No video

Inshallah Part 2 - Madebe Lidai & Havit Makoti (Official Bongo Movie)

  Рет қаралды 521,688

Africha Movies

Africha Movies

6 жыл бұрын

Inshallah Part 2 (Madebe Lidai, Havit Makoti) Nabii Mswahili Madebe Lidai
Watch Part 1 Here: • Inshallah Part 1 - Mad...
CAST: Madebe Lidai, Havit Makoti, Hidaya Shomar, Nasoro Thomas
STORY: Madebe Lidai
DIRECTOR: Madebe Lidai
Subscribe to Africa Movies on KZbin here: bit.ly/AfrichaM... #AfrichaMovies #AfrichaEntertainment #MadebeLidai

Пікірлер: 477
@nasashashabaani598
@nasashashabaani598 6 жыл бұрын
Kama unamkubal madebe na kazi zake like hapa na ucoment chochote kuhusu moves zake madebe lidai noma sana nanikiboko maastaa bongo
@eugenhusen8154
@eugenhusen8154 5 жыл бұрын
Unajitahidi Kama move ya msungo
@asiaiddy7181
@asiaiddy7181 5 жыл бұрын
Salut sana kaka kazi nzur
@nestamganwa8554
@nestamganwa8554 5 жыл бұрын
Nasasha shabaani namkubali madebe kwa misamiati yake
@AMZASAIDEofficialm6332
@AMZASAIDEofficialm6332 5 жыл бұрын
Nasasha shabaani jama noma madebe lide
@rhamaomari3282
@rhamaomari3282 5 жыл бұрын
Madebe fundi ndio mtanzania pekee anae nishawishi kucheck move zakibongo
@lusungukiswaga7640
@lusungukiswaga7640 6 жыл бұрын
Ninacho kupendea Madebe move zako zinawezekana kuangaliwa na watu wa rika zote hata wakiwa wamekaa pamoja. Tofauti na movie nyingine ukiwa na watoto au watu wa heshima inakuwa vigumu kuvumilika,inalazimika vipande vingine kuvirusha. big up sana MADEBE.
@user-ms5ho2kv4e
@user-ms5ho2kv4e 17 күн бұрын
Nikweli
@piuskelvin5414
@piuskelvin5414 3 жыл бұрын
Huwezi kupendwa na kila MTU kwasababu we sio pesa madebe salute
@mordally
@mordally 6 жыл бұрын
Hapa ndio husema Madebe is the current best actor, anayesema vinginevyo huyo ana interest nyingine, location mpangilio ni mzuri sana, wasiomkubali waache tu, Movie zake unaweza kuangalia na mtu yeyote mkiwa pamoja, kuna busara nyingi sana ila tu labda uwe huelewi. tunaomba movie ziwe ndefu kidogo ili kupata maana halisi na kuhusha na kuwafa ya watu wengine waelewe zaidi, All in All BIG UP
@naomikimaroh1205
@naomikimaroh1205 5 жыл бұрын
Momo inakuaje
@Lumegilemukata
@Lumegilemukata 4 жыл бұрын
yap kaka is good actor
@dottosamweli2364
@dottosamweli2364 6 жыл бұрын
Asante sana, brother Madebe lidai kwa movie nzuri na yenye mafundisho, mungu abariki Kazi ya mikono yako
@halimasalumu558
@halimasalumu558 5 жыл бұрын
Dotto Samweli p
@abubakariyusuph7270
@abubakariyusuph7270 6 жыл бұрын
mhhhh we na gabo hamna mpinzani Tanzania hii nawaelewa sana
@mishijuma6326
@mishijuma6326 6 жыл бұрын
Kwamtazamo wangu MADEBE ndiye mtunzi bora Africa mashariki.
@mayeleamisi9483
@mayeleamisi9483 6 жыл бұрын
Kabisa👏👏👏👏👏👏
@noelngombo2133
@noelngombo2133 6 жыл бұрын
Safi sana madebe unajua br endeleaa kutupa mafunzo we fundiiiiiiii
@vincentmgeni662
@vincentmgeni662 6 жыл бұрын
Atamimi naona ivyo
@ellenphilip6240
@ellenphilip6240 6 жыл бұрын
Mimi pia
@hamenyantabandi9681
@hamenyantabandi9681 5 жыл бұрын
isaya bombonya
@msafiriiddy3135
@msafiriiddy3135 6 жыл бұрын
nafikiri madebe akifakiwa kujiweka na kujua jinsi ya kuonekana na kueleweka kimataifa atateka sehemu kubwa ya Afrika na sio tu Tanzania
@mengiruhotola4566
@mengiruhotola4566 6 жыл бұрын
Kazi nzuri sana congratulations to you @madebeLidai👍
@selemaninahimani820
@selemaninahimani820 5 жыл бұрын
Madebe hitimisho ya movie hii, imebeba ujumbe wa maana sana na mazingatio, Mungu akupe afya ya kutuelisha kwa busara.
@kaccmoviebankmovie6692
@kaccmoviebankmovie6692 4 жыл бұрын
Leo ni mejua mahana ya madebe lidai na movie ya ishaallah
@listentoquranandmawaidhach4992
@listentoquranandmawaidhach4992 4 жыл бұрын
Masha Allah tamthilia za Madebe zote zina mafunzo ya kutosha,Shukran Madebe🙌
@zuhrakhamisi8335
@zuhrakhamisi8335 4 жыл бұрын
Movie iko bomba ila kidini nivyema alipo jiua mwnyw kwasababu mzinifu anatakiwa apigwe mawe mpaka kufa so cha msingi nikujielewa unafanya nini kabla ya kutenda big up baba mzazi kwa msimamo wako naamini vijana wengi watajifunza kwahili nawasichana wenzangu pindi mkiona hamuwezi tena kustahamili nivyema tu kusema ili upate halali kuliko haram
@babdan904
@babdan904 6 жыл бұрын
Huyu ndie msanini naweza kuangalia moving zake mda wowote good luck madebe
@fanuelysebestianfanuelyseb7957
@fanuelysebestianfanuelyseb7957 6 жыл бұрын
hongera sana Madebe lidai unaweza sana kabisa
@thobiasmikaniko8348
@thobiasmikaniko8348 4 жыл бұрын
Wangap tunaangalia huku machozi ya kimutoka😢😢😢😢
@bashirabdallah1146
@bashirabdallah1146 5 жыл бұрын
Mashaallah nami nitowe pongezi zangu za dhati kwa madebe lidai kwa kazi nzuri Napenda busara na hekima zako. Ipo siku watakuelewa. Inshaallah
@costacosta3247
@costacosta3247 6 жыл бұрын
Usikubali kufundwa na kungwi aliyeachika!!! Hiv kweli kama alishindwa kuishi na mme wewe atakufundisha nn kuachika pia!!!! Big up madebe!!!
@aloycemyovela2521
@aloycemyovela2521 5 жыл бұрын
Machoziiiiiiiiiii yamenitok Leo Mimi duh
@nurusaid4698
@nurusaid4698 11 ай бұрын
Nimetizama Mpka Nimejikuta Nimesinzia Na Baada Kuamka Aki Imenibidi Nirudi Nyuma Nijue Kilichoendelea Ongereni Sana Mliyo Shiriki❤❤❤❤❤
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Manshaallah madebe nipo nje ya nchi yangu najifariji nafurahia mno
@belathomgaya4803
@belathomgaya4803 6 жыл бұрын
Hiyo nondo wapatikane watano kama madebe ⭐️
@khadijahussen2763
@khadijahussen2763 6 жыл бұрын
Mashaallah Ongera sana madebe lidai kwa movie Nzur
@salmeenabdallah3131
@salmeenabdallah3131 6 жыл бұрын
Mashaallah
@shonelyzbeth4028
@shonelyzbeth4028 5 жыл бұрын
Madebe Lidai Fundi. .wewe jamaa unajua mpaka unapitiliza..Inshalah ...nimsanii pekee anaeuonyexha umma kuwa hata bila magari nyumba za kifahari unaweza onyexha movie bomba kabixa
@issaramadhani9714
@issaramadhani9714 5 жыл бұрын
Sana kaka Shone
@halimajuma9524
@halimajuma9524 6 жыл бұрын
Maa Shaa ALLAH Madebe..
@sifamassmo1994
@sifamassmo1994 5 жыл бұрын
Daaa kz zko nzuri babaa madebe endelea na jitihada hzo...
@mfungwahuru
@mfungwahuru 6 жыл бұрын
Mashallah,,, madebe hii movie kali sana,,, Endelea kaka
@amirdingu8039
@amirdingu8039 5 жыл бұрын
Madebe lidai ww ni wa Tanzania nakupa 100%
@dennisjuma1196
@dennisjuma1196 2 жыл бұрын
hongera sana nabii Kwa filamu ya ushauri
@aishaaisha3722
@aishaaisha3722 6 жыл бұрын
Masha Allah madebe
@mejumaamwachirero3659
@mejumaamwachirero3659 3 жыл бұрын
Napenda sana kazi yako kaka unatia vitu vya maana vinavyotufundisha. Halafu pia napenda mavazi yaheshima mnajielewa kwa kweli shukran 💯
@mwarabubaraka2420
@mwarabubaraka2420 3 жыл бұрын
Hongera sana madebe hakuna zaida y ww
@ngolosangyanundu9510
@ngolosangyanundu9510 6 жыл бұрын
Bora Ukahishi Ukijua Kuwa Jana Nilikuwaje! LEO Nikoje! NA Kesho Nitakuwaje! Hongera Saaana Filamu Utafahamu Palipo Na Ukweli🤔😍😐
@stamuujumajuma.4181
@stamuujumajuma.4181 6 жыл бұрын
bonge moja ala story mungu azdi kukupgania ktk kupaji chako baba madebe uzdi kutupa vtu vitamuuuuu kama hiki ,,,,,inshaa,allah,,,,
@meshackjuma5767
@meshackjuma5767 5 жыл бұрын
STAMUU JUMA JUMA.
@mr.headboy3398
@mr.headboy3398 6 жыл бұрын
Movie zaa Madebe lazima niko na Kalamu na kakitabu.. misemo hii lazima nitinge kitabu nikauze tzd. 🙋👌
@josephatbenardmwarabu6179
@josephatbenardmwarabu6179 6 жыл бұрын
Naomba uniunge kwenye group LA WhatsApp naomba yangu hii 0679036003
@salmasaidi2875
@salmasaidi2875 5 жыл бұрын
Absolutely correct Congratulations
@yusuframadhani444
@yusuframadhani444 4 жыл бұрын
wewe ndo kama mimi hukaa na kidaftari naandikaga misemo
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 6 жыл бұрын
Big up madebe unastory nzur sna
@antonytimotheo8984
@antonytimotheo8984 6 жыл бұрын
mama m nakuomba ukienda kusal usimuombe mungu chochote ispokua muombe mungu busara na hekma ili viandane na saiz ako mana utakua huna tofaut na watot
@jumahsuleyman3681
@jumahsuleyman3681 4 жыл бұрын
Mm natokea njini Kenya namkubali sana lidai
@zenamshana6852
@zenamshana6852 6 жыл бұрын
napenda sana movie zako kaka upo juu
@jumahsuleyman3681
@jumahsuleyman3681 4 жыл бұрын
Namkubali Sana lp midea
@laisedward2434
@laisedward2434 4 жыл бұрын
Mhmhmhm muvi nzuriiiiii
@MrSam-vx7vl
@MrSam-vx7vl 2 жыл бұрын
Daa hili janga linawakumba wengi sana, 30yrs😥😥
@allychaye3446
@allychaye3446 6 жыл бұрын
Madebe unaweza sana hayupo wakukufikia kuigiza
@rehemandaame3987
@rehemandaame3987 4 жыл бұрын
Noma sna madebe unawez kwa kila hal muung akpe uwez zaid inshallah
@oscarsteven9139
@oscarsteven9139 3 жыл бұрын
Zjrk
@oscarsteven9139
@oscarsteven9139 3 жыл бұрын
Ok
@oscarsteven9139
@oscarsteven9139 3 жыл бұрын
Poa
@oscarsteven9139
@oscarsteven9139 3 жыл бұрын
Ok
@troubleabhat2190
@troubleabhat2190 6 жыл бұрын
Madebe uko top Allah akuzidishie kipaji chako usifike kote ulimwenguni na mafunzo yako bora
@salimshalifu9293
@salimshalifu9293 5 жыл бұрын
huwa sipendelei move za kwetu ila za madebe kila inayo toka lazima niwe nayo coz kama unaakili analemga kila sehem hazina mapenzi bali zina uhalisia wa maisha dah anajua sana
@boikamoha2227
@boikamoha2227 6 жыл бұрын
Penda sanaa iko sawaa. Nikitambo nitizame video's zako ila hii nimeitizama online bila net kusumbua. Nimeipenda sana na kisa hikii kimenilenga sana ingali X wangu hajakufa na mm nipo hai. Naitwa Mohammed/ jina la kugiza filamu natumia MAGOBOLO.... FROM KENYA MOMBASA RAHAA, KITAA CHA KONGOWEA AU KONGOZAIREE. THANKS GUYS..
@rashidyhassan4679
@rashidyhassan4679 6 жыл бұрын
ukweli ni kwamba unaelimisha sana, madhaif ya sheria, ukosefu wa busara juu ya utatuzi jambo hilo. kiufupi nimekuelewa.
@hjhj6230
@hjhj6230 5 жыл бұрын
Yaani ukiangalia moves za Madebe hukosi funzo kwakweli
@mossimpinda4341
@mossimpinda4341 4 жыл бұрын
Duu aisee hii move imenifanya mpaka nalia madebe lidai uko vizuri
@mgl_africa
@mgl_africa 3 жыл бұрын
Madebe utofauti wako na waigizaji wengine katika movie zako wewe unajua kumaliza movie na ikaeleweka tofauti na wasanii wengine wanashindwa kabisaaaa kumaliza story ikaeleweka
@ZingoSports
@ZingoSports 6 жыл бұрын
Dah big up sana kwako kaka Madebe UHAKIKA najifunza vitu vingi sana kupitia wew
@abdallahmuhammad4729
@abdallahmuhammad4729 6 жыл бұрын
majuto ni mjukuu huja baada ya jambo.pole sana bba Shida
@maxphitina6212
@maxphitina6212 5 жыл бұрын
Hapo Mzazi nimekuerewa bila kuisahau Msungo umetisha kinoma kaza bunti usiyumbe ili kusudi ufike mbari zaidi
@ElvisMumbere
@ElvisMumbere 3 ай бұрын
Tiiii 2024 from congo
@adamali438
@adamali438 6 жыл бұрын
Madebe lidai shukrani sana kwa movie zako Mungu akujalie maisha marefu uzidi kutufurahisha na kutuelimisha asanteni sana wahusika nyote
@isaactsongo664
@isaactsongo664 3 жыл бұрын
Iyo sehemu ya pili ina nipa fundisho y'a kweli
@hashimrashidy3532
@hashimrashidy3532 5 жыл бұрын
jitaidi kubadilisha mavazi msuli una
@magrethandrew8014
@magrethandrew8014 2 жыл бұрын
Aise mungu akuongezee iman brother made be
@mayeleamisi9483
@mayeleamisi9483 6 жыл бұрын
Heri huwe Nama haduwi wengi kuliko Kuwa Nama Rafiki wengi😟😟😟😟😟😟
@furahakhamiisi5130
@furahakhamiisi5130 6 жыл бұрын
Movie nzuri nimeipenda bure Asante kwa wote mlioshiriki kwa movie hi!😘😘😘
@issamakau5841
@issamakau5841 Жыл бұрын
Mtoto wa Madebe ndiye aliyenitia huzuni....Hongerani Sana Madebe na Team yako, jamii ya Africa Mashariki na kati inahitaji mafunzo mfano wa haya....Baba Shida big up sana kwa kuvaa uasilia wa Mababa wasokubaliana na mibadiliko haali.. Shukran sana
@diamondplatnumz8462
@diamondplatnumz8462 6 жыл бұрын
Madebe kawa #Pasua-kichwa👏👍 Congrats
@lazaromanini6507
@lazaromanini6507 5 жыл бұрын
Mamb mzm
@michaelrafael2327
@michaelrafael2327 5 жыл бұрын
Du umetisha madebe
@eddiezunda1066
@eddiezunda1066 3 жыл бұрын
madebe uko juu sana niko kenya naangalia sana story zako zina mafundisho makubwa. mie ni mtanzania na mwalimu wa kiswahili huku kenya, misemo yako naikubali sana.... kazana kijana
@neemakanzo3702
@neemakanzo3702 6 жыл бұрын
madebe wewe noma 👍👍👌👌👌👏👏👏💓💓💓💓
@rehemarajabu3590
@rehemarajabu3590 6 жыл бұрын
masha_allah hongera san madebe mov zako hazichoshi...zinafundisha nakuelemisha...asant san
@al_huda_theguidance5034
@al_huda_theguidance5034 4 жыл бұрын
Hizi movie za madebe zimenipa fundisho kubwa Sana, nazipenda kweli, big up madebe
@user-sk2xr7yv3h
@user-sk2xr7yv3h 6 жыл бұрын
Uyu mze nomaa sana anakosa kamba na mbunzi loho mbaya tu Sasa anafaidika nini duuhhhh
@ashauledy6319
@ashauledy6319 6 жыл бұрын
hiii kwel enxhaallah☝☝
@zaitungalus5600
@zaitungalus5600 3 жыл бұрын
Madebe upo vzr sana hongera sana
@suleimankiumwa5328
@suleimankiumwa5328 6 жыл бұрын
Mashaallah madebe, mwenyezi mungu atakujalia ufike mbali
@hijafadhili6143
@hijafadhili6143 5 жыл бұрын
ukweli ubakie usifiwe ....madebe nidhahabu ya mswahili hata uchukieee
@issaramadhani9714
@issaramadhani9714 5 жыл бұрын
Hakika rafiki
@timothysirengo1
@timothysirengo1 Жыл бұрын
Anatosha yule mwamba hana rika lake pale bongo flava na africha mashariki
@jimmymusti165
@jimmymusti165 6 жыл бұрын
Aaaaaahhh Madebe we unajua, we ni bonge la actor babaake!!
@HalimaHalima-tq5jw
@HalimaHalima-tq5jw 3 жыл бұрын
Mashaallah madebe Allah akupe umri na cnema zako za mafunz zinatufunza Wallah nakukubali ALLAH akubarik amiin 👏👂🙏✌️🤝💪👊💐🤗
@paulvinnny8832
@paulvinnny8832 2 жыл бұрын
Nimependa kazi yako madebe
@hassansaid2518
@hassansaid2518 6 жыл бұрын
Mashaallah Madebe, kitumie sna kipaji icho.!
@edwinwaithera8805
@edwinwaithera8805 6 жыл бұрын
madebe lidai mashaili yako vizuri nakukubali.
@nurumokiwa1082
@nurumokiwa1082 2 жыл бұрын
Madebe hongera sana
@bosiabu6607
@bosiabu6607 6 жыл бұрын
many many thanks for the movie I'm getting you from saudiArabia
@azizimnyimwa9568
@azizimnyimwa9568 6 жыл бұрын
Duuuuh
@bosiabu6607
@bosiabu6607 6 жыл бұрын
Azizi Mnyimwa Aiywa habib
@chancelinechuchu7333
@chancelinechuchu7333 5 жыл бұрын
Bosi Abu me from koweit
@hansvoice1900
@hansvoice1900 4 жыл бұрын
Nakubali kak hujawahi kosea ktk utunzi dah hii movie imenifanya nilie
@alyantamla7383
@alyantamla7383 2 жыл бұрын
Nimeipenda sana iko vizuri
@wahindiakwembe8066
@wahindiakwembe8066 6 жыл бұрын
Madebe mungu azidi kukulinda tunapenda sana movies zako
@jumajuma2726
@jumajuma2726 4 жыл бұрын
Hii movie baada ya kuifurahia naichukia sasa maana inanitoa machozi hakika Allah akuifadhi madebe
@josephinemwanajuma1366
@josephinemwanajuma1366 Жыл бұрын
Mashallah movie mmja kali na safi sana
@usher_bambi9413
@usher_bambi9413 6 жыл бұрын
Madebe kajua kulia humu ndan khaaah 😢😢😢
@jumajuma2726
@jumajuma2726 4 жыл бұрын
Sipend bongo movie sababu awajui kuigiza vitu vya maana kama HV madebe hakika Allah akuifadhi sana
@husseinsalum187
@husseinsalum187 6 жыл бұрын
very nice movie
@nabwikeadam8816
@nabwikeadam8816 Жыл бұрын
Hongera Kaka madebe
@cameramaisha750
@cameramaisha750 5 жыл бұрын
mungu akupe haya na mengne mauri inshaa allah, madebe safi sana
@mfungwahuru
@mfungwahuru 6 жыл бұрын
Imenifunza Sana Licha kwamba umenitoa machozi
@juniorleonard9140
@juniorleonard9140 6 жыл бұрын
Safi sana kaka mkubwa thamila ya ni nzuri sana
@MohamedAhmed-yu1lu
@MohamedAhmed-yu1lu 6 жыл бұрын
Madebe nakukubali bro movie zako zote kiboko mafunzo tele na entertainment bora kabisa. Endelea hivyo hivyo.
@maryamhilal9820
@maryamhilal9820 3 жыл бұрын
Dah 😭😭😭
@MohamedAli-mr8oj
@MohamedAli-mr8oj 3 жыл бұрын
Madeebeee! You're always killing ot at every given moment..🤗
@user-sk2xr7yv3h
@user-sk2xr7yv3h 6 жыл бұрын
Nice movies 😘😘😘😘 inshaAllah
@moudjunior3458
@moudjunior3458 6 жыл бұрын
Sio kila mzee ana busara! ukijifanya mwanasheria sana kuhukumu wenzio ili kuiridhisha nafsi yako utafeli! Mtoto uliye mtegemea leo akufute machozi kesho anakuja kukupa majonzi makubwa na usijaribu kuchora ramani ya Afrika kama mwanzo wake huujui
@majomolaikanda9754
@majomolaikanda9754 2 жыл бұрын
Aise madebe mungu akupe maisha marefu ili uifundishe jamii
@mgosiasambaa8746
@mgosiasambaa8746 6 жыл бұрын
Ahsanyeni sana kwakutuwekea sehemu ya 2
@ibrahimchongolo5495
@ibrahimchongolo5495 2 жыл бұрын
Unafundisha mengi mungu akuinue
@eliaspunga1997
@eliaspunga1997 4 жыл бұрын
Madebe lidai is true actor from tz and out of tz big up lidai and god you are blessing work of your hand
@rozzsproqaia1411
@rozzsproqaia1411 2 жыл бұрын
Munguakuzidishiemadebeuzidikutufunza
@blaisekadhafi3559
@blaisekadhafi3559 Жыл бұрын
Madebe we ni noma mwanangu
@sadikkahindi8416
@sadikkahindi8416 6 жыл бұрын
lidai the best actor for now
@yusuframadhani444
@yusuframadhani444 4 жыл бұрын
hongera sana Madebe mungu akuzidishie kwenye kazi zako, jamani hizi filamu nyengine ukijiachia kidogo mara unatoa chozi😥
@mohamedomar4037
@mohamedomar4037 5 жыл бұрын
Innalilah wainnaileyhi rajiun ewe mola tujaribu kuepuka balaa na maamuzi mabaya
@aboubakarishaban8534
@aboubakarishaban8534 3 жыл бұрын
Mpo vizuri sana
@faddyhboy7378
@faddyhboy7378 2 жыл бұрын
Nakubali kwa misemo yako tu
Inshallah Part 1 - Madebe Lidai & Havit Makoti (Official Bongo Movie)
54:29
Msungo Part 1 - Madebe Lidai & Aurelia Damas (Official Bongo Movie)
53:58
Africha Movies
Рет қаралды 1,2 МЛН
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 16 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,8 МЛН
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 33 МЛН
JOKA LA KIJIJI FILAMU YA KUSISIMUA
50:25
Sultan Tamba
Рет қаралды 6 МЛН
MAUWA EP03
20:33
kim ent
Рет қаралды 843
NABII MSWAHILI Part 1 by Madebe Lidai (Official Bongo Movie)
57:17
Africha Movies
Рет қаралды 758 М.
Johari Part 1 - Steven Kanumba & Vincent Kigosi (Official Bongo Movie)
58:24
Wyldpytch Rekords / 51 Lex Records
Рет қаралды 55 М.
misemo na mafumbo ya NABII MSWAHILI semi za madebe lidai
12:56
KEYTO KAE
Рет қаралды 474 М.
CHIZI MAPENZI PART 2 | NIVA| RIYAMA| Beautiful MWANAHERI
58:33
Star Cinema
Рет қаралды 171 М.
TETE (Official Swahili/Bongo Movie)
1:02:07
36 Pictures
Рет қаралды 149 М.
KOSA LA MAMA || Swahili Latest || Bongo Movie 2021
2:00:01
kapaayathegreat films
Рет қаралды 4,3 МЛН
Sidano Part 1 - Madebe Lidai & Hamisi Kufinya (Official Bongo Movie)
52:02
Comfortable 🤣 #comedy #funny
00:34
Micky Makeover
Рет қаралды 16 МЛН