Like zangu jamani nimekuwa wa kwanza kama shabiki wa Simba mnyama mkubwa
@hakikakassa8410Күн бұрын
😂😂😂😂😂yaani Ahmed nikikusikiliza naishia kucheka tu
@HOLINESSPIUSE-gv8udКүн бұрын
Kalabuuu amenikoshaaaa huyoo Jana Kwangu Mimi Ni man of the match ananiunga mikono naomba like hapa
@vitalisgoodluck1955Күн бұрын
Haswaaaa
@AUGUSTINEMARTINJIKA2 күн бұрын
Hawawezi kututoa mchezoni hata kidogo mnyama ni mkubwa siku zote eeee
@hassanrashid-l3u23 сағат бұрын
Mnajitoa mchezoni wenyewe,,akili hamna Kaz kubwabwaja tu timu bovu baadala mtulie mulekebishe mnakuwa kama mupo kitandani kwa pididi mnafilwa
@GeorgeKifaru2 күн бұрын
Watani wangu wahehe wanamla mbwa Ila Yanga wanamla Simba Supu.
@danielbegashe61262 күн бұрын
Huyu alikataa malakamiko, now kaanza mwenyewe😂
@NyasanaTv-ol4ixКүн бұрын
Ndio mwekezaji wetu tunakuomba timu yetu ya simba ihamishiwe zanzibar tu ligi ya bongo ishakua mbovu sana imeingiliwa na siasa tuwapelekee wazanzibar fulaha na tukaikuze ligi ya zanzibar kwanza zanzibar watu wakule wanaimani ya mungu siyo hawa wanajiita ally kamwe mara haji huku killa siku tunawaona wakikusanyika wanakula supu za nguluwe makafili wakubwa
@allyshaban4062 күн бұрын
Hiyo ni taaluma, kumuelewa uwe na akili ya o+
@UmayyaMunisi22 сағат бұрын
😂😂😂😂Ila semaji anajuaga kutupa raha bwana😅😅😂
@noelmakere13812 күн бұрын
Makosa ya watu wengine au yenu?we hujui unasema Nini Kosa lenu kijiri nyau tu
@godfreymkelemi9663Күн бұрын
Hujamuelewa wewe
@MAWAZOCHARLESDANIELКүн бұрын
We hujui mpira tulia
@simonsadala23862 күн бұрын
Goli la jana ni la mchongo kacheza na kipa lakini wazee wenu pamoja na wala ngada wenu hawaongelei kabisaaaa Kmc anaenda kuwakalisha chukueni hii Kolo Ubwela nyie
@YohanaJumanne-v3vКүн бұрын
Simba waombe kucheza rigi Kuu Rwanda ama Moroko Tanzania mpira tena haupo sasa ni siasa tu
@christopherkaroli9365Күн бұрын
Huyu anajua kazi yake, siyo yule mlopokaji wa upande ule,,,,,,,,,,,asipoitaja simba haridhiki
@sosomacharles99202 күн бұрын
Makolo ni kama watoto tu,msemaji wao huwa anawadanganya lakini wao wanakubali🤣🤣🤣🤣
@revocatusmalimi45252 күн бұрын
Nyani haoni kundule, huyo wa kwenu unmuweka wapi
@AmisamauridNgagada18 сағат бұрын
Namshukuru lunyamila alinishawishi niwe YANGA huku raha tupu😂😂😂😂😂😂💚💛💚💛💚💛
@braystuskibassa38422 күн бұрын
Na hii ndo tafsiri sahihi siyo kukwepa maswali na majibu wawe wakweli nimeona Kalia analala mbele ati mwamuzi hapaswi kulaumiwa ati ilikuwa haraka haikuwa rahisi kuona matukio yale
@piusquwanga59922 күн бұрын
❤q
@sosomacharles99202 күн бұрын
Toka ulivyofungwa na ww huogopi?mbona hukuongea?
@UmayyaMunisi22 сағат бұрын
Kayoko aliongea😂🐸🐸🐸
@allyshaban4062 күн бұрын
Naumwa mafua kwa kumsikiliza huyu, mafua yamekata.
@ErastoChilanza2 күн бұрын
Wazee wasikilizwe kwa lipi
@yusuphbenjaminkugaiwa76082 күн бұрын
Nasisi tumekua wazee wa kimoko?
@athumanfuko1992 күн бұрын
Kimoko lakini unaangalia team kwa ujumla imetengeneza nafasi ngapi😂😂😂
@DuniaNdogo2 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@mathahosea67832 күн бұрын
😅😅
@noelmakere13812 күн бұрын
We pimbi TU hao wazee wanasema upuuzi mtupu Ninyi mlibebwa sana ..Yanga walikaa kimya au unadhani Yanga nao hawakuwa na wazee? Timu mbovu mnajishika na wazee akili ndg sana
@godfreymkelemi9663Күн бұрын
Wewe unamuita pimbi sababu gani
@AlexAmbrose-y8l2 күн бұрын
Comedian tupu ndo ninacho kiona
@patrinraura13972 күн бұрын
Malalamiko Yaliyotolewa na Wazee wa Simba kuhusu GSM kudhamini Vilabu nane yanauzito maana kwa vyovyote vile yanaweza kumtengenezea Mpinzani Ubingwa kupitia Vilabu vilivyodhaminiwa na Kupoteza ushindani,Burudani,na Kuuwa Soka letu. Ni vyema TAASISI zinazohusika kulifanyia KAZI ili kuondoa hisia miongoni mwetu SIMBA NGUVU MOJA
@sosomacharles99202 күн бұрын
Kama vipi basi hata MO aondeke.
@noelmakere13812 күн бұрын
Acha ushamba wewe Tofautisha mdhamini na mfadhili mkuu
@patrinraura13972 күн бұрын
@@noelmakere1381 ASANTE Sisi ni washamba kw kutojua tofati ya mfadhili na mdhamini ndiyo maana ushamba wa Wazee Simba kulalamika Hongera Msomi
@khamissalim56Күн бұрын
Makolo nyie 😂 bado mutateseka sanaa huu mwaka nyie na wazee wenu
@akidajulius83972 күн бұрын
Anakuonea nan,Mizeee mizima,mnataka ushindi wa kupewa,Ondokeni mkacheze somaria
@godfreymkelemi9663Күн бұрын
Kwa ni lazima uandike kitu
@JuliusKideula-qt4pq2 күн бұрын
Wewe Ally hai wazee wako hawana chocho wanacho Jua kuhusu mpira wanabwatuka tuu
@azizikassimu16902 күн бұрын
ushindi wa batr mmempola mpira mikonon goli kipa
@anthonymilinga8696Күн бұрын
Kipa katema mpira golini unategemea nini
@SalvatoryMtunga2 күн бұрын
Na nyie mlitoa bahasha kwa golikipa wa tz prison? Maana ingelikuwa kwa wenzenu mngetishia kujiondoa kwenye ligi na kuwavisha sanda waamuzi.
@IsaacNyato-dt9we2 күн бұрын
Na wangetishia kung'oa viti Kwa Mkapa.
@NyasanaTv-ol4ixКүн бұрын
Ndio mwekezaji wetu tunakuomba timu yetu ya simba ihamishiwe zanzibar tu ligi ya bongo ishakua mbovu sana imeingiliwa na siasa tuwapelekee wazanzibar fulaha na tukaikuze ligi ya zanzibar kwanza zanzibar watu wakule wanaimani ya mungu siyo hawa wanajiita ally kamwe mara haji huku killa siku tunawaona wakikusanyika wanakula supu za nguluwe makafili wakubwa