ABDUL MISAMBANO ALIYEIMBA ASUU ALIYOAMSHA WATU KWENYE THE GREAT GATSBY 707

  Рет қаралды 493,071

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

ABDUL MISAMBANO ALIYEIMBA ASUU ALIYOAMSHA WATU KWENYE THE GREAT GATSBY 707

Пікірлер: 430
@johnshilunga6784
@johnshilunga6784 5 жыл бұрын
Kama na wewe uko hapa kwasababu ya Abdul misambano gonga like tujuane
@jumabomba4316
@jumabomba4316 3 жыл бұрын
Nimekuja kumuangalia Mzee Abdul km naww umekuja gonga like twende pamoja
@beloyalbert2359
@beloyalbert2359 3 жыл бұрын
😭😭😭😭 najiskia kulia tu
@picdotstudio4785
@picdotstudio4785 4 жыл бұрын
yaan hii nyimbo ya ASUU ni bonge moja la ngoma, ikiimbwa hadi mwili unasisimka..unaweza isikiliza hata mara 50 isikuchoshe. anayeamini sasa hakuna nyimbo ni blaa blaa tu, nipe like zako chap chap
@godnation_tz2850
@godnation_tz2850 5 жыл бұрын
Kma naww umelia kwa furaha gonga like hapa
@nizzoflavour7293
@nizzoflavour7293 5 жыл бұрын
HONGERA BROTHER UMEONGEA VIZURI SANA KAMA UMEPENDA ALIVYOONGEA JAMAA GONGA LIKE
@jordanfromyt2861
@jordanfromyt2861 5 жыл бұрын
Nani ana subiria rimix hii kwa hamu sana gonga like Button kama uko pamoja namimi
@tajiriskitchenswahiliflavo1723
@tajiriskitchenswahiliflavo1723 5 жыл бұрын
Nimependa sanaaaa hi Party kuona Wazazi wote wa Diamond wako Happy 🙏
@evelynebushuru1469
@evelynebushuru1469 5 жыл бұрын
Na hiyo ndio la muhimu muno. Hawana machungu dhidi ya nwanao
@tajiriskitchenswahiliflavo1723
@tajiriskitchenswahiliflavo1723 5 жыл бұрын
@@evelynebushuru1469 Kabisa tena
@tajiriskitchenswahiliflavo1723
@tajiriskitchenswahiliflavo1723 5 жыл бұрын
@@kutesakenethmusuuza9658 Thank you brother
@mapishiwithsabrina87
@mapishiwithsabrina87 4 жыл бұрын
hahahah Wallah nimecheka mno kukuta comment yako hapa... nilikua naskiliza nyimbo
@tajiriskitchenswahiliflavo1723
@tajiriskitchenswahiliflavo1723 4 жыл бұрын
@@mapishiwithsabrina87 🤣🤣🤣Wewe sister wacha ushari🙈
@robertjagad5826
@robertjagad5826 5 жыл бұрын
Kuna watu hata wakiimba nyimbo moja tu hawatasahaulika, J.I mmoja wao na kidato kimoja big song forever
@dsouzamaguno7006
@dsouzamaguno7006 5 жыл бұрын
Uwezo ukiwepo fanya lolote kwaajili ya Mama sababu hakuna kama Mama,Mama ni Mungu wa Pili baada ya Mungu,Mama ndiye sababu ya uwepo wako. Safi sana Kaka Mdogo
@zuuzuwayna5838
@zuuzuwayna5838 5 жыл бұрын
Leo nimeona raha mno kuona baba mzazi wa diamond yuko happy na hawajamtenga
@yuusufnuur5752
@yuusufnuur5752 5 жыл бұрын
Naaa kweli pamoja sana
@frashconnect.1
@frashconnect.1 5 жыл бұрын
Hamna namna.
@mrishorajabu1134
@mrishorajabu1134 5 жыл бұрын
kama umeona mzee wa diamond ananenepa sku iz gonga like
@ebbymbao3865
@ebbymbao3865 5 жыл бұрын
Napenda sana mond &natasha Kenyan lady wpi like
@aminhoyo8800
@aminhoyo8800 5 жыл бұрын
Wangapi wange penda re mix ,wa wimbo huu ,gonga hapo
@shifamakame4622
@shifamakame4622 5 жыл бұрын
Haina remix hy bwana ht wakitowa sio asu hy
@ireneonjiko8966
@ireneonjiko8966 3 жыл бұрын
The original anytime is bae👌
@capramlacky8152
@capramlacky8152 5 жыл бұрын
Hakuna kama mamaa❤❤❤..mpka nmemkumbuka wa kwangu
@capramlacky8152
@capramlacky8152 5 жыл бұрын
@MWANYANJE TV dooh we acha tu......
@eduwardchales9591
@eduwardchales9591 5 жыл бұрын
capram lacky mufanyie na wakwako
@capramlacky8152
@capramlacky8152 5 жыл бұрын
@@eduwardchales9591 me wa kwangu alishaendaaa kwa mungu...thus why nkasema hivyo
@capramlacky8152
@capramlacky8152 5 жыл бұрын
@@kutesakenethmusuuza9658 thanks
@azzesalum1717
@azzesalum1717 5 жыл бұрын
Hauwezi amini nilipo muona baba mondi akicheza namwanae roho yng imefurai sna nilishindwa kujizuia hadi chozi limenitoka
@Msonjo
@Msonjo 5 жыл бұрын
Hauna kazi
@oxyrio1224
@oxyrio1224 5 жыл бұрын
@@Msonjo hahhaa
@hamadsaidy8752
@hamadsaidy8752 5 жыл бұрын
Azze salum tuwalee wa watt wetu kwaupendo
@angelsarehe5524
@angelsarehe5524 5 жыл бұрын
Azze Salum pole
@zeyriog6722
@zeyriog6722 5 жыл бұрын
Ata mi pia mwil umencxmka xana hexhma yake bro
@jurmainezaidi739
@jurmainezaidi739 5 жыл бұрын
Alieelewa vaz la gabo Kama Mimi gonga like tafadhar.....
@hassannkeya5568
@hassannkeya5568 5 жыл бұрын
Gabo nomaaaaaaa
@taniahsasha7826
@taniahsasha7826 4 жыл бұрын
diamond achia remix
@ndamayapejr7725
@ndamayapejr7725 4 жыл бұрын
Msambano Pleaaz huu wimbo urudie tena kwa vyombo vya kisasa
@talentsolution770
@talentsolution770 5 жыл бұрын
Nimefurahi kumuona baba sasibu😭😭😭i like it😘
@dolorosakway1411
@dolorosakway1411 4 жыл бұрын
Yuko na bint yake Queendarling
@zawadkilua1442
@zawadkilua1442 5 жыл бұрын
Diamond ww ni moto umefanya hii nyimbo nimeitafuta diamond ww ndio asali ya Tanzania 🇹🇿🇹🇿
@lizopwaa7637
@lizopwaa7637 5 жыл бұрын
i wait remix mboso kapita litakuwa bonge la ngoma
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 5 жыл бұрын
Kwel kabsa bro ndoa muhim
@malicboy7973
@malicboy7973 5 жыл бұрын
Dahhh simba umenimaliza. Mpaka baba yupo ndani ajab wallah. May Allah bless your family. 🙏
@bulaloalindamtobesyaofficial
@bulaloalindamtobesyaofficial 4 жыл бұрын
Yaani diamond huu upendo anamuonyesha mama yake ni baraka tosha. Wengi wanajisahaugi sana... furaha ya mama ni baraka kwa mtoto wake. Big up
@abubakaromarkhan1398
@abubakaromarkhan1398 5 жыл бұрын
Love You Simba unatupa changamoto kama sisi vijana ya kuzidi kupambana
@hamadsaidy8752
@hamadsaidy8752 5 жыл бұрын
Kweli kabic
@adijaadija8339
@adijaadija8339 5 жыл бұрын
Nafurahi kumuona simba namama yake nababa simboo😍😍😍
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 5 жыл бұрын
WALE TULIOLUDIA MALA 10 KIPANDE ALICHOIMBA MBOSSO TUJUANE KWA LIKE
@mukunzinaplouse8025
@mukunzinaplouse8025 3 жыл бұрын
Mpak sasa nakiludia bro mboss ni kiboko yao
@farajibuteta6258
@farajibuteta6258 5 жыл бұрын
Huyu ndio alikuwa best singer ever
@anakissiya8675
@anakissiya8675 4 жыл бұрын
Naupenda sana huu wimbo gonga like kama nawe waupenda
@issakissongo361
@issakissongo361 5 жыл бұрын
Those days when we had REAL MUSIC
@zuchu_charts4402
@zuchu_charts4402 4 жыл бұрын
Kabla mziki haujawa veiws....dah we miss those days
@stevewanga957
@stevewanga957 5 жыл бұрын
Hii nyimbo ilikua naipenda 2 sana... Long time hizo
@auntyominde3565
@auntyominde3565 5 жыл бұрын
Aki jina la wimbo pliz
@stevewanga957
@stevewanga957 5 жыл бұрын
@@auntyominde3565 Asuu by msambano
@rehemasalim513
@rehemasalim513 5 жыл бұрын
Siku hizi haupendi?
@rehemasalim513
@rehemasalim513 5 жыл бұрын
@@auntyominde3565 Asu
@stevewanga957
@stevewanga957 5 жыл бұрын
@@rehemasalim513 yanikumbusha mbali
@salimliemba3458
@salimliemba3458 3 жыл бұрын
Nyimbo ya watu huko Burundi Lakin iko 🔥🔥🔥🔥
@vinmilez5739
@vinmilez5739 5 жыл бұрын
Mbosso mtu mbaya Yan hizi ndo nyimbo zake af wamematch vizur na msimbano
@TheSalma1999
@TheSalma1999 5 жыл бұрын
Nimependa baba alivyocheza na mume mwenzie kiroho safi kabisa asanteni kwa kumualika baba yetu dudu la yuyu agha
@ireneonjiko8966
@ireneonjiko8966 3 жыл бұрын
Beautiful. ASU WANGU my all time favourite bango....always loved it since I heard it in 2003....❤👌👌👌....Asu moyo unge kuwa nguo ninge ku azima uivae hadi milele....❤❤❤....cant have enough of Abdoul's Asu...
@SaimonKalemera-im5dq
@SaimonKalemera-im5dq 5 ай бұрын
Abdyul masimango 🎉🎉❤
@munnababygal8460
@munnababygal8460 5 жыл бұрын
Jamani nimependa baba diamond nae hajatengwa hapa hongera sana shemeji yetu diamond ubarikiwe
@hadijahassan9426
@hadijahassan9426 4 жыл бұрын
Jaman mbn ilinipita hiii dah😭😭ila hongeren mlo kuwepo
@ibrahimkeya3396
@ibrahimkeya3396 2 жыл бұрын
Much love my shemegi.Nyinyi hatari kwa nyimbo na fasihi.Nawavulia kovia la joho kwa heshima🙏
@alirahma8967
@alirahma8967 5 жыл бұрын
Asuuuuu msambano utauwa,umeniliza,namkumbuka nusura,allah amrehem
@aminaamnah7159
@aminaamnah7159 5 жыл бұрын
Wapy team gabo like kma zte.uyooooooo
@blessingbagio4857
@blessingbagio4857 5 жыл бұрын
Baba dai amefurahi sanaaaaa jmn yaani Mungu akiamua kukurudshia furaha anairudsha na unasahau balaa lote nyuma
@sameraamiry3849
@sameraamiry3849 2 жыл бұрын
DaaH dua zote laKini umemuacha
@zawadihamisi9585
@zawadihamisi9585 5 жыл бұрын
Yaani mm sijawahi ona wallh nkupenda sana baba tiffah mungu akuweke
@ReMuriithi
@ReMuriithi 4 жыл бұрын
This is the 10th time iam watching the video. I love the song Asu Wangu its my favourite, the red dresses and everything about the party
@beatricemapembe8941
@beatricemapembe8941 5 жыл бұрын
Yaani queen Dareen nakukubali sana. Umetulia huna kimbelembele. Hongera
@luqash_luqman9744
@luqash_luqman9744 4 жыл бұрын
707 nakumbuka jaman tanasha wetu dah sai jeeee
@calowamaye4009
@calowamaye4009 5 жыл бұрын
I’m so!!! Happy to see diamond happy with his all his family’s especially with his father 👍🏽👌🏽👋
@risukiart4615
@risukiart4615 2 жыл бұрын
mzee abdul a.k.a comand safii simba
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 5 жыл бұрын
Mmeitendea Haki nyimbo
@feronandsulubu6711
@feronandsulubu6711 3 жыл бұрын
Mbosso ni genius
@masoudmasasi1801
@masoudmasasi1801 5 жыл бұрын
hii nyimbo nikiisikilizaga nasisimka sana bonge la nyimbo
@husnatgamaah1335
@husnatgamaah1335 5 жыл бұрын
Kali sana wallah
@susanonyango8616
@susanonyango8616 5 жыл бұрын
Babake Diamond ameongeza miaka kumi zaidi ile furaha anayo haina kifani 😍
@antidabanyikwa3259
@antidabanyikwa3259 4 ай бұрын
Good music🔥🔥🥰
@timelessbeauty5677
@timelessbeauty5677 5 жыл бұрын
I love the presence of mzee Abdul which indicates maturity after separation ...thanks mzee ....maasidi jifunzeni sasa
@ungaroboungarobo5531
@ungaroboungarobo5531 5 жыл бұрын
R i p my mama wimbo wako pendwa huuu ulikuwa
@aminaalli2287
@aminaalli2287 5 жыл бұрын
Dai muinue Abdul misambanano ni msanii mzur sana na anapendwa..mmoja wapo Mimi napenda sana nyimbo hiyo
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 5 жыл бұрын
Amina Alli ukisema kumuinua itakuwa fedheha dharau huyo pia ni brand labda support ndogo ndogo kama promotion
@Belalargib
@Belalargib 5 жыл бұрын
So cute ❤️ Tanzania 🇹🇿
@sukariyao6537
@sukariyao6537 2 жыл бұрын
Me more 😘🤟🇹🇿💃💃💃💃
@carolmuchiri788
@carolmuchiri788 5 жыл бұрын
Raha telee jameeni wimbo huu wanikubusha mbali sana, Tz'd sitoki, Khadija kopa Malkia wa Taarab twakuona kwa ubali mwapendeza!
@khalfanikhanga5312
@khalfanikhanga5312 5 жыл бұрын
Rahaa sana baba mama na watoto wanapo furahi pamoja
@fikirinyangasi7973
@fikirinyangasi7973 5 жыл бұрын
Sio uchawi sio Freemason, tuwapende nakuwaheshimu mama zetu kwa dhati ndo njia kuu yakufanikiwa
@abubakaromarkhan1398
@abubakaromarkhan1398 5 жыл бұрын
Kabisa Love and respect for our belovely Mums equal to success
@iammusic3404
@iammusic3404 5 жыл бұрын
@@abubakaromarkhan1398 Sem kuna wachaw namashoga Watasema et illuminati Matako yao!
@yuusufnuur5752
@yuusufnuur5752 5 жыл бұрын
swadaktar
@ashuraussein7582
@ashuraussein7582 5 жыл бұрын
Naam
@user-pz8cb9cj3i
@user-pz8cb9cj3i 5 жыл бұрын
haki ni raha mpaka basi simba allah azidi kukuogoza na kukulinda na atakulipa kwahilo lakumsamehe babako mue na maisha mema familia nyote kajumla tanasha kaza kamba dadangu wanao sema wache waseme ww tumia nafasi yako sikuzote wa kenya hua hatuna papara yetu vitendo2 kenya woyeeeeee
@dianamkuna2898
@dianamkuna2898 5 жыл бұрын
Mdogo mdogo tu aijalishi ana maisha gani
@asiansky4786
@asiansky4786 5 жыл бұрын
Nimefurahi sana kumuona baba daumond nae yumo penda sana nasib
@halimafuketi8369
@halimafuketi8369 5 жыл бұрын
Nakupenda sana ww mwanamme!Mungu ndo anajua
@ummybabe1600
@ummybabe1600 5 жыл бұрын
Aki hapa na smile tu lonely. Nimeridhika sana Diamond na Abdul
@fatumaissa2580
@fatumaissa2580 5 жыл бұрын
Hatari asuu sijui remix itakuwaje wametisha sanaaaa
@mrishomzelela4627
@mrishomzelela4627 5 жыл бұрын
9:10 Combination ya baba diamond,mume mwenza na Platnumz mwenyewe wakicheza pamoja kama vile ukuutiukuuti yaani dizaini kamduara vile hatarii
@emanuelmhagama8193
@emanuelmhagama8193 5 жыл бұрын
daaa huu wimbo diamond anaupenda sana ata ukiona sura yake umemuingia moyoni
@amidasuleiman3983
@amidasuleiman3983 5 жыл бұрын
Misambano bwana nakupenda bure
@selemanivanmkungu4637
@selemanivanmkungu4637 5 жыл бұрын
JAMAA NAMUELEWA SAANA HASWA HII NGOMA, MONDI IFANYIE MANUVA UITOE REMIX THEN UM PUSH JAMAA WALU TUMUONE HEWANI
@diananyaboke3081
@diananyaboke3081 5 жыл бұрын
Nani kaimba hii taarab
@louser9473
@louser9473 5 жыл бұрын
Diana Nyaboke abdul misambano a.k.a kaka mkubwa yupo TOT PLUS
@qaccimside5707
@qaccimside5707 Жыл бұрын
2023 here we are.......much love to this legendary all the way outta +254
@graceyates1488
@graceyates1488 4 жыл бұрын
BARAKA TUPUUUUUUU. BABA MAMA MTOTO.....❤️❤️❤️❤️. Forgiveness is the best .#family
@blacknature7637
@blacknature7637 5 жыл бұрын
Nimefunguwa kwakumuona Abdul misambano tu
@abdulseif4093
@abdulseif4093 5 жыл бұрын
mboso ama lavalava nawaamini sana naamini mkiipiga cover hii ngoma itakuwa kali sana🙏
@iddijuma3650
@iddijuma3650 5 жыл бұрын
Am so happy to see diamond and his dad huging
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Жыл бұрын
Yes didn't see it
@majaliwapili2928
@majaliwapili2928 5 жыл бұрын
Wasafi lebo kubwa duniani
@ashuraussein7582
@ashuraussein7582 5 жыл бұрын
Unaniparaha misambano
@queenbhanji7223
@queenbhanji7223 5 жыл бұрын
mzee abdul anafuraha sana aiseee
@brinahminja8256
@brinahminja8256 3 жыл бұрын
Naipendaaa had naliqqq
@annastaziavenance1735
@annastaziavenance1735 5 жыл бұрын
Darling ako na happy kumuona mzee wakee
@ramadhanmbudo1596
@ramadhanmbudo1596 5 жыл бұрын
Nakumbuka kitambo sana wakati nyimbo hii ina hit mpaka leo.
@blessingbagio4857
@blessingbagio4857 5 жыл бұрын
Queen na babaake wanavyochekeana adi wivu. Mbarkiwe
@musamanyanda5112
@musamanyanda5112 5 жыл бұрын
Mamae mboso khan we nyoko sana
@rosechild5021
@rosechild5021 4 жыл бұрын
I remember this beautiful song in Burundi.
@getmad9908
@getmad9908 2 жыл бұрын
Hapo badaye Mzee abdu kiliumana maskini wakamkata 😭😭😭 alikuwa ana furaha Sana siku hiyo Mzee😭😭
@cherrietanzania6218
@cherrietanzania6218 5 жыл бұрын
Can't get tired looking this performance
@bosslady4332
@bosslady4332 5 жыл бұрын
I like this song ❤❤ from DR CONGO 🇨🇩
@mpuwanyahamza9762
@mpuwanyahamza9762 4 жыл бұрын
Dr.Misambano. R.I.P Banza stone
@owjaymontesenos813
@owjaymontesenos813 5 жыл бұрын
Gonga like kwa baba dangote na queen darling 💯💯💯
@mwanahawamakame1178
@mwanahawamakame1178 5 жыл бұрын
Jaman zamani watu walikua waimba lkn sasaivi shida tupu nimekumbuka mbali
@nzilofaiba5855
@nzilofaiba5855 5 жыл бұрын
Kweli zama huba ilikuwepo... ni memory
@husnatgamaah1335
@husnatgamaah1335 5 жыл бұрын
Imagine nyimbo ya 1997 lkn hadi leo watu wakiiskia wanasisimka aisee tunzi za zaman ni balaa
@NeitanLion
@NeitanLion 5 жыл бұрын
great voice great vibe
@rechokezia8213
@rechokezia8213 5 жыл бұрын
Congratulations mond mey God bless you
@janenyaga726
@janenyaga726 2 жыл бұрын
👌🙏👍👍✌️✌️I love you bro parent first heshima ndugu
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 5 жыл бұрын
Baba ya mondi anaqenge kamfatisha mwanae kabisa huhuhu😁😁😁😁😁🔥🔥🙏🙏🙏nimependa sanaaaaaa
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 5 жыл бұрын
Noma shoo kali mazee
@saphinesyyohana7139
@saphinesyyohana7139 2 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana.misambano.niliipenda Sana hi nyimbo.
@nubian_queeeeen
@nubian_queeeeen 11 ай бұрын
This man Abdul gave my aunties in Kenya 🇰🇪 sleepless nights in the late 90s wallahi. Translate hii message ifike TZ 😅.
@robertpascal8832
@robertpascal8832 5 жыл бұрын
Diamond platnumz please tunaomba ufanye remex ya hyoo ngoma na hyoo jamaa
@salmaswai5443
@salmaswai5443 5 жыл бұрын
Namkubali Sana Abduli misambano
@ibrahimsalehe1243
@ibrahimsalehe1243 5 жыл бұрын
Ngoja na mm nitafute hela
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 5 жыл бұрын
Yaani kuimba tuu alipo diamond usharudi kwenye game Diamond hakoseagi
@beloyalbert2359
@beloyalbert2359 3 жыл бұрын
😭😭😭 mzeee abdully
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 42 МЛН
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 31 МЛН
TAARAB. Abdul Misambano - Mtoto kitu na Box mp3
13:57
Marjan Sempa
Рет қаралды 837 М.
ASU.... renovated LIVE
3:20
babloom kisauji
Рет қаралды 112 М.
Nandy feat Billnass - Totorimi (Visualiser)
3:52
Nandy - The African Princess
Рет қаралды 577 М.
BALAA LA MBOSSO KWENYE USIKU WA 707 THE GREAT GATSBY
18:34
Wasafi Media
Рет қаралды 778 М.
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 42 МЛН