Video by -HMC DIGITAL VIDEO PROFESSIONALS Shooting Location-Nairobi /Kilimanjaro/Mwanza Directed by -Enos Masanja +255767319616 hmc2012production@gmail.com
Пікірлер: 213
@youthfoundationtv71944 жыл бұрын
2020 tunaongalia hii ngoma tusalimiane
@lasteckmmary97415 жыл бұрын
kama mmebarikiwa kama mimi, twende na lik, hp chini
@alexmuli96174 жыл бұрын
I must be honest and admit Tanzania are on another level especially gospel. Such uplifting and blessing song. Loving it from Kenya
@wilsonchishomi10834 жыл бұрын
Thanks for the love ❤️ brother
@alexmuli96174 жыл бұрын
@@wilsonchishomi1083 You most welcomed bro
@alexmuli96173 жыл бұрын
@Alice Lameck Wafikishie salamu zangu Kwa wingi
@angelmuro19943 жыл бұрын
1
@jasiminjasimin7694 Жыл бұрын
Waoo Nice ❤️❤️❤️
@RoseJackson-rt2re8 ай бұрын
Huu wimbo ni 🔥🔥 unanibariki sana jmn🙏🙏
@songhii39655 жыл бұрын
Mwimbo mzurii saaanaaa
@emmanuelbahati16294 жыл бұрын
Oooh nazid kubarikiwa kweli daaah MUNGU azidi kuwapa maono zaid watumishi kutoka nyakato
@ajegepitson18883 жыл бұрын
Amina sana watumishi mnanipa burudan sana nikisikiliza huu wimbo naona tiar amesha. Nijibu Mungu wangu
@NadiaNadia-gb7zs4 жыл бұрын
nyimbo imegusa sehemu kubwa sana ya maisha yangu asanteni mbarikiwe ktk bwana
@raymondomary7815 жыл бұрын
Jaman naomba msaada wa kumpata mwalimu wao wa kwaya!!👐Yesu unaimbiwa sana jmn,hakuna kama wewe
@isaacmusembi10195 жыл бұрын
Amen
@estherjoshua22506 жыл бұрын
Nawapenda sana Watumishi wa Mungu, Kazi nzuri Mbarikiwe Na Jehova
@neemakanzo37026 жыл бұрын
Asante mungu kwakujibu maombi yangu 👏👏💟💟
@melodykitale21934 жыл бұрын
Asanteh kujibu shida yangu
@user-lc4nl9rh3s10 ай бұрын
Vijana wa MUNGU na hizi style pqmoja na sololist wenu ni 🔥🔥🔥🔥🔥 kwa kweli
@scotiageraz44692 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa Kumwimbia Mzee aliyeshiba wingi wa siku. Mungu awape macho na ufahamu wa kutambua kuwa awainuapo viwango vya huduma analitukuza jina lake na taji yenu inakuwa kubwa Mbinguni. Lakini kwa haya mavazi wadada na wamama mnayovaa kwa sasa tofauti na hapo mwanzo kwenye albamu za kwanza yanawapeleka wanaume wengi jehanamu, nanyi pia mtawafata hukohuko, hyo Mbingu haitawafungukia siku hyo na hilo taji kubwa hamtaliona msipogeuka. Mungu atusaidie sana.
@ruthmbwilo83613 жыл бұрын
Napenda mnavyo tabasamu
@GabrielFisoo-qq2kk Жыл бұрын
Wimbo nzuri sana mbarikiwe
@daudinduli82905 жыл бұрын
daaaa sana jembe la yesu chana voko
@sarahrichard76084 жыл бұрын
Amina. Asante YESU pokea sifa na utukufu JEHOVAH. Umeskia kilio changu nashukuru. Be blessed brethrens.
@paulmlchael49264 жыл бұрын
Nawapenda xanaaaaaa
@rachelelias70216 жыл бұрын
Barikiwa Sana Kwa nyimbo nzuri A. I. C. T nyakati
@gerraldbukelebe51526 жыл бұрын
Amina amina sana Nyakato ni kazi nzuri sana nimebarikiwa na huu wimbo
@michaelsimon85326 жыл бұрын
Bwana azidi kuwainua zaidi na zaidi katika hii huduma ya uimbaji
@phabianmathias13636 жыл бұрын
nyakato aict nawakubali sanaaaaaaa aa tenaa sanaaaaaaa
@jumanneelias80056 жыл бұрын
Hongeren nice song.nampenda sana huyu kwa sauti yake
@elizabethnduku80226 жыл бұрын
wana nyakato kwaya Elizah loves you all, baraka za Mungu zikamiminike kwa kila mmoja wenu. HMC thumbs up for well done job baraka tele kwako
@christinamwambola93294 жыл бұрын
Amina, Ahsante yesu kwa ukombozi wa maisha yangu. shida kwangu zimeisha.
@rahelsamson76256 жыл бұрын
mungu awabakili sana na dada remi uko vzr na ninauhakika na mm siku moja ntakua km ww
@listermaligana2294 жыл бұрын
Mbarikiwe sana Nyakato choir ninawakubali sana
@lilianelias41374 жыл бұрын
Saut ya Huyu dada n Kama kinanda....
@medahcharles55984 жыл бұрын
mbarikiwe watu wa mungu kwa kazi mnayoifanya kweli mnafanya vizuri mungu awatie nguvu
@esthermuna10835 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kunibadilisha,kwa ukombozi ndani ya maisha yangu. Ninakushukuru mimi
@japhetmanumbu45954 жыл бұрын
Amen!!!
@antonykibirisho73534 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kujibu shida yangu
@justusmasingi87935 жыл бұрын
Shetani yule aliyenikamata, sasa ameniachilia. AMEN I love this song
@felistadaudi68016 жыл бұрын
mmetisha sana wana nyakato Mungu awabariki na dada yangu remi umetishaaa hakika mungu amekubariki pongezi kwa mwl wa kwaya na wanakwaya wote.
@tricykalukwa56976 жыл бұрын
Nguo za muanzishaji fupi sana... Ajitahid kutafuta Nguo za heshima wanaporekodi hata kama ni utamaduni .. Wakiisha rekodi waendelee kuvaa Nguo zao
@zakiamseka96984 жыл бұрын
@@tricykalukwa5697 lakini afadhali sio suruali🤣
@ngosha24745 жыл бұрын
Asnt yesu kwa kujibu shida yangu,haleluya!!!
@tinamzava8343 жыл бұрын
Napendaga huu wimbo jmn mbarikiwe mlioimba
@eldanashon99484 жыл бұрын
Yaani huu wimbo hata nikiusikiliza kila muda siuchiki. Mbarikiwe
@navongelysrlynsozsye84946 жыл бұрын
#acheni mungu wa Israel aitwe mungu....kiumweli wew dada ulichagua fungu Jema jamani...ungeimba nyimbo za kidunia hata shetani asingeruka...nabarikiwa sana na wew...Jamani mwenye namba za huyu mtu.....anisaidie na mimi nimbariki ....kwa baraka hizi....
@neemaedward80776 жыл бұрын
Yaani nimebarikiwa na huyo sololisti mpaka basi Mungu aendelee kumtumia kama apendavyo natamani hata kupata namba yake ya simu
@ludovickmseka13976 жыл бұрын
ahahahhahaha...karibu nyakato mwanza Neema
@janelunanilo1626 жыл бұрын
Glory glory ever
@lazarojameskitasa73535 жыл бұрын
Moyo wangu unatulizwa na wimbo huu Mungu awabaliki
@eunicemasumo28564 жыл бұрын
Be blessed nyakato choir
@Gladiness-vi4ko Жыл бұрын
Hakika wimbo umegusa maisha yangu sn mbarikiwe sn
@raymondomary7815 жыл бұрын
We solo jmn😙😙😙unaimba vzr mpk nasisimka!Mungu aendelee kuwatumia
@mosesmbise64974 жыл бұрын
Hahahah step hii ndo naipenda
@marthamesha33456 жыл бұрын
Mbarkiwe sana watu aic nyakato napenda sana nyimbo zenu zibanibariki saaaaaaaana
@suzannanyanjila55565 жыл бұрын
mbarikiwe. sana
@sammabula73596 жыл бұрын
WOW I LOVE THIS GIRL, SHE IS ANOINTED
@phabianmathias13636 жыл бұрын
pia masoro hngrn kwa sauti zenu nzuri mbarikiweee sanaaaaa
@elizabethnyauncho58303 жыл бұрын
From Kenya deliverance church eld nawapenda.
@paulinapandisha11 ай бұрын
Jaman wapendwa naomba msaada kuudanlord huu wimbo ,maana unanibariki sana
@deborathomas19965 жыл бұрын
Dada bonge uwaga nakupenda sana unasauti ya kipekeee
@adrianomgimba50436 жыл бұрын
Safiii sana..nawatamanije?... Mbarikiwe
@dicksondorcassy5304 жыл бұрын
Amina
@mouricebenardwahindi67124 жыл бұрын
So fantastic
@user-yy7qy7rs2y Жыл бұрын
Waoo naupenda sana huu wimbo
@jennyprishaz84423 жыл бұрын
Huu wimbo sichoki kuuskiliza. Nabarikiwa sana.
@joyceenos43972 жыл бұрын
Amen Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
@trophywilson7211 Жыл бұрын
Mungu simamia Waimbaji hawa wasije kutumikia bure
@rachaelkazimili40923 жыл бұрын
Sio siri huwa najisikia uwepo wa Mungu Sana kila ninapousikiliza huu wimbo napata nguvu za kuendelea mbele hata kama nina huzun
@elizabethkasongi92646 жыл бұрын
Asante Yesu kwa kuniponya na kuniokoa nabarikiawangwa sna huu wimbo
@evaristomwangaya24356 жыл бұрын
jamani.kuutunza wokovu sasa patashika asante yesu
@rehemaselemani72293 жыл бұрын
Asante yesu
@eunicechacha68833 жыл бұрын
This lady is something else☺️☺️ ....waking up to such songs am feeling refreshed🙏🙏Aic Kambarage you guys really bless me keep up...baraka mob🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿
@tuzompwaga99472 жыл бұрын
This is AIC nyakato
@greckalumbete62124 жыл бұрын
Honger sana Dada unasaut nzur sana MUNGU azid kuw tia nguvu
@neemamunisi85315 жыл бұрын
Barikiwa kipenzi Cha Mungu kwa sauti zuri Sana Sana I love you
@vailethnzangabuli57366 жыл бұрын
Naupendaaaaa xnaaaa huuu wimbo,,, mungu awabarikii
@ruthmbwilo83613 жыл бұрын
I real appreciate this song God bless A.i.c nyakato
@sophiaverenardo18964 жыл бұрын
big up dada lemi sichoki kusikilza:
@SamuelErnest6 жыл бұрын
Mbarikiwe sana wana AICT Nyakato Mwanza.
@dicksondorcassy5304 жыл бұрын
Mbarkiwe
@rachelmabisa14076 жыл бұрын
Wow! Nilikuwa nimeisubiri sana hii album. Mungu awabariki sana watumishi, hamjawahi kumwaibisha Mungu katika kazi yenu. Hakika iko safi na shetani anaona wivu
@jefredyfrednandy58803 жыл бұрын
Lemiiii fireeeee nabarikiwaa sana
@nancykiminza30346 жыл бұрын
Hongereni. Nyimbo nzuri
@alexmagazi89586 жыл бұрын
Hongereni sana God bless aic nykt
@HappynessSam-r5t11 ай бұрын
Mungu awatunze nabarikiwa sana.
@aminamdimi27136 жыл бұрын
Waooh blessed you are tha great soloist ever seen before.am real blessed with this song.sichoki kuutazama wimbo huu.Mbarikiwe woote.Nawapenda.
@user-yi1ng9us7d Жыл бұрын
❤❤
@jeremiahjumanne25115 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana mungu awabariki sana aict nyakato
@user-lc4nl9rh3s10 ай бұрын
Mungu wa mbinguni azidi kuwa nanyi
@zainabuyasin81896 жыл бұрын
aaaaa nawakubali nyakato jmn mwahhhh mungu asifiwe asante
@furahambuduka4536 жыл бұрын
Weee dada solo umefunika kiukwelii duu
@baudouinbaraka17056 жыл бұрын
Mungu wabariki tena na tena
@ndinawepwele56815 жыл бұрын
Kwa yesu kuna rahaaa tele barikiwaaaa
@rachelerasto10076 жыл бұрын
Wooooooow so nice
@rachelelias70216 жыл бұрын
Mmbarikiwe na bwana nyimbo nzur Sana 🙏
@saramwanduna4524 жыл бұрын
Said mubarikiwe wapiganaji wa wa kazi ya mungu
@rhinakiza4 жыл бұрын
Amina shunda yangu umekwasha Asante Yesu😘😘👏👏👏
@phabianmathias13636 жыл бұрын
mbarikiweee sanaaaaaa watumishi wa mungu kwa wimbo wenu mzuri
@abednegonthei88926 жыл бұрын
Jameni kazi njema watumishi wa Mungu
@fredrickmiano20016 жыл бұрын
Safi sana endeleeni kupambana na shetani nae anaipatapata
@marywavinya98502 жыл бұрын
Wow agood song.Am blessed 😊😊😊
@ajegepitson18883 жыл бұрын
2021 njoo tuangalie
@nelimawawire63953 жыл бұрын
Touching message ... Nice song
@joelsamwel44924 жыл бұрын
Solo nakupenda saana umenkosha roho
@janelunanilo1626 жыл бұрын
Glory glory!!! thanx may the lord bless U
@japhetmanumbu45954 жыл бұрын
I lov you nyakato Aic nasikiza wimbo mda uhu wa saa 8 usiku leo tarehe 12/12 2019 ....mungu awabaliki sana
@sinzasoundbandtanzania62006 жыл бұрын
African Inland Church (AIC) Nyakato Choir of Mwanza, Tanzania with a song : 'Asante Yesu' . Asanteni kwa kazi nyingine nzuri ya Kiroho kupitia wimbo huu.
@ludovickmseka13976 жыл бұрын
Mtanzania Junior Hahahhaha...
@neemahagai50255 жыл бұрын
Hongera sana muhanganza kaka angu mungu akubariki
@IkramuNginge3 ай бұрын
Aamina mngu awabarik sana
@catherinesilvestar44993 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na hii kway
@MasanjaNgoyayi-v9eАй бұрын
Amina
@dominicleopold2975 Жыл бұрын
❤
@danielathanas58722 жыл бұрын
Kuna wimbo nautafuta unamaneno haya 👇👇 Mnipe jina lake na mahali naweza kuupata. Petro akamwambia kwa jina la Yesu simama uende zako.
@alexmusembi13184 жыл бұрын
Wooow Soo amazing,.GOD BLESS AND EXAND YOUR TERRITORRIES .....AMEN
@phiniasshadrackl96016 жыл бұрын
wimbo mzuri Sana. mbarikiwe sana
@anglemchome79226 жыл бұрын
PHINIAS SHADRACK mwimb mzur nimepend san
@devasinghpupinder21665 жыл бұрын
Am in love with this song
@pauljohnny84176 жыл бұрын
God bless u servants of God
@NeemaMeshack-xh9de Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@dottomathias29175 жыл бұрын
Kama ww unatoka misungwi gonga like twende sawa
@PeterMathias-ht9we3 ай бұрын
Nawapend mungu awaongoze
@rhinaregina58066 жыл бұрын
Beautiful I love all your songs God bless you all 😍
@irenechemtai50382 жыл бұрын
I like your movements...💗
@erickmikwana17504 жыл бұрын
Amazing! God bless nyakato choir for spreading the gospel to the nations
@japhetmanumbu45953 жыл бұрын
Huyu dada bonge huwa akosei ni fire sana anajua sio siri