hivyo kumbe na ww umeliona hilo?? Kwa kweli wengi wamesima lugha lkn wanashindwa kutofautisha Lna R kwenye sehemu zinazotakiwa!! Au utakuta wengi wanachanganya zote mbili kwa pamoja"